TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
Вставка
- Опубліковано 3 тра 2024
- TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR (الاستغفار) | KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za AL-ISTIGHFAR katika kupata utajiri mkubwa. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata ukwasi.
Maelezo yake:
Surah: Nuh (71)
Ayah: 10-14
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an akisema:
فَقُلْتُ ٱسْتَغْفِرُوا۟ رَبَّكُمْ إِنَّهُۥ كَانَ غَفَّارًۭا. يُرْسِلِ ٱلسَّمَآءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًۭا. وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَٰلٍۢ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّـٰتٍۢ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَـٰرًۭا. مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًۭا. وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا.
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
**********************************************************************
Shukran yaa sheikh Mwenyezi Mungu akuepushe vijico na hasidi 🙏🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insh Allah Taala. 👐
Naam shekhe wetu Allah akujaalie kher zaidi mm naamini sana kuruani inasir nyingisan kwaweny kuamini
Bila Shaka. Shukran sana kwa maelezo na maoni yako. Allah (SWT) Akubariki. Ameen!
shukran sana sheikh wetu
Tabarakallahu. Barakallahu Feek! 🙏
Jazakallahu kheir Al habib, Hili kama mtu hajafanya huweza kuona kama Masikhara lakini Allah kisha sema, ukifanya hivyi Allah atakupa kadhaa wa kadhaa n.k, Mie ni moja wa Watu ambao Allah alinifanyia mambo makubwa kabisa kwa Istighfar tu Sina Shaka na hilo.. Jenga Yaqini sasa kisha kaa chini utaona Maajabu yake..
Barakallahu Feek ya Habiby. Nakubaliana nawe 100%. Maneno yako yanazidisha ladha katika mazungumzo haya. Kuwa na yaqeen ndio kufaulu. Allah (SWT) azidi kutupa mazuri duniani na akhera. Ameen! 👐
Maa Shaa Allwah…kwa faida hii uliyotupatia, Allwah akupe umri mrefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhera, na akuruzuku kwa kila unalo muomba bi-idhinilah In Shaa Allwah
Ameen ya Rabb! Insha Allah. Allah (SWT) atupe mazuri hapa duniani na kesho akhera. Ameen!
MashaAllah ...Allah atufanye tuwe miongoni mwa wenye kumkumbuka na wenye kutubia kw wingi
Tabarakallah! Ameen ya Rabbal 'Alameen! 👐
Jazakallah heri,Allah akulipe heri duniani na akhera huna choyo na elimu yako
Ameen. Waiyyaak 🤲🙏
Allahu akbar ❤❤❤
Alhamdu Lillah! Shukran dadangu 🙏
Shukran sheikh kwa ukumbusho
Allah akuhifadhi
Ameen ya Rabb! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!
Aa ww ni kweli kabisa, jazaka Llahu kheir from Msa, baraka Llahu fiq
Ameen. Waiyyaak. Karibu sana Dada!
Shukran shukran shukran shukran 😢😢😢
Afwan! Afwan! Afwan Sana. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏🙏🙏
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH Kheri sana.
MASHA ALLAH. BARAKILLAHU FEEK!
Mashaallah
Tabarakallah! Shukran!
Shukran jazeelan
Waiyyaak Ukhtiyal Azeezah! Barakillahu Feek.
Shukran jazza yako Kwa Allah sheikh
Afwan. Waiyyak. 🤲🙏
Allahumma Ameen. Jazaak Allahul kheir
Ya Rabbal 'Alameen 🤲🤲🤲
Aslm alkm ww.... Allah Kareem. Jazakallah kheir 🙏 Masha Allah!!!
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Allah Akramul Akrameen. Barakallahu Feek.
Mashallah ❤️ ❤️ allsh atujaalie tuwe ni miongoni mwao
Tabarakallahu! Ameen ya Rabbal 'Alameen. Shukran sana.
Shukran sana sheikh
Karibu dadangu mpendwa! 🙏🤲
God bless you
Ameen. All of us. Shukran 🤲🙏
Allah akuzidishie,nimekuelewa mno kama unagroup wattsap naomba kuingizwa ili nipate faida zaidi inshaallah
Ameen Ya Rabbal 'Alameen! La sina group. Insha Allah, nitaanzisha. Shukran! 🙏🤲
Ameen thumaanin
Ya Rabb! Ya Rabb! Ya Rabb! Qabul! Shukran.
Wlh alhamdunillah ISTIGHFAR my change your life
Masha Allah! May Allah (SWT) Give us Yaqeen about Qur'an so that we can apply in life 🤲🙏🙏🙏🙏🤲
Mashaallah mafunzo mazuri sana. Tafadhali kidogo harakisha katika kueleza. Shukran
Mshkuru Allah umepata hio elimu bure kabisa hata kama anaelezea taratibu …
Asalam alaikum waramtullah wabarakatuh. Ostaz jazakallahulghair
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Waiyyaak! Barakillah Feek! 👐🙏
Shukran and Ameen for the last dua you made . I went through the comments and some people talk trash here may Allah guide please sheikh don’t take it personal wasamehe kwaajili ya Allah.
