UTAIPENDA! CDF MABEYO ALIVYOONGOZA KUPIGA BENDI YA JESHI KWENYE UZINDUZI WA TRENI ARUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 152

  • @magrethkizinga1189
    @magrethkizinga1189 4 роки тому +16

    Kazi nzuri amani idumu tanzania mungu bariki jeshi letu

  • @tadyabdul7414
    @tadyabdul7414 4 роки тому +23

    Naipenda Tanzania, najivunia kuwa mtanzania.
    Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika

    • @izodnice3659
      @izodnice3659 3 роки тому +1

      Roho Yangu , Yako, Yao, ROHO YETU YA AMANI TUNAYOITEGEMEA (JITEGEMEE). AMANI JWTZ MUNGU AWAONGOZE KATIKA UTIIFU WA UTENDAJI WA MAJUKUMU YA KUJITOLEA. YENYE HATA RISK SOME TIME KWA UTAYARI WAO JWTZ (WAZALENDO WAKWELI) I SALUTE JWTZ.

  • @mariabora1358
    @mariabora1358 4 роки тому +21

    Nimenogewa nikakaa kabisa, hongeren kaz nzur sana

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 4 роки тому +27

    Mungu ameipenda Tz kweli, vipaji Kila kona

  • @latenitepiano
    @latenitepiano 4 роки тому +17

    “🤩 MWENYEZI MUNGU IBARAKI TANZANIA 🇹🇿🦚🦒🌴🏝🏔🥀❤️💫, AMEN 🙏🏽”

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 4 роки тому +12

    Kwakweli mmenogesha. Safi sana. Wabaya wenu wafe.

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 4 роки тому +20

    Dah! Mungu atupe nini watanzania jaman kwa furaha hii Mungu ibariki Tanzania

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi54 4 роки тому +8

    Hadi raha kabisa.Mungu wabariki viongozi wa vyombo vya ulinzi.

  • @derrickthedon91
    @derrickthedon91 4 роки тому +6

    Safi sana..
    Hii ndio Tanzania yetu Imara. Imependeza sana

  • @zabronmfungo8503
    @zabronmfungo8503 4 роки тому +4

    TANZANIA ni raha sana

  • @fabianchitojo7406
    @fabianchitojo7406 4 роки тому +12

    Hongeren watanzania

  • @rukiamndeme3466
    @rukiamndeme3466 4 роки тому +12

    Kweli tuna mshukuru mwenyezi mungu kwakila jambo,tunamuambia magufuli asante kwa alioyafanya hapa nchini.

  • @omarimwalim9331
    @omarimwalim9331 4 роки тому +8

    Mungu awabaarik tz

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo5974 3 роки тому +2

    Naipenda Tz jamani hadi raha maashaallah,

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 роки тому +13

    Tanzania is a Gifted LAND 🇹🇿✔

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 роки тому +6

    My Country love you🇹🇿🇹🇿❤❤

  • @josephkimweli2212
    @josephkimweli2212 4 роки тому +9

    Mungu Ubariki Tanzania ..

    • @kalegapeter2715
      @kalegapeter2715 4 роки тому

      Mungu Abariki Tanzania yeti
      Pamoja na jpm na ccm
      Yote

  • @goodmorningafrica6409
    @goodmorningafrica6409 4 роки тому +16

    Congratulation Tanzanians from Kenya

    • @izodnice3659
      @izodnice3659 3 роки тому

      Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL

    • @izodnice3659
      @izodnice3659 3 роки тому

      Tudumishe AMANI AFRICA. BRAVO TANZANIA , BRAVO AFRICA. FOR REAL

  • @rehemashabhay2205
    @rehemashabhay2205 4 роки тому +8

    Kama band ya Gare boys.hangereni sana.Nimekumbuka mbali.. MAISHA HAYA....mmm Mungu ibariki Tanzania kwa vipaji.

  • @hafidhhamza1516
    @hafidhhamza1516 4 роки тому +4

    Mungu ibariki Tanzania

  • @hongerazabron1759
    @hongerazabron1759 4 роки тому +12

    Ccm kuzuri nyee

  • @majaliwabisama9360
    @majaliwabisama9360 4 роки тому +3

    Mpo juu juu kabisa

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 4 роки тому +3

    Hii imetulia, Hongera sana wadau wa Amani..

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 4 роки тому +11

    Yani zamani tulikua atupati raha kama ihii wacha kabisa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому +8

    Tanzania naiombea kwa mungu baba was ukweli na haki aibariki.

