VIDEO: KAMANDA MULIRO ATUA KARIAKOO na RUNDO la POLISI - ''OLE WAO WANAOLETA FUJO''...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 74

  • @TexnoNames
    @TexnoNames 10 днів тому

    Yaan muliro nakupenda Bure mungu akulinde baba

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Рік тому +8

    Watanzania hawana msimamo ,,kama kungekuwa na azimio moja la wafanyabiashara basi serikali ingekuja na majibu kwa haraka ili uchumi wetu usiasilike

  • @naslee1010
    @naslee1010 Рік тому

    Afande upo sahihi kauli nzuri anaefunga afunge anae fungua asitishiwe ishu wafanya biashara hawana msimamo mlitakiwa mfunge wote walio fungua ni wanafiki wakubwa,

  • @christinamsigwa5942
    @christinamsigwa5942 Рік тому

    😂😂😂 wanyoshe baba chala, jeshi linajua unakuja 😂😂 tetema mnyalu kama mayere, yule leader tandika sana

  • @Jayssonkhan
    @Jayssonkhan Рік тому +1

    Mama ameongea sana point

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Рік тому +9

    Hii tanzania ainaga umoja ndo mana tunaburuzwaga tu ao walofungua utakuta alipi kodi kabisa ya duka

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Рік тому +1

    Aah hakna maana kabsa unalinda kwenye nini acha mambo yako afande wewe syo mungu watu wanateseka hamuon hayo kazi zenu ni kutetea wanyang'anyi

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Wafanya biashara wanatofautiana level, ukifiatilia utagundua maduka makubwa ya wafanyabiashara wakubwa wenye stoo za mizigo ya bidhaa za biashara hawafungui, na hao ndio hasa wanaathirika na hizo kero za kibiashara zilisabisha mgomo. Na hao ndo wanaolipa kodi, hao wa level za chini wengine hata TRA wakipita wanafunga wanakimbia.

  • @Officialdekhan
    @Officialdekhan Рік тому +2

    Elimu muhimu sana 😢😢

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Рік тому +4

    😁😁Hiyo inaitwa devide and rule,mchezo umesetiwa imeisha hiyo,RIP JPM

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 Рік тому +1

    Huyu kamanda fire

  • @mtagechota1002
    @mtagechota1002 Рік тому

    Daah nawaonea huruma sana ambao wanategemea wapate kwa siku ndo mambo yaende 😢

  • @YasinOmary-f2i
    @YasinOmary-f2i Рік тому

    Nimkweli kabisa mkuu 😂😂😂😂😂😂

  • @fanuelnkyalu974
    @fanuelnkyalu974 Рік тому

    Kamanda Muliro congrats!

  • @djnobody_tz3644
    @djnobody_tz3644 Рік тому

    Kama hatutafany kaz kwa uburu tutaripaje kodi?

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Рік тому

    Kutoka Zambia 🇿🇲 na sisi tutaacha kununua mizigo Tanzania mnatukamata sana tutaeenda kenya au tutaenda wenyewe china

    • @gazzomaster9462
      @gazzomaster9462 Рік тому

      Acha uongo mndar na Zambia wap na wap😂😂😂

    • @MwitaSenso
      @MwitaSenso 3 місяці тому

      We nenda t ujalazimishwa

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Рік тому +3

    Vyombo vya ulinzi siku zote viko upande wa serikali hata ingekua mandamano ni haki ya mwananchi kuandamana kupinga juu ya kitu furani, police watasimama upande wa serikali na kuwashughulikia waandamaji kuwa wanafanya uharifu, kila kitu siasa hata kwenye jambo la msingi utafikiri tunatawaliwa na wakoroni

    • @deneagrofarms5884
      @deneagrofarms5884 Рік тому +2

      Na unakuta hao hao polisi na wenyewe wako kwenye janga la ugumu wa maisha. Badala wasupport wananchi kudai haki ili nchi ikae vizuri. Yenyewe yanakaa upande wa serikali. Nasikia hasira kweli

