PROFESA JANABI ATUA ARUSHA KUONGEZA KASI KAMBI YA MATIBABU YA RC MAKONDA
Вставка
- Опубліковано 26 чер 2024
- ARUSHA: Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Daktari bingwa na Mbobezi kwenye magonjwa ya Moyo amewasili Mkoani Arusha usiku wa Jumatano Juni 26, 2024 tayari kuhudumia wananchi kwenye Kambi maalum ya Matibabu inayoendelea mkoani Arusha kwenye viwanja vya Sheikh Amri Abeid.
Prof. Janabi ni miongoni mwa Madaktari wanaoheshimika nchini Tanzania na mwenye uzoefu wa hali ya juu katika utabibu na taaluma yake, akitoa mchango mkubwa katika kushauri masuala ya afya pamoja na maboresho ya huduma za afya na ustawi wa jamii, akijitolea pia katika kuelimisha umma kuhusu umuhimu wa lishe na mtindo bora wa maisha
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09
WATANZANIA MUANGALIENI SANA PROFESSOR JANABA ANATIA WANAUME USHOGA NA WANAWAKE ANAUA KIZAZI ANATUMIKA
PROFESSOR JANABA NI MUUAJI MTU HATARI SANA ANATUMIKA NA MATAIFA YA ULAYA
Professor janaba ni yule aliomuua jpm
Professor JANABA NI YULE YULE ANAYEWABUMBAZA WATANZANIA KWA SUMU
Professor JANABA ALIEMUUA JPM KWA SUMU
PROFESSOR JANABA MSIMKUBARI ANATIA USHOGA
Mbona Kama naanza ku mwelewa mama?
PROFESSOR JANABA NI YULE ALIOSHILIKIANA NA MABEBERU KUMUUA JPM NA MWAWAZI
Acha basi