  • @hamadsempombe2533
    @hamadsempombe2533 4 роки тому +4

    Najisikia fahari kuwa Mtanzania

  • @lembrisschristopher6170
    @lembrisschristopher6170 4 роки тому +3

    Natamani niwape zawadi ila niko mbali hongereni kaz nzuri sana jeshi letu Tanzania

  • @mwitajackson1157
    @mwitajackson1157 4 роки тому +9

    Najivunia kuzaliw tz

  • @azizajarwan303
    @azizajarwan303 4 роки тому +2

    Aisee hii amani tuliyonayo sifa njema zote anastahiki mwenyezimungu na yeye tunamuomba atuepushe na watu wabaya lazima kuna mataifa wakiona hivi wanaumia maana waonsizani kama wakubwa wa majeshi wanapata muda kama huu lazima iwaume tumuombe mungu atulinde.

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 Рік тому

    An display of humility and good leadership.

  • @emanuelmakasi6658
    @emanuelmakasi6658 2 роки тому

    Mabeyo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @greysondavid3417
    @greysondavid3417 4 роки тому +13

    A man who is blessed for having a very powerful spiritually intelligence appeared in Arusha in Tanzania.God blessvTanzania;God bless Africa.He is not only the president of Tanzania but also for the whole Africa.

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 4 роки тому +10

    Jameni unaona nginsi C.C.M Tanzania ni salama na amani Kwakweli TUNDU lisu ni shetani

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 2 роки тому

    Nafurahi kuzaliwa Tanzania ♥️🇹🇿🇹🇿

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому +3

    Safi sana

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 роки тому +2

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa Wakubwaaaaaaaaaaa

    • @izodnice3659
      @izodnice3659 3 роки тому

      Oyooooooooo!!. God "Goooood...!!

  • @georgengongi1887
    @georgengongi1887 4 роки тому +9

    Hivi intellegencia ya nchi hii mnaijua nyinyi kweli haiwezei kukabidhi nchi kwa mtu kam Tundu lissu na kule zanzibar yule babu haiwezekani jamani mnapoteza muda wenu bure kumuongelea mtu kama Lissu na yy anajua hilo hawezi kupewa nchi hii

    • @narmyheart2021
      @narmyheart2021 4 роки тому +1

      😂🤣😂🤣Nyumbu hawaelewi wanapoteza muda

  • @petertabitha287
    @petertabitha287 Рік тому

    Inaleta msisimko sana ukiitizaman kuna kihali fulan hivi kinakuja ❤❤❤

  • @amranikigolo5974
    @amranikigolo5974 3 роки тому +2

    Maashaallah

  • @honorinaverani1057
    @honorinaverani1057 3 роки тому +1

    Tumebarikiwa sana Tanzania

  • @petermabula3442
    @petermabula3442 4 роки тому +6

    Penda Tanzania

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 Рік тому

    A special display of peace of heart through aesthetic music.

  • @hamisimanja5089
    @hamisimanja5089 4 роки тому +7

    Dahh! Hivi kuwakodi kwenye shughuli binafsi ni sh ngapi? nimeirudiarudia mpaka GB moja imeisha

  • @daudihalfani4626
    @daudihalfani4626 4 роки тому +4

    Tanzania oyeeee

  • @stanleyfocas8250
    @stanleyfocas8250 4 роки тому +4

    Jeshi langu nalikubali miaka mia

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому +2

    Tanzania INA wanawake wazuri sana halafu tundu anataka wawe na makovo.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому +6

    Tanzania nchi ya furaha

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому +4

    Tanzania ni nchi tamu angalia at a maskali was like wana band wazuri kweli.

  • @nyakunga
    @nyakunga 4 роки тому +6

    Congratulations

  • @seducerkapero7306
    @seducerkapero7306 4 роки тому +8

    LlSSU HANA NCHI HAPO... KAMA ANA AKILI ATAFUTE TU SHUGHURI NYINGINE YA KUFANYA.

    • @narmyheart2021
      @narmyheart2021 4 роки тому +1

      Walitaka kumpa kazi yakusimamia TAUSI pale ikulu kaleta jeuli sasa atabaki kama makonda🤣😂😂🤣

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому

      @@narmyheart2021 jmn kwan makonda hana kaz eeeeee maan simsikiii popote ck hiz

  • @davylomay1452
    @davylomay1452 3 роки тому

    kazi nzuri

  • @mc_Mangula
    @mc_Mangula 3 роки тому +1

    My nation

  • @petertabitha287
    @petertabitha287 2 роки тому +1

    Kuna MTU anaumia anapowaona vijana wa uvccm mahala pa mikutano ya serikali( mh rais,makam,waziri mkuu) anasahau kuna uhusiano kati ya chama na serikali ,chama ndio wasimamizi wa ilani ya uchaguzi serikali wao wanatekeleza mengineio tujifunze tusilete uchama ama chuki binafsi hata hao chadema,cuf,act nk mnaowasema hata wao wakishika dola vijana na wanachama wao mtawaona katika mikutano yao pia sote wa Tanzania tuijenge nchi yetu

