Jamani atimae leo roho yangu imetuliamana sikuwa tena Na amu yaku ona interview ya wa bongo Bana eti salaam sk umwatche daimond platnamz kwa Nini wewe nakukubali sana 🤝👏👏👏👏👏🔥💪💪💪
Sina uhakika kama wata fanikisha hili kwa muda mrefu kuna redio nyingi zilijaribu hivi hapa Bongo lakini TBC internation tu ndio wamebaki na sera hiyo tulikuwa na Times FM, Choice FM na Kiss FM zote zilikuwa na utaratibu huu in the end zililudi kwenye full Swahili
DINA UNA KIHEREHERE SANA KATIKA KUULIZA MASWALI, SLOW DOWN UNAONEKANA UNATAKA UONEKANE WEWE TU HAPO SANA. UMEULIZA SWALI LA KIMBEA UMEMUULIZA SALLAM SWALI LA KINAFIKI NAE KAKUPASHA KWEUPEEE .ETI ULIKUWA INAKOOTA DINA MENDES UKAKOMESHWA NA BOSS WALO HAPO HAPO UKOMEEE KUJIPAKAZIA.
Nchi ipi aliokuwa diamond ajaza davido hajazi? 😆 huyu Sallam Sk anam market tu msanii wake but sehemu yoyote diamond anayojaza basi harmonize nae anajaza achia mbali davido.
Harmonize ziara zake nyingi ni katika nchi za Jirani za waswahili wenzetu Diamond kavuka hadi nchi za Afrika Magharibi na Davido kuna nchi hapendi kuzitembelea .Kwa hivi hawako sawa
@@user-sp3gg7id8q Harmonize ziara zake nyingi ni nchi Jirani Kwa waswahili wenzetu huko ndio anga zake. Diamond ameenda zaidi hadi Afrika Magharibi na Davido ana nchi chavhe anazotembelea na viingilio navyo vinavhangia kujaza na mwenyewe unavyotaka. Kufanya shoo ya viwanjani au kwenye maholi na ma VIp
The interviewers hawajatulia kila mtu anarupuka na maswali na flow of interview and questions kutoka huku kuruka huko kurudi huku. Guys take your time have a plan on how you going to do a interview wacha kurupuka na maswali
56:37 Watangazaji wako hawa kufanya background check vzr. Most of the questions ulishajibu kwenye interview zako before ni ajabu leo mtu anauliza kuhusu wazazi wako. Please train them
Dear God please surround me with people like Sallam sk...alafu yule MMAKONDE ata ikitokea ameshusha mapanga musiwe karibu nae kwa sana that nigga is too selfish and jealousy
Inakuwaje habari zinatufikia kabla ya host kuiachia. Hii media mpya kwetu ila interview pia ni mpya cha ajabu nimeunga unga sana hii interview mpaka nikaielewa nakuja kuipata hapa nshaichoka ila acha niishi nayo mimi mendez role model wangu!
hapa ni dhahili kua Salam hamfikii harmonize angetunza heshima sana kama ange kataa ilo swali la kuusu harmonize alipo lijibia amempaisha harmonize na ssi wenye akili time gundua kua salam ana ufinyu wa kufikili heshima kwa babu tare nime fuatilia sana maojiano yake babu tare yuko vizr ubalikiwe babu tare
Kitu ambacho hukijui Salam sk sio levo za hamo. Hamo Ni mtoto mdgo sn kwa sk ww imekuuma kusikia sk anaongea bila kumuogopa hamo na sk anajiamin yn hatetelek kuhusu hamo kwhy ww umeona ivyo bc imekuuma sn dogo tulia home ndo anatafuta ujiko kwa sk
Iko kidem ni kishamba sana kinajifanya kinyamwezi af Hakina unyamwez wowote af cha Ajabu hata Question anazouliza anakatwa tu nishai, inshort iko kipresenter cha kike akijui kuuliza maswali"
harmonize yuko juu salamu hamfikii harmonize majibi yake yakujikakamua ila ukweli harmonize kwa salam harmonize ni mkubwa Kama angekua mkubwa asinge jibia chochote ila leo naamini Salam ni kolo
We wanted to support his radio, but the way he spoke about Harmonize...we are done with him. We thought he was a smart business man but he is just arrogant, no body.