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Рік тому

      Ndugu tupo hata hivyo kwenye ukoloni wa watu weusi

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Рік тому

    Dah hawana hata ushirikiano hawa wengine😢

  • @RawsonNkini-kn6bu
    @RawsonNkini-kn6bu Рік тому +1

    Hiyo afande anatisha watu hiyo siyo kazi yake kazi yake yeye mwenyewe kachoka

  • @TexnoNames
    @TexnoNames 10 днів тому

    Kwan lazima kufungua duka langu ni ihari yang unanipangia

  • @modycadabra8721
    @modycadabra8721 Рік тому +3

    Mambo yakiwashinda mnaita police siasa bhn

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Рік тому +1

    Hakuna unalo ongea hapo Mzee wangu, watu wanateseka Mzee, hata YALIYO finguliwa wameamu kfunga kabisaaa

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Рік тому

      UNGEJITAHIDI KUWAITA NA WAGENI ILI WAJE WAENDELEE NA MANUNUZI YA MIZIGO

  • @fajidahmohamed3727
    @fajidahmohamed3727 Рік тому +1

    Itakuwa analinda mageti yaliyofungwa .

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Рік тому

    Ni sahihi ambae wanafanya biashara wafanye ambao hawataki Basi lkn kumzuia anaefungua ni kosa maana wamekosa ushirikiano wao Ila nijuavyo MTU akitangaza kiongoz mgomo unakuwa wote mgomo atakaefungua inakuwa amekiuka wanamtoa kwenye chama chao

  • @chrissmerchy2035
    @chrissmerchy2035 Рік тому +2

    Cheki hicho kifupi et kwa nini wafunge harafu wapo hivi kinajua kulipa Kodi kweli au kwa vilee cheneyewe kinazurula mtaani tu et, ndio maana kifupi na cheusi

  • @alexmakala710
    @alexmakala710 Рік тому +1

    Apo mnatumia mbinu wagawe huwatawale.

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Рік тому +1

    HUO USALAMA MBONA KAMA VITISHO HIYO MIBUNDUKI YA KUULIA NANI ? MBONA MNAVYOTUKAMATA NA DEFENDER HUWA HAMZUNGUMZI KITU ZAIDI YA KUTUUMIZA TU(RUSHWA)

  • @mozaaly3487
    @mozaaly3487 Рік тому

    Uko sio kulinda anani uko ni kuwatisha wafanya biashara baada mupunguze kodi munaleta police na bunduki uo si ndo ukoloni sasa .munachokitaka sio kulinda amani bali maduka yafunguliwe na wafanyabishara wanyamaze

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Рік тому

    JE, Akibughudhiwa aliye funga yeye hatetewi?

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Рік тому

    Unatungua papai na gobole

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Рік тому

    Amni Tanzania wengi wao hatujielewi amni sasa pols munafoc nini et munataka kutumia nguvu et

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому

    Vyama vya upinzan ndo wafuatiliwe kwa ukaribu wanataka kuharibu Mana hata hao wanaoleta vurugu hapo hawana biashara ni wapinzan

  • @mwinyiabdallah4383
    @mwinyiabdallah4383 Рік тому

    Nyinyi mnazingua na hao tra wenu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Рік тому +2

    Bado TRA watawasumbua wafanyabiashara.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Рік тому

      Tena Tanzania nzima katika biashara zote

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 Рік тому

    Hawa jamaaa bana ,

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Рік тому +2

    Inatakiwa katiba2

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Рік тому +2

    Too late t r a wamezidi...

