HALI ILIVYO KANISA LA KKKT KIJITONYAMA ALIPOSIMAMISHWA MCHUNGAJI KIMARO, WAUMINI WAENDELEA KUMLILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 366

  • @florapascal4867
    @florapascal4867 2 роки тому +1

    Hivi kweli hapa aliyekuwa anapewa utukufu ni Mungu au Ni kimaro????! Na Kama uwepo wa Mungu umepunguka Kama anavyosema mmoja wa usharika huo ya kwamba Kuna kitu kimepunguka ni kwamba huyo mchungaji alikuwa ndie utukufu wao na sio Mungu inasikitisha sana Mara nyingi chini ya jua Kuna kila sababu ya Jambo na ukijiinua unashushwa na jinsi waumini wachache wannavyozidi kufanya wanazidi kumgombanisha huyo mchungaji na Mungu kwa sababu Mungu hachangii utukufu na mwanadamu hii ni hatari sana hapo hakuna wafuasi wa kristo Bali washabiki wa kimara watubu na wamrudie Mungu na wamtafute Mungu kwa bidii maadamu anapatikana na sio kimaro UCHANGA na waache misisimko wanalidhalilisha kanisa na mwili wa kristo ni nini hii Sasa??? Picha gani hii tunawafundisha vizazi? Tubuni

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 2 роки тому +26

    Natumpate wapi mtu kama huyu, ambaye Roho wa Mungu anakaa ndani yake! Kimaro kijitonyama inakuhitaji. Angalau tukuage kwa heshima

    • @merekwangujati158
      @merekwangujati158 2 роки тому +5

      Ujinga sana huo wako , so ukiwa na yesu huwezi kulilia mchunganyi

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 2 роки тому +2

      @@merekwangujati158 Ujinga wake uko wapi. Kasema angalau wamuage kwa heshima.. Kama binadamu amewatumikia miaka kadhaa ni sawa waumini kumlilia na kutaka angalau kumuaga.... Ata mchezaji wa Mpira kwenye timu akitolewa bila utaratibu wenzake huumia mioyo, na ata mashabiki watasononeka.. sembuse kwa mchungaji?

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому +4

      @@merekwangujati158 ww ndo uache ujinga Karne hii kupata mchungaji ambae roho wa Mungu yuko ndani yake ni adimu sana na mkimpata mumshukuru Mungu

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 роки тому +2

      @@merekwangujati158 " acha mambo ya ajabu jomba kimaro ni kama baba wa kiroho kwao huwezi kuniambia uone mtu katoweka tuu halafu saivi anaaga usiulize sasa inakuwaje. Kuna baba mzazi na kuna baba wa kiroho

    • @summanelson5523
      @summanelson5523 2 роки тому

      Bado mnaweza kuandaa ibada ya kumuaga. Kupewa likizo na kuhamishwa haimaanishi mmekatazwa kumuaga rasmi. andaeni ibada ya kumuaga.

  • @johnmwasakilali6984
    @johnmwasakilali6984 2 роки тому +1

    Kama watu wngefanya haya Yesu aliposulubishwa je kanisa lingeenea. Maana kimaro sio Yesu tena yawezekana hata mbinguni asifike. Yeye ni mwanadamu asilimia 100. Mwombeeni moyo wa hekima na unyenyekevu

  • @joem9569
    @joem9569 2 роки тому +1

    Washarika wa Kijitonyama mliocha kwenda ibadani kwa sababu ya Kimaro ,Mnahitaji Rehema ya Mungu iwakomboe kwenye utumwa mliopo ,Kanisa la Mungu na si La Kimaro ,Hakika mnatudhadhalisha mno KKKT wenzenu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 роки тому +28

    Tusimame ktk kweli, kila mtu ana karama yake, na Mungu humtumia vile amemuita!
    Mtumishi Kimaro akisimama madhabahuni Rohomtakatifu anaonekana wazi akiwahudumia watu...nikisema hivi wapo watakaonielewa, kuwa kuna wakati hata nyumbani kwako ukiwa unaomba kuna jinsi unaona kabisa wingu ni zito!! kama vile maombi hayaendi! Lkn nyakati nyingine unaomba mpk unabubujika! Roho wa Mungu huingilia kati!
    Namaanisha nini? Hata ktk Ibada zetu hizi kuna mtumishi akisimama madhabahuni nusu ya kanisa wanasinzia! maombi yanakua mazito!....
    Ibada yoyote inategemea na mkuu wa madhabahu kwa siku hiyo! Ndiyo mkuu wa Madhabahu ni Mungu mwenyewe ktk Kristo Yesu , lkn yule muwakilishi pale madhabahuni anaongozwa na Roho ipi kwa wakati ule? watu tunatoka shm mbalimbali kufuata Neno Kijitonyama kupitia kwa mpakwa mafuta Kimaro...
    Tunatoka mbali kwenda Kimara Korogwe kwa mpakwa mafuta Maksai , kwa nini? Nguvu ya Neno iliyopo ndani yao.🙏🙏

    • @joem9569
      @joem9569 2 роки тому +2

      Dada yangu naomba nikushauri kitu ila sio lazima pia uniamini, Kitu kinachoitwa Karama ni mitazamo ya kibinadamu na sio kusudio la Mungu ,Na ukiona umekuwa na imani iliyopitiliza kuwa mchungaji Fulani ana karama kubwa kwa Mungu huo ni utumwa wa kiroho ,kila mtumishi aliyechaguliwa na Mungu ni kielelezo cha yeye kukuletea neno la Mungu kwako imarisha imani yako Dada yangu kanisani unahitaji roho mtakatifu si karama ya mchungaji Dada yangu p

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 2 роки тому +2

      Mpendwa ktk Bwana, huo ndiyo ukweli, watumishi hawalingani ki huduma, kuna ambao wakisimama kuhubiri watu wanapona nafsi,mapepo yanatimua nk. mwingine hata akeshe akihubiri mtu akitoka pale hatoki na kitu,zaidi ya kusinzia! wengine hukatisha tamaa na wengine hufariji!..basi kama vipi kwa nini tunaabudu ktk makanisa tofauti?
      Hata wewe yupo mtumishi alisimama madhabahuni unajisikia kubarikiwa kabla hata hajaanza ibada!! Hata makazini kila mmoja ana utendaji wake! Hata muwe na elimu sawa!
      Kimaro ni kati ya watumishi ambao wananibariki kwa mafundisho yake...no hilo tuu

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому +2

      Mm sio Mungu lkn Mbingu wataiona wachache jifunze kutoka kwa Paulo..kama Mungu ange kuwa na Paulo tyu wakristo wote wasinge kuwepo

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 2 роки тому

      @@joem9569 bado hujasoma bible vizuri, Mungu aliweka wengine kuwa walimu,wachungaji, mitume,manabii na wainjilisti, pia Mungu hutoa vipawa na karama kama apendavyo Yeye, vita iliyopo ni kwamba watu wanapigana na karama na vipawa vya Mungu sio mtu, kanisa ni jengo tu.

