Ukitaka dua na maombi yako Mungu ayajibu mapema basi unatakiwa kuambatanisha na SADAKA. Na sisi Yanga Mabingwa ndivyo tufanyavyo, huwa tunatoa misaada kwa yatima ndo maana Mungu anakuwa upande wetu...
Ukitaka dua na maombi yako Mungu ayajibu mapema basi unatakiwa kuambatanisha na SADAKA. Na sisi Yanga Mabingwa ndivyo tufanyavyo, huwa tunatoa misaada kwa yatima ndo maana Mungu anakuwa upande wetu...
Mungu ametupigania haikuwa rahisi.sifa tunamrudishia Muumba wetu Ameen
Mwenyekiti Wa Wasemaji Ni M’moja Tu Africa #Ally Kamwe#🏆🥉💚💙💚💚🩶💚🩶
Hili halina ubishi! Mwamba huyu hapaaa.
Ukitaka dua na maombi yako Mungu ayajibu mapema basi unatakiwa kuambatanisha na SADAKA. Na sisi Yanga Mabingwa ndivyo tufanyavyo, huwa tunatoa misaada kwa yatima ndo maana Mungu anakuwa upande wetu...
Ally kamwe ni mmoja tu 💚💚💚💚💚🙅♂️🙅♂️
Mashallah mashallah mashallah hongereni wananchi daa uwanja umejaa kinoma
Glory to Jesus, utukufu na heshima kwa Mungu mfalme wetu milele na milele ,hii game aliingia mwenyew
Hapa Mungu alikuwa upande wetu pekee
UNAFIKIRI KWANINI YANGA TUNATOA SADAKA KWA WAHITAJI KILA TUENDAPO? NDO KAS YA DUA HIYO
Kabisa kabisa aisee
Alhamndulilah Hakika M/Mungu umpa Rizki Ampendae bila Hesabu Kilalakheir Wanajeshi wetu M/Mungu awazidishie Inshaallah
Ally kamwe msema hi wa mwaka💚💚🇹🇿🥀
Msemaji wa mwaka Ally kamwe.
Tuzo ya msemaji bora "ALLY KAMWE"
We Sasa unataka kina Tatu waandamne yaan wakose kila kitu😂😂😂
Viongozi wetu mungu aendelee kuwapa maono makubwa namsiache kutoa sadaka
Afisa habar wetu furaha kutoka moyoni nyieee 💚💚💚
Mungu mbele hakika ametupigania❤
I love you yanga mwaaaaaaaaa💚💛💛💛💚
Kama unaangalia huku unasmile kama mbuzi weka like hapa
Kwani umeniona hay had mzee wangu anambiambia ety yanga itanifanya kuwa chiz😅😅😅
Ali kamwe alipoupig shut mdori mwekundu
😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂 umejuaje?
Great Ali 🎉🎉💚💚💚💚💚
Kamwe anapambana aseh🙌🏾
Safi sana yanga tamu
Haikua rahisi alhamdulillah
Alipangalo Mungu hakuna mtu yeyote wa kuweza kulizuia,hakika Jana ilikuwa ridhiki letu walimbana lakini waliachia tu,yanga oyeeeeee
Asante sn yangaaaaaa🙌🏆🏆🏆🏆🏆
Home sweety home hatuna jambo dogo full house full shangwee🎉🎉🎉
Shukrani Baba mwenyezi kwa yote aminaaaaaaaaa
Mwenyekiti wa wasemaji afrika aliy kamwe komediani wengine mda wote anawaza vipi atawatia madole ya kuwaongopea makoro wenzio
aaaaaaah hii ni next level
zanzibar mmetishaaaaaa
Watu humu wengi hawalali😅😅😅
Asante mungu hakuna kisichowezekana kwake amen ❤😢
Katika wasemaji alikamwe ni msemaji bora anaejuwa kuhamasisha sio kusifia team zingine uyu anajuwa kuwekeza elimuyake kwenyempila
Hakuna kitu kizuri kama sadaka na nia ya mtoaji sadaka hiyo kiukweli haikuwa kazi nyepesi
Dah next level mlituwakilisha vyema when God say yes no body can say no
Humuuu tu dadadeki💛💚💛🤣🤣🤣
Katika penati zote penati iliyoniwek na unyongge ua aziz ki
Aweee What A Vaibuuuuiii 💚💛💯💥🔥🥂🍾🍻
MUNGU NI MWEMA.....🙏🙏🙏🙏💚💚💚💛💛💛
Feitoto kameza matapishi yake hii ndo YANGA MBELE DAIMA NYUMA MWIKO
Safi sana afisa habari wetu
Yanga mambo
Bravo YANGA!!!
