Simba ilivyoichapa Alliance 5 - 1 na kuwaaga mashabiki Dar
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara, Simba SC wameidunga Alliance FC jumla ya mabao 5-1, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Magoli ya Simba yamefungwa na Medie Kagere mawili, Luis Miquissone, Deo Kanda na Said Ndemla huku Martin Kigi akifunga la kupozea machungu. Highlights - 19/07/2020.
Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Timu inayonipa raha kuliko timu zote duniani .....Mnyama💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💥💥🔥🔥🔥
Sanaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Rahaaaaaa this is Simba
Mwakani tena tunachukua tenaa
Gongaaa like kama unaamini tunachukua tena mwakani
Hongera SImba sports tunataka FA cup tuhitishe ubingwa wetu
Nice game, good job azam tv
Hawa simba wakiamuaga wanaamua tokanan na jins wanavyopangwa wakipangwa kiholela mambo yanakuwa mabaya hongeren wanasimba wote hakika mmetupa Raha 😋😋😋 sema huy Luis magol yake yambali yanipa mzuka mtu mfup mmakonde hatarii🔥🔥🔥🔥👌👌❤️❤️❤️Simba mbele daima mwiko nyuma mtanikoma siku nying sijacoment humu leo nimerejea piga kelel moj kwa simba yke weuwee🤸🤸🤸🤸🤸
Has ndo mabingwa wa tz wengin wanagombania maana makombe yote yapo msimbaz km VP waj kyela kuna ndondo cup zinaendelea huend wakaokota japo kamoja
Kama umesikia kono la nyani nipe like zangu
Kama humpendi unaweza kuingiwa na baridi Kama umesikia nipe like, huyu Messi lakilufungia msimu
Kimziki Cha lala salama hichooooo Simba mnyama anatisha dar nakupenda Simba mno. Simba wanau moja Sana nguvu moja 🦁
mpenja maneno anatoa wapi
Ongereni azam tv na simba
Rahaaaaaaaa simbaa rahaaaaaaaa
Huu siyo ushambuliaji jamani , Simba mtaacha watu waanze kuharisha wakiwasikia😁
Simba+974 🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Kesi ya mwngn hukumu kapewa mwngn😂😂😂 Simba hatutak utan
Goli alilofunga miqeuson kama la kichuja 2014 kama sikosei akifunga Yanga
Kweli kabsaaaa goli tamu kuliko 4-1 za yanga😂😂😂
@@ntimifrank2770 saaaana goli sukar
Uzembe umewazembea zembe baraka mpenja big up kwako mkubwa
Mapema kabisa bull bull
Simba Bingwa hakuna ubishi timu ipo vizuri idara zote .Kuna watu wanateseka sana
Sauti nzuri sana ya baraka mpenja dah tutaimiss kweli
Leki za Simba Kama unaipenda Kama mm
Kazi ya mnyama simba
Wareeeeeee
Good work,Simba
Good work,Simba
@@haldihelahela9952 siimba unguluma kila ujisikiavyo make ufalume wa mbingu ni wako
Mtangazaji amesema mabao manne kama wale lkn kaogopa kutaja jina hebu wewe ulioisoma hii comment yangu malizia hapo et mabao4 kama nani vileeeeeeee
Gongo waziiii
Utopolo fc
Vyura au nduza, au utopolo
makosa ya mbao hukumu kwa wanafunzi
Et kashika iyo kwio 😂😂😂
Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂 😂
Goli la kufunga mwakaaaaaa la konde boy safiiiiiiiiiiiii saaana.
Kwel
nakubali chamalangu simba
Hii inaitwa heri lawama kuliko fedheha
Muhammed hussein keshamtambuka mtu tambu baraka mpenja nakupenda bure
Hii simba hatarii
Wooooow
❤
Ok
Huyu mmakonde anabalaa sana
Hatari saana na nusu
Mnyama najambo lake
ALHMDHULILLAH
Kuna kupiga chenga na kulamba chenga,, pale kapombe alimlamba chenga golikipa yuleee😂😂😂😂😂😂😂
et kwio
Mambo bull bull 😁😁
Simba na kosito
Hiki ndio kikosi kazi!!!
Sasa mpira unapigwa kwingine keeper anaangukia kwingine hatar tupu
4 kama yanga
Play station
Hindio simba
Kombe la corona
Hawa ndo mabingwa bn
Umebeba guruneti kumuwinda sungura kitoweo utapata kweli???
Mbona utopolo mmekula miguu ya meeza
😂😂😂😂Like mlio sikia Msimu ulio pita
Zile nne kama wengne
Bulubuluu
Salimu Ali kuoka uswahilini tunamuhitaji morsoni aje simba atunashi washabiki
Jamani nisaidien namna ya kum inbobo mtu ambaye nimemuona apa kwenye comments
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona grunet tena barak mpenja 😂😂😂😂
Bonyeza link kuangalia Simba ya kihistoria
ua-cam.com/video/EWg-BkM_048/v-deo.html
Kushika hio hio kwio
Msimu ujao marefa wajikosoe
Magoliyot yakizemb mkude tuu lilee nayang tuliepigwa mkude hilii lajuz tuliewapig mkude na laleo mkudeee ach ubweg ajiangalie xfa hua znamzid
Kweli mkk anaboa sana
chama kubwa
Keshamtambuka mtu tambu 😁😁😁😁
Hii nihatari kuliko corna