SALLAM SK AFUNGUKA KILA KITU - MAISHA/HARMONIZE/DIAMOND/WASAFI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • SALLAM SK AFUNGUKA KILA KITU - MAISHA/HARMONIZE/DIAMOND/WASAFI

КОМЕНТАРІ • 138

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Рік тому +6

    Jamani atimae leo roho yangu imetuliamana sikuwa tena Na amu yaku ona interview ya wa bongo Bana eti salaam sk umwatche daimond platnamz kwa Nini wewe nakukubali sana 🤝👏👏👏👏👏🔥💪💪💪

  • @jumaradhomary8591
    @jumaradhomary8591 Рік тому +15

    Sound good 👍 sound excellent 👌 sound booth 👍 sound QUALITY.
    Hii sound imeptlza REDIO nyingi sana kwakweli.

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Рік тому +6

    Dah nimepumua sasa maana yustar alituumiza ss mashabiki wa diamond 💎♥tunashuku kwa kutuweka sawa bado upo na diamond wetu tunakupenda sana

  • @michaelomondi7912
    @michaelomondi7912 Рік тому +8

    i love how mendes looks at everything in a business perspective ,,for its just money , money and money alone

  • @shakirajafali2276
    @shakirajafali2276 Рік тому +9

    Mendeziii🔥🔥🔥🔥🇲🇼🇲🇼🇲🇼

  • @edwardkongo410
    @edwardkongo410 Рік тому +8

    Tatizo la huyu jamaa nimzungu sanaaa ,yuko so real

  • @saidirashidi6232
    @saidirashidi6232 Рік тому +13

    The best manager in Africa🌍

  • @issamohd222
    @issamohd222 Рік тому +6

    Nimekuelewa vzr una viwango vya kuitwa manager

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Рік тому +9

    The real man sallam sk. Hongera sana kwa kuwa mmoja kati ya mameneja Bora kabisa hapa nchini

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 Рік тому +3

    Yaani hiyo ya kuweka English imeniaminisha this guy his genius,in 2 yrs na radio nyingine zitaiga hii.bravo brother

    • @audiphastangale1893
      @audiphastangale1893 Рік тому

      Sina uhakika kama wata fanikisha hili kwa muda mrefu kuna redio nyingi zilijaribu hivi hapa Bongo lakini TBC internation tu ndio wamebaki na sera hiyo tulikuwa na Times FM, Choice FM na Kiss FM zote zilikuwa na utaratibu huu in the end zililudi kwenye full Swahili

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Рік тому +2

    Uyu ni meneja mukweli 👍🏿👏🔥🔥🔥 unaongea point muimu sana

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Рік тому +3

    Akili kwa wingi Salaam SK 👏👏👏

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +4

    Sema Sk Yuko real sana uwa ananipunga hapo tuh.

  • @tumainiinnocent8335
    @tumainiinnocent8335 Рік тому

    Boss wangu kweli unajibu vizuri sana nimependa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥.

  • @lukandamizasimbi44
    @lukandamizasimbi44 Рік тому +9

    Ni hatari fire hahahah 🔥🔥🔥🔥🔥salama 💪💪💪💪💪👌👌👌👌🙌🙌🙌

  • @ndolimwakijuja7948
    @ndolimwakijuja7948 Рік тому +3

    Hii redio itakuja kua atali sana 🔥🔥

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Рік тому +1

    Ila li sallam lipo vizuri kibiashara.. Diamond kapata team nzuri Sana the guy he is so serous and visionary

  • @JP-lx1le
    @JP-lx1le Рік тому +12

    Huyu mwamba Yuko real sana

  • @marshialmarshah9032
    @marshialmarshah9032 Рік тому +5

    The Best Manager in Africa

  • @annabadru2352
    @annabadru2352 Рік тому +3

    Sallam SK kubwa la maaduwi ❤ U SK WCB 4 LIFE💪🏽💪🏽

  • @momussa7648
    @momussa7648 11 місяців тому

    Nakubali meneja

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Рік тому +8

    Safi sana Boss Kubwa Nimekuelewa. Wasafi Mjini 4life #Wcb 4life#Boss Sk❤🇹🇿✊

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 Рік тому +7

    Binti katisha sana ktk kuuliza maswali . Dada ana kitu ndani yake namtabilia makubwa mbele

  • @jessendegwahmusic488
    @jessendegwahmusic488 Рік тому +3

    Classic man Medez

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar4935 Рік тому +3

    DINA UNA KIHEREHERE SANA KATIKA KUULIZA MASWALI, SLOW DOWN UNAONEKANA UNATAKA UONEKANE WEWE TU HAPO SANA. UMEULIZA SWALI LA KIMBEA UMEMUULIZA SALLAM SWALI LA KINAFIKI NAE KAKUPASHA KWEUPEEE .ETI ULIKUWA INAKOOTA DINA MENDES UKAKOMESHWA NA BOSS WALO HAPO HAPO UKOMEEE KUJIPAKAZIA.

