My Brother Ally Masubi Namna Ya Utoaji Wako Taarifa Unajivuta Sana Unawaza Mpaka Unamtia Uvivu Msikilizaji Uwe Unatùachia Mkubwa Wa Kazi Fredrick Bundara 😂😂😂😂😂
Habari ni nyingi sana sky peke yake hawezi kuzitoa peke yake lazima pawe na wasaidizi.nikupe tu ushauri mmoja kama unaona haunielewi ukishasikia sauti yangu usiindelee nayo maana unachokisikia ni kadiri ya uwezo wangu.
mimi ninashaka kuwa wew huna akili kuliko waarabu wote ulimwenguni Mana lengo la kuumbwa kwetu si la kuja kutengeneza ndege hapa duniani tumeletwa kwa lengo maalum
Sio wanasema au inasemekana bali huo ndio ukweli na ndio uhalisia wewe mchambuzi wa michongo naku zoom tu uzalimu wa wakoloni umekuathiri unakufanya ujizime data mara nyingi kama jana kwenye GPS umezihilisha ukilaza wako
Fungua kituo chako alafu uweke habar unazotaka ww unajihis unajua sana bishana kwa hoja makasiriko ya nn weka hoja mezan ujibiwe kwa hoja mjadala wowote mabishano lazma Ili mambo yaweze kwenda sawa acha ujuaj wako
@@Gulfnas1 waisraeli huwa si wachokozi.. waambie wahuthi warushe kombora moja Israel na liuwe hata mtu mmoja tu... ndo utajua kwanini Iran huwa inamchukia Israel
@@ElijahOwino-xe2cd Ww upo Dunia gan juzi tu hapa houthy walirusha drone TelAviv mji mkuu wa Israel na kuua Mtu mmoja na kufanya uharibifu katika jengo Moja Yan watu wanpiga meli za marekan washindwe kupiga meli wa wazeee wa kufirwa mikundu Yao ipo waz Israel
MAREKANI KAMA IVO VIFAA AWAWEZI KUTUMIA WAPELEKE VYOTE ISRAEL, MAANA MAREKANI MIAKA YOTE ANAANGAIKA NA WAARABU ILA ISRAEL MIEZI 10 TU, WAISLAM DUNIA NZIMA HAKUNA AMBAE AJAMWAGA CHOZI.😂😂😂
Wewe ni mbumbumbu mzungu wa reli.Unataka kuchekesha walionuna.Yaani Israel Yuko juu kuliko Marekani.Watu kama wewe Hamjui hata dunia inaendaje.Sikia Sasa taifa la Israel limewekwa hapo na Muingereza mwaka1947 kwa ruhusa ya UN na linaalindwa na kusaidiwa na Marekani kwa muda wote huo mpaka Sasa.Nenda ukasome.Hujui kitu.Kasome maazimio ya umoja wa mataifa.Kasome vitabu vya historia.Sikiliza makala mbalimbali zinazohusu mgogoro wa Israel & PALESTINA.Huenda ukaelewa.
Kazi mzur Sana wahudh na lran
Keep going Houthi mpaka waache kufatilia nchi za watu hao waamerika washenzi
Wakipigwa mnasema Marekan mbaya😃
Sasa kumeanza kunoga. Asante urusi kwa kutuliza ghasia mashariki ya kati. Wataelewa tuu
Safi kabisa
Good job ❤
Kazi njema kwa wa usi...
Asant sana Putin Russia idumu milele
Kazi nzuri 😂
VIVA HOUTH
Yaan marekani na kufuatilia maisha ya nchi za watu hawajambo
Wanaume kama wanaume... houthy moto wa kuotea mbal
@@mohamedaley5632 Sana moto mkubwa, natoka mocambique
Inagharimu dollars haina maana dollar si wanatengeneza wenyewe hayo ni makaratasi wanaprint
We sihujuwi ndiy mana unasema ivyo
Marekani hawatengenezi pesa, af km unachukulia hivyo huko marekani kucngalikua na kz coz pesa ingalikua unapewa tu
Kazi nzuri
Wow❤
Hivi vitu vinafanyika sana ila havitangazwi vyombo vyote vya habari ni vibaraka wa magharibi
🙏
81b wangenipa mm tu
Sas pesa yote io Billion 81 mkisaidia watu ila USA watengeneze tu ndege kua watu
Wanaume kazini
Allah awasaidie wote wanaopambana na waonevu wote Duniani kila kiumbe Duniani anahaki yakuishi kwa furaha duniani
Allah awasaidie Marekani ni tatizo Duniani
Sio wanasema ndiyo ukweli uo Mr masoud
Na bado kama vita rasim na iran itaanza kuna ile njia ya meli ambayo ndio inatumika sasa hv ikafungwa kabisa na yenyewe
Mzuri kabissa 🇾🇪🇾🇪🇾🇪🫡🫡🫡🫡
Safi safari hii nikuwatia hasara tu hawa waonevu
Mutalia saaana nyie makolo/Israel ni moto wakuotea mbali🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
😂😂😂
Duh
Hakika nijambo lafuraha
Kwani Dj Sma yupo wapi ???
Hiyo drone ni kubwa sana mbona hiyo Visio hamtuonyeshi na nyinyi Nani waongo mno rete ushahidi
My Brother Ally Masubi Namna Ya Utoaji Wako Taarifa Unajivuta Sana Unawaza Mpaka Unamtia Uvivu Msikilizaji Uwe Unatùachia Mkubwa Wa Kazi Fredrick Bundara 😂😂😂😂😂
Habari ni nyingi sana sky peke yake hawezi kuzitoa peke yake lazima pawe na wasaidizi.nikupe tu ushauri mmoja kama unaona haunielewi ukishasikia sauti yangu usiindelee nayo maana unachokisikia ni kadiri ya uwezo wangu.
