Mtoto mch mbarikiwa mwakipesile wakwanza katoa nyimbo mpya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 67

  • @Mwasame_Official1
    @Mwasame_Official1 Місяць тому

    Hakika mtumishi kweli kweli 😢😢😢 lakini jehova mungu anasababu ya haya yatendeke🎉🎉lala kwa amani

  • @safarijoseph9591
    @safarijoseph9591 2 місяці тому +1

    Hakika Mungu amukumbuke Kwa kazi yake🙏🙏🙏

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Місяць тому

    Mwenyezi mungu awatie nguvu family yote da niuchungu sana

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 2 роки тому +3

    Yesu aku vishe taji zur mtoto ipo siku tuna onana mbinguni

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela Місяць тому

    MUNGU ANA TISHA SANA NIMEKUWA NIMSIKIA MBARIKIWA MWAKIPESILE ANALIA NA MWANAE ILA LEO NA MIMI NIMELIA BAADA YA KUMUONA NA KUMFWATILIA NIKUPE POLE SANA MBARIKIWA NA FAMILIA YAKO PAMOJA NA KIKOSI KAZI INAUMA ILA KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA

  • @restituta5206
    @restituta5206 Рік тому

    Yesu Tunasema asante wewe ni mwanzo na mwisho jina lako rinuliwe. Zawadi ulitoa na sasa umechukua jina lako ni kuu utabaki kuitwa Mungu.Amina.

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 Рік тому +1

    Uyu baba ndo maaana anaumia kitoto chake kizuri alimlea akaleleka pumzika mtoto mzuri

  • @zithasteven1701
    @zithasteven1701 2 роки тому +2

    Mungu awatie nguvu kanisa la MUNGU ktk kipindi hiki kigumu.

  • @angelinaeliakim4447
    @angelinaeliakim4447 2 роки тому +1

    Hakika komando wa yesu mwendo umemaliza salama. Pumzika kwa amani. Najuwa u patakatifu pamoja na bwana wetu yes kristo 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Рік тому +1

    Wanaanzaje kumuua mtoto kama huyu malaika 😢😢😢 jamani she was a super star 🎉🎉 Rest in Peace Wokovu we need Justice over your death 😢😢
    You are still shining although you are in the grave ❤❤

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 10 місяців тому

    Yupo mtetezi wet mungu aitie ngumvu familia hiyo ktkt kipindi hicho maana hata ayubu alipitia humo ameen

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 роки тому +2

    Mtu akiokoka ht hospitali na dw huwa hawaamini ni kufunga na kuomba.huenda angepata matibabu mapema tena kwaukalibu zaidi mn ile ajali huenda aliumia ndani kwa ndani mpk hivi kafaliki

    • @mwajumahamisi2006
      @mwajumahamisi2006 2 роки тому

      Mm nimuokovu umesem ukwel sikupingi

    • @UlimwenguMilenga
      @UlimwenguMilenga 2 роки тому

      wazo lako jema, ila ume saau ata ospitalini wanawafia mikononi, kufa ni mbingu zinazo hamua.

  • @tabby6064
    @tabby6064 2 роки тому +2

    Rip wokovu wangu....imba na malaika mbinguni

  • @venerandastephen3187
    @venerandastephen3187 2 роки тому

    Mungu akuvike taji, nimumia km namfahamu😭😭 polen sana familia

  • @ChantaleSerubungo
    @ChantaleSerubungo 7 місяців тому +1

    Amen

  • @hopemtweve9596
    @hopemtweve9596 2 роки тому +1

    Daah ni huzuni sana

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 2 роки тому +1

    RIP Mungu ni mwema kulipe taji

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 9 місяців тому

    Yesu tunamshukuru Kwa maisha ya wokovu

  • @daudirubibi9601
    @daudirubibi9601 Рік тому +1

    I will never forget you. SHUJAA

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 2 роки тому +1

    Mungu awafariji

  • @gadsonenos158
    @gadsonenos158 Рік тому

    Hallelujah Yesu Masiah.