  • @lukiyakimolo7153
    @lukiyakimolo7153 Рік тому +2

    Umewakata shombo salamu 💪💪💪💪💪💪💪

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Рік тому +25

    Umesema ukweli Salaam ,daimond anajaza sana nchi za kiafrika lakini David hajazi hio ni kweli

    • @user-sp3gg7id8q
      @user-sp3gg7id8q Рік тому +3

      Nchi ipi aliokuwa diamond ajaza davido hajazi? 😆 huyu Sallam Sk anam market tu msanii wake but sehemu yoyote diamond anayojaza basi harmonize nae anajaza achia mbali davido.

    • @dictarchelsea
      @dictarchelsea Рік тому +2

      Uongo sana

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Рік тому +1

      Harmonize ziara zake nyingi ni katika nchi za Jirani za waswahili wenzetu Diamond kavuka hadi nchi za Afrika Magharibi na Davido kuna nchi hapendi kuzitembelea .Kwa hivi hawako sawa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Рік тому +1

      @@user-sp3gg7id8q Harmonize ziara zake nyingi ni nchi Jirani Kwa waswahili wenzetu huko ndio anga zake. Diamond ameenda zaidi hadi Afrika Magharibi na Davido ana nchi chavhe anazotembelea na viingilio navyo vinavhangia kujaza na mwenyewe unavyotaka. Kufanya shoo ya viwanjani au kwenye maholi na ma VIp

    • @dontsto3865
      @dontsto3865 Рік тому +1

      @@user-sp3gg7id8q umeanza kutumia youtube 2021😂😂😂 hujui kitu alafu sai umeacha kutype ule upuzi wa kununua views kwa youtube

  • @kalamustudio
    @kalamustudio Рік тому

    The sound quality is top notch aiseee.

  • @KENYANSINDUBAI
    @KENYANSINDUBAI Рік тому +4

    The interviewers hawajatulia kila mtu anarupuka na maswali na flow of interview and questions kutoka huku kuruka huko kurudi huku. Guys take your time have a plan on how you going to do a interview wacha kurupuka na maswali

    • @emmajuma896
      @emmajuma896 10 місяців тому

      No chemistry amongst the interviewers

  • @clickclick9922
    @clickclick9922 Рік тому +1

    Binti maswali yake ya kiumbea mno sio ya kujenga,ahamie kipindi cha mipasho,still have long way to go

  • @twayzo12
    @twayzo12 Рік тому +5

    Akili nyingi

  • @mathiasloreu8985
    @mathiasloreu8985 Рік тому +2

    International manager

  • @wcb4life875
    @wcb4life875 Рік тому +4

    Don kama don 😂😂😂😂😂😂😂 wanyooshe baba

  • @Johnjoo196
    @Johnjoo196 Рік тому +3

    The one

  • @saidirashidi6232
    @saidirashidi6232 Рік тому +4

    Mjini ya watoto wa mjini

  • @josephbegi
    @josephbegi Рік тому +5

    I feel for that lady... Silly question!

  • @mwaulambo
    @mwaulambo Рік тому +4

    56:37 Watangazaji wako hawa kufanya background check vzr. Most of the questions ulishajibu kwenye interview zako before ni ajabu leo mtu anauliza kuhusu wazazi wako. Please train them

    • @makavelihassani9694
      @makavelihassani9694 Рік тому +1

      Kbs kbs ndugu.......presenter wake wanatakiwa wawe makini sn coz kuna huo ushindani mkubwa

  • @amaniewaar513
    @amaniewaar513 Рік тому

    Kindest gang for everyone

  • @emanuelmichael2369
    @emanuelmichael2369 Рік тому

    Kabisa kaka salamu

  • @zedekiasamara1783
    @zedekiasamara1783 Рік тому +3

    AY amekaa kwa muda mchache kuliko wote Studio ila ndo ameuliza maswali ya muhimu kuliko wote

  • @kassimussimachanoh6971
    @kassimussimachanoh6971 Рік тому +1

    Nawapata vizuri toka Bulgaria....