    • @bjngft4985
      @bjngft4985 2 роки тому

      Walikuwa wakina Mussa wakapita. Washarika mnazingua alafu vingine vipimo tu KKKT wajue KIMARO ni Mungu mtu au Mtumishi wa Bwana. Pia Kanisa lina wanakondoo au wengine Mbuzi wasiomfata Kristo

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 2 роки тому +8

    Dr Eliona Kimaro Mungu amtetee

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Yeye sio Mungu kwamba hakosei..n wajibu wa kanisa kumu wajibisha mtu..na pia kumuhamisha kwamaana kaitwa kwaajili ya kazi hiyo.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 роки тому +5

    Mahubiri mazuri ndiyo yanaleta waumini kanisani. Pia kumkatisha semina haikuwa busara. Acha kila mtu aamue kulingana na imani yake

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 роки тому +2

    Kwa nini mikutano ya watumishi wa Mungu kama Mwakasege hujaa na kufurika na baadhi mikutano ya watumishi wengine haijai?
    Nguvu ya madhabahu!! Nguvu ya Mungu hudhihirika, Rohomtakatifu huwahudumia watu! Hutoki kama ulivyoingia, kuna majani mabichi!
    Inategemea unawalisha mini kondoo ? kondoo wakikuona hukufuata.

    • @neemamourice
      @neemamourice 2 роки тому

      Kabisa hata Yesu alifuatwa Kwa ajili ya mikate(uponyaji,kujibiwa maombi yetu NK) huwezi kwenda kwenye ibada ambayo haina majibu hasa wakati huu ambapo dunia imejaa changamoto nyingi,ibada ya kusomewa Kitabu isiyozingatia uongozi wa Roho Mtakatifu

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 2 роки тому

    Mimi mwislam lakini kuna watu wananyota zao,watu husali kwa kuvutiwa na mtumishi japo kuwa wanasali kwa ajiri ya mungu,acheni mungu aitwe Mungu,nabado bola wamrudishe tu kabla ya hizo siku kanisa litabaki na watu wawili,ananguvu ya ushawishi hua anahubiri vzr,shauliyenu

  • @edsondaniel9084
    @edsondaniel9084 2 роки тому +3

    Uwepo wa Mungu hauwez kuwepo ikiwa mnafarakana na kugombana!

  • @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
    @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 2 роки тому +22

    Wapo watu watasema kwamba kimaro anafanywa Mungu mtu ila. Am telln you the truth. Wapo wabeba maono wakiondoka maono yanakufa sehemu flan. Yule anaepewa neno la Mungu kuleta kwa wanadamu huwa ni jicho kubwq sana kwa Mungu. Anachukua nafasi kubwa sna katkat ya wanadamu. Ndo mana washarika wa kijitonyama wanamtaka mtumishi wao. Yesu awatie nguvu na awarehemu kwq rehema zake nyingi pale mlipomtenda Mungu dhambi katika kipindi hiki cha kusimamishwa kwa Mtumishi wenu.

    • @samwellwiza1098
      @samwellwiza1098 2 роки тому

      ᴋᴡᴀɴɪ ᴋɪᴍᴀʀᴏ ɴᴅɪʏᴇ ᴍʜᴀsɪsɪ ᴡᴀ ᴋɪᴊɪᴛᴏɴʏᴀᴍᴀ ᴀᴜᴛᴜɴᴀᴊɪᴛᴏᴀɢᴀ ᴜғᴀʜᴀᴍᴜ?

    • @victorianakliiaumi4623
      @victorianakliiaumi4623 2 роки тому +2

      Tunasahau kuwa wa kuabudiwa ni Mungu tu. Iwe katika amani au dhiki, Mungu ndiye wa kuabudiwa.

    • @legangatzmedia4846
      @legangatzmedia4846 2 роки тому +2

      Kanisa ni la Mungu yeye si lolote si chochote kanisa lilikuwepo kabla yake na litaendelea hata asipo kuwepo acheni kumfanya mtu mungu mtu

    • @gracepeter9517
      @gracepeter9517 2 роки тому +3

      Kanisa ni jengo bila watu hilo siyo kanisa, wachungaji na maaskofu was wanasimama badala ya Kristo mwenyewe .
      Watu wanafuata neno how he preach to the people, wapo watu wenye karama zao wakihubiri Neno linagusa au linapenye mpaka ndani ya mtima.

    • @legangatzmedia4846
      @legangatzmedia4846 2 роки тому +2

      @@gracepeter9517 maandiko yamesema wakusanyikapo wawili au watatu kwa jina lake nae atakuwa kati kati yao so haijalishi idadi ya watu kikubwa injili ihubiliwe sio mtu mmoja atukuzwe huu ni ushamba saana

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +2

    Itabidi mmpunguze pia wale wazee wa kanisa wanaokusanya sadaka 🤣🤣🤣🙌😜

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 роки тому +2

    Hakuna mtu anayemfuata mchungaji watu wanafuata neno la Mungu. Lakini kilichochukiza waumini ni kitendo cha kupewa likizo yenye hasira ndani yake. Na ni haki yake kuwaaga waumini huwezi kuondoka kama mwizi. Hata kama ana makosa Tasisi inatakiwa hekima isiyo na karaha itumike kuponya Kanisa

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому

      Exactly,,, na kwann wafiche sababu za kumsimamisha ? Wanaficha kitu gani ? Waweke wazi watu wajue

    • @upendoackim9178
      @upendoackim9178 2 роки тому

      Sheria ya kazi inasemaje.? Mtu akipewa barua ya likizo lazima na public wapewe ? Ulishaona Rais kamsimamisha kazi mtu akatangaza kwa kosa hili na hilli huyu asimame kwa muda? Plz tuheshimu mamlaka na taratibu zilizopo. Cha muhimu wakristo wenzangu tukazane kuutafuta uso wa Mungu haya mengine mtajikuta mnahukumu visivyohukumiwa na mwanadamu. Mwacheni Yesu ajitukuze mwenyewe kwa kanisa alilolinunua kwa Damu yake ya thamani. Sio kuitazamia nafasi ya Mchunguji ktkk kanisa

    • @mwangabora2335
      @mwangabora2335 2 роки тому

      Acheni unafiki Kimaro nimtumishi kama wengine anaweza kbadilishwa kituo kama wengine

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 2 роки тому

    Ni adui tu , kwahiyo asisiye waisma Kama wanatenda mema? Wakati wapendwa badhi yao wengi mi wanafiki Sana na sio waminufu, ukwel Mchungajji kasema ,Mungu atakutetea pastor

  • @legangatzmedia4846
    @legangatzmedia4846 2 роки тому

    Waumimi waajabu kabisaa wa kanisaa hili ina maana yeye ndio mungu huyo mchungaji hawa walioenda kanisan ndio wanamtafuta Mungu hao wengine wapo kujikweza kwa mchungaji

  • @emmanuelsimsokwe6244
    @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

    Kristo hao ndio ulio wakomboa..#Paul aliyaona haya kuna watu walijiita wa kefa na wengine wa Paul wakasahau kuwa wao n wa kristo Yesu..Sasa walio wa kimalo wameenda na waende salama wa Yesu tutabaki❤️❤️❤️❤️❤️.. kwanza apelekwe mtwara kijijini ushirika una mwitaji sana

