Jamani haya mambo sio sawa kwenye dini yetu, kweli tulipata pigo kubwa Zanzibar lkn kuhuzunika kwa msiba kuna muda maalum ulowekwa na sheria, tuseme alhamdulillahi Allah atupe mwengine alokua bora kuliko alokuwepo lkn tusiwe tunahuzunika kila siku mwisho tutakuja kumkosea Allah
Allah amrehemu kipenzi chetu Wazanzibar, daima yu ndani ya mioyoni mwetu
اللهم امين يارب العالمين 🤲🌹
Utenzi umepata msomaji maa shaa Allah
Allah amsameh makosa yke amuondoshee adhabu ya qabr amjaalie miongoni mwa waja wema amjaalie pepo yke Amen yarabby na kila muislam.
Masahaallh yarabi wasamehe wajawako walio tanguliya na sisi tuli nyuma yao tujaaliye mwisho mwema
Mungu amsamehe baba yetu kipenz inalillahi wainna ilaih rajiun
Mashaallah dah 😭😭
Mashaallah m.mungu akulinde saut mwanana
😭😭😭😭😭
Jamani haya mambo sio sawa kwenye dini yetu, kweli tulipata pigo kubwa Zanzibar lkn kuhuzunika kwa msiba kuna muda maalum ulowekwa na sheria, tuseme alhamdulillahi Allah atupe mwengine alokua bora kuliko alokuwepo lkn tusiwe tunahuzunika kila siku mwisho tutakuja kumkosea Allah
Roh inaniuma