Wakwaza leo
Yan niee mnawasapot gaza na wahun wenzake tutoleen fanyen uchambuz usioegemea upandeeee
Fatilia wewe kwingine wanakoelemea unako taka wewe.
Chizi kweli ww
Ckiliza bbc itakufaa
Watakuja kulia vibaya mbwa hao😂
Pumbavu wewe ramba inye ya Makaburu..Wahuti ni washujaa the dont kiss white man ass.
Mbona hamsem submarine ya urus imezamishwa na Ukraine au ni uchungu kwenu
Nenda BBC umefata nini kama hawatoi tarifa za urusi 😂😂
Kwan Update zoote za Vita ndo utazipata hapa ndgu....haya ya Urus hujanambia na vp ya Ukrain yamekwmbia yote ?
Ile habari ya mchongo hakuna submarine ya urusi iliyozamishwa.
Kumbe ww shabiki wa BBC ,CNN,TRW Ndio maana wanatangaza Ukaine is wining kumbe ni Urongo tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi huko Kwa warabu hakuna hata mtu Moja mwenye akili?
Wewe ukijiangalia vizuri unae Akili?
umejiuliza Marekani na nchi za kiarabu ziko umbali gani?
Toka lini mwarabu akawa na akili,huko madrasa wanajifunza kutengeza ndege?
😂@@vincentcharles4385😂😂😂😂😂😂😂 ila jamani daaaaaa ila Kuna kaukweli Kwa mbalii
mimi ninashaka kuwa wew huna akili kuliko waarabu wote ulimwenguni
Mana lengo la kuumbwa kwetu si la kuja kutengeneza ndege hapa duniani
tumeletwa kwa lengo maalum
Sio wanasema au inasemekana bali huo ndio ukweli na ndio uhalisia wewe mchambuzi wa michongo naku zoom tu uzalimu wa wakoloni umekuathiri unakufanya ujizime data mara nyingi kama jana kwenye GPS umezihilisha ukilaza wako
Bro mbona maneno makali sana, anajaribu kuongea kulingana na ufaham wake
Fungua kituo chako alafu uweke habar unazotaka ww unajihis unajua sana bishana kwa hoja makasiriko ya nn weka hoja mezan ujibiwe kwa hoja mjadala wowote mabishano lazma Ili mambo yaweze kwenda sawa acha ujuaj wako
@@Gulfnas1hatutaki ufahamu wake Bali uhalisia
Za marekani zinadunguliwa ila za waisraeli huwa ni invisible... chezeni tu na marekani ila usijaribu huo upuuzi kwa Israel
Mwambie nae apeleke Yemen
@@Gulfnas1 waisraeli huwa si wachokozi.. waambie wahuthi warushe kombora moja Israel na liuwe hata mtu mmoja tu... ndo utajua kwanini Iran huwa inamchukia Israel
Connect your brain before talk
@@ElijahOwino-xe2cd Ww upo Dunia gan juzi tu hapa houthy walirusha drone TelAviv mji mkuu wa Israel na kuua Mtu mmoja na kufanya uharibifu katika jengo Moja Yan watu wanpiga meli za marekan washindwe kupiga meli wa wazeee wa kufirwa mikundu Yao ipo waz Israel
Waisalmu sio magaidii na kuuwa kila mtu wao wanapiga yule adui alokuwa anampiga na sio watoto na wanawake
MAREKANI KAMA IVO VIFAA AWAWEZI KUTUMIA WAPELEKE VYOTE ISRAEL, MAANA MAREKANI MIAKA YOTE ANAANGAIKA NA WAARABU ILA ISRAEL MIEZI 10 TU, WAISLAM DUNIA NZIMA HAKUNA AMBAE AJAMWAGA CHOZI.😂😂😂
😂😂😂 kwel we kilaza aiseee!! Hiyo Israel 🇮🇱 bila America na nato unadhan ina maisha
Hii sms yako itunze ipo siku utaikumbuka au utajuta kuunga mkono na kuwaombea dua wachafuzi wa ulimweng wazayuni
Wanashambulia watu ambao hawana hata drone wanatumia rpg na rifles na bado hamuwawezi
Wewe ni mbumbumbu mzungu wa reli.Unataka kuchekesha walionuna.Yaani Israel Yuko juu kuliko Marekani.Watu kama wewe Hamjui hata dunia inaendaje.Sikia Sasa taifa la Israel limewekwa hapo na Muingereza mwaka1947 kwa ruhusa ya UN na linaalindwa na kusaidiwa na Marekani kwa muda wote huo mpaka Sasa.Nenda ukasome.Hujui kitu.Kasome maazimio ya umoja wa mataifa.Kasome vitabu vya historia.Sikiliza makala mbalimbali zinazohusu mgogoro wa Israel & PALESTINA.Huenda ukaelewa.
Mungu akusamehe maana hujui ulisemalo
Hamuna lolote/ waislam siku nikama watoto wadogo/hivi unaamini Putin anaweza akawa beneti na magaidi wa kiislam kwa aslimia.mia,kuweni makini 🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖
Gaidi ni mama akoo,ndo mnaolewa wanaume kwa wanaume.. kanisani