I wanna to take you Zanzibar ❤
Alhamdullillah
Allaah Akbar
Viongoz wa yanga wasiache kutoa sadaka haya ndio malipo haikuwa kazi rahis kwakweli ni Mungu tu
Rahaaàaa rahaaaaaaaàa
Azam hana mashabiki kenge huyu
🏆🏆🏆🏆🔥🔥🔥🔥🎉🎉
Nic san
Huyu Kamwe ni zaidi ya semaji.
OYOOOOOOOOOOOOOOOO YANGAAAAAAAAAAAAAAA BINGWAAAAAAAAAAAAAA
Yanga damu
💚💚💚💚💚💛💛💛💛🏆🏆✔️ good 👍
🎉
HIVI HAKUNAGA TUZO YA MSEMAJI BORA WA MWAKA.😂 MWENYEKITI WA WASEMAJI✊
Ila kamwe jamani unavituko wenzio watajinyonga uko
🎉🎉🎉🎉
Kwakweli mana Jan yanga tumepiga chafya kwenye jeneza
😂😂😂leo fei ajasalimiana na wachezaji kam mechibiyopita aliyopata offside goal
Yani kuna ile maumivu ya furaha😂😂
🔥🔥🔥
Sisi hao🟢🟡🔥⚫
💚💚💪
Hamed ally😂anasemaje...
Semaji kijana sio yule mzee
Dogo kamwe anavaibu sana
😂😂
Ukute mechi ya jana iliandikwa ashinde Azam shida ikaja pale kwa kijana kunyamazisha Wakubwa nazani malaika wa nidhamu akaone abadilishe matokeo.
😂😂😂😂Watu muna maneno
@@AsiyaahamzaHassan 😁
Hamridhiki tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😂😂😂😂💛💚🇹🇿🏅💚🤲🏆
Mungu asifiwe ndo nakumbuka za😮buri 133 ashukuriwe mungu daima mbele nyuma
🎉🎉🎉🎉🎉
Haikuwa RAHISI ila Mungu alishaitunuku Yanga team USHINDI.Hongereni sana wachezaji wetu. You did a good job.🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
H
Hii misada vingozi wanayoitoa ndio mungu anafungua njia hongeleni viongozi wetu
Semajii lenye nyota yake kwrnye paji la uso, upande mwingine kuna semaji ambalo limeishia kusema WANATHIIIMBASAA...!!😜😜
Sifa kwa Mungu wetu thanks Lord yanga bingwa
Home sweet home Zanzibar 💚💛💛💛💛
Nilikuwa namwambia Mungu akumbuke sadaka yetu na dua za wale watoto....na akajibu
Mwenyekit wa wasemaji ni mmoja tu😂
Na ndiye mwenye furaha wakati wote na mafanikio, semaji letu huna baya unaupiga mwingi❤❤
Kweli kabisa
Kumbe furaha ikizidi na machozi yanatoka,mie hadi machozi yamenitoka
Ukitaka dua na maombi yako Mungu ayajibu mapema basi unatakiwa kuambatanisha na SADAKA. Na sisi Yanga Mabingwa ndivyo tufanyavyo, huwa tunatoa misaada kwa yatima ndo maana Mungu anakuwa upande wetu...
Haikuwa raisi jamnan mungu ni mema kila wakat vijana wamepabana mpka tone ya mwisho tunawashukuru xna
Sasa mbona uwanja umejaa mashabiki wa Yanga tu? Wa Azam wako wap?😂😂😂😂
Walipoteana
Walianza na waho kushangilia🤣
Huyu jamaa ana furaha sana kushinda wasemaji wa timu zote hapa nchini
Vibe kama lote viva Young African 🔥🔥🔥🔥
Mkubwa nimkubwatuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakika huyu msemaji na mwamasishaji hasa
Shukrani kwa Mola wetu
Kijani na njano
Kak🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉haikuwa rais kabisa 😋😋😋😋
Dah huyu baba ndy maana kachelewa kuamka leo maana kz kaifanya uwanjani😂😂😂😂
Diara diara diara
We are Young African
💛💚💛💚💛💛 Yanga Bingwaaaaaa
Ila msemaj wetu unajitoa san:💛💛💛💚💚💚💚💚
🎉🎉🎉🎉🎉
Full house 🔰🔰💚💚
Baba yako anateseka Wallah😂😂😂😂
💛💛💛💛🔰🔰🔰💚💚🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆
😂😂😂