Bunge la viongozi sio la wananchi,yoyote anaesimama upande wa wananchi,anashughulikiwa, CCM hawapendi ukweli,wanaendeleza u babe wakutetea maovu kwa masirahi Yao, wamemnunua Hadi msigwa ili wamtumie kwenye uchaguzi kuwachafua wapigania haki! CCM ni watu wa mbinu chafu lakini tuna akili zetu
Wamekuonea bure tu,
Wewe ni Mzalendo wa kweli
Hii Ni nchi ya walaji na wasemao uwongo ila ukiwa mkweli hutapendwa na kifo kitakuita hii ndio Tanzania
Huwezi kugombana na Boss
Anae mpinga mpina Nishoga au msagaji
Komejaga nkoi
Mnakulama nyinyi kwa nyinyi, mliambiwa hamkusikia
Bunge la viongozi sio la wananchi,yoyote anaesimama upande wa wananchi,anashughulikiwa, CCM hawapendi ukweli,wanaendeleza u babe wakutetea maovu kwa masirahi Yao, wamemnunua Hadi msigwa ili wamtumie kwenye uchaguzi kuwachafua wapigania haki! CCM ni watu wa mbinu chafu lakini tuna akili zetu
Mnafiki wewe. Kwahiyo kwakuwa wapo waliotoa uongo hawakuchukuliwa hatua ndiyo nawe useme uongo?
Hakika hujutambui wewe, mpina hakuwai sema uongo, fuatilia uwe timamu na ujiheshimu sio kila sehemu unacoment tu unavyo jisikia
Hizo ni hoja za msingi acha kutumika wewe
Wamekuonea bure tu,
Wewe ni Mzalendo wa kweli