  • @ramadhanhamisi7405
    @ramadhanhamisi7405 Рік тому +1

    Sallam sk nipo pamoja

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +2

    Watangazaji mnakera sana tulieni anae ojiwa aongee

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 Рік тому +1

    hyu dem anaulz maswl ya kisenge xna

  • @drmdee
    @drmdee Рік тому +1

    Huyu jamaa tunataman kujua historia yake kuanzia original yake shule alizosoma ulaya aliendaje harakat alizofanya xx mnamuliza kfup

  • @davidmbilinyi4715
    @davidmbilinyi4715 Рік тому

    Sound nimeikubali sn ila hiyo spika hapo kwa dj itafutieni sehem isioonekana inaharibu muonekano was studio mendez

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Рік тому

    Nasikiya raha Sana kusikiya bado uko na diamond

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Рік тому +2

    Mwamba huyuwapa sallam sk

  • @somanda8140
    @somanda8140 Рік тому +2

    Uko vizur sana

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Рік тому +2

    Background music is too loud

  • @vitusemanuel7776
    @vitusemanuel7776 Рік тому +9

    Yan harmo nikama maji usipoyanya utayaoga au utafulia mponde Ila aliyebalikiwa kabalikiwa tu

    • @meshackgerald4032
      @meshackgerald4032 Рік тому +2

      🤣🤣🤣 wew kwel una shida sio bure sas hy mmakonde ana nn lbd cha ajabu ase zaid san ya kuvut moshi

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Рік тому +2

      Aaaaah wewe wacha uchizi wewe!!!! Kunywa dawa unaanza malazia

    • @jcrackcrack1669
      @jcrackcrack1669 Рік тому +2

      Sasa n maji ma n mavi,

    • @tembarooney7899
      @tembarooney7899 Рік тому +2

      Wewe unatombwa kweli harmonize nikama kinyes

    • @pilimwanza8117
      @pilimwanza8117 Рік тому

      Kwa kweli wanaomponda Harmonize ni vile wanampenda Dai. huna lazima ya kumpenda Harmonize lkn mziki mzuri uko kwake. watake wasitake

  • @Paplick9
    @Paplick9 Рік тому

    Don mendez

  • @dontsto3865
    @dontsto3865 Рік тому +3

    Dear God please surround me with people like Sallam sk...alafu yule MMAKONDE ata ikitokea ameshusha mapanga musiwe karibu nae kwa sana that nigga is too selfish and jealousy

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Рік тому

    Hao watangazaji hawajui kuhoji vizur

  • @simplebuttoughinaction8022
    @simplebuttoughinaction8022 Рік тому +3

    Unavimba Salam kondomu,kam demu mwenye wanaume 3 wanaojuan ile hawataki kukuach😸

  • @sadikkhamis2547
    @sadikkhamis2547 Рік тому +3

    Tatizo lilianzia wazo la salam kufungua radio station yake. Hapo vita ya kibiashara ndio ilipo anzia

  • @mariamhemed5115
    @mariamhemed5115 Рік тому

    mziki upo juu kuliko sauti ya wazungumzaji maneno hayasikiki vizuri sababu mziki upo juu

  • @husnasena6055
    @husnasena6055 Рік тому +1

    Mwamba yupo vzur

  • @cosmaskabila3058
    @cosmaskabila3058 Рік тому +2

    Konde boy on 🔥🔥🔥

  • @jacobsimkoko3096
    @jacobsimkoko3096 Рік тому

    Nimewaelewa

  • @husainsmith3103
    @husainsmith3103 Рік тому

    Naomba diamond anunue jumba la wasafi entertainment tu maana ligi itakua kubwa

  • @shombetz
    @shombetz Рік тому +1

    Hiki ni kichwa

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 Рік тому

    Background sound inabhoo

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 Рік тому

    Watangazi walikua hawajajipanga kabsa kuweka maswal ktk makundi ya mziki,siasa ,biashara

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare Рік тому +1

    Mendeeez

  • @charssamwel1015
    @charssamwel1015 Рік тому

    Aaaah...hii interview haiwez kuwa nzur kabisaa...kumbe chanel yenyewe niyake...yan hapo ni pipa namfuniko...

  • @naamanbenzema9227
    @naamanbenzema9227 Рік тому

    Mendez cjavutiwa jins ulivo mjibu uyo dem kuhs kutumia jna na mahusiano dah umezngua.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Рік тому +1

    Inakuwaje habari zinatufikia kabla ya host kuiachia. Hii media mpya kwetu ila interview pia ni mpya cha ajabu nimeunga unga sana hii interview mpaka nikaielewa nakuja kuipata hapa nshaichoka ila acha niishi nayo mimi mendez role model wangu!