Allah azidi kukuhifadh
To be clear: is saying istighfar “ استغفرالله…?
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. I understand that and I always guided by this Ayah 199 of Surah Al-A'raf:
خُذِ ٱلْعَفْوَ وَأْمُرْ بِٱلْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ ٱلْجَـٰهِلِينَ ١٩٩
Meaning: Be gracious, enjoin what is right, and turn away from those who act ignorantly. May Allah (SWT) Bless us abundantly. Ameen! 🤲🤲🤲
Ameen yaraabil Alameen
Taqabbala Allah Minna wa minkum swalihal A'maal.
MashaAllah shukraan sheikh
Tabarakallahu! Barakillahu Feek!
Ma sha llah
Shukran sheikh
Allah akubariki
Tabarakallah! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!
Jazak'Allahu Khairan
Afwan. Barakallahu Feek ya Akhylkareem!
Mashallh mungu akuzidishie kheri Inshallah
Tabarakallah! Ameen! Sote ya Rabb! 👐
Shukran jazaqa Allah khayra
Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🙏
@@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin
@@user-qv8uo3bc6o Ya Rabb! Barakillahu Feek. 🤲🙏🙏🙏
@@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin kwasote pia
استغفر الله العظيم
Ameen! Wa Atubu Ilaih!
Mashaa Allah, shukran sheikh
Tabarakallahu. Shukran Dadangu! 🙏
Swadkta wallahi shukrani
Barakillahu Feek ya Ukhtyal Azeezah!
Shukran d
Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!
Shehe Mimi kwanza nashukuru sana halafu ninashida Moja kubwa naomba msaada wako
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Nakushukuru sana kuwa mfuasi mkubwa wa channel yangu. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Naomba unielezee tatizo lako huenda Allah (SWT) Akatupa Tawfiq na tukaweza kulitatua.
Asante nashukuru nimekaribia naomba Dua zako maana nimekua mzito wa kufanya mambo yaheri
@@TatusuleimaniShauri Allah (SWT) Akufanyie wepesi katika mambo yako yote. Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲
اللهم صل علي محمد و علي آل محمد كما صليت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد و بارك علي محمد و علي آل محمد كما باركت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد بقدر عظمة الله و قدر جلال الله و كماله عدد الشفع والوتر وكلمات الله التامات الطيبات المباركات
آمين يا رب العالمين. بارك الله فيك وجزاك الله خير الجزاء.
shukran
Afwan. May Allah (SWT) Bless you abundantly. Ameen.
Amiin yaarabi
Ya Rabb, Ameen Thumma Ameen!
Shukran sheikh ..dua ya kuondoa hasad tafadhali ukipata mda inshaaAllah
Afwan. Insha Allah, nitakutumia hiyo Dua. Shukran.
Ntashukuru Allah akuzidishie elm na kutuletea faida inshaaAllah
@@anyeresa928 Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah utasoma dua hii kila siku baada ya swala ya Subhi na Ishaa mara moja moja. Kwa uwezo wa Allah, Allah (SWT) atakuondolea na kukukinga hasadi ya aina yoyote. Na hii ndio Dua:
بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ مِنْ كُلِّ شَيْءٍ يُؤْذِيْنِيْ، وَمِنْ شَرِّ كُلِّ نَفْسٍ أَوْ عَيْنٍ حَاسِدٍ، بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ اللهُ يَشْفِيْنِيْ، مَا شَاءَ اللهُ كَانَ، وَمَا لَمْ يَشَأْ لَمْ يَكُنْ، وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللِه، أَسْأَلُ اللهَ الْعَظِيْمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيْمِ أَنْ يَشْفِيَنِيْ وَيَشْفِيَ مَرْضَى الْـمُسْلِمِيْنَ .اللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ يَا خَيْرَ حَافِظٍ مِنْ كُلِّ شَرٍّ، وَمِنْ كُلِّ حَسَدٍ وَعَيْنٍ، وَاجْعَلْنِيْ فِي ضَمَانِكَ وَحِرْزِكَ وَأَمَانِكَ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ اصْرِفْ عَنِّي كُلَّ مَنْ أَرَادَ بِيْ شَرّاً، وَأَشْغِلْهُمْ فِي نُفُوْسِهِمْ، وَكُفَّ أَيْدِيْهِمْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعْلَمُ أَنَّهُ لَمْ يُصِبْنِيْ إِلَّا مَا كَتَبْتَهُ عَلَيَّ، وَإِنِّيْ لَا أَخَافُ أَحَداً مِنْ خَلْقِكَ مَا دُمْتَ أَنْتَ مَعِيْ، فَاللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ وَاحْرُسْنِيْ. اللَّهُمَّ إِنِّيْ وَكَّلْتُكَ أَمْرِيْ، وَأَنْتَ حَسْبِيْ وَنِعْمَ الْوَكِيْلِ، اللَّهُمَّ أَخْرِجْ كُلَّ دَاءٍ أَصَابَ جَسَدِيْ، وَرَدِّ كَيْدَ كُلِّ عَيْنٍ نَظَرَتْ فِي رِزْقِيْ، وَاكْفِنِيْ شَرَّ خَلْقِكَ الْـحَاسِدِيْنَ. اللَّهُمَّ لَا تَجْعَلْ نَفْسِيْ حَاقِدَةً حَاسِدَةً، وَارْزُقْنِيْ الرِّضَا وَالْقَنَاعَةِ، وَلَا تَجْعَلْنِيْ أَمَدَّ بَصَرِيْ إِلَى غَيْرِيْ، وَرَضِّنِيْ بِمَا رَزَقَتَنِيْ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ بَارِكْ لِي فِيْمَا رَزَقْتَنِيْ، وَاصْرِفْ عَنّي شَرَّ الْأَشْرَارِ، وَكَيْدَ الْفُجَّارِ، وَطَوَارِقَ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ. اللَّهُمَّ احْرُسْنِيْ بِعَيْنِكَ الَّتِي لَا تَنَامُ، وَاكْلَأْنِيْ بِمُلْكِكَ الَّذِيْ لَا يُضَامُ، وَاحْفَظْنٍيْ يَا حَيُّ يَا قَيُّوْمُ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِكُلِّ اسْمٍ هُوَ لَكَ أَنْ تَصْرِفَ عَنِّيْ كُلَّ عَيْنٍ، وَتُعَافِيْنِيْ مِنْ كُلِّ حَسَدٍ . وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وسلم والحمد الله رب العالمين.
