JINSI YA KUPIKA WALI SAMAKI/MAHANJUMATI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • #ZAINABUISSA#MAHANJUMATI#AZAMTV

КОМЕНТАРІ • 23

  • @meowzna
    @meowzna 26 днів тому

    Kipindi Kizuri Saanaa🎉🎉

  • @fulgencebanda1868
    @fulgencebanda1868 4 роки тому +3

    Dada nimependa sana kipindi chako, hakika tunapata somo zuri, big up

  • @happinessmkambeni8203
    @happinessmkambeni8203 3 роки тому +1

    Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you

    • @rajabmtunguja5269
      @rajabmtunguja5269 2 роки тому

      Imewekwa hukuwa makin wakati wa kipind

    • @glorycharles
      @glorycharles Рік тому

      Chumvi ameweka kote ila wali sijaona akiweka mafuta ila chumvi kaweka

  • @frankie-nw3tq
    @frankie-nw3tq 3 роки тому

    Sante sana kupitia hii video nimeweza kupika wali samaki mzuri leo...👏👏👏👏

  • @cesiliasaid6987
    @cesiliasaid6987 3 роки тому +1

    Napenda unavyo pika unaweka wazi kilakitu

  • @medicristakessy1636
    @medicristakessy1636 2 роки тому

    Nice and good

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 3 роки тому +3

    Ni vyema kutumia mwiko(wooden spoon )

  • @anasaweli5717
    @anasaweli5717 2 роки тому

    nice

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 3 роки тому +2

    Samahani dada mi nilikuwa naomba siku kipindi jinsi ya kuandaa stock

  • @DianaMedard
    @DianaMedard 2 місяці тому

    Kpenzi unapokea wanafunzii🤔

  • @abdullatifsalim7474
    @abdullatifsalim7474 4 роки тому +1

    Amzng

  • @SelemaNdulabi
    @SelemaNdulabi 5 місяців тому

    Habari naomba kuliza kwani ni lazima samaki wakaangwe??

  • @desirenathan3734
    @desirenathan3734 Рік тому

    ❤❤❤❤❤

  • @meshackbahati8025
    @meshackbahati8025 3 роки тому

    Kwenye huyo samaki huwezi weka fish masala

  • @allymsham7129
    @allymsham7129 4 роки тому +1

    Sasa jaman sisi tunaotumia mchele was kawaida inakuaje hp

  • @glorycharles
    @glorycharles Рік тому

    Wali ulisahau kuweka mafuta au haiwekwi?