    • @marthamwakabambo2775
      @marthamwakabambo2775 Рік тому

      Mpendwa amchukiae ndugu yake ni muuaji.
      Anaejadiliwa hapo KUMBUKA MPENDA NI KUHANI, unapoongea kauli kwamba APELEKWE MTWARA VIJIJINI wewe ni naniii mbele ya kiti cha REHEMA CHA MUNGU? Katika tukio hili kuna mambo mengi au machache ya kujifunza kwa zote tatu (3) nikiwa na maana Mchungaji, Mkuu Jimbo na Ofisi ya Askofu na Washarika wenyewe. Hizi pande zote tatu zinategemeana sanasana ili kufanikisha kazi ya Mungu. Kama alivyosema Askofu wa Dayosisi yao juzi akitangaza msamaha kwa unyenyekevu mkubwa sana, the way I know him Bishop Malasusa sijawahi ona uso wake umetaabika katika kuongea jambo Mchungaji mtumishi mwenzie kwa jinsi hata yeye hakupendezwa na yaliyotokea kwa Mchungaji Eliona. Nanukuu " sisi wote ni wakristo isipokuwa tumetofautishwa tofautiana kutokana na majukumu tuliyopewa tuu lakini wote ni wakristo" ili kazi ya Mungu iweze kwenda mbele makundi haya matatu lazima yategemezane. Mchungaji kwa utumishi vipawa na karama zilizowekwa na Mungu ndani yake aidho wito alioitiwa na baada ya yeye kujitambua amejitahidi kuchochea ili aweze kukua kiroho amekuwa akiutafuta uso wa Mungu ili afanikiwe kuwalisha kondoo atakaopewa popote kama alivyokuwa Kariakoo na akahamishiwa Kijitonyama. Ni kweli usiopingika tunatakiwa tuamini, tumpokee Yesu kipekee kabisa na kutamani kujifunza na jambo linaitwa KUUKUL8A WOKOVU KATIKA MAISHA YA KUMJUA NA KUMWAMINI PAMOJA NA KUMTUMIKIA HUYU YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI BWANA NA MWOKOZI WA MA8SHA KWA MTU BINAFSI. Kmbuka witwao ni wengi bali WATEULE ni wachache. Kuokoka na kumkiri Yesu ni jambo moja lakini hapo penye hatua ya kujikana kila iitwapo leo na KUTEMBEA NA YESU NA ROHO MTAKATIFU KUPATA NAFASI NDANI YA MUUMINI akiwa chombo cha msaada katika safari ya ukristo. Ukristo ni mgumu si jambo la mchezo kabisa na hatutarithi mbingu na tunavyodhani.
      Nampenda Mchungaji wangu Eliona japo mimi sio wa dayosisi hiyo. Niwaambieni ukweli kutoka kwenye moyo wangu ROHO MTAKATIFU akinishuhudia na nilivyotaza nikatafakari picha nzima ya tukio, Ingelikuwa vena na busara na hekima baada ya Mchungaji kuitwa jimboni akaelezwa alichoelezwa na viongozi wa Jimbo na uwakilishi wa ofisi ya Askofu, alichotakiwa kufanya mbali na maumivu aliyoyapata; angeitisha kikao cha dharura cha BARAZA LA WAZEE akawashirikisha yaliyomsibu kisha baraza ndio watendaji ndani ya sharika wakisaidiana na Mchungaji, halafu kwa pamoja wangetafuta busara ya kulifikisha kwa wakristo. Binafsi pamoja na kuwa nampenda Mchungaji anaugusa moyo wangu sana na hasa anapohubiri au kufundisha akitumia mifano ya maisha ya kila siku tunayoyaishi hasa wanawake na mabinti was wawili wanasema KUFUNDWA Roho Mtakatifu amekuwa akimtumia vema kwa kweli kutunyambua wanawake na mabinti zetu yaani. Huo ndio ukweli. Mchungaji hakutakiwa kutumia mtandao kueleza magumu na mabaya yalijiri mwanzoni mwa mwaka 2023 bado ilikuwa January.
      Wakristo sasa tatizo lilijitokeza ni kwamba tulivurugwa kiasi kwamba tukasahau kwamba Mchungaji ni chombo cha Mungu tuu kuwakilisha yatokayo kwake kutufikia ili tusikie tuyachukue yapigwe muhuri na Roho Mtakatifu ndani ya mioyo yetu kwa wino wa damu yake mwanakondoo Yesu, na sisi tukatawanyika ovyoovyo. Kipimo cha imani hichoo kijitonyama mpoooo? Mungu anawajua walio wake tafakarini sana kuna TOBA INAHITAJIKA HAPO. Katika ofisi ya Mungu huwezi jua Mungu kuruhusu tukio kama hili acheni utani NAAMINI NA YAWEZEKANA KABISA MLIKUWA MNAFURAHIA LAKINI MLIKUWA HAMUMUOMBEI ILI ALICHOKIBEBA KIDUMU NA KUKAA NDANI YAKE. Hakuna jambo baya kama kuwa washabiki badala ya kuwa wafuasi wa KRISTO ALIYE SABABU YA WACHUNGAJI NA MAASKOFU WENYE KARAMA NA VIPAWA KUWEPO. Pamoja na mimi tujihoji tatizo lipo wapiiii? Kama waumini vipawa tunavitaji ili tulishwe na kuukulia wokovu bada ya kunyonya maziwa yasiyoghoshiwa na kuendelea kuwa watoto wachanga kila iitwapo leo.
      Ofisi ya Askofu kama wakala wa Mungu Mtakatifu tunaemwabudu na kuamini kuwa yupo YAWEZEKANA KABISA UPENDO WA MUNGU KWA MCHUNGAJI WETU ELIONA, Mungu aliona kuna mahali adui shetani anataka kumuondoa mpakwa mafuta wake kwenye njia na wito aliouweka ndani ya Mchungaji Eliona mtumishi wake ndipo atashughulika na moyo wa kuhani au Mchungaji wetu ili aweze kumponya na kumrudi yeye kama Mungu aonae sirini ana njia nyingi Mungu kuturudisha kwenye system yake tunapopotoka kwa kutojua au kwa kujua. Mungu ni Upendo hana kinyaa anawapendwa watu wa aina zote na hakuna mkamilifu mbele zake Mungu na ni Mungu anaetupenda na anaetukemea na kutukaripia na anapofanya hivyo ujue amafuatilia kwa muda mrefu aliooona atampoteza akaamua kushuka mwenyewe amtetee na kuanza nae kwa upya kabisa. Mungu alimtuma nabii NATHAN KWA MFALME DAUDI kumbuka hilo kwa uovu alioufanya mfalme Daudi na nabii nae kwa hekima Mungu aliyompa akatumia mfano wa mwenye kondoo wengi na aliye na kondoo mmoja yaani tajiri na maskini Daudi alipotaharuki akaambiwa ni wewe umemtenda Huria Zaburi ya 51 ikazaliwa. Mungu amemtumia mzee Askofu mstaafu Akyoo kurejesha mahusiano ya Mungu na mpakwa mafuta wake Eliona. Mbinguni kwa upya kabisaaa malika wameimba UTUKUFU HALELUUYA SIFA KWA MWANAKONDOO YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI maana damu imemsafisha tena shetana na malaika zake wamebaki wanashangaa. Haikuwa rahisi kwa Mchungaji, haikuwa rahisi kwa Mkuu wa Jimbo haikuwa rahisi ofisi ya Askofu mbaya zaidi haikuwa rahisi kwa wakristo wa kijitonyama hata wale ambao waliendelea kuhudhuria ibada pia haikuwa rahisi kwao kabisaaa.
      Wapendwa katika Yesu Mchungaji kama mkristo kama alivyotushuhudia ametengeza na Baba yake wa Mbinguni na pia ametengeneza na madhabahu na Kanisa sio WALUTERI KANISA MWILI WA KRISTO AMBAO KUPITIA YEYE WAMEMJUA YESU WAFUNGULIWA. KWA SASA nijuavyo na kuamini hivyo moyoni mwangu, yaani Mchungaji Eliona ana furaha na amani kuliko. Kazi kwetu au kwako uliongea nini ulisema nini je una utayari kusimama hadharani kutubia ya kwakoo?
      Ahimidiwe Mungu Mtakatifu asiyetutoa kuwa mawindo kwa shetani ibilisi luckier. Kanisa kijitonyama tuamke tusimame tuanze upya na Yesu pito limescale tujitahidi kumjua Mungu na utendaji wake. Mungure hafundishi wala hachunguziki Mungu sio mjomba au babu yeye BABA KWA KILA ALIYEMWAMINI YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI NA KUTUMIKA SAWASAWA NA MAPENZI YEKE.
      NIWAPENDAO NAWAKEMEA NA KUWARUDI WANITAFUTAO KWA BIDII WATANIONA.
      USIMFUNDISHE ASKOFU ROHO MBAYA ETI APELEKWE MTWARA UTUBUU. ANAJUA KAZI NA WAJIBU ALIOPEWA NA MUNGU
      MBARIKIWE