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 4 роки тому +4

    jaman

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 4 роки тому +8

    Najua kuna wakiovimbisha mishavu , kufeni km mnakufa

  • @stimaburito2212
    @stimaburito2212 3 роки тому

    Naipenda nchi yangu tz

  • @hongerazabron1759
    @hongerazabron1759 4 роки тому +10

    Asie ipenda ccm ajinyongee

    • @nyambegamatoro6817
      @nyambegamatoro6817 4 роки тому

      Brass band, imenikumbusha enzi zangu za primary in 1970's. Irudisheni mashuleni

  • @lucynagerald9427
    @lucynagerald9427 2 роки тому

    Yani mmetisha

  • @rehemakiswago4843
    @rehemakiswago4843 4 роки тому +2

    Tanzania ayeee

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 4 роки тому +2

    Jeshi likovizuri naloo🤣🔥🔥🔥🔥❤️🙌

  • @Ambagaye
    @Ambagaye 4 роки тому +5

    Niliwahi kusoma sehemu kuwa Mabeyo ni pilot wa fighters, helicopters na ndege za kawaida kama alivyokuwa Mboma. Sikujua kuwa kuwa anajua muziki pia; ila ananifurahisha kuwa uhusiano wake na wakuu wengine wa majeshi yaliyoko chini yake kama polisi, magereza, uhamiaji na uokoaji umekuwa ni mzuri sana kwa maana ya kuwa wanauonyesha wazi wazi hadharani.

    • @jaydenbanga
      @jaydenbanga Рік тому +2

      mwanae ndo alikuwa pilot ila alifariki kwa ajali ya ndege

    • @Ambagaye
      @Ambagaye Рік тому

      @@jaydenbanga Kumbe! Asante sana kwa ufafanuzi.

  • @drluther1107
    @drluther1107 4 роки тому +6

    Aitamiweeee

  • @SALEHSALEH-lk5jr
    @SALEHSALEH-lk5jr 10 місяців тому

    Haitotokea tena collabo km hili

  • @amirakhamis5630
    @amirakhamis5630 4 роки тому +1

    Wape salamu wambie nchi haikabidhiw leave mbeligij

  • @captendunga1392
    @captendunga1392 3 роки тому

    Hizo hela walizotoa hapo ukizikusanya hata laki 2 haifiki askari ni wabahili sana sijui hela zao zinaishia wp?

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 4 роки тому

    Jamani Mzee kwani anaapishwa liiin jamn raah hii kaablaaa duuuu!!! JPM MI🖐️ TENAAA...

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 роки тому

    Tundu ana mawazo ya kishetan

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 4 роки тому +3

    Tutaona Mengi kabla ya Mwaka Kuisha

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 4 роки тому +2

      Hata ukiisha yajayo yanafrahisha ata usiwaze

    • @agnesshanah2825
      @agnesshanah2825 4 роки тому +4

      Na utayaona mpaka kufa unafikili yanaisha tulia dawa iingie

    • @newforcejv9721
      @newforcejv9721 4 роки тому +1

      @@agnesshanah2825 DAWA gani sasa

    • @newforcejv9721
      @newforcejv9721 4 роки тому +1

      @@estermathias8354 Esta wewe nawe Una Jambo lako Unaonesha kabisa

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 4 роки тому +1

      @@newforcejv9721 jmn ko ww hauna jambo.mbona naww unaonesha unajambo

  • @veronikadalali7251
    @veronikadalali7251 4 роки тому

    Hapo ndo walipo halibu jeshi limekuwa lasiasa

  • @agustinoezekiel
    @agustinoezekiel 10 місяців тому

    Lushoto moja hyo
    Kama tumetoka kupokea kipaimara vile

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole8849 4 роки тому

    HILI JESHI NA CCM CHAMA DOLA... THIS PROVES LACK OF CREDIBILITY

  • @newman1906
    @newman1906 4 роки тому +3

    Ukishajua madhaifu ya watz....unawadanganya kwa mziki tu, then wanasahau mabaya yote uliyowafanyia 😂😂😂

  • @abubakarimussa7584
    @abubakarimussa7584 4 роки тому +4

    Sasa hizi ni sherehe za ccm au za jeshi la ccm au ccm ndiyo wenye hii shughuli

  • @htvtanzania3483
    @htvtanzania3483 4 роки тому +1

    Serikali yote ipo arusha

  • @omarisheha7845
    @omarisheha7845 4 роки тому +2

    Huu ni mkutano wa kampeni wa ccm au??

  • @dossantoschannel1808
    @dossantoschannel1808 4 роки тому +1

    Saf San mkuu

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 4 роки тому +1

    CCM inafanya mambo ya kutisha. Wazazi angalieni watoto wenu wanatumiwa na CCM ndivyo sivyo.

