Sasa hivi kuigiza kwa wale mastar akishakuwa star nyota kwenye mziki basi anaweza kuigiza wakati wapo wengi wa chini wanaweza basi tunaomba mtupe saporti yenu kwani hatawao walianza chini sasa hivi wako juu Muvi ni talent na vipaji wanavyo watu sio mastar pekeyake.
Hi! Naitwa Zena ni mkazi wa temeke dar es salaam, Naomba Kama kutakuwa na nafasi natamani niipate kwa sababu Nina kipaji pia napenda sana kuigiza ni kitu ambacho kipo kwenye damu please!
Mm napenda sn kuigz n nimeanz kufatilia Sanaa tok 2009 ninamiak 8 mpk Leo py nnakipaji Ila jijapat wa kununua Zaid y kudharauliwa t n hii ndo chanal yang
Angalia kwa kujifunza sio kuomba na wewe uwepo ktk project zake. Angalia wangapi wamejibiwa? Sasa Dada Mimi nahitaji kukuuliza ni maana ya msanii? Ni maana ya kuigiza? Maana watakiwa kutufundisha ni maana ya msanii na kuigiza na sio kuongea kama upo na mshikaji wapiga story tu unayatoa kichwani ukiambiwa uludie uta ongea vingine
M nahtaj sana mam mm nipo taar kwa Lolo na naipenda uigzaj
Mambo vipi
NAPENDA SANA.KUIGIZA .NI KAZI NZURI .HONGERA SANA LAMATA KWA HAPO ULIPO FIKA MUNGU AKUZIDISHIE.NASI PIA TUNAOMBA SUPPORT YAKO TUWEZE FIKIA MALENGO
Duh iko ndani ya damu natamani sana
My sister please naomba unisaidie napenda sana kuigiza naomba unisaidie kutimiza ndoto zangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Jamani namimi nakipaji natamani kukioneshaa nindoto yangu
Mnaangalia muonekano bhana, huyo Gara.B hajui kabisaaaaa ni vile tu jina linambeba
Dada natamani sana kuwa muigizaje mnapatikana wap
Ahsante sana Dada ramata nimekuelewa vizur ederea kutupa darasa tuelewe zaidi
Asante Sana natamani kua mwigizaji napenda Sana ulivy pamoja na wengine
Madam mm napenda sana kuigiza nandoto yang siku moja niwe msann naomba msaada wako
nami nataka kuwa msanii bnora✌✌✌👍
Hongera my sweet kaz nzuri unafanya me muigizaji na napenda in Sha Allah Allah akibariki nitatimiza ndoto yangu
Mam napenda dad
Sasa hivi kuigiza kwa wale mastar akishakuwa star nyota kwenye mziki basi anaweza kuigiza wakati wapo wengi wa chini wanaweza basi tunaomba mtupe saporti yenu kwani hatawao walianza chini sasa hivi wako juu Muvi ni talent na vipaji wanavyo watu sio mastar pekeyake.
Nataka kuwa muigizaji napenda sana iyo Sanaa
Me nna kipaji na pia napenda sana kuigiza no ndoto yangu ya mda mrefu
Asant Kwa Tp
Nataka kujiuna na sanaa ya kuingiza bongo movies
Tafta kitale musa au comedy yyt
Hi! Naitwa Zena ni mkazi wa temeke dar es salaam, Naomba Kama kutakuwa na nafasi natamani niipate kwa sababu Nina kipaji pia napenda sana kuigiza ni kitu ambacho kipo kwenye damu please!
Jamani naomba sana dada angu mm pia naenda sana kuigiza Iko moyoni na ninakipaji hicho naomba unisaidie
Me napenda kuigiza pia
Nahitaju kuigz dad Nina kipaji nilbki tuu shule nkigzaaa nakupewa sifa bila mafnikio naomb nxaidie dad
Natamani kuwa muigizaji naomba msaada wako
Naipenda sana jamani
Kwa majina naitwa Saum abdhalla napenda sana kuigiza na nishajiunga na magroup kadhaa lakin sikupata mtu wakunishika mkono
Jama dada lamata na mimi naitaji nakipaji pia ninacho
Sio kwa wabongo jmn
Kumbe jinarangu 💃💃💃💃💃💃
much thaks madam
Nahitaji kua msanii wa bongo movies sijui kama unaweza kunisaidia kujiunga na company yenu dada angu
Yani napenda uigi zaji tangu mtoto natamani sikumoja niwemui gizaji mzuli
Napenda kuigiza nixaidieni
Msaada bc jmani
Ninaimani na ndoto zangu
Hi ni hadija kutka Kenya natamani Santa kuigiza tafathali nope nafasi
Napenda Sana kuigiza lakini sijui wapi nikaigizie
Kwenye muonekano nakataa
Asante sana
nimemuelewa san
Kweli kabisa dada asante
Dada ramata napateje namba yako
Mm nimezunguka San kuigiza najuwa san
Namba dada
Na Mimi nahitaji kuigiza
Duuu namba zenu
Napenda
Mm napenda sn kuigz n nimeanz kufatilia Sanaa tok 2009 ninamiak 8 mpk Leo py nnakipaji Ila jijapat wa kununua Zaid y kudharauliwa t n hii ndo chanal yang
Namim nakipaji
Mamb
Angalia kwa kujifunza sio kuomba na wewe uwepo ktk project zake. Angalia wangapi wamejibiwa? Sasa Dada Mimi nahitaji kukuuliza ni maana ya msanii? Ni maana ya kuigiza? Maana watakiwa kutufundisha ni maana ya msanii na kuigiza na sio kuongea kama upo na mshikaji wapiga story tu unayatoa kichwani ukiambiwa uludie uta ongea vingine
Ndomaana mim napenda zangu kinakitale, sidhani masharti km haya yapo.nampenda sana kitale musa na full team ya binadam series.big guys
Nkuba 100%%% tupe mamb
Nisaidie
Hy
Nipe no yako
Mama uko wapi nahitaji na Mimi kuigiza
Yani nimeandika yote uliyosema dada
Love lamata