"Cameramen" Wajiandae ! AI ya SORA inakuja Kuchukua AJIRA ZAO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 81

  • @priscusgodwin
    @priscusgodwin 11 місяців тому +9

    broo hata hivyo ulivyosema haviwezekani, vitakuja kuwezekana pia. Tulivyonavyo leo kuna mwanzoni vilikuwa kama ndoto.
    Dancing, playing, etc ni vitu ambavyo hata tukiendelea zaidi, tukafanya tests, nk tunaweza kuvifanya. Kama kwa AI ni possible kabisa maana inaweza tambua reaction watu wanayotoa, if they smile robot iliyo na AI inaweza kutambua, na hata tukiweza kutengeneza robot ambae ni flexible kama binadamu na sio wazito kama wa sasa ni vitu vinavyowezekana. Coz robot anaweza kupiga calculations zake za chap, kama kuna space ya kuexploit anaweza akaifahamu, at what speed, and which angle pia ya kuweza kupiga na kufunga. ila i dont mean kwamba tutachanganya marobot na watu wacheze mpira; No, ila ikifika huko as long as football ishakuwa entertainment, who knows, mtu anaweza akaja na idea ya football match anayochezesha robots🤔

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 11 місяців тому +7

    Mazee AI yaeza nipatia dem mkali.
    Nimechoka na madanqa ya Buza

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 10 місяців тому +6

    AI inasaidia sana kustructure email, proppasal, projects but now makampun yameshtuka yantumia AI detector wametukamata now

  • @benziproduction3234
    @benziproduction3234 11 місяців тому +4

    Itakuwa imerahisisha kazi ya photographer Kwasababu kama mtu ameshoot harusi material ya video yakapotea inaweza kutumia AI na event nzima ikawepo wakiwa maharusi walewale na wageni waalikwa na matukio yote yakaonekana kwa mpangilio alivyoshoot

  • @DamasKatunzi
    @DamasKatunzi 11 місяців тому +3

    AI katika mfumo wa elimu sio suluhisho bali hushusha uwezo wa kufikiri maan assignments kwa sasa Wengi hutumia chat gpt ambayo ni AI ,kwangu mimi Ai ipewe limits katika eneo la utumizi wake ,we need our brains 🧠 to solve education not AI

    • @mofatunes1432
      @mofatunes1432 10 місяців тому

      Bro.....sasa niangaike nini akati AI inaniwezesha kila kitu....this is the future ubongo tumia wewe

  • @Creatives_Master_Class
    @Creatives_Master_Class 4 місяці тому

    ah siipendi AI kwasababu iyo

  • @salmonmkanula3718
    @salmonmkanula3718 11 місяців тому +2

    Tutaanza Kusikiliza miziki ya watu walio kufa na movies pia 😂😂😂

  • @mauzo_production
    @mauzo_production 11 місяців тому +14

    me wakwanza kuview leo naombeni likes zangu

    • @Kingmuditz
      @Kingmuditz 11 місяців тому +5

      Unakimbilia ku comment kabla aujaangalia video wabongo huu mchezo mumeupata wapi 😂

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 11 місяців тому +2

      badala mtu achangie mawazo kuhusu video anakimbilia kusema kaview wakwanza apew like, sas like za nini😂😂

    • @hallin9561
      @hallin9561 11 місяців тому +2

      Vichaa hamuishi kwakwel, kwaiyo wew uneona likes na kuwa wakwanza inaimpact gan kwako.

    • @Grako3404
      @Grako3404 11 місяців тому +2

      Oya mzee kwani watu wakilike comment yako unapata faida gani😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 11 місяців тому

      @@Grako3404 Inabidi tuulize ukute watu wana make money.

  • @Harm_boy
    @Harm_boy 10 місяців тому

    Bado kunawatu hawajaelewa maana ya Ai Mimi ni mmoja wa wanufaika wa Ai imenisaidia kute geneza cover ya nyimbo yangu bila kwenda location kupiga picha na cover imekaa poa kuliko kawaida hivyo nili save pesa lakini pia ilininusuru na utapeli wa mtandaoni ilinishauri vizuri sana nikabaini tapeli wa mtandaoni.