  • @nemestarimo2922
    @nemestarimo2922 4 роки тому +1

    Ni yeye

  • @abubakarimussa7584
    @abubakarimussa7584 4 роки тому +1

    Ccm mumechoka kwa uongozi ndiyo munatumia Jeshi la wananchi hili siyo jeshi lenu ndiyo maana ninakosa lidhaa ya wananchi

    • @bernardoleonard7331
      @bernardoleonard7331 4 роки тому +3

      Inakosaa lidhaa ya wanachadema rekebisha kauli zako

    • @dastanfussy4898
      @dastanfussy4898 4 роки тому +1

      Angalia vzur mbele ya kofia afu tujulishe kama jeshi LA wananchi au polisi.

    • @mkushiandikayakoachananaya7944
      @mkushiandikayakoachananaya7944 4 роки тому +2

      Angalia chuki hiyo isije ikakupunguzia umri, huo ni upumbavu kuwachimba wenzako kila mahali, hata kama hupendi ndio wako madarakani, nenda kwenye nchi anayotawala Lissu na Chadema yake!

    • @nicethamanonga5855
      @nicethamanonga5855 4 роки тому +1

      Tafuteni nchi yenu na lisu

  • @veronikadalali7251
    @veronikadalali7251 3 роки тому

    Jeshi nasiasa wap nawap

  • @gloryonesmo2244
    @gloryonesmo2244 4 роки тому +2

    MNAYAFANYA HAYA WAKATI WA KAMPENI?WHAY???????

    • @arnoldkimaro3887
      @arnoldkimaro3887 4 роки тому +2

      Ni moja ya kazi za serikal tutajuaje Kama wao ndo wamefanya lazima waonyeshe

    • @gloryonesmo2244
      @gloryonesmo2244 4 роки тому

      @@arnoldkimaro3887 mmmmhh

    • @mkushiandikayakoachananaya7944
      @mkushiandikayakoachananaya7944 4 роки тому +2

      Sherehe hazina campaign, watu wanaburudika watu waache kama hupendi kuburudika wewe! Maisha haya ni mafupi ikitokea nafasi ya kufurahi itumie vilivyo kwasababu watu wanaoudhi kama wewe ni wengi mno!

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 роки тому

    Shangilieni sana lakini akishinda Magufuli mjiandae kufilisika kwa kodi kubwa mtakazolipa kufidia gharama za CCM kwenye kampeni. UKIONA MTOTO ANASHANGILIA SANA KILIO CHAKE PIA KIKO KARIBU" Hizi ni sherehe za wakubwa wa CCM, Majeshi wakishangilia kukatwa kwa Madiwani, Wabunge wa upinzani na Mawakala wao.

  • @jellymbogo7246
    @jellymbogo7246 4 роки тому

    Hapo wananchi wanaona kama hawana shda,kumbe wakitoka hapo ni shda tupu,any ways

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 4 роки тому

    Nimeona kundi kubwa la wanyonge wanapepea mikono Ila sura zimekata tamaa kwa kuwaza kilo ya dona usiku,wenzenu hata wakihenyeka huko ATM zinawasubiri Kila mwisho wa mwezi,sitakubali kuitwa mnyonge labda nkifa

  • @madenge731
    @madenge731 4 роки тому +1

    Chezeni kwa mara ya mwisho maana Tar 28 ndo kwa heri yenu

  • @abuufauzaanmohd447
    @abuufauzaanmohd447 4 роки тому +1

    Ccm mwaka wenu wa mwisho huuu kwaiyo mukikaaa mujuwe

    • @kabefiramadhani7610
      @kabefiramadhani7610 4 роки тому +6

      Angalau hta huku kuandika kwa uwezo mdogo ni CCM hyo ndo imesababisha maana bila shule usingekosea

    • @charlesmaziku9297
      @charlesmaziku9297 4 роки тому

      @@kabefiramadhani7610 😀😀😀😀

    • @rukiamndeme3466
      @rukiamndeme3466 4 роки тому +2

      Lamda wew ndiyo mwaka wako wamwisho naona unatapatapa sana.

    • @jamilambarouk4746
      @jamilambarouk4746 4 роки тому +4

      Mtaweza kwli! Aaa wapi hata mkiungana na matusi kutukana ccm chama laooo

    • @kabefiramadhani7610
      @kabefiramadhani7610 4 роки тому +4

      CCM chama lao TRC shirika letu.
      Hakuna safari najiskia raha Kama nikienda kigoma kwa treni napanda gari hadi iwe dharura isiyokwepeka sipendi kujibana hta nikiukwaa urais siachi panda treni
      Af nakaa daraja la tatu kwenye stori zote
      😋😋😋😋😋😋😋😋

  • @umulithokyarema6491
    @umulithokyarema6491 4 роки тому +3

    Safi sana

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 3 роки тому

    Safi Sana