BREAKING: Nyumba za NSSF Kigamboni zapigwa mnada
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' na kusimama ujenzi wake mwaka 2016 unapigwa mnada.
Kuliripotiwa kuwepo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo na sasa anatafutwa Mwekezaji atakaeuchukua.
Unatudhalilisha sana tunaoishi UK unaongea kingereza cha hovyo bora ungeongea kiswahili tu
How can some one stay in UK for 15 years and yet speaks broken English than our Swahili speaking bilingual. Let us learn from our surroundings guys. Anyway Yono are doing real a great job.
😂😂😂😂😂
😅😅😅Kamugisha..! don't you ever do that again..15 yrs in UK.?Reaĺly.!
Mh!!!with about over.. Wahaya bhana.
KAMA AMESHI UK KWA MIAKA 15 LUGHA NDIO HIYO JE WAKATI HAJAENDA?NA HUYO MKURUGENZI NI BORA ANGEPIGA KISWAHILI TU HAYA MAMBO HAYAHITAJI ULIMI MGUMU
Jorge jorge miaka 15 daaah kaboa sana
Yule Bw. Mabakila wala hajawahi kuishi UK hata mwk 1!!
Kweli babaake hiko kiingereza Cha vidudu yaani ametia aibu Bora angeongea kiswahili
😂😂😂
but why..hawa yono vipi jamani na kizungu hiki..ndo kukaribisha wazungu daah
Aliesikia ndege bichi agong,e like twende sawa
Tanzania mzuri sana kweli 🌹
Uyo mshaji bora aongee kiswahili tuu kizungu awaachie uk
😂😂😂 ana struggle kweli
Aminaa mjuz wa lugha Yan kwa kifup Amna lugha nyepes ata nzungu utaskia anatafuta jins ya kulitamka neno lake mwnyewe la kingereza uyo rafidhi kutamka kumemshinda lkn ata angeongea kiswahil ingemkosoa na uo mrad mbona mabilionea wapo hapa Tanzania Kina mzee bakharesa ,shabiby Mo dewij na wngne wangesaidiana kuwekeza na kungependeza tu
jamn Bora ungeongea Swahili tuuu Daaah Weeeee Watu wapo UK Miaka 25 na zaidi lakin Swahili watu wanaichapaa mbayaa. Utumwa Walugha Haujawahi acha Mtu Salama Aisee
Kwani amekukwaza ? 😁😁
Wahaya kwa kupenda kiingereza tu hawajambo ila bahati mbaya rafudhi mbovu
Ntale Nasson ha ha ha
halafu ngeli yenyewe mbaya ni bora tu angeongea kihaya
Tena Kama yule aliekaa uk miaka 15 ndio bure kabisa
siyo rafudhi tu hata yai lenyewe halivunjiki ! imagine ameish UK zaid ya miaka 5 bt bado anavunja yai kwa shida kabisa ahahahahaaha
Ntale Nasson siyo Rafudhi tu hata english yenyewe anagonga miguuu no gramma
yono kweli ni madalali but mradi huu wao kupewa ni another loss.I don't think if they have that capacity.second, nafikiri serikali imewahi kuchukua maamuzi kuhusu hiyo project maana hizo ni fedha za members Wa nssf waliokua wanapeleka contribution zao.I think serikali ingewahusisha wachangiaji Wa kwenye fund kwanza kusikia maoni yao kabla ya kupeleka mradi sokoni like that.third I think who every was involved in that project did some securitization and collateralized the future cashflow of the project through rental income or house sales. now with recession we are experiencing now no magic is expected those house uptake won't be much.
maybe yono instead of looking for individual buyers and corporates in silos they could think of forming a consortium of brokers and approach banks or capital market to establish a secondary market to mortgage those houses.minding that payback period of the project was say more than 15years now that decision decided by who ever in the office will have financial impact and reputation risk to the fund which is very bad for business.
the statement concerning the sale of the project is enough to cause confusion to members and contributors.
am aware of SSRA what is their professional advice on this outfit to members of the fund and to the existence of the fund...I think yono would act much smart to see the regulator instead of taking up the deal cause of commission to be earned from the sale of that project.