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 Рік тому +2

    Madaraka🤦‍♂️

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому

    Vyama vya upinzan ndo wanahimiza wagome kufungua maduka

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Рік тому +1

    Huyu dogo nae hazimtoshi eti kwanini afunge?utamlazimisha mtu kwa mali yake alipo tafutia akapata ulikuwepo?anayo hiyari kukuuzia au kufunga huwezi kuingilia uhuru wake.we dogo umezoea kuzurura hebu ondoa kiwingu wanapolipa kodi sizizo za msingi wewe huusiki.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Рік тому

    IGP tuondole makamanda kama Hawa

  • @deneagrofarms5884
    @deneagrofarms5884 Рік тому +1

    Mtu aliyehojiwa mwisho nae anaongea pumba tu. Eti kuna waliofunga maduka yao lakini wapo nao wachukulie hatua kwa nn wamefunga maduka yao na wakati wapo. Sasa unamlazimisha mtu kufungua duka lake?

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Рік тому

      Hajui anachokiongea akikamatwa akaulizw amefunga NN anakwambia naumwa lile no duka lake ninchokiona wamefanya hivyo kumsikiliza maongezi kesho na waziri mkuuu km yataenda sawa basi

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Рік тому +2

    Maongezi ya lisu yanawaumiza

  • @phelimonnestol9994
    @phelimonnestol9994 Рік тому

    Wanti wameshikilia bunduki kama kuna magaidi

  • @bongo39
    @bongo39 Рік тому

    Wachukuliwe hatua wote waliofunga maduka kwahiyo wanashindana na serikali au jana hawajamuamini waziri mkuu au ni vp hao wote wachukuliwe hatua kali za kisheria wasituletee balaa katika nchi yetu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Рік тому

    HIVI HAWA SI WANA CHAMA CHAO? MAAGIZO YA USALAMA WA BIASHARA ZAO UTATEKELEZWA NA NANI?

  • @ababukarlinus9355
    @ababukarlinus9355 Рік тому

    Huyu kijana wa mwisho anaongea pumba tu. Watu wanatumia na makodi makubwa yeye analeta habari ya kuuza vyombo mitaani.

    • @furahamandai6628
      @furahamandai6628 Рік тому

      Arudi kwao dah hapa sasa tusiwalaumu police tuangalie usalaama Kwanza

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 Рік тому +2

    Wacha kuwatisha wewe watu

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 Рік тому +1

    Mm ninavyowaogopa nyie ..mkiwa mmevaa hizo nguo..

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Рік тому

    Vijana wako wanasumbua sana

  • @djnobody_tz3644
    @djnobody_tz3644 Рік тому

    Huyo chinga nae chiz ehh wa2 tunasumbuka xana hasa sis wa mikoan unapo kuja kuchukua mzigo dar unashikwa alaf unaambiw kupewa mzigo wako mpka utoe M 1.5 hv ww umechukuwa mzigo wa M 5 utoe tena M 1.5 utabakiwa na nn ,kwa hiyo yy ruto anazuia mgomo usiwepo ili iwejee

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Рік тому

    WEWE MULIRO ACHA UBABE UTAJIJUTIA KARIBUNI 2

  • @kifubayusuph8741
    @kifubayusuph8741 Рік тому +1

    sasa mtu dukarake kafunga zibiwe @

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Рік тому +2

    Nguvu nyingi akilikidogo

  • @selemani-7879
    @selemani-7879 Рік тому

    Kwann unajitokeza2 kwenye matatizo nyie wwenyewe mnayenu kibao

  • @mwinyiabdallah4383
    @mwinyiabdallah4383 Рік тому +1

    Wanao onewa na tra vipi mnawafatilia pia

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому

    Wafanyabiashara Wana stoo wameficha mizigo mikubwa walipa kodi ndogo

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Рік тому

    Bunduki kama wako msituni na waasi

  • @alimustafwa
    @alimustafwa Рік тому

    Acheni ujinga sasa nyinyi polisi mnataka kutuletea vurugu viongozi wetu ni wajinga mno

  • @mozaaly3487
    @mozaaly3487 Рік тому

    Uko sio kulinda anani uko ni kuwatisha wafanya biashara baada mupunguze kodi munaleta police na bunduki uo si ndo ukoloni sasa .munachokitaka sio kulinda amani bali maduka yafunguliwe na wafanyabishara wanyamaze

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Рік тому

    Vyama vya upinzan ndo wanahimiza wagome kufungua maduka