KILICHOENDELEA KWENYE KESI YA WAISLAM WANAOIPINGA BAKWATA MAHAKAMANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

КОМЕНТАРІ • 120

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 3 дні тому +13

    Allah ata tujaaria na tutashinda tuko p1 mashkh wangu

  • @jeffmap4038
    @jeffmap4038 3 дні тому +8

    Big Up....

  • @adamusalimu4018
    @adamusalimu4018 3 дні тому +7

    Allah aendelee kuwaongoza na kuweza kufikia malengo ya Waislam wote.

    • @AbdulAbeidjumanneJumanne
      @AbdulAbeidjumanneJumanne 3 дні тому

      Hana sifa ya kuitwa shekh hajafikia kuitwa shekh. Labda kama inamaanisha. Shekh ya uzee sawa

    • @jumandambai3972
      @jumandambai3972 3 дні тому

      Sheikh ni wewe​@@AbdulAbeidjumanneJumanne

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 3 дні тому +7

    Penye niya iponjiya insha Allah mungu alifunguwe jambo hili

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 3 дні тому +5

    Allah atufanyiewepisi. Lengo litimie lnshaallah

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 дні тому +3

    Allaah akulinde ajaalie jambo lifanikiwe

  • @Nabeel-22
    @Nabeel-22 3 дні тому +3

    Mungu ajalie bakwata uvunjwe haina maana kwa waislamu na haipo kwa ajili ya waislamu

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 3 дні тому +5

    Sawa sheikh wetu Ponda unacmama imara ktk kuicmamia haki tumechoka waislam kubuluzwa na serikal na vibaraka wao bakwata

  • @OmarSaidy-i1m
    @OmarSaidy-i1m 18 годин тому

    Nyerere kakuachieni bakwataaaaa inaumaaa kwel

  • @ShuaibuMsofe
    @ShuaibuMsofe 2 дні тому +2

    Chuki mbaya ndugu

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 6 годин тому

    We mzee mwanga

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 3 дні тому +2

    Allaah Amrehemu na amueingize kwenye papo yake ya juu

  • @HassanMbagaland
    @HassanMbagaland 3 дні тому +4

    Mmeshendwa kupata kula kwenye siasa sasa mnadhihirisha njaa yenu waziwazi!

  • @ISSAissa-r3b
    @ISSAissa-r3b 17 годин тому

    Haki itapatikana inshallah ❤❤❤❤

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 3 дні тому +1

    Sawa sawa shekhe

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 3 дні тому +2

    Sahihi ponda
    Uko sawa

  • @HassanMbagaland
    @HassanMbagaland 3 дні тому +3

    Njaa mbaya!

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 2 дні тому

      Kivipi Yan?

    • @ramadhanimsangitzdigita
      @ramadhanimsangitzdigita День тому

      Hujui kitu Hassan kaaa kmya

    • @HassanMbagaland
      @HassanMbagaland 15 годин тому

      @ramadhanimsangitzdigita nadhani wewe pia haujui kitu so kama kimya nawe inakuhusu.
      Kuhitilafiana kwenye dini yetu nijambo ambalo lipo, si vyema kuninyamazisha kisa tu sikubaliani na kile unachokiamini wewe.
      Sote tunapambania kesho yetu iwe njema lakin wewe na mimi hatumjui aliye sahihi mbele ya Allah.
      Ukijiona unachokiamini wewe ndicho anachokiridhia Allah na wengine wote wanakiuka hiyo nayo ni shirki.

    • @HassanMbagaland
      @HassanMbagaland 15 годин тому

      Ndo maana hata Maimam wetu wakuu 4 walilumbana mwisho wakatuachia nasi tuchague kati yao wakumfuata na yeyote utayemfuata uko sahihi.
      Nadhani ungekua wewe ni mojawapo ya Maimam wetu hawa basi ungetuaminisha wewe pekee ndo sahihi kuaminiwa na ungeharamisha kuwaamini wengine na kama haitoshi ungetutia motoni.
      ALLAH ATUFANYIE WEPESI PENYE MAZITO NA ATUSAMEHE MADHAMBI YETU.

  • @HassanMbagaland
    @HassanMbagaland 3 дні тому +2

    Tafuteni kazi mfanye!