  • @adsonchisongela3768
    @adsonchisongela3768 Рік тому

    💰💰💰💥

  • @jamessamu7814
    @jamessamu7814 Рік тому

    Ila huyu big kma unamzingatia kuna vitu vyakujifunza

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Рік тому

    Uyo dada anauliza sana personal issues kuliko maswali ya public..

  • @abdullyathuman1425
    @abdullyathuman1425 Рік тому

    The presenters are fine, but ask the questions in order, not all of you are talking together. 👣👣👣

  • @mohamedihassani2390
    @mohamedihassani2390 Рік тому

    hapa ni dhahili kua Salam hamfikii harmonize angetunza heshima sana kama ange kataa ilo swali la kuusu harmonize alipo lijibia amempaisha harmonize na ssi wenye akili time gundua kua salam ana ufinyu wa kufikili heshima kwa babu tare nime fuatilia sana maojiano yake babu tare yuko vizr ubalikiwe babu tare

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 Рік тому +1

      Mbona hamna kibaya alichoongea hapo, si ameeleza jinsi ilivo kuwa au skuiz mtu akisimulia jambo lilivo kuwa ni ufinyu wa akili😂

    • @haragitabrytoin6411
      @haragitabrytoin6411 Рік тому

      Ata kicha huw anatuona , wazma cc ndo vchaaa , you know ? The final thing after understand is judging

    • @salamaabuu7734
      @salamaabuu7734 Рік тому

      Kitu ambacho hukijui Salam sk sio levo za hamo. Hamo Ni mtoto mdgo sn kwa sk ww imekuuma kusikia sk anaongea bila kumuogopa hamo na sk anajiamin yn hatetelek kuhusu hamo kwhy ww umeona ivyo bc imekuuma sn dogo tulia home ndo anatafuta ujiko kwa sk

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Рік тому

    Iko kidem ni kishamba sana kinajifanya kinyamwezi af Hakina unyamwez wowote af cha Ajabu hata Question anazouliza anakatwa tu nishai, inshort iko kipresenter cha kike akijui kuuliza maswali"

  • @basesabasesa8660
    @basesabasesa8660 Рік тому +1

    Why you didn’t put harmonize his picture in the studio?

    • @officialjaygravity1915
      @officialjaygravity1915 Рік тому +2

      Coz it's not necessary

    • @basesabasesa8660
      @basesabasesa8660 Рік тому +1

      @@officialjaygravity1915 it is necessary, causes the greatest of all time is and the icon of Tanzania music

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Рік тому

      @@basesabasesa8660 you are not serious🏃🏃🏃

  • @mohamediamanzi4540
    @mohamediamanzi4540 Рік тому +1

    Mendez kama mendez

  • @lukiyakimolo7153
    @lukiyakimolo7153 Рік тому +1

    Mwamba huyuhapa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Рік тому +2

    +974 🇶🇦✌

  • @richlymo
    @richlymo Рік тому +2

    KONDE BOY 🇹🇿

  • @munganofilmsgroup8168
    @munganofilmsgroup8168 Рік тому +1

    Hapo kwa show amedanganya sana hapa USA wanakuja kwa pesa ndogo sana.ahache uongo.tena wanao waitahapa USA, ni sisi wa congo.

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 Рік тому +1

    Nani cake ya Taifa?acheni Taifa na mambo ya kipuuzi

  • @mohamedihassani2390
    @mohamedihassani2390 Рік тому

    harmonize yuko juu salamu hamfikii harmonize majibi yake yakujikakamua ila ukweli harmonize kwa salam harmonize ni mkubwa Kama angekua mkubwa asinge jibia chochote ila leo naamini Salam ni kolo

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Рік тому +5

    We wanted to support his radio, but the way he spoke about Harmonize...we are done with him. We thought he was a smart business man but he is just arrogant, no body.

    • @officialjaygravity1915
      @officialjaygravity1915 Рік тому +4

      We or you??

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Рік тому +3

      Sema ww Bi zeinab Sio we,,,,😁😁❤🇹🇿

    • @wcb4life875
      @wcb4life875 Рік тому +3

      Who r U 😂😂😂😂 umeitwa hapa

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 Рік тому +2

      Labda kama mvuta bangi kakutuma
      Hatutaki washamba wa mapenzi mpaka wanafilisika...aende Efm
      Mawingu kwenye hawamtaki

    • @reenyaysher7639
      @reenyaysher7639 Рік тому

      Who are you by the way???

  • @cedrikianoofficiel6718
    @cedrikianoofficiel6718 Рік тому

    Fata iyi mziki👇👇ua-cam.com/video/IgkNV-0cL3w/v-deo.html