Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.
we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele
Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.
Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist
Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.
P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.
Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania
Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.
Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮
Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.
Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.
Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu
Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?
Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....
Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi
Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.
❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.
Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤
Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.
MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿
Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉
we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele
Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.
Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.
I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..
I'm sorry Sir,ni worse than na siyo bad than
Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo
Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm
Mrithi wa Tundu lisu
Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist
Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana
Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,
Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba
@@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,
Duhh! Hii nchi imeoza
MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤
Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.
Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.
Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe
Well said
WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA
Madeleka 💪
Nakujubali sana piter madereka wakili msomi
Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.
Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil
Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili
Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu
P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.
Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania
Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.
Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.
Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮
Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?
Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.
Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa
👍🏿👏🏿👍🏿
Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt
🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪
NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO
Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.
Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu
Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.
Wanakiwasha nn makenge tu hao?
You must be crazy
Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?
Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....
Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi
Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.