Jamani atimae leo roho yangu imetuliamana sikuwa tena Na amu yaku ona interview ya wa bongo Bana eti salaam sk umwatche daimond platnamz kwa Nini wewe nakukubali sana 🤝👏👏👏👏👏🔥💪💪💪
Sound good 👍 sound excellent 👌 sound booth 👍 sound QUALITY.
Hii sound imeptlza REDIO nyingi sana kwakweli.
Dah nimepumua sasa maana yustar alituumiza ss mashabiki wa diamond 💎♥tunashuku kwa kutuweka sawa bado upo na diamond wetu tunakupenda sana
i love how mendes looks at everything in a business perspective ,,for its just money , money and money alone
Mendeziii🔥🔥🔥🔥🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Tatizo la huyu jamaa nimzungu sanaaa ,yuko so real
The best manager in Africa🌍
Nimekuelewa vzr una viwango vya kuitwa manager
The real man sallam sk. Hongera sana kwa kuwa mmoja kati ya mameneja Bora kabisa hapa nchini
Yaani hiyo ya kuweka English imeniaminisha this guy his genius,in 2 yrs na radio nyingine zitaiga hii.bravo brother
Sina uhakika kama wata fanikisha hili kwa muda mrefu kuna redio nyingi zilijaribu hivi hapa Bongo lakini TBC internation tu ndio wamebaki na sera hiyo tulikuwa na Times FM, Choice FM na Kiss FM zote zilikuwa na utaratibu huu in the end zililudi kwenye full Swahili
Uyu ni meneja mukweli 👍🏿👏🔥🔥🔥 unaongea point muimu sana
Akili kwa wingi Salaam SK 👏👏👏
Sema Sk Yuko real sana uwa ananipunga hapo tuh.
Boss wangu kweli unajibu vizuri sana nimependa sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
Ni hatari fire hahahah 🔥🔥🔥🔥🔥salama 💪💪💪💪💪👌👌👌👌🙌🙌🙌
Hii redio itakuja kua atali sana 🔥🔥
Ila li sallam lipo vizuri kibiashara.. Diamond kapata team nzuri Sana the guy he is so serous and visionary
Huyu mwamba Yuko real sana
The Best Manager in Africa
Sallam SK kubwa la maaduwi ❤ U SK WCB 4 LIFE💪🏽💪🏽
Nakubali meneja
Safi sana Boss Kubwa Nimekuelewa. Wasafi Mjini 4life #Wcb 4life#Boss Sk❤🇹🇿✊
Binti katisha sana ktk kuuliza maswali . Dada ana kitu ndani yake namtabilia makubwa mbele
Classic man Medez
DINA UNA KIHEREHERE SANA KATIKA KUULIZA MASWALI, SLOW DOWN UNAONEKANA UNATAKA UONEKANE WEWE TU HAPO SANA. UMEULIZA SWALI LA KIMBEA UMEMUULIZA SALLAM SWALI LA KINAFIKI NAE KAKUPASHA KWEUPEEE .ETI ULIKUWA INAKOOTA DINA MENDES UKAKOMESHWA NA BOSS WALO HAPO HAPO UKOMEEE KUJIPAKAZIA.
Umewakata shombo salamu 💪💪💪💪💪💪💪
Umesema ukweli Salaam ,daimond anajaza sana nchi za kiafrika lakini David hajazi hio ni kweli
Nchi ipi aliokuwa diamond ajaza davido hajazi? 😆 huyu Sallam Sk anam market tu msanii wake but sehemu yoyote diamond anayojaza basi harmonize nae anajaza achia mbali davido.