  • @adamwaziry2253
    @adamwaziry2253 10 місяців тому +3

    Hapo vinyozi watakua salama

  • @sulejmandj7582
    @sulejmandj7582 10 місяців тому +1

    Duuh ni mapinduz makubwa sana ya technology

  • @tarickmpemba6007
    @tarickmpemba6007 10 місяців тому +1

    ongea kwa sound yako bhana mbona ushaanza kuwa wa kawaida

  • @KelvinNyaitara
    @KelvinNyaitara 11 місяців тому

    Big up bro for what you feed us🎉

  • @dericktz
    @dericktz 11 місяців тому

    Nop kila teknolojia inayo kuja ina faida na madhara yake hiv unajua ujio wa smartphone umekosesha kazi wangapi okay so point ni hii jifunze teknolojia inaitaji nini then nenda nayo 😂😂😂 kwaiyo utaandika prompt ya harusi then ikuletee video

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia 9 місяців тому

    Kazi yetu Iko pale pale tutapiga pesa vile vile

  • @SalehOmar-es7le
    @SalehOmar-es7le 11 місяців тому

    Duuuhh😢😢😢😢

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk 10 місяців тому

    Mh.Erick shigongo amewahi zungumzia kuhusu AI bungeni Ila sizan kama bunge lilimuelewa Kiukweli Mimi ni computer scientist but naiogopa huwa nawawazia sana vizazi vijavyo.
    AI naiogopa Mimi Tena sana .ila Kwa ambaye huelewi huwezi tambua itawafanya nn vizazi vijavyo

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 11 місяців тому

    Ao AI wakija tuwapeleke shambani walime kinoma noma 😂😂😂 mbna watasema

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 10 місяців тому

    Kaka nimekuelewa sana mfano kuna wimbo wa Msanii AZAW kutoka Uganda kaimba wimbo akiwa amemshirikisha Mozes Radio na wakt tunajua Radio hatuko nae dunian. kidogo ilinipa changamoto.

  • @HashilRashid
    @HashilRashid 11 місяців тому

    Mmmmm kwa apo mm naona mamantilie tu wa buza ndo atabaki🎉

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 10 місяців тому +1

    Snash kwenye upande wetu wa movies umetutupa sana

  • @smartcreationpro_503
    @smartcreationpro_503 10 місяців тому

    Asant bro nilikua nimelala

  • @yussufothman
    @yussufothman 11 місяців тому +1

    👍

  • @Officialsoso887
    @Officialsoso887 11 місяців тому +2

    Mbeba zege yupo salama na mvuvi😅😅😅

    • @OthmanHamis-ec3wo
      @OthmanHamis-ec3wo 10 місяців тому

      Hakuna Alie. Salama kaka yangu huko kite wanaweza fanya Tena kwa ufanisi mkubwa bila ubabaishaji😅

  • @coroneliusnaftal2742
    @coroneliusnaftal2742 10 місяців тому +1

    Tugei website basi unachukua movie yeyote

  • @Xander.Cybacon
    @Xander.Cybacon 11 місяців тому +1

    Kwenye upande wa afya wafamasia naona kama watapona 😅

  • @victorvinquez554
    @victorvinquez554 10 місяців тому

    Saivi tuna app ya PI AI kama mtu anaitaka sem nikupe link

  • @ZanzibHensam
    @ZanzibHensam 10 місяців тому +1

    Samahan broo hivi unaweza kunisaidia namba ya ey ya wasap

  • @wakwanza1832
    @wakwanza1832 10 місяців тому

    makamera man siwatabak ndan wanatumia hizo a.i so ajira itakmbia vip coz a.i haiez jiendesha yenyewe snash

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 10 місяців тому

    Binadamu atakuwa binadamu tu dunia tumeumbiwa sisi na wanyama na majini na sio maroboti jamaa yangu kwa mtazamo wako basi kila kitu kitakuja kufanywa na aí au roboti

  • @Cyper255
    @Cyper255 11 місяців тому +6

    Inabd tujiandae kwa mabadiliko haya

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 11 місяців тому +1

    Mafundi,na watu wa vipaji wako salama wasomi wetu bongo ndio wanaona moto

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis 11 місяців тому

    😂😂😂Hiyo AI itanyamazisha wanafunzi kelele?😂😂😂😂. Hivi assume mwanafunz analeta vurugu mwlm yupo darasan je ufanye hamna mwalimu hiyo system ynyw atang'oa

  • @jayvanny.6633
    @jayvanny.6633 11 місяців тому

    Mbaifike bongo hiyo nishaa jenga kwa pesa photoshoot 😂

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 11 місяців тому

    Acha ijeeee! Wavivu watajuata. Si hawataki kazi