  • @MaulidHimidi
    @MaulidHimidi 3 дні тому +4

    Nyinyi mnatumika na makundi ya kimadhehebu

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 2 дні тому

      Wewe hujui kitu kuhusu bakwata ndugu ni Bora ukae kimya tu

  • @osmanmussa9979
    @osmanmussa9979 2 дні тому +1

    Allah yupo nanyi Viongozi wetu
    Mnafanya haya kwa kutaraji malipo kwa Allah
    Bakwata yenyewe tushqichoka sie na baada ya kujua ni Chombo cha nani na vipi kilisimikwa na kuuwawa kwa East African Muslims well fare Society

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni День тому +1

    Sheikh ponda vipi kuhusu ilala islamic ambayo ipo chini ya usimamizi wako umefanya jitihada gani kuwasaidia waislam au ndio vile nyani haoni kundule?

  • @HassanMbagaland
    @HassanMbagaland 3 дні тому +1

    Nana mbaya!

  • @omarizuberi7163
    @omarizuberi7163 3 дні тому

    👏👏👏

  • @RashidAhmed-h7t
    @RashidAhmed-h7t 3 дні тому +3

    Wawahi bora tuongozwe na ibibisi kuliko Bakwata vibataka wa Nyerere

  • @JumaAjali-u5f
    @JumaAjali-u5f 2 дні тому +1

    Allah alifanye liwe jepesi jambo hili .
    Ili bakwata isiwe kikapu

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому +1

    Sawa sawa...kwanza tumenyimwa..kujenga vyio viku.. universities..za kiisilamu.. lakini wale wakristo wanajenga...mashule za kikafiri..na universities

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 3 дні тому

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 3 дні тому +4

    Nyoosha maneno Ponda, sema mnataka mahakama ya kadhi!

  • @tahiralmusawa6275
    @tahiralmusawa6275 3 дні тому +3

    Ponda anasema kua waislam kua chini ya chombo kimoja bakwata ni kinyume cha sheria za nchi na Haki za kibinadamu.
    Huyu ni mpotoshaji na anatumiwa ili waislamu wasiwe na chombo chao kimoja.
    Wewe ponda na wenzako na wala sio msemaji wa waislam wa Tanzania.
    Bakwata haijanzuilia mtu kuanzisha taasisi yake .

  • @victorkelvin5156
    @victorkelvin5156 15 годин тому

    Kesi inahusu Bakwata lkn comments naona Nyerere ndio anapewa lawama sijaelewa kwa kweli

  • @willsoniissaya
    @willsoniissaya 3 дні тому +2

    Mm sio mwisilam rakin sheeh ponda nimtu simati sana kichwani

    • @abelbest4984
      @abelbest4984 2 дні тому

      Sana

    • @omarsal3266
      @omarsal3266 День тому

      Fanya uujue uislam bila kuzembea ili uingie katika ibada ya kumuabudu (mungu) Allah peke yake asiekua na mshirika , iwe ndio sababu ya kupewa pepo na ujiepushe na moto mkali ulio andaliwa kwa makafiri.

  • @saidbakari1127
    @saidbakari1127 День тому +1

    Shekh ponda muogope mola wako. Shule ambazo zipo chini yako hazilip mishahara zinafanya dhulma hapo huon kuwa ni dhulmq uko busy na bakwata? Basi ungekuwa umesoma ili upewe u muft bakwata. Ukitaka uadilifu anza kwako kwanza

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 2 дні тому +1

    HIVI SHEKHE PONDA HATA MKIACHIWA MUJIAMULIE LAZIMA MUKIENDA KINYUME NA WATAWALA HIZO TAASISI ZENU ZITAFUTWA MOJA KWA MOJA

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui День тому

    Shekh tuorodheshe vitu tunavyovikosa

  • @hamisimkoma7380
    @hamisimkoma7380 3 дні тому +1

    Makafiri wa kisalafi na miwahabi hawatashinda! Taasisi haiwezi kuwa chini ya makafiri

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 3 дні тому

      Subhannalla hiyo.kauli ya makafiri kuwaita waislaam Wallah itakuja kukucost.sana sikubya hesabu.kama huto tubia na kuwaomba msamaha wewe pinga yao ila usiwakufurishe Waislaam bila Sheria inayorusu kuona wamekufuru

  • @Muhsini-s5d
    @Muhsini-s5d 2 дні тому

    Kesi hi ingekuwepo kenya..