I can bet this decision is a double loss to whoever made it go publicly.
Henry Maro vision and wisdom have left the building. This project would have been a huge investment for nssf if one looks beyond cutting the nose to spite the face
well said bro.
Henry Maro sijui nan yupo nyuma ya yono ila kiukweli saiz yao ni kushika magari barabaran, by way kila mbuzi anakula kulingana na kamba yake na huyu mama sio mchaga kama mnavyo sema i think ni mnyaki
Henry Maro Wee👉😈😈😈😤!!!.Hakuna Mnyaki aitwae Mushi.mxcuuu.
Dah jama-jama... Nyeee.
Kingeee😂😂😂...Chill man!Kiswahili kingefaa zaidi mzee!
Allah ibariki Tanzania pamoja tutafik
Unaishi USA kwa zaidi ya miaka 15 alafu kiingereza bado kibovu namna hiyo!?? huko USA watakua wanacheka sana, Wazungu wakija kukaa hapa TZ miaka miwili tu wanaongea kiswahili kimenyooka kama wamezaliwa huku. Diaspora jifunzeni lugha msituaibishe huko mlipo
Ongeya luga yako toka lini mwingereza nchini mwake ulishasikya ananongeya luga ya kigeni?
Sasa mbona wewe kiswahili kinakupiga chenga😂😂
Duh jamani acheni kiingereza...aibu
Ok
USD 350 nini?
Hivi nyie watanzania hivi kuna mwekezaji yeyote anaweza kuja kuwekeza kupitia kwa broker? sijui tumelogwa? halafu tunasema tumesomea marketing na economics
Kwannza mpaka JPM abadilike. Na Kwa kweli ni hatari.watu no waoga. Na WA ya hawana pesa, Kwa sababu mlaji WA chini Yuko Hali mbaya Kwa pesa mfukoni na bank hawakooeshi Kama mkopaji hasomeki.
Jamani hongereni but those men who are speaking they're not from UK those pronunciation are either Ugandan's or rwands's Ila Wa mama are Tanzanians sasa be specific mctushike maskioooo 😂🤣😂 the good thing is ppl knows some issues
Lydia Thadeous dada wanaishi UK,huyo mkaka uliomuona anaitwa Juma anakaa Mji unaitwa Reading. ni mjanja mjanja wa mjini enzi zake alikua mchanjaji tena hapo kizungu mbona kimenyooka kupita maelezo. yaan ungemuona miaka hio 10+ iliopita ndio ungejua saa hii amekinyoosha km rula
Hivi nyinyi mbona msiongee kiswahili kizungu waachieni wenyewe shida mnajig'ata mno
May be the guy meant to say 15 days instead of years.:-)
I'm telling you😂😂😂😂
@@richhustl1931 so its going to finish in 15 years ?
Mmmmmmmmm? More than 15 years
Njoo tuuchukue mradi basi
Lugha yetu ya Kiswahili ni miongoni mwa Lugha bora duniani.. Acheni kuwa watumwa wa Lugha za wageni... Mmejinyima haki yenu ya kutufikishia ujumbe kwa ufasaha zaidi kwa sababu ya Lugha.. Poleni sana..
Yaan nishida Kwa wa tz kua watumwa hadi ktk lugha
hujui kingereza aibu
Huyo mama kasema mradi una thamani ya usd 350 sidhani kama yupo serious ts almost laki saba na hivi sidhan kama yupo serious
John Cor kumbe umemsikia na wewe Usd 350 nini sasa milion or bilion hundred.