  • @emalee7972
    @emalee7972 2 роки тому

    Jibu ni hili, sio kama watu wanaenda kwaajili ya Kimario ,ila inaonyesha mtmishi alisimamishwa kwa hujuma na viongoz wa hilo kanisa ndio maana waumini wameona sio fea na Mungu hapend unafiki,naamini kabisa walimsimamishwa kwa mihemko yao binafsi ndio maana waumini hawaja penda hicho kitu na watu hawawez ona mtumishi anaonewa na viongoz wa kanisa hilo lazima watu wasimame na kuonyesha dalili zote za kuto ridhishwa na hio hali.

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 2 роки тому

    Mungu huabudiwa kwakutumia watu hashuki mwenyewe kwa hiyo kimario Ni mtu anayetumiwa na Mungu lazima watu wapungue sio kwamba et wanamwabudu Kimaro lazima watu wajue kutofautisha

  • @petronilamark5177
    @petronilamark5177 2 роки тому +4

    Watu hawamfwati kimaro wanafwata kilichoko ndani yake neno .watu washazoea kula pilao nyama mnataka kuwachanganyia makande hata wew huli

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 2 роки тому

      Viongozi wa makanisa haya makubwa wanataka kutufanya sisi waumini watumwa wa kufanya na kutii wanachotaka wao. Kiukweli hawawezi kuteka dhamira ya mtu katika masusla haya ya kiroho, never. Hata Padre Martin Luther alikataa itunes huu dhidi ya mafundisho ya Kanisa La RC na akatoka/akaasi na kuanzisha Kanisa la Lutheran Church. Kwa hiyo waumini wanaosema viongozi wao hawakuwatendea sawa katika kumsimamisha Mhubiri wao Wana haki kabisa kulingana na dhamira zao katika kumwabudu Mungu.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Wakusikia kasikia Paulo ange kaa thethalonike miaka 3 ww unge kuwa unamjua Mungu? Fikri na mazoea yatakuponza

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @legangatzmedia4846
    @legangatzmedia4846 2 роки тому

    Mungu alimuinua Sauli kwa ajiri ya taifa la Israel alipo leta ujuaji akamshusha akamleta Daud kuifanya kazi yake Mungu sasa huyo Pastor atapita injili itaendelea yeye nani kwani afanyike kuwa story kubwa mbele ya uso wa Mungu

  • @msigalaerasto1211
    @msigalaerasto1211 2 роки тому +2

    Hao sasa ndio Walutheri wenyewe original

  • @Papaahansmo
    @Papaahansmo 2 роки тому

    NYOTA YA YUSUFU HUNG'AA HATA GIZANI💪💪💪

  • @augustinejobmkongwa7599
    @augustinejobmkongwa7599 2 роки тому +5

    Ni kosa sana kwenda kanisani Kwa sababu ya mwanadamu, Kanisa ni nyumba ya Mungu, tunaenda pale kumwabudu Mungu tu, na si binadamu. Kanisa likifikia hapo Kuna shida.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Ameni mtumishi naungana nawewe🤝🤝..kudhalilisha kanisa na Mungu kwa ujumla

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      @@LUPPER. afu msimsingizie Roho mtakatifu yupo kwa kula mtu sio kwa kimalo tyu

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244 Aliesema Roho mtakatifu yupo kwa kimaro tu Nani? Ndugu ondoa wivu na chuki binafsi ndani yako. Neno hulijui zaidi ya chuki. Huduma ya kimaro imekua ikigusa watu wengi tu. Mbona upuuzi Kama huu makanisani upo Sana tu, unaweza kukuta sehemu kibao wainjilisti wapo vizuri kuliko hata wachungaji kiasi mchungaji anapata wivu hata kumpandisha madhabahuni muinjilisti huyo anaona tabu anatafuta wengine hata kutoka ushirika mwingine.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      @@LUPPER. Je akikosa asi adhibuwe?

  • @lucyabel2643
    @lucyabel2643 2 роки тому +2

    Ningependa mchungaji kimaro aletwe usharika wa Dodoma betheli nasi tunamuhitaji

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Apelekwe mtwara kijijini nadhani wanamuhitaji kupita nyie

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 2 роки тому +1

    Leo askofu akimrudisha huyo maana kwasababu ya malalamiko yenu basi kanisa na upngozi wa kanisa la kilutheri utayumba sio tu daresalaam Bali Tanzania kote

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 2 роки тому

    Walio WA Kimaro wameondoka walio WA yesu wamebaki watu WA Mungu ni wengi hata wote mkimwacha Mungu Mawe yatasimama na Kumwabudu Mungu

    • @masawerosemary9036
      @masawerosemary9036 2 роки тому

      Hujuiulisemalo soajabu ndomiongonimwawalewanaokwenda kanisani ilimradi kaenda

  • @emalee7972
    @emalee7972 2 роки тому

    Pengine walimsimamisha asiendelee na semina kwa sababu zisizo za msingi ,kwahyo waumin hawajapenda na hekima ya Mungu haijatumika ,ndio maana wamekaa pembeni na hawahtaji kuongozwa na hao wanafiki walio simama hapo mbele ,hayo ni maono yangu!!

  • @Catty-e7o
    @Catty-e7o 2 роки тому +2

    Kimaro amefeli alitumia kanisa kuwaleta kwakwe na sio kuwasaidia kuwa na mahusiano binafsi na Mungu mwenyewe

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 2 роки тому

      True!!

    • @evodyalexander7094
      @evodyalexander7094 2 роки тому

      Waumini wamegawanyika makundi mawili kunawanao fata Mtu kanisani na kuna wanao fata mungu kanisani

  • @petermashiku9393
    @petermashiku9393 2 роки тому

    Huyo hakuwa mtumishi wa Mungu tena wampeleke kijijini akahubiri uko

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 2 роки тому

    Wakristo ndio wanafeli hapo,wana abudu MTU na Wala sio kuomba mungu,hii hainishangazi Sana sababu tangu mwanzo wao Imani yao ni kuabudu binadamu mwenzao na sio mungu.