  • @abelbest4984
    @abelbest4984 2 дні тому

    Mm ni mkristu ila napenda waislam wa Tanzania wafunge ramadhani na kufungua sawa na waislam wenzao wa duniani
    Mungu awaongoze waislam mlinalize kwa amani na upendo

  • @landelinusbyabato2512
    @landelinusbyabato2512 День тому

    Tatizo lenu tukiwaacha serikali itashindwa kudhibiti vikundi vya kigaida vinavyokuja kwa jina la waislamu

  • @JabirBakar-ys8dw
    @JabirBakar-ys8dw 2 дні тому +1

    Fanya ibada wacha kutafuta fursa za kijinga

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому +1

    Kiingine..tumenyimwa.. elimu ya mtume Mohammad SAW....shule za msingi na secondary..na universities..mitaala yetu hatambliwi..na wala..hataki

  • @AbdulAbeidjumanneJumanne
    @AbdulAbeidjumanneJumanne 3 дні тому +3

    Yani sisi waislaam sijui tupo vipi Yani ponda unadai unataka uongoz halafu hujabaatika kusoma sana elimu ya dini ya kiislamu acha chuki na bakwata...mtaishia hivyo hivyo kwenda mahakamani...i

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY 3 дні тому +1

      PONDA mbona hadai uongozi ? Anataka mambo yakae sawa, BAKWATA wanakaa kama madalali

    • @BakariMtangenange
      @BakariMtangenange 3 дні тому

      Sheikh ponda Hana uchu wa madaraka kabsa angekua anauchu wa madaraka saiz kashapewa kwa jinc anavyoisumbua serikal na vibaraka wao bakwata

    • @MohamediNgoge
      @MohamediNgoge 2 дні тому

      Ww hujitambui kabisaaaaa

  • @Harunery
    @Harunery 2 дні тому

    Wanajichosha hawa,bakwata ni viongozi wa serikali kw tiketi ya dini,watahangaika sana

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 3 дні тому +2

    Tusipoangalia waislam tutafika Mbinguni tumechoka sana 😂😂

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY 3 дні тому +1

      Waislamu hatwendi mbinguni, sisi ni PEPONI.
      Mingu ni ya Allah,

    • @AsiaAsi-s3u
      @AsiaAsi-s3u 3 дні тому

      Hujielewi mtu dai haki yako mwenyewe kwanza

  • @SaidKhamis-q4b
    @SaidKhamis-q4b 3 дні тому +2

    haki ya waslam haipatikani mahakani kw manaswara

  • @mussamabawa2973
    @mussamabawa2973 День тому

    Mgefungua na kesi mahakama itamke waz kuwa BAKWATA ni tawi la KANISA katoliki

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 дні тому +4

    Mmekosa kazi za kufanya mnagombana na serikali? Kafungueni madarsa acheni upumbavu

  • @aljabrsaleh4378
    @aljabrsaleh4378 3 дні тому +2

    Usiseme waislam sema wewe na kundi lako uislam haupo pamoja na hayo unayoyafanya wee unataka usawa na wakristo umetoa wapi hiyo kitu rudi madrasa kasome dini tena

  • @ZaynWalad
    @ZaynWalad 3 дні тому +3

    Kwani Serikali, ndiyo inakupangia mambo ya msingi ya uislam?.maana mi sioni uwepo wa BAKWATA, unanikwamisha vipi kufanya uislam wangu

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 День тому

    Bakwata ni mzimu unao watafuna Waislamu wa Tanzania

  • @d15355
    @d15355 3 дні тому +3

    Hatukubali kuongozwa na wahabi hata siku moja na siku ikitokea wahabi kaongoza BAKWATA au kakabidhiwa umufti basi ndio siku tutajitoa BAKWATA na ndio siku tutamkataa mufti hadharani akishuhudia

  • @AnthonyDcosta-f3q
    @AnthonyDcosta-f3q 3 дні тому +4

    Haki zipi?

  • @AdinaniNdyengu
    @AdinaniNdyengu 3 дні тому +2

    Haki za binadamu? Wewe Ponda unaleta Siasa kwenye Dini haja yenu ni kuishika nafasi ilionayo BAKWATA mnaleta ulokole ndani ya UISLAM

    • @songombingo108
      @songombingo108 3 дні тому

      Adinani huenda huujui Uislam. Kama ungekuwa unaujua huwezi kudharau kinachosemwa na Ponda. Bakwata haina nguvu kwa Waislamu.