Uongo sana
Harmonize ziara zake nyingi ni katika nchi za Jirani za waswahili wenzetu Diamond kavuka hadi nchi za Afrika Magharibi na Davido kuna nchi hapendi kuzitembelea .Kwa hivi hawako sawa
@@user-sp3gg7id8q Harmonize ziara zake nyingi ni nchi Jirani Kwa waswahili wenzetu huko ndio anga zake. Diamond ameenda zaidi hadi Afrika Magharibi na Davido ana nchi chavhe anazotembelea na viingilio navyo vinavhangia kujaza na mwenyewe unavyotaka. Kufanya shoo ya viwanjani au kwenye maholi na ma VIp
@@user-sp3gg7id8q umeanza kutumia youtube 2021😂😂😂 hujui kitu alafu sai umeacha kutype ule upuzi wa kununua views kwa youtube
The sound quality is top notch aiseee.
The interviewers hawajatulia kila mtu anarupuka na maswali na flow of interview and questions kutoka huku kuruka huko kurudi huku. Guys take your time have a plan on how you going to do a interview wacha kurupuka na maswali
No chemistry amongst the interviewers
Binti maswali yake ya kiumbea mno sio ya kujenga,ahamie kipindi cha mipasho,still have long way to go
Akili nyingi
International manager
Don kama don 😂😂😂😂😂😂😂 wanyooshe baba
The one
Mjini ya watoto wa mjini
I feel for that lady... Silly question!
56:37 Watangazaji wako hawa kufanya background check vzr. Most of the questions ulishajibu kwenye interview zako before ni ajabu leo mtu anauliza kuhusu wazazi wako. Please train them
Kbs kbs ndugu.......presenter wake wanatakiwa wawe makini sn coz kuna huo ushindani mkubwa
Kindest gang for everyone
Kabisa kaka salamu
AY amekaa kwa muda mchache kuliko wote Studio ila ndo ameuliza maswali ya muhimu kuliko wote
Nawapata vizuri toka Bulgaria....
Sallam sk nipo pamoja
Watangazaji mnakera sana tulieni anae ojiwa aongee
hyu dem anaulz maswl ya kisenge xna
Huyu jamaa tunataman kujua historia yake kuanzia original yake shule alizosoma ulaya aliendaje harakat alizofanya xx mnamuliza kfup
Sound nimeikubali sn ila hiyo spika hapo kwa dj itafutieni sehem isioonekana inaharibu muonekano was studio mendez
Nasikiya raha Sana kusikiya bado uko na diamond
Mwamba huyuwapa sallam sk
Uko vizur sana
Background music is too loud
Yan harmo nikama maji usipoyanya utayaoga au utafulia mponde Ila aliyebalikiwa kabalikiwa tu
🤣🤣🤣 wew kwel una shida sio bure sas hy mmakonde ana nn lbd cha ajabu ase zaid san ya kuvut moshi
Aaaaah wewe wacha uchizi wewe!!!! Kunywa dawa unaanza malazia
Sasa n maji ma n mavi,
Wewe unatombwa kweli harmonize nikama kinyes
Kwa kweli wanaomponda Harmonize ni vile wanampenda Dai. huna lazima ya kumpenda Harmonize lkn mziki mzuri uko kwake. watake wasitake
Don mendez
Dear God please surround me with people like Sallam sk...alafu yule MMAKONDE ata ikitokea ameshusha mapanga musiwe karibu nae kwa sana that nigga is too selfish and jealousy
Hao watangazaji hawajui kuhoji vizur
Unavimba Salam kondomu,kam demu mwenye wanaume 3 wanaojuan ile hawataki kukuach😸
Tatizo lilianzia wazo la salam kufungua radio station yake. Hapo vita ya kibiashara ndio ilipo anzia
mziki upo juu kuliko sauti ya wazungumzaji maneno hayasikiki vizuri sababu mziki upo juu
Mwamba yupo vzur
Konde boy on 🔥🔥🔥
Nimewaelewa
Naomba diamond anunue jumba la wasafi entertainment tu maana ligi itakua kubwa
Hiki ni kichwa
Background sound inabhoo
Watangazi walikua hawajajipanga kabsa kuweka maswal ktk makundi ya mziki,siasa ,biashara
Mendeeez
Aaaah...hii interview haiwez kuwa nzur kabisaa...kumbe chanel yenyewe niyake...yan hapo ni pipa namfuniko...