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 2 роки тому +33

    Yani waumini wameferi kabisa Yani mnakwenda kanisani kwà ajiri mtu ama Mungu? Hii ndiyo hatari ya makanisa ya kidini. Kosa ni la mchungaji kimario alipaswa kufundisha ukweli wote kwamba, usikose kuja kanisani eti kwà sababu furani amekukwaza, kwani uko kwà ajiri ya furani ama uko kwà ajiri ya kristo? Awa waliokuja kanisani inaonyesha ndiyo wahumini haswa. Ambao wanajua kimaro awepo asiwepo Mungu ni zaidi ya kimaro

    • @jonathanmlavi7978
      @jonathanmlavi7978 2 роки тому +2

      Hataivyo imani haipimwi kwa kwenda kanisani na kosa si la mfumo wa makanisa ya kidini kama unavyoeleza wewe. Tuwaombee roho wa Mungu awasaidie waweze kutambua nini hasa wafanye katika hili lililotokea tusitangulize hukumu za kibinadamu na kumpa makosa mtu yeyote. Bado wanayo nsfasi ya kufanya vema zaidi

    • @matiridajams9969
      @matiridajams9969 2 роки тому +1

      Mm naona ni utaratibu wa kawaida tu na ichukuliwe pia kuwa mchungaji kiongozi kahamishwa kituo,twende ibadani kama ilivotaratibu yetu wana kkkt,mungu apewe sifa!!

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому +4

      @@matiridajams9969 ss ni Bora wangefanya ivo kumuhamisha kwa utaratibu watu wangeelewa ila sio kwa kumsimamisha mtu kwa gafla ivo tena Katikati ya semina lazima waumini wahisi Kuna jambo baya linaendelea

    • @joycelaura4611
      @joycelaura4611 2 роки тому +1

      huelewi kama huelewi sio lazima kuandika kitu

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 2 роки тому +2

      Usiseme hvyo mbona hata kwa waislam mambo hayo yapo na ni kawaida! Vitu kama hv vpo kila sehm so uaiwalaumu! Kuna mtu mwngne ana kismart akisimama kuhutubia sehm basi watu wanampenda na wanaburudka kwa maneno yake! Mungu yupo kila sehm kila kona but mtu akienda kanisan ama msiktn sio kwamba amamfata mungu pale afata neno la mungu na lenye bashasha na kukutana na watu mbalmbal wapya na lubadlshana mawazo so usiwalaumu wanaosema kwamba ibada ilipoa coz wako sahh 🙏

  • @dorothymutegeki7543
    @dorothymutegeki7543 2 роки тому +14

    Hivi kweli sisi ni waumini? Ukimtumaini bwana uwezi kuchagua mchungaji jamani.nawaomba waumini muwena moyo wa kumtumaini Mungu siyo miungu.

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 2 роки тому +1

      Yule Ni mtumishi w mungu ,sio miungu,

    • @godfreyapolnary5856
      @godfreyapolnary5856 2 роки тому +2

      Kwahiyo huyo kimalo NI miungu na pia watu wamezoea kupata NENO la kushiba Sasa Kama akina wewe hawaeleki unategemea wahumini wafanyeje

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 2 роки тому

      Eti miungu khaa?

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 2 роки тому

      Dorothy, kama Martin Luther mwanzilishi wa Lutheran Church angeamini kama inavyoseme wewe angeendelea kushikilia mafundisho aloyoyaona kuwa ni potofu yaliyokuwa yanafundishwa na Kanisa Katoliki la Roma. Leo hii hatungekuwa na Kanisa la Lutheran Church. Muombe Mungu akusaidie ili kwenye ukweli simamia hiyo kweli usiwe na upofu katika mambo haya ya kiroho.

    • @habibndyeshobora6848
      @habibndyeshobora6848 2 роки тому +1

      @@gabrielsaelie8091 excellent!!!! Watu wote waliokoment ,uko sahihi zaidi!!!!

  • @silasykilonzo8109
    @silasykilonzo8109 2 роки тому +1

    Mchungaji. Kimaro. Toka. Hadharani. Uwakemee. Hao. Wenye. Mabango. Wanaharibu. Taaswira katika. Nyumba. Ya kuabudu

  • @expert5898
    @expert5898 2 роки тому +2

    Wenyewe wanataka ibada ichangamke kwani hapo ni Club?

    • @joniajohn4716
      @joniajohn4716 2 роки тому

      Ibada kuchangamka ni club jamani??chaaah

    • @expert5898
      @expert5898 2 роки тому

      @@joniajohn4716 ukiona ibada haijangamka! Ichangamshe wewe.. uwepo wa Mungu ni uwepo wa Mungu tu.. swala la kuchangamka ni mbwembwe tu

  • @charlesally6028
    @charlesally6028 2 роки тому

    Tuna angamia kwa kukosa maarifa na amtegemea mwanadamu ameraaniwa 😭

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 2 роки тому +5

    Kijitonyama bado ni wachanga kiimani!!! Wanamfuata mtu badala ya Mungu. Kanisa la Mungu litasimama imara bila Kimaro Kuwa KKKT Kijitonyama. Kimaro yuko chini ya Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambayo ina viongozi ambao wanawahamisha wachungaji baada ya muda fulani. Tatizo nini? Mbona ni kitu cha kawaida kusimamisha mtu na kumhamisha!!!!

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Ameni mtumishi kwa kulitambua hilo.. n kulidhalilisha kanisa na kuonesha waumini tulio nao leo hii wasio weza mtafuta Mungu kwa kusimama wenyewe Bali kwa mkono wa mtu na mawazo yake hata kama anawapeleka upotevuni

    • @edinageorge2441
      @edinageorge2441 2 роки тому

      Inawezekana hujaelewa yaliyojiri na hakuna anaeshangaa kusimamisha au kuhamisha shida no matumizi mabaya ya mamlaka,wangefanya kwa utaratibu Mchungaji angeagwa na kuondoka kwa heshima na angesindikozwa vizuri na kwa furaha zoto we unafikiri hao waumini hawajui kitu?kwani unafikiri hawaujui utaratibu wa kanisa lao?

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      @@edinageorge2441 kwani wakati anapelekwa waliobwa waumini kuwa apelekwe au lah

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      @@edinageorge2441 kwani wakati anapelekwa waliobwa waumini kuwa apelekwe au lah

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 2 роки тому +1

    Waabuduo halisi watamwabudu Katika Roho na kweli, Mungu awatafuta watu kama hao!

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 2 роки тому

    Yaani wachungaji tunaposimama kufanya huduma tuwavute watu wamwelekee Bwana Yesu bila hivyo migogoro haitaisha makanisani

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 2 роки тому +1

    Ninyi walutheri mbona mnataka kumuamulia askofu kwamba nani amlete na nani asimlete, lakini jambo la pili mbona mnaona kama mungu hana watu wengine anaoweza kuwatumia

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Paulo ilikufikisha injili kwao ilimbidi atembee kwa wengine kama wanadhani kimalo ni Bora waache akahudumu n kwingine

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 2 роки тому +8

    HAPO SHIDA NI WAWEKWE WAZI KWA NINI WAMEMSIMAMISHA WAELEZE WAZI NA MAMBO YAWE WAZII TU.