John Cor ni USD 320 million. mother alipanic
John Cor 😅😅😅 wanajigonga miguu sasa sijui alikuwa anamaanisha Million or billion lakini mkurugenzi kambeba brother
Haha perhaps he meant USD 350 "shillings" its beyond belief!
John Cor
Umesikia eh naenda kununua 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️350
Eti alikuwa Uk ? Hata maimunaaaaaaaaa kasema tis project 😜😜😜😜😜muhhhhhhh warudushe kizunguuuuuu tuuuu au? Best?
Sura ya Hiuyu Mazaaa🤣🤣🤣Akitumwa Aje Kukudai Utakomaaaa
Ths is too big for yono this project need an internation firm this is not suctioning cars?!
About over 😂😂😂😂😂😂 jamani hivi kiswahili kigumu kuongea
😂😂😂
5:30 *With about over* ...khaaaa!
Watanzania tunajulikana nje ya nchi kwamba tuna kiingereza kibovu sana ingawa ni ni lugha ya kufundishia kwa sekondari na vyuo.
Hii ndiyo Tatizo la kuchukulia taaluma ya habari kama kipaji wakati unapaswa ukae darasani.Kichwa cha habari hakisadifu yaliyomo ndani nyumba zimepigwa mnada wakati ndiyo wanatafuta mteja what's the freaking heal.
kweli dalali ni dalali tu, hawa watu huwa hawana any official credential for marketing zaidi ya kupiga upatu tu ujanja ujanja mwingi sana mdomoni hii nchi something need to change we should have officially marketing educated brokers udalali huu tatizo ni matapeli waliohalalishwa na nani sijui.
he he he living in UK for 15 years and yet you speak like a grade one student, bravo just speak your mother tongue
Mmhh! Kithungu 🤔
$350=1061268/= wabongo itawashinda milioni moja ngoja nimuibie bi mkubwa😁😂😁😂😁😂 kidhungu hakihitaj mbwembwe
Ivi ni kweli usd 350 tuh raha kweli
Mradi unathamani ya us dollar 350....dah! Kweliii
Hao wazungu walio katwa kimeo huwezi pata mwekezaji kwa makodi ya nchi him hicho kijiji kimilikiwe na ccm au serikali
Wapi dr.Shika?
Ni muda umepita sasa vipi kuhusu huu mradi ?
Kiingereza kibaya na umeisha Uingereza miaka 15?
A,ahaaa watanzania, hawana maisha hayo. Wapangaji wa nyumba hizi kwa walengwa ni tatizo. Sababu mtanzania akiwa na uwezo wa kumiliki gari zaidi ya moja, basi kinachofuata ni kuwa na nyumba yake mwenyewe sio kupanga tena, Tanzania ardhi ni kubwa ukiwa na pesa ya madafu tu unajenga mjengo wa kifahari.
wenye shida ya nyumba Tanzania ni makapuku, na sio wenye kazi Selikalini.
haina noma mbona wageni wanaongea kiswahili broken na tunawapigia makofi acheni hizo this is business.... as long as umeelewa watu tunasonga mbele "NUNUA APARTMENT NCHI YETU IPATE MAPATO" na NSSF pia...... miradi ikue.
UK anayomaanisha ni Ukerewe
ahahahahaha nadhan ,
Hahahahahaaaaaa
Hahahaha mbavu zangu mwemwe
Nafikiri aliimanisha Ukonga..😀
Diaspora in UK with i am lack 😂🙊😱
Ahaaaa
Uko na waswahili wenzako ongea kiswahili acha ujinga lugha yenyewe gongana
Its a pity to see you guys struggling to speak English like that. Why don't you just speak Kiswahili a language you are conversant with so as to enable people clearly understand the project. Poleni sana ndugu zangu.
😂😂😂 Kwani wakiongea kiswahili kuna tatizo gani?