    • @AdinaniNdyengu
      @AdinaniNdyengu 3 дні тому

      @songombingo108 Nguvu ipi hiyo BAKWATA haina?

    • @AdinaniNdyengu
      @AdinaniNdyengu 3 дні тому

      Ukitaja BAKWATA ndio Uislam nchini TANZANIA

    • @michaelfaraday07
      @michaelfaraday07 3 дні тому

      Unachochea vurugu?

  • @AllySibila
    @AllySibila 3 дні тому

    Ninavyofaham mimi bakwata ni taasisi ya kidini kama taasisi nyingine ila taasisi hii yenyewe imejifunga ktk mambo sita 1.NDOA 2.TALAKA 3.MIRATHI 4.WAKFU 5NA6 nmesahau ukiyaangalia haya mambo ni nyeti Sana ktk umma wa waislamu leo waislamu tunakua maskini sababu Ya bakwata wanashindwa kusimamia mali za wakfu tukanufaika nazo waislamu lakini wanakula wachache

    • @zuberimohamedi5761
      @zuberimohamedi5761 3 дні тому

      Na kuchukuwa wake za watu wakipeleka shauri .

    • @AllySibila
      @AllySibila 3 дні тому

      @zuberimohamedi5761 😁doh hii kali

  • @mohamedamini4268
    @mohamedamini4268 17 годин тому

    Hawa wahuni kesi Yao itupwe mbali

  • @MussaRuingo
    @MussaRuingo День тому

    She ponda unazeheka vibaya uwahabi wako kaanao mwenyewe bakwata ni chombo sahihi kwetu Tanzania

  • @salehrashid3153
    @salehrashid3153 3 дні тому +4

    Tafuteni kazi mfanye

  • @halwiyaally5125
    @halwiyaally5125 7 годин тому

    Bakwata walaji tu

  • @Clever-l8v
    @Clever-l8v 3 дні тому

    😂😂😂😂

  • @ShuaibuMsofe
    @ShuaibuMsofe 2 дні тому +1

    Ponda umechuja

  • @HassanSalum-w5v
    @HassanSalum-w5v 3 дні тому

    Tatizo moja tu mbona wakiristo au dini nyengine hamna kitengo kwenye serikali hii kuubaka uislam

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 6 годин тому

    Huna akili we mzee tena mjinga nyie ndio mnao gombanisha waislam kila siku wewe tu na choko choko zako zisizo kwisha

  • @Nabeel-22
    @Nabeel-22 3 дні тому

    Bakwata haipo kwa ajili ya waislamu ni Watu wa maslahi yao binafsi

  • @michaelkisangi
    @michaelkisangi 2 дні тому

    Sheikh ubwabwa

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 3 дні тому +1

    Tukopamoja muungu yupo nasi

  • @OdhiamboLazaro-y8o
    @OdhiamboLazaro-y8o 3 дні тому +3

    Serikali Haina dini mbona wakristo Wana madhehebu mengi lakini wamenyamaza nyie vipi, mnajidharilisha.

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 3 дні тому

    Hivi viongozi wa BAKWATA nani huwa anawachagua?

    • @husseinc
      @husseinc День тому +1

      Kuna utaratibu wake.

  • @KambaMbovu
    @KambaMbovu 4 дні тому +1

    Apa sasa mkifanikiwa tutaanza kusali

    • @AbdulAbeidjumanneJumanne
      @AbdulAbeidjumanneJumanne 3 дні тому

      Haya TUONE kama watafanikiwa maana sijaona sababu za kuishtaki bakwata tuache siasa

  • @QaahtaQaahta
    @QaahtaQaahta 3 дні тому

    HAYA NDIO MAMBO ya WAISLAMU KUZYNGUMZA SIO MAULIDI KHITMA KUPIGA PICHA NA KUBISHABA WEBYEWE KWA WENYEWE

  • @isihakamshare3396
    @isihakamshare3396 3 дні тому +4

    Haya ndio matatizo ya kukosa kazi.

  • @walker-96
    @walker-96 День тому

    Waislam ukiwapa uhurù mda sio mrefu patakua na waasi na kuwana, yani ugaidi sana

  • @AmadyYusuf
    @AmadyYusuf 3 дні тому +1

    Kingine tumenyimwa...mahakama ya kadh mpaka Leo