Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you
Kipindi Kizuri Saanaa🎉🎉
Dada nimependa sana kipindi chako, hakika tunapata somo zuri, big up
Nakupenda sana nakufwatilia tangu unaonyesha on startv kweli nimejaribu Mara nyingi kufwata ur recepise zako na natoa Chakula kitamu sana ila leo nimefwatilia naona tangu wafanya marination kwa samaki hukuweka chumvi na kwa wali pia na kwa mchuzi pia sasa sijajua but nadhani wakati mwingine Wa kipindi ukumbuke thanks you
Imewekwa hukuwa makin wakati wa kipind
Chumvi ameweka kote ila wali sijaona akiweka mafuta ila chumvi kaweka
Sante sana kupitia hii video nimeweza kupika wali samaki mzuri leo...👏👏👏👏
Napenda unavyo pika unaweka wazi kilakitu
Nice and good
Ni vyema kutumia mwiko(wooden spoon )
nice
Samahani dada mi nilikuwa naomba siku kipindi jinsi ya kuandaa stock
Kpenzi unapokea wanafunzii🤔
Amzng
Habari naomba kuliza kwani ni lazima samaki wakaangwe??
❤❤❤❤❤
Kwenye huyo samaki huwezi weka fish masala
Sasa jaman sisi tunaotumia mchele was kawaida inakuaje hp
Taam sana mi brai apa
Napenda sana kupika
Wali ulisahau kuweka mafuta au haiwekwi?
mh wali ukiwa wa naz hautiwi mafuta