Aminaana
Ya Rabb. Shukran.
Masha Allah tabarakallah ❤️🫰🏾
Tabarakallah. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏
MashaAllah shukran ngoja ni subscribe nizid kupata faida
Tabarakallah. Bila shaka! Faida utazipata insha Allah. Karibu sana dadangu mpendwa.🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤
Shukran Sana 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏
Aa ww ni kweli hta mimi istighfr na S. A nnby iminipeleka umra Alhamduli Llah jazaka Llahu kheir
Masha Allah! Tabarakallah! Allah (SWT) Atuafiqie kheri zote. Barakillahu Feek!
Ameen
@@herryhabibu9258 Ya Rabbal 'Alameen. Shukran.
Shukran ya sheikh
Waiyyaak. Allah (SWT) atupe kheri zote. Ameen! 👐
Hio ALSTIGHFAAR ni dua upi ama unaisoma vp,,,,mwenye kuifaham namba anijuze inshaallah
Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran kwa swali lako. Kinachohitajika kufanya ni kufuata yafuatayo:
Utaratibu wake:
Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an.
The miss understood religion
Allah Akbar! Allah (SWT) is Great! Kindly. See my comments below 👇. Barakallahu Feek ya Habiby!
Alhamdulillah sheikh nayapenda mawaidha yako na I ivi kwa Sasa naanza kuyaona mabadiliko kwa duaa hiz na adhkar namuomba mungu mwingi wa Rehema akujalie afia nzuri na mafanikio mazuri fii dunia wal akhera 🙏🇷🇼mashallah tabaraka Allah 🙏
@@user-oj1yp1tt1t Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah Taala. Shukran.
@@user-oj1yp1tt1t Ameen! Ameen! Thumma Ameen! Barakillahu Feek!
Quran haikuja kuwatafutia watu utajiri hebu ifike wakati hii dini tuwaachie wanaojua hii dini watufundishe haya ukishajuwa tajiri ndio inakuwa nini?
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Kwanza nakushukuru kwa maoni yako na tunayaheshimu sana. Ila ni kwamba maneno yako yatufahamisha kiwango chako cha elimu. Nadhani ni busara kubwa kutorevusha ujumbe wangu kwako. Kwa ufupi Qur'an imeletwa kwa manufaa ya wanadamu. Nawe una khiyari ya kunufaika au la. Usiwe mbishi kwa mambo yalobainishwa wazi ndani ya Qur'an na wanavyuoni wakubwa wakayathibitisha na kunufaika. Qur'an inatutaka tujue, tuizingatie na kufwata. Na hizo ayah ziko wazi. Allah (SWT) ni mjuzi wa yote! Shukran sana Kakangu na nakupenda kwa ajili ya Allah (SWT).
Acha chuki kaka hiy ni sifa ya hasid Allah akulind my lecturer
@@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb. Shukran Habib!
Angaliya kaka ktk surat Nuh aya ya 10 -12 inaelz waz waz inasema aya 10 “ Nikisema ombeni msamaha kwa mola wenu mlezi,hakika yeye ni mwingi wa kusamehe. Aya 11 “ Atakuletea mvua inyeshe mfululizo. Yan kwa man ya kwamba mvua iwe rutuba ktk ardh tuwez kupat mazao ambay sisi ni chakula kwet. Aya ya 12 Atakupeni mali mali, na wana (watoto) na atakupeni mabustani na atakufanyieni mit na pia nakuongzy aya ya 13 Mna nini hamuweki heshima ya M/mung? Pmj na Aya ya 14 Na hali yeye kakumbeni darja baada ya darja
@@mohamedalidini Allahumma amin Yarabby:InshaAllah my lecturer