Okay na huyo mama $350 ndo imetumika kujenga huo mradi. Anajua dollar 350 ni sawa na laki 8😁😁😁
Jamaa anashindwa hata na kale kabinti kangu ka darasa la 3
Please forgive me. I think this guy has not lived in UK for 15years. His English speaks
Boss sio lazima uongee kiingereza, Swahili tutakuelewa tuu
Mbavu zangu jamani ,kama kakaa nje miaka 15 yuko hivyo je kabla hajaenda alikuaje? Sasa cjui kaja kufanya nini hata cjamuelewa na cjui atarudi tena huko alikoishi kwa miaka 15 , bora kiingereza cha shilole maana hajakaa nje hata mwaka
😂😂😂😂😂😂😂😂 jaman nimecheeeka huyo wa UK
Hahahah araundiiiii so wiare happy kama chekechea mkurugenzi wana bod
Jamaaa mzushi huyooooo waongeee tuu kiswahili kwa ni tatizo nini wanapata shida thuu na hiyo English
Acha ushamba miaka 15 ujui Kiswahili?Kinge chenyewe unafikilia au Ameongea Kinge ili wanjee wamuelewe?
Did he just said he lives in the UK for 15 years? 🤔
hahahaahahhahhahah
A point of correction "did he just say he's been living in UK for 15 years?" Ngeli ni shida sana my dear. Hapo na mimi nasubiri kukosolewa.
hahahaaaa Seif Abdullah we umesahau "has" tu, "he has" coz "he's =he is" na mie nasubiri correction .
Jennifer Chilongozi nipo correct mbona. He's ina apply kwa both he is and he has. Google and see.
Seif Abdullah Tv ndo mana nmesema nasubir correction kaka, don't panic tunajifunza
sio rahisi mradi kama huo mwekezaji kastuka huko baaada ya mwaka ataambiwa kaibia serekali kodi
huo mradi wa laki 7 inamaana😂😂😂😂 350 USD.
Shaban Thomas Njarita 350 MIL mzee cyo hyo unayodhani huna akili ya kujiongeza pumbavu
Naona hapo huo mradi apewe magufuli amalizie, hapo ni miezi mitatu tu atakuwa kasha kamilisha, toeni huo mradi kwa serekali naamini raisi wetu anaweza na pia miradi kama hiyo ziwe zinajengwa kwa kila mkoa.
Fifteen years in UK, au alikua houseboy kwneye nyumba ya wabongo tupu na hakuwah kwenda hata Dukani na maybe wabongo hao pia walikua hawapati hata mgeni
Huu mradi umejengwa kwa fedha za wafanyakazi maskini, faida itakayopatika igawanywe kwa wachangiaji wa NSSF😎
Ni kweli tena ingekuwa vizuri kama wangewataarifu wafanyakazi wa sector zote Serikali na binafsi labda wangeweza kujiuunga nakutengeneza umoja na wapewe kwa mkataba Ili wasimamie maana watakuwa na uchungu wa mafao yao
Serikali ichukuwe huo mradi iwape mikopo wafanyazi kwa kipindi cha miaka 20.ila kwenye maduka na malls wapangishe wamalizie kwa ununuzi mmoja moja panatisha huko
Ndege bichi twendee baba
Acheni urongo.....diaspora hawanunui ng'o mpaka mkubali kwamba watanzania raia wa nje wanahaki ya kuwa na uraia mara mbili. Hamjui kama nchi ni kiasi gani ya talent na pesa mnapoteza. mlipeana marushwa na mpango wenu huo endeleeni nao uwaozee
Sama Sob wagekubali uraia wa nchi 2 zibgeshachukuliwa
Looong time ago!! tuna usongo na nyumbani lakini ujinga mwingi, hata watu wabishe ni ukweli mtupu!
Nataka namb ya yono
Habari yako wazima wowo nimependa sana halakini sijajuwa mapema dolangapi please utanijubu
Dr Shika yujo wapi? Hajapata habari?
