MUNGU ANA TISHA SANA NIMEKUWA NIMSIKIA MBARIKIWA MWAKIPESILE ANALIA NA MWANAE ILA LEO NA MIMI NIMELIA BAADA YA KUMUONA NA KUMFWATILIA NIKUPE POLE SANA MBARIKIWA NA FAMILIA YAKO PAMOJA NA KIKOSI KAZI INAUMA ILA KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA
Wanaanzaje kumuua mtoto kama huyu malaika 😢😢😢 jamani she was a super star 🎉🎉 Rest in Peace Wokovu we need Justice over your death 😢😢 You are still shining although you are in the grave ❤❤
Mtu akiokoka ht hospitali na dw huwa hawaamini ni kufunga na kuomba.huenda angepata matibabu mapema tena kwaukalibu zaidi mn ile ajali huenda aliumia ndani kwa ndani mpk hivi kafaliki
Hakika mtumishi kweli kweli 😢😢😢 lakini jehova mungu anasababu ya haya yatendeke🎉🎉lala kwa amani
Hakika Mungu amukumbuke Kwa kazi yake🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu awatie nguvu family yote da niuchungu sana
Yesu aku vishe taji zur mtoto ipo siku tuna onana mbinguni
MUNGU ANA TISHA SANA NIMEKUWA NIMSIKIA MBARIKIWA MWAKIPESILE ANALIA NA MWANAE ILA LEO NA MIMI NIMELIA BAADA YA KUMUONA NA KUMFWATILIA NIKUPE POLE SANA MBARIKIWA NA FAMILIA YAKO PAMOJA NA KIKOSI KAZI INAUMA ILA KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA
Yesu Tunasema asante wewe ni mwanzo na mwisho jina lako rinuliwe. Zawadi ulitoa na sasa umechukua jina lako ni kuu utabaki kuitwa Mungu.Amina.
Uyu baba ndo maaana anaumia kitoto chake kizuri alimlea akaleleka pumzika mtoto mzuri
Mungu awatie nguvu kanisa la MUNGU ktk kipindi hiki kigumu.
Hakika komando wa yesu mwendo umemaliza salama. Pumzika kwa amani. Najuwa u patakatifu pamoja na bwana wetu yes kristo 🙏🙏🙏🙏🙏
Wanaanzaje kumuua mtoto kama huyu malaika 😢😢😢 jamani she was a super star 🎉🎉 Rest in Peace Wokovu we need Justice over your death 😢😢
You are still shining although you are in the grave ❤❤
Yupo mtetezi wet mungu aitie ngumvu familia hiyo ktkt kipindi hicho maana hata ayubu alipitia humo ameen
Mtu akiokoka ht hospitali na dw huwa hawaamini ni kufunga na kuomba.huenda angepata matibabu mapema tena kwaukalibu zaidi mn ile ajali huenda aliumia ndani kwa ndani mpk hivi kafaliki
Mm nimuokovu umesem ukwel sikupingi
wazo lako jema, ila ume saau ata ospitalini wanawafia mikononi, kufa ni mbingu zinazo hamua.
Rip wokovu wangu....imba na malaika mbinguni
Mungu akuvike taji, nimumia km namfahamu😭😭 polen sana familia
Amen
Daah ni huzuni sana
RIP Mungu ni mwema kulipe taji
Yesu tunamshukuru Kwa maisha ya wokovu
I will never forget you. SHUJAA
Mungu awafariji
Hallelujah Yesu Masiah.
Wokovu mwanangu pumzika kwa amani😢😢
Amiina Mungu ni kimbilio letu
mungu akubariki🕺🕺🕺🎷🎺
daaa pumzika kwa aman wokovu 😭😭😭
😭😭😭
Rip mtumishi mwendo umeumaliza upumzike Kwa amani
Hakuna wakudumu Kila mtu atakufa usilingie cheo Yuko wap diamin
Mimi nitamalizaje safari hii,
Pumzika Kwa amani wokovu
Mtoto mzuri jamani alikuwa darasa la ngapi?
Amina amina
Hakika ulikuwa Nuru ya wengi.
Wokovu wokovu pumzika kwa Amani
Pumzika kwa amani wokofu 🙏🙏🙏
Pumzika kwa amani mtoto mzur
😭😭😭😭😭😔😔😔
Jaman mung kwann umeluhusu mtumishi wako aondoke mbn ajaifanya kaz yako daaaa
Unamhoji MUNGU?Kwanza unauhakika ni MUNGU kamuua?
@@chrismassawe2939
Amesema Mungu ameruusu, sio Mungu ameua. Kiswaili baba.
RIP Mungu atukuzwe
Rest in peace 🙏 wokofu
Uncle umetutola hivi hivi R.i.p
R,IP. Mwanetu pumzika kwa aman
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Rip wokovu.
Kwl kikosi cha kz
RIP Mrembo mweee 😭😭😭😭
Nawapenda kwakweli...karibuni kondoa bumbuta jamani
Huyo binti kashatangulia mbele ya haki😂
@@jesaminzo kwa nini unacheka?ama hiyo emoji inamaanisha
Rest in Paradise 😭😭😭
rest in eternal peace
Ameeeeeeen
Wokovo Rp😭😭
amen
Pumuzika mtoto
So blessed
Amen
😭😭😭😭
Amen
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭
Rip 😭😭😭😭