Padre Dkt KAMUGISHA:Ukizingatia mambo haya ni LAZIMA ufanikiwe katika Maisha/Waumini washangilia....
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- Hatupangi kushindwa,Tunashindwa kupanga.
Hakikisha hukosi kufuatilia Magundisho ya Padre na Mwalimu Nguli wa Mafundisho ya Kanisa Dkt Faustine Kamugisha ambaye ni Paroko wa Parokia ya Minziro jimbo katoliki la Bukoba.
Tutashukuru kuona maoni yako kwenye Comment ukimtakia neno la Baraka na Matashi mema katika utume wake ambao Mungu mwenyewe Amemuitia.
#BreezOnlineTv #PdKamugisha
Breez Online Tv
S.L.P 38655
Dar Es Salaam Tanzania
Phone No: +255 756494796
Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
Mitandao Mingine ya Kijamii:
Facebook: breez online Tv
Facebook Link: / breez-online. .
Instagram:Breez Online Tv
Good job ,, ninatamka baraka juu yako
Asante Baba Padre kwa mafundisho mazuri
Ahsante Sana Father
Barikiwa sana
Amina
Mafundisho ni mazuri kwa kweli.❤
nashukuru sana father ........nazid kujifunza ...Mungu akubaliki kwa kuelimisha wanakondoo," tutaota ndoto" uzid kutupa somo Mungu akubaliki.
Nashukuru kwa ujumbe na mafundisho father nimejifunza mengi
Asante sana baba padre KAMUGISHA na MUNGU akubariki kwa mafundisho yako mazuri 🙏
Asante sana Padre Dkt Kamugisha kwa mafundisho yako na yamenifungua sana Kimwili, Kiakili na Kiroho. Mungu Akubariki Sana.
Nimekuelewa vizuri.
"Hatupangi Kushindwa, Tunashindwa Kupanga"
Amina.
Asante Mungu kwa kuweka vipazi vyema kwa Mtumishi wako : Padri Faustin Kamugisha.
Asante kwa mafunisho mazur baba mungu akubariki
Asante padre najifunza vitu vingi kutoka kwako
We dont plan to fail,we fail to plan. Thanks fr for homily. I will start from where they left. May God bless u fr Kamingisha
I’m watching Padri from USA 🇺🇸 you blessed me a lot today. That massage it was for me. 🙏🙏💯
Km
Iuum,
Father Kamugisha ninashukuru sana kwa mafundisho yako. Yaani unabadilisha mitazamo ya watu wengi.
Father ubarikiwe
Nimekuelewa Father Kamugisha. Mungu Aliye Hai Akubariki Sana.
Nachukuru baba Mungu asifiwe .
Ubalikiwe Sana Father Kamugisha , Roho wa Mungu aendelee kukuongoza kwa kila neno lolote unataja kwa mdomo wako
Nimekuelewa vizuri asante kwa mafundisho
Asante padri nimefurah sana
Fr. Unanijega sana nashukuru Mungu
Mimi ukuzikiza hadi saa saba usiku juu maubili yako unijenga sana 🇰🇪 from 🇶🇦
Namsikiliza vzr sana,Kamugisha
I'm watching patre kamugisha live from Kenya eldoret ,,asande saana father kwa mafuntisho ya kila juma umenifunza meng .GOD please you kamugisha
Ameeeeeen
Asante sana
I'm watching from Kenya,Father be blessed abundantly.Let God give you more wisdom n faith,unafunza vilivyo ,na ni ukweli mtupu!! Barikiwa Sana.
Asante
Thank you father for yr good teachings, your teachings are blessing to my soul, watching from kenya
🙏
Mafundisho yako baba yanatujenga
Baba, unanifungua pakubwa mno, kwa mafundisho hayo, napata kuwa jasiri
Padle unisaidie kwa maombi mtu niliesaidiya ameniyiba motagali akifungisha chauffeur at amebaka kea musingiziya akisaidiwa na police na mwanasheliya wa Ituri RDC ivi nimetembeya 700km kwa kuwafwata.aksanti.
Akika wewe padri kamugisha huna upako mkubwa sana
fatha nakuombea munguakuzidishie neema nyingi zakutufundisha
God be with you father Kamungisha,your teaching are really changing my life 🙏
Nashukuru kwa ujumbe na mafundisho father nimejifunza mengi
Aminaa
Amina Baba