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 7 місяців тому

    Wokovu mwanangu pumzika kwa amani😢😢

  • @BisharaAthuman
    @BisharaAthuman 7 місяців тому

    Amiina Mungu ni kimbilio letu

  • @izackkapeche5095
    @izackkapeche5095 2 роки тому

    mungu akubariki🕺🕺🕺🎷🎺

  • @lilianmwabamba-wt8sn
    @lilianmwabamba-wt8sn 7 місяців тому

    daaa pumzika kwa aman wokovu 😭😭😭

  • @possiepondie6538
    @possiepondie6538 11 місяців тому

    😭😭😭

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Рік тому

    Rip mtumishi mwendo umeumaliza upumzike Kwa amani

  • @StaniMponzi-kx6ok
    @StaniMponzi-kx6ok Рік тому

    Hakuna wakudumu Kila mtu atakufa usilingie cheo Yuko wap diamin

  • @PASTORPETERMbwambo
    @PASTORPETERMbwambo 10 місяців тому

    Mimi nitamalizaje safari hii,

  • @asifiwesanga4979
    @asifiwesanga4979 2 роки тому +1

    Pumzika Kwa amani wokovu

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 2 роки тому

    Mtoto mzuri jamani alikuwa darasa la ngapi?

  • @roidambilinyi9765
    @roidambilinyi9765 4 місяці тому

    Amina amina

  • @kaisimwantindili397
    @kaisimwantindili397 Рік тому

    Hakika ulikuwa Nuru ya wengi.

  • @ainekishagodwin1877
    @ainekishagodwin1877 11 місяців тому

    Wokovu wokovu pumzika kwa Amani

  • @faithmariam
    @faithmariam Рік тому

    Pumzika kwa amani wokofu 🙏🙏🙏

  • @ndigwakomwakilembe1440
    @ndigwakomwakilembe1440 2 роки тому

    Pumzika kwa amani mtoto mzur

  • @safisimkoko1932
    @safisimkoko1932 2 роки тому +1

    😭😭😭😭😭😔😔😔

  • @vumiliambugh1039
    @vumiliambugh1039 2 роки тому

    Jaman mung kwann umeluhusu mtumishi wako aondoke mbn ajaifanya kaz yako daaaa

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 2 роки тому

      Unamhoji MUNGU?Kwanza unauhakika ni MUNGU kamuua?

    • @UlimwenguMilenga
      @UlimwenguMilenga 2 роки тому

      @@chrismassawe2939
      Amesema Mungu ameruusu, sio Mungu ameua. Kiswaili baba.

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому

    RIP Mungu atukuzwe

  • @hayleym4023
    @hayleym4023 2 роки тому +1

    Rest in peace 🙏 wokofu

  • @PastorsTz
    @PastorsTz 2 роки тому

    Uncle umetutola hivi hivi R.i.p

  • @sophiandumbaro1709
    @sophiandumbaro1709 2 роки тому

    R,IP. Mwanetu pumzika kwa aman

  • @ShunuruEsperence
    @ShunuruEsperence 7 місяців тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 2 роки тому

    Rip wokovu.

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 2 роки тому

    Kwl kikosi cha kz

  • @felistermtewele7322
    @felistermtewele7322 2 роки тому

    RIP Mrembo mweee 😭😭😭😭

  • @dorismzumbwe8921
    @dorismzumbwe8921 2 роки тому +1

    Nawapenda kwakweli...karibuni kondoa bumbuta jamani

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 2 роки тому

      Huyo binti kashatangulia mbele ya haki😂

    • @gracemwinzi538
      @gracemwinzi538 2 роки тому

      @@jesaminzo kwa nini unacheka?ama hiyo emoji inamaanisha

  • @emmyshantiwa6704
    @emmyshantiwa6704 2 роки тому

    Rest in Paradise 😭😭😭

  • @winnyrocha190
    @winnyrocha190 2 роки тому

    rest in eternal peace

  • @KsaC711
    @KsaC711 2 роки тому

    Ameeeeeeen

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 роки тому

    Wokovo Rp😭😭

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 2 роки тому

    amen

  • @anicetnsabiyunva8235
    @anicetnsabiyunva8235 2 роки тому

    Pumuzika mtoto

  • @sekelamwakalindile9339
    @sekelamwakalindile9339 2 роки тому

    So blessed

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 місяці тому

    Amen

  • @sheillahulempole5706
    @sheillahulempole5706 2 роки тому

    😭😭😭😭

  • @ShunuruEsperence
    @ShunuruEsperence 7 місяців тому

    Amen

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 роки тому

    😭😭😭😭😭

  • @sheillahulempole5706
    @sheillahulempole5706 2 роки тому

    😭😭😭😭