ASKOFU GWAJIMA AANIKA HOJA NZITO ILIYOLETWA BUNGENI | AFAFANUA KWA UNDANI KUHUSU HISTORIA YA DUNIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

КОМЕНТАРІ • 28

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 місяців тому +12

    Askofu gwajima nakupendaga sana niliomba upako wako.sehemu.uniingie uliniingia ni mwanamke ila nacharuka hatari nahubiri.uchawi.uganga.na.ufreemason.siogopi kitu.nilifunga.wiki.nipate.upako.nilipata.siku moja Mungu aje.anikutanishe na wewe ulipokuja tukuyu nilifanikiwa kukushika.mkono.nakuombea.sana.Mungu.akuongezee.maarifa mengi.sana.Tanzania.yote ipelekwe.kwa.yesu yote ipelekwe.ninaumia sana.siku zingine.naamka nachanganyikiwa natamani Tanzania yote watu.wote.wamche Mungu uamsho mkubwa utokee.Tanzania wainuke.wahubiri .wajae mpaka kieleweke

  • @anithamohamed1587
    @anithamohamed1587 8 місяців тому +2

    Mungu wa mbinguni azidi kukupa maarifa wew ni baba yangu wa kiroho najivunia kua na baba wa kiroho kama wew mahubiri yako yananipa ujasiri saaana

  • @samsonkazimili2221
    @samsonkazimili2221 8 місяців тому +6

    Nakuelewa Mno Baba, Nakupenda kwa sababu unasema ukweli

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 8 місяців тому +1

    Gwajima NAKUPENDA Sana mwenzio Mtumishi wa mwokozi sanaaaa kumuona Yesu wathamani ndani Yako

  • @dr.hermankessy
    @dr.hermankessy 8 місяців тому +3

    "Akili Zake Hazichunguziki".
    AMEEEN

  • @user-jh3uf1bv9v
    @user-jh3uf1bv9v 8 місяців тому +1

    Barikiwa sana askofu mkuu

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 8 місяців тому +2

    Amina Bishop MUNGU akutunze sana

  • @KwaupendoMinistriesintlT-xz4nw
    @KwaupendoMinistriesintlT-xz4nw 8 місяців тому

    Yaani wewe baba
    Natamani uje siku HUDUMA yangu hipo Mwanza uje utume Neno
    Uendelee kubarikiwa Rafiki wa Yesu

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 8 місяців тому +2

    Haleluya ❤

  • @ECK-vd8xp
    @ECK-vd8xp 8 місяців тому +3

    Hallelujah 🙌

  • @jimymagere1794
    @jimymagere1794 8 місяців тому +1

    Hakika somo la leo limenibariki sn

  • @Paplick9
    @Paplick9 8 місяців тому

    Master mind 👽👽👽

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 8 місяців тому +1

    Amen Baba

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 місяців тому

    Nguo za pinki we mttoto wa kiume. Mchungaji vipi tena au mambo ya upinde😮

  • @JustinJohn-ss4qe
    @JustinJohn-ss4qe 8 місяців тому

    Nabarikiwa Sana

  • @ernestyphilipo
    @ernestyphilipo 4 місяці тому

    Naomba. Niwe. Mwanafunzi. Wako wa. Bible

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 8 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @jastinejohnmganikie3877
    @jastinejohnmganikie3877 8 місяців тому +2

    Maarifa yako yamefanya niwe shujaa!!! Nitakupenda cku zote japo haunijui

  • @masihikalokora17
    @masihikalokora17 8 місяців тому

    Ukiwa na maarifa kama haya uwezi kuzuliwa na chochote kupenya

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 8 місяців тому

    Safari hii nileteeniI gwajima haipo

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 8 місяців тому

    Duuh kumbe tulikuwa wengi

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 8 місяців тому

    Miaka 6000 ni tangu Adam alipoumbwa,kuna tofauti ya tangu dunia ilipoumbwa,dunia iliumbwa kwanza kabla ya adam,tena miaka milioni na mamilioni yalipita kabla Adam hajaumbwa hebu someni vizuri na kuielewa biblia.