Daaaah ,😭😭 kweli yatatuua,😭 Asante bro kwa kutuendelea kutupa mafunzo Kila iitwayo leo , mungu azidi kuimarisha kipaji chako , coz tunajifunza mengi kupitia wewe
Duuh,inauma sana,yaani wanaume wangejaribu kujua HISIA za wenzao angalau wangekuwa wanasema ukweli kuwa nimekuchoka kuliko kumdanganya mtu Kwa kumpa matumaini
Mapenzi hayaeleweki yaani nakumbuka ..hamna siku ningeuluza swali na nijibiwe ..kila mara jibu lilikua swali pia ..hata nikimwambia i love u uanambia umekosa kazi ..eeeish ilib8d8 nijiongeze ..wanawake usiwai onyesha mwanamume eti unampenda sana hapo utakua mtumwa wake
Kaka naomba nambari zako NAHITAJI ushauri zaidi nashindwa kutoka kwenye MAUMIVU ya kumpenda mtu asiyenijali Wala kunithamini nataka kumuacha ila nashindwa
Mapenzi inauma sana tujikaze kupunguze kujibembeleza kwa wanaume 😭😭Asante kaka Ibra kwa mafunzo ya kila siku
🥺🥺🥺it's really pains...ibrah nani aliimba huo wimbo please...why do we give our hearts to people who don't value our feelings😭😭😭
Nashkl sana kaka unatufunza mengi hali hii ndio nilionayo sasa mie mungu akuweke ili tuendelee kujifunza mengi kupitia ww
Asante bro kwa ushauri mzuri. Dada usijali pia mimi hiyo ndio hali ninayokumbana nayo Sasa hivi😭😭😭
Good teachings be blessed
funzo kwangu thanks
Daaaah ,😭😭 kweli yatatuua,😭 Asante bro kwa kutuendelea kutupa mafunzo Kila iitwayo leo , mungu azidi kuimarisha kipaji chako , coz tunajifunza mengi kupitia wewe
Duuh,inauma sana,yaani wanaume wangejaribu kujua HISIA za wenzao angalau wangekuwa wanasema ukweli kuwa nimekuchoka kuliko kumdanganya mtu Kwa kumpa matumaini
Walahi Kaka umenishi Sana mungu akuzidishiye afya na uzidi kufariji watu shukrani san🥰🥰🥰
Hongera Sana Kaka Hakika Unazidi Kutuelimisha Katika Suala Zima La Mahusiano...... Be Blessed!
Thanks for this lesson it's for me
Inauma Sana Yani hayo yote tuna kutana nayo kuna muda tunavumilia kwasab tuna waza tutabdili wanaume mara ngap but Wanaume Wana tuumiza Sana 😭
Hongera sana kaka najifunza mengi sana 🙏🙏
Nimejikuta napata mshtuko wa moyo asee mbona yananitesa mapenzi hivi kumbe yupo wa kunishauri jaman 😭 big up kaka akeeee
Nakubali broo unacho fanya
Nakukubali sana dear mamy wng nakupenda xna 😘🥰🥰❤
Somo zuri hili ahsante sana Bro Ibra kwa haya mafunzo
Asanter kaka ibra hua najifunza mengi kwako ♥️
Asante bro ibrah kwa somo la leo
Nakupenda kaka ibra❤❤❤😢😢 unatufuza
Mapenzi hayaeleweki yaani nakumbuka ..hamna siku ningeuluza swali na nijibiwe ..kila mara jibu lilikua swali pia ..hata nikimwambia i love u uanambia umekosa kazi ..eeeish ilib8d8 nijiongeze ..wanawake usiwai onyesha mwanamume eti unampenda sana hapo utakua mtumwa wake
🤦♂️Dah asee nimejifunza kitu Hapo🙏🙏🙏
Nimeipenda sana
Please ibrah niambie jina la msanii wa huo wimbo unaitwaje
Nimeipenda hii 📌📌📌
Huyo ndo mimi wa enz zile lkn now najikaza maisha yanaenda
Kweli kabisa
Thanks sana ibra
Mapenzi nyokoo 💔 sna thanks ❤️ ❤️ broh
Mimi nilijikatia cheti chakutopenda mwanaum kimapenz nimatumiz mabaya ya akiri
😂😂😂😂😂. wanaume acha tusugue vyoo uku kwa watu
Uwiiii inauma hyo yn Bora uyasikie2 kwa watu
Thanks Bro
Hayo ndo hali yangu sasa hapa marekani hata hela ninayo lakini naumizwa😭😭😭😭😭😭😭
Njoo nikufute machozi my dear
Hivi aka kanyimb kamkoimba kanaotwaje jmn nimekapenda
Nice
Wow doz kamili
❤❤❤ hunambaya kaka ibra unatufuza kwakweli
Jamani wimbo aliImba nani
Inazuma kweli kuwa kwenye utumwa
Mapenzii ayaaaa!! 🚶
Asante sanaaaa umenipa funzo wacha nilifatilie
Mapenzi yanakutesaj namatunda yapo mezani embu kula matunda ayo
Daaaa inauma😭😭😭😭 IBRA 🙏
Mapenzi yanauma kweli kabisa
Funzo kubwa nmepata
Mapenzi moto moto😅😅
Asante sana bro
😪😪😭😭kweli kabisa
Daah kwel jaman mapenz yanauma
Nimeipenda hiyo
Bro ...Ibra nautilia manani sana wasia wako haya ni mambo ya kweli hutokea kabsa
Yaani najiona mwenzenu
Nikweli kbs kaka yetu
Kaka naomba nambari zako NAHITAJI ushauri zaidi nashindwa kutoka kwenye MAUMIVU ya kumpenda mtu asiyenijali Wala kunithamini nataka kumuacha ila nashindwa
😂😂😂😂😂😂
Shule ninayopata kwako Ibra thedon hakika ni ya kudumu na kuniweka sawa kiakili
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Inauma😣
Nyimbo inaitwaje na kaimba nan?
Daaah 😢😭😭😭
Asant. Kaka. Ayo. Mafunzo. Kwer
Nikweri. Kabis. Presh. Zita. Tutes😭
Najikuta kulia huku maana pia nateseka ma haya mapenzi
😂😂😂😂