Je hizo nyumba zinapangiswa au zinauzwaa mbona sijaelewaje kama utatakaa kupanga nyumba bei gani feleti kigamboni
Naombeni jibu kama ipo kupanga Mm Nataka kiasi gani
😀😀😀😀 usd 300???. mama sema basi kama m.au laki
huu mradi umeshindwa mapema sanaa,
15 years in UK?!?!?
Kwa Nini mradi Huu wa sipewe chuo kikuu mlimani
Mna mention vitu sijui shule police station wakati ni mafuvu tu. Who will put his money ?
Yaani usd 350 ni nyingi mi niwape 3500$ ten times
Hebu wacheni kuwafanya watu wapumbavu! Huduma zipo wapi kwenye mapagala hayo? Ama usiku wa manane ndiyo hayo mapagala yanageuka shopping malls?
Waswahili jamani. Kwani kosa gani kuongea kingereza. Mradi huu unalenga watanzania na wawekezaji toka nje ya nchi. Kwa hiyo ni bora kwa wale wasiongea kiswahili
Toeni urai pacha hizo zitanunuliwa bila tatizo
huyu jamaa haishi UK, kiiengereza mbovu kama hiyo haizungumuzwi England, huyu ni kibaraka tu wamemchua mtaani YONA kutafuta biashara. Huwez kiishi England 15 years alafu bado anaongea kiiengereza kama ya chekechea
Pesa zetu za mafao zimeishia hukooo..ndio maana hata ukimaliza mkataba wa ajira yako hawana cha kukupa...wajanja wamekula
Hivi si muongee kiswahili Jamani hicho kiswanglish wengine hatuelewi
Huyu atakuwa wabukoba , maana atasierewi hii nger yake full mikato, mpaka nimeskia uvivu kuskiriza🙄
Excuse me sir you have lived in United Kingdom for 15 years yet you can't speak English mate. United Kingdom it English country. I have a question, all that place is been abandoned and need help or what please explain.
USDollars 350 si hata mm naweza wekeza kumbe,mama nahisi umekosea Asee
dah jamaa kanifurahisha na English take ... nzuriiiiii maana AME Wa over introduce
Ongea tu kiswahili hizo ze ze ze kibaaaao
Ah? Huyu nae three twenty million ndio namba gani? Milard surely ume acha hii video hapa kwa miezi yote hiyo. Hebu futa tu please
those building dont work.3:43 HUMANS DO NOT DO WELL stacked on each other. Tanzania has so many land? there is no need to build up!. a house , with land you can grew free food in, water access. that is it. Upgraded in life or the building is up to the owners ambition.
high rise building brings depression | stress | loneliness | pandemic {covid-19} and crime.
you can only eat with money, you can use rain water; so a need to stay employed stress people out. put people on land. land + house is best
Waje wajenge na Arusha tupate sehem bora ya kuishi.
Wajenge ngarenaro
Kitu kinachonishangaza sana bei za nyumba Tanzania ni ghali kulikoni ughaibuni kwa nini?
acha uongo wewe
marekani nyumba ya kawaida ni dola 200000
Poor english kwAni mmelazimishw kuongea english verevere ndo nn??
@@gloriachristianshirima5001 Hahahah😂😂😂
mama mchagga asanteh ila ukaawambie wenzio ngeli co kuonekana kujua
mm kaniboaje bwege kweli
There is police
haya kwa wale wenye uwezo.sie acha tukae manzese tu.maana hizo nyumba unaweza pata kisha utakosa usingizi hahahaa
kwann kitu kama icho kisipelekwe njee ya mji jamam kama ni kisarawe Kibaha au bwagamoyo kuliko kulundika kila kitu DSM
Tangaza kiingereza wabonga hakuna atakae nunua
Matobholwa manonu ananielezea Mimi,acha aendelee,ntanunua hii kitu!
😂😂😂🎉🎉 IVI HAWA WALIOANZA KUNUNUA INAKUWAJE😂🎉😂😂