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому

      Kabisa waweke waumini wajue wanaficha nn kama sio kosa lao yani apo kuendelea kuficha ndio waumini wanaamini ni chuki na wivu ndo vinaendelea apo

    • @leaherasto929
      @leaherasto929 2 роки тому

      Basi

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Hiyo n protocol ya kanisa na kamati kuu tendaji

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому +1

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

    • @emanuelimbele4848
      @emanuelimbele4848 2 роки тому +1

      Maandamano Kanisani mmm aibu kwa Kanisa kubwa kama hili

  • @angiringalyimo365
    @angiringalyimo365 2 роки тому

    Yesu ni yule jana leo na hata milele

  • @lifecoachwithlina1879
    @lifecoachwithlina1879 2 роки тому +2

    Biblia inasemaje kuhusu watumishi wake wa kweli? .
    Ni mtumishi yupi katika biblia ambaye hakupata shida?
    Pia hata Yesu mwenyewe alisema ,watampiga mchungaji na kondoo watatawanyika, mathayo 26:31. So everything is written in the Bible.Hakuna aliye wahi kuhubiri injili/ kweli ya Kristo akapita pepesi.
    Zaburi ya 34:19.
    Cha mno shika sana ulichonacho,na usiache kuwaombea Wachungaji wako na Maakofu.

  • @starspreandprimaryschools3075
    @starspreandprimaryschools3075 2 роки тому

    Kina nanihii wako wapi? Ole wao wamtegemeao mwanadamu.

  • @monicamagesa8571
    @monicamagesa8571 2 роки тому +1

    Hao waliobaki ndiyo wa kkkt pekee, waliondoka ni wale walikuja tu ibadani sababu ya kimaro, sisi wazawa wa kkkt tangu sunday school hata haitisumbui tukibadirishiwa mtumishi maana ni kawaida sanaaa.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Ameni na ndio kazi aliyoitiwa kufanya katika shamban la bwana na sio hekali la bwana la kijitonyama

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 2 роки тому

    Ndio wajue hao waliopo ndio waumini wa Hilo kanisa,hao ambao hawajaja walikuwa wasindikizaji,wapo kwa ajili ya mtu flani, achaneni na hao waliozira kuja injili iendelee na utaratibu wa dayosisi uendelee na taratibu zao

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 роки тому +1

    Hivi mchungaji kimaro hakuwa anawakemea ninyi kuhusu nywele bandia na mapambo mengine? Niambieni jmn

  • @deusmoris3036
    @deusmoris3036 2 роки тому

    Ndo utashangaa hawa kila siku asubuhi wapo kanisani wamejaa wanaita morning Glory swali walikuwa wanamfuata Yesu au mchungaji hii wachungaji ni hatari sana

  • @festomakoye4444
    @festomakoye4444 2 роки тому +7

    Ninacho amini wana wa Mungu wanaoenda kumwabudu Mungu kwa Roho na kweli Kanisa litajaa tu

  • @emanuelmhezi9880
    @emanuelmhezi9880 2 роки тому

    Ok, yote kwa yote hapa shida ipo kwa waumini walio wengi hufurahia huduma ya mtumishi bila kuiombea

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Bora kumtii Mungu na kuipenda kazi yake kuliko kuipenda huduma ya mtu katka Bwana

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 2 роки тому +3

    Ndio alisema wapigaji😂😂hakuna Mungu hapo, matapeli tu in kimario voice😂mabango kanisani?? Hakunaga kitu kama hcho

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Kimalo yupo nyuma kuwaanikiza wafanye hivyo na amini hivyo

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.
      Unaroho ya chuki binafsi mpaka kusema kimara yupo nyuma ya waandamanaji.
      Huoni comment nyingi hata watu wasio wa kkkt hata ambao sio wakristo wameumia wanafiki Kama wewe hamuwezi kuzima Moto wa Roho mtakatifu. Watumishi wa Mungu hupitishwa kwenye njia ngumu ili kupanda utukufu mpaka utukufu. Adui waona wanakomoa kumbe kusudi la Mungu ndio linaendelea kutimia.

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 2 роки тому

    Lkn nilikua namsikia kwa tv tu ila alikua na namaahubiri mazuri Sana ni muwaz

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 роки тому +3

    Hata Yesu alijua wale watu hawakufuata Neno ila walifuata chakula ndo maana akawafukuza.

  • @shijakuligi2674
    @shijakuligi2674 2 роки тому

    Habari ya sahizi ndugu yangu kimaro naomba nikujuze Jambo huwenda uja lielewa tasisi siyo dini nakuomba anzisha kabisa lako na update kumtaja MUNGU wako kwa Uhuru na sifa ya kutosha tuko teyari kukuchagia ili ujege kabisa lako mashika ndu ni wandu.....

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 2 роки тому +1

    Hawa waumini wa kkkt hawaendi Kwa ajili ya Mungu wanafata Mchungaji

  • @mremazakaria7054
    @mremazakaria7054 2 роки тому

    Kweli watu tunapotea bila kujijua kama tunafata neno yatupasa tusome bibilia humo ndo pananeno jamani mbona tunajisahau

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 2 роки тому

    Hizi dini nyengine bhana pasua kichwa

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 2 роки тому +2

    Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na moyoni mwake amemwasi Mungu.

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 2 роки тому

    Ni sawa watu kutokwenda kwa sababu mchungaji anaongoza kondoo zake sasa kama hayupo waumini waende wapi

    • @marthasomi
      @marthasomi 2 роки тому

      Kuna wachungaji wakihubiri unapona bila maombi

  • @niceayuma7256
    @niceayuma7256 2 роки тому

    Kanisa la mungu amkeni wakati wawokovu nisasa.mwana WA mfalme kapigwa.mchungaji kimaro tambua Yule mungu unaemhubiri katika roho na kweli akutetee na akupe ushindi katika jina la yesu.mchungaji usiogope yupo mungu anaejibu kwawazi.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      😂😂 Mungu huwajalibu wamchao lakini hiyo ni haki ya kanisa

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 2 роки тому

    Jamn kimaro alikuwa kuhani wa madhabahu mjue kuwa alikuwa mbeba maono nyie mko kimwili,Kimaro ameokoka ndio maana anapigwa mawe

  • @fordmasnyenga_kiuyangulyri7409
    @fordmasnyenga_kiuyangulyri7409 2 роки тому +5

    Mungu awasamehe washarika wa Kijitonyama

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Mazoea haya tupeleki mbingun anawajibu Waka adabishwa pia kama watumishi wengine wa kanisa

    • @marthasomi
      @marthasomi 2 роки тому

      Neno jamani, mafunzo maziri

    • @lucyngoo6309
      @lucyngoo6309 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244 ww siku hizi utamwadabisha nani ?wakati makanisa ni mengi mpaka basi

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      @@lucyngoo6309 Nadhan hilo n jambo ambalo waumini wengi au wafuasi wake wanalitaka kutoka kwake n kuanziasha hema lake kma ilivyo kwa channel yake ya UA-cam

  • @mariethasteve4359
    @mariethasteve4359 2 роки тому

    Mmmmh hapo mnafeli,mnakwenda kanisani kwa ajili ya mtu na si neno!!!!hatari

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Ni rahisi hata mpinga kristo kuliteka kanisa kama wanavyo fanya kwenye makanisa ya upako😭😭

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @rodhaathuman8590
    @rodhaathuman8590 2 роки тому +1

    Jmn hiv hujawah kuona padre anasimamia kanisa vzr lkn mwisho wa siku anahamishwa na hakuna maandamano? Sasa Hawa wanafel wap? Mnampenda mchungaj kuliko Yesu?

  • @solomonmpuluma6616
    @solomonmpuluma6616 2 роки тому

    Kwani hakuna wachungaji wengine? Uwepo wa mungu upo kwa kimaro?