Mendez cjavutiwa jins ulivo mjibu uyo dem kuhs kutumia jna na mahusiano dah umezngua.
😂😂😂😂
Inakuwaje habari zinatufikia kabla ya host kuiachia. Hii media mpya kwetu ila interview pia ni mpya cha ajabu nimeunga unga sana hii interview mpaka nikaielewa nakuja kuipata hapa nshaichoka ila acha niishi nayo mimi mendez role model wangu!
💰💰💰💥
Ila huyu big kma unamzingatia kuna vitu vyakujifunza
Uyo dada anauliza sana personal issues kuliko maswali ya public..
😅😅😅😅alafu vtu vya ndan sana bila kupunguza ukali wa maneno
The presenters are fine, but ask the questions in order, not all of you are talking together. 👣👣👣
hapa ni dhahili kua Salam hamfikii harmonize angetunza heshima sana kama ange kataa ilo swali la kuusu harmonize alipo lijibia amempaisha harmonize na ssi wenye akili time gundua kua salam ana ufinyu wa kufikili heshima kwa babu tare nime fuatilia sana maojiano yake babu tare yuko vizr ubalikiwe babu tare
Mbona hamna kibaya alichoongea hapo, si ameeleza jinsi ilivo kuwa au skuiz mtu akisimulia jambo lilivo kuwa ni ufinyu wa akili😂
Ata kicha huw anatuona , wazma cc ndo vchaaa , you know ? The final thing after understand is judging
Kitu ambacho hukijui Salam sk sio levo za hamo. Hamo Ni mtoto mdgo sn kwa sk ww imekuuma kusikia sk anaongea bila kumuogopa hamo na sk anajiamin yn hatetelek kuhusu hamo kwhy ww umeona ivyo bc imekuuma sn dogo tulia home ndo anatafuta ujiko kwa sk
Iko kidem ni kishamba sana kinajifanya kinyamwezi af Hakina unyamwez wowote af cha Ajabu hata Question anazouliza anakatwa tu nishai, inshort iko kipresenter cha kike akijui kuuliza maswali"
Anauliza personal issues sana
Why you didn’t put harmonize his picture in the studio?
Coz it's not necessary
@@officialjaygravity1915 it is necessary, causes the greatest of all time is and the icon of Tanzania music
@@basesabasesa8660 you are not serious🏃🏃🏃
Mendez kama mendez
Mwamba huyuhapa
+974 🇶🇦✌
KONDE BOY 🇹🇿
Hapo kwa show amedanganya sana hapa USA wanakuja kwa pesa ndogo sana.ahache uongo.tena wanao waitahapa USA, ni sisi wa congo.
😜 uboya uwoo
?
Nani cake ya Taifa?acheni Taifa na mambo ya kipuuzi
harmonize yuko juu salamu hamfikii harmonize majibi yake yakujikakamua ila ukweli harmonize kwa salam harmonize ni mkubwa Kama angekua mkubwa asinge jibia chochote ila leo naamini Salam ni kolo
💉
We wanted to support his radio, but the way he spoke about Harmonize...we are done with him. We thought he was a smart business man but he is just arrogant, no body.
We or you??
Sema ww Bi zeinab Sio we,,,,😁😁❤🇹🇿
Who r U 😂😂😂😂 umeitwa hapa
Labda kama mvuta bangi kakutuma
Hatutaki washamba wa mapenzi mpaka wanafilisika...aende Efm
Mawingu kwenye hawamtaki
Who are you by the way???
Fata iyi mziki👇👇ua-cam.com/video/IgkNV-0cL3w/v-deo.html