  • @Mlimasayunifamily2
    @Mlimasayunifamily2 2 роки тому +1

    Kila mtu ana mchungaji ambaye anamwelewa akifundisha na anajua anakuwa karibu na mungu sasa hata Kama Mimi naendaje sehemu ambayo sielewi neno la mungu

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому +1

      Tatizo la wakristo wa Sasa ndo maana umepewa Roho mtakatifu na mamlaka na sio kimalo ndo akupeleke Mbingu😡

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244
      @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

    • @anickashasha
      @anickashasha 2 роки тому

      Nchi hii kuna vizazi kama vinne (4) yaani waliozaliwa miaka ya 1970 kuja huku juu, ambao ndio wengi katika kundi linaloshangaa uhamisho wa mtumishi. Hii ni kwa sababu katika miaka 40 hii, hata uhamisho wa watumishi wa umma umekuwa mara nyingi ni mpaka mtu aombe au ahamishwe kwa sababu ya kumkomoa kama adhabu. Kwa mtu anayejua kwamba uhamisho kwa mtumishi ni jambo la kawaida, hawezi kushangaa Mch. Kimaro kuhamishwa. Je, alizaliwa na kupewe Uchungaji hapo Kijitonyama? Hapana! Sasa kama alihamishiwa hapo, kuna tatizo gani akihamishiwa au kupangiwa shughuli nyingine na mamlaka iliyomleta hapo? Mnasikitisha na kutia aibu sana.

    • @rehemaadinani3195
      @rehemaadinani3195 2 роки тому

      Utaenda atakakopangiwa...mpendwa..

  • @lucykessy9678
    @lucykessy9678 2 роки тому

    Waumin wamefeli wanamkimbilia mchg badala ya mungu

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 2 роки тому +1

    "MTU HATOISHI KWA MKATE TU! BALI KWA NENO LITOKWALO KWA MUNGU" "UTII NI BORA KULIKO SHERIA"

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Ameni na Biblia haija sema kwa neno la kimalo Bali Mungu mwenyewe

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244 @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @marysinkolongo7347
    @marysinkolongo7347 2 роки тому

    Mithali 16:23

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 2 роки тому

    Nimeona maelezo ya mchungaji huyu akiwa kariakoo eti Wachungaji Tz nzima wanakalia wachungaji 2 kikao kwamba wanapotosha kwa maombi kwa hiyo wafe na magonjwa ambao wakati wakiombewa wanapona Mimi ni mlutheri niliebaki peke yangu kwenye familia wengine wote walienda kwenye makanisa tena tofauti kisa walutheri hawatakagi maombi ya kilokole naumia

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Anafaa hata kufutwa kazi na sio kulichafua kanisa

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244 @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 24 дні тому

    Tunafuata neno tumeumia sana watu wake wa mikoani huyo ni shetani kajiininua

  • @mwandubulimbe4242
    @mwandubulimbe4242 2 роки тому +4

    Kuna watu nakua mmesubir sadaka mjue imepatikana shi ngap 😀😀

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 2 роки тому +1

    Hapo tunajifunza Mambo mengi Ndugu zangu ,imagine watu ambao unawaheshimu na umewakuta kanisani eti wamemfuata MTU badala ya mchungaji

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      Naungana nawewe 🤝

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @rhodamshomi6730
    @rhodamshomi6730 2 роки тому

    Kiukweli walikuwa sii waumini halisi.

  • @yohmamuya1284
    @yohmamuya1284 2 роки тому

    Viongozi wa KKkT waache ubinafsi na wivu, tumewachoka... Hamtaki kuambiwa ukweli

  • @grmonlinetv2907
    @grmonlinetv2907 2 роки тому

    Naomba uhamiaji wahusike juu ya huyo doctor

  • @justineluhoyo2856
    @justineluhoyo2856 2 роки тому

    Waumini wa hili kanisa hawana utofauti na makanisa Yale yanaouza bidhaa

  • @stephenkingu4670
    @stephenkingu4670 2 роки тому

    Sio kwamba hawajajaa we sematu Leo kanisa limefungwa. Mlisema mnamtaka baba yenu. Ibada zitaendwlea kama kawaida. Nanyie ayo tafuteni habari nyingine hzo za Mungu mnajilisha upepo

  • @chivyabwire746
    @chivyabwire746 2 роки тому

    Kama binaadamu hakuna mtu indispensable, Kijitonyama wamepita wachungaji wengi tuu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 роки тому +2

    Ipo siku wata sahau😂😃

  • @goodluckjr8843
    @goodluckjr8843 2 роки тому

    INGEKUWA NDIO SIKU YA MUNGU KUCHUKUA WATU WAKE HAPO KANISAN HAO WAPUUZ WALIOSHKA MABANGO MBINGUN WANGEPAONA SUPER SPORT3

  • @Revo_silayo
    @Revo_silayo 2 роки тому

    Wakae waongee maana kunaonekana kunajambo mana Kimaro alifanya kosa ndio lkn kosa lenyewe halkuwa la kuleta taharuki lkn upande mwingine inaonekana alkuwa anafuatiliwa Kwa umakini na viongozi wa juu.

  • @silahiddenpain1869
    @silahiddenpain1869 2 роки тому

    Walifata neno naamini Kuna wachungaji wakinena unapona kabisaaa

  • @pendomariki6562
    @pendomariki6562 2 роки тому

    Ukisikia karama kipaji na nyoya ndio hiv sasa

  • @barikimaluli6107
    @barikimaluli6107 2 роки тому +1

    Hakika yesu atukuzwe sana nimependa mno maana wafuas wa kimario wameondoka ila wa yesu kristo ndio hao

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 роки тому

    Na inasemekana likizo ikiisha anatakiwa kuripoti makao makuu kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa yeye kuhamishwa ama la na ikitokea hakurudi hapo na hao wanaokuja kuabudu kwa ajili yake na wao watakata miguu haya mambo ni magumu jamani.

    • @expert5898
      @expert5898 2 роки тому

      Hawawezi kumrudisha hapo kamwe... maana wakifanya hivyo watawapa kiburi.

    • @esaubakuza2640
      @esaubakuza2640 2 роки тому +1

      Kabla ya wao kanisa lipo so what

    • @expert5898
      @expert5898 2 роки тому

      @@esaubakuza2640 ndio hapo sasa

  • @doriswilfred9982
    @doriswilfred9982 2 роки тому

    Hapo bado amjaubiliwa kua kusuka nywele dhambi si mtakimba wote

  • @tmstech
    @tmstech 2 роки тому +4

    Mchungazi ananguvu kubwa ya ushawishi kwa waumini. Hii itawagharimu

    • @thechristian7469
      @thechristian7469 2 роки тому

      Hyo taasisi ipo Toka miaka

    • @neemamourice
      @neemamourice 2 роки тому

      @@thechristian7469 taasis isiyotaka uongozi wa Roho Mtakatifu inataka waumini wasomewe ibada,ibada ya kusomewa haina maana bora kubaki nyumbani ukajisomea mwenyewe

    • @anickashasha
      @anickashasha 2 роки тому

      Nchi hii kuna vizazi kama vinne (4) yaani waliozaliwa miaka ya 1970 kuja huku juu, ambao ndio wengi katika kundi linaloshangaa uhamisho wa mtumishi. Hii ni kwa sababu katika miaka 40 hii, hata uhamisho wa watumishi wa umma umekuwa mara nyingi ni mpaka mtu aombe au ahamishwe kwa sababu ya kumkomoa kama adhabu. Kwa mtu anayejua kwamba uhamisho kwa mtumishi ni jambo la kawaida, hawezi kushangaa Mch. Kimaro kuhamishwa. Je, alizaliwa na kupewe Uchungaji hapo Kijitonyama? Hapana! Sasa kama alihamishiwa hapo, kuna tatizo gani akihamishiwa au kupangiwa shughuli nyingine na mamlaka iliyomleta hapo? Mnasikitisha na kutia aibu sana.

  • @cyrekaaikanem7735
    @cyrekaaikanem7735 2 роки тому +1

    Wacha wagange Mioyo,watapona then watarudi.lakini haina haja ya kuwakejeli na kuwalaumu kuwa walifuata ,mchungaji si Mungu.
    Mungu unamuona wapi?
    Si unamuona Mungu kupitia mtu,na kusikia neno litokLo kinywani kwa mtumishi na mafundisho yake!.

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 2 роки тому

    Mmmh! Sipati picha sadaka sijui itakuwaje! Watu tunataka neno bana!

    • @yustermsuya6428
      @yustermsuya6428 2 роки тому

      Watu wengi wanaponywa na mahubiri yake na maombezi pia alikuwa mtu wa karibu na kila mtu anapopatwa na changamoto.
      Lakini alikuwa na semina ya neno la Mungu kwanini wasingesubiria Amalize semina ndio aende likizo??ila wanakatisha

    • @magejuliani5293
      @magejuliani5293 2 роки тому

      Hatuna Cha kufanya

  • @justinekashililika6329
    @justinekashililika6329 2 роки тому

    Watu wanaacha kumwabudu Mungu mnaabudu watu

  • @samhendawallaa9984
    @samhendawallaa9984 2 роки тому

    Msisahau hata makanisani kuna Mpinga kristo 😤

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 2 роки тому +2

    Hapa duniani bwana we omba tu uwe na mvuto na nyota Kali ndio kila kitu,

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 роки тому

    Karne hii tulipo fikia kumpata mtu ambae roho wa Mungu yuko ndani yake watu wakapokea uponyaji kupitia yy ni adimu sana kwakweli usharika uliangalie tena hili sio watu wanamfuata mchungaji hapana ila Kuna watu walipata uponyaji na kumjua, kumwamini Mungu kupitia mch.kimaro

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 2 роки тому

      So yeye akihamishwa hawstasali? Ama watamfuata aliko?

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 2 роки тому

      Poleni wakiristo

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 2 роки тому

      Ila nimempenda mchungaji anasema ukweli ndio maana akafukuzwa

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому

      @@sarahgaula2220 sio hawatasali hapana na apo umesema akihamishwa nadhani mtu akihamishwa Kunakua na utaratibu mzuri kabisa na ata waumini kuagana na mtumishi wao kwa heshima lakini sio kwa namna waliyo msimamisha saivi ,,,ndo mana imekua ivi ilitakiwa wamsimamishe kwa utaratibu waumini wajue nn kinaendelea ili kila mtu asibaki na mshangao kwani ata kama Kuna sababu za kueleweka zilizofanya wamsimamishe ila waumini watahisi ni mbinu za kumpinga mchungaji tu na si kingine kwa sababu utaratibu haujafuatwa.

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому

      @@abduomar8438 yah anasema na kufundisha ukweli ili watu wabadilike ndo mana anapingwa ila kwa kizazi chetu iki ili watu kupona tunahitaji kuambiwa ukweli kama hivi

  • @emmanuelmachage613
    @emmanuelmachage613 2 роки тому

    Hi hatari watu wanamfuata mtu baada ya mungu!ndo mana mseven alisema hawaamini watu was dini mana ndo walioshiriki kuandaa mipango ya kumuangamiza yesu

  • @cyrekaaikanem7735
    @cyrekaaikanem7735 2 роки тому +37

    Watu naona hawaelewi,si kwamba waumini wanamfuata kimaro,buli wanataka,heshima,utu na haki kwa mtumishi ,aliyekuwa anawahudumia.
    Mi nafikiri kama utaratibu wa kumpa likizo ungefuatwa,na wangeelezwa,hakungekuwa na shida.
    Kimaro,mtumishi ni kama baba yao,waliishi naye kwa shida na raha.alikuwa akiwaongoza kwa kuongozwa na roho mtakatifu.
    Nini wafanye walikuwa pamoja kama familia.
    Wanapohisi hajatendewa haki,amedhalilishwa.kama kweli wanaupendo,hawawezi furahia.
    Watakuwa waumini wasio jielewa.
    Mi naona wapo sawa.

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 2 роки тому

      Ni kweli wapo sawa kabisa. Ni kama kumtoa baba wa familia Kinyemela

    • @emmanuelmachage613
      @emmanuelmachage613 2 роки тому

      Kanisani hatuend kutafuta haki,waende mahakaman.

    • @emmanuelmachage613
      @emmanuelmachage613 2 роки тому +1

      Hao sio waumini ni wafuasi wa kimaro

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 2 роки тому

      @@nsiamasawe4578 kama kanisani hakuna haki izo sheria na taratibu zinawekwa ili iwaje ?! Sheria na taratibu zingewekwa wala haya yote yasingetokea

    • @salomecaroly5534
      @salomecaroly5534 2 роки тому

      Je angekuwa kafa ?? Waache ujinga

  • @erickyustine4513
    @erickyustine4513 2 роки тому +1

    Apana tunakosea watanzani kimaro sio mungu.

    • @emmanuelsimsokwe6244
      @emmanuelsimsokwe6244 2 роки тому

      AMENI naungana nawewe 🤝

    • @LUPPER.
      @LUPPER. 2 роки тому

      @@emmanuelsimsokwe6244 @Emmanuel Simsokwe wewe ndugu ni mjinga kila msg ambayo anasifiwa kimaro unajibu kupinga.
      Mungu hutumia watu na watumishi kusema kweli na kuwajenga. Watu kumuhitaji kimaro inaonesha bado wanahitaji huduma yake ambayo Mungu amemtuma kuhudumia. Wewe unaesema huwezi chagua mchungaji hujui Biblia sio kila mtumishi wa Mungu hufaa kutenda kazi ya Bwana katika kila majira na kila sehemu lazima Roho mtakatifu aongoze kila Jambo. Kanisa linaongozwa na mihemuko, mautaratibu na masheria nayo hayafuatwi ipasavyo.

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 2 роки тому

    Mimi kati ya vitu nisidanganywe ni MTU kusema Tunaenda kumuabudu Mungu ,eti mchungaji asifuatwe ukitaka kujua Mungu anakaa ndani ya Mtumishi angalia wana Wa Israel Mungu aliongea nao kupitia Musa sio mwingine na Musa alifuata maelekezo ya Mungu tusifanye mchezo na Mungu kabisa na ukiona Mtumishi analiliwa ujue kuna maagizo ya Mungu ndani ,mwakasege ni mlutheri mbona hafanyi huduma huko kama mchungaji ? Kuna shidaahali

  • @annamsuguri4345
    @annamsuguri4345 2 роки тому

    Na kama sio unyakuo kifo hakina hodi kinakuja kama mwizi.

  • @esaubakuza2640
    @esaubakuza2640 2 роки тому

    Mmekosa cha kufanya nyie wanasiasa, wenzenu wanaingia kwenye maombi nyie mnabeba mabango

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому +2

    Pole sana!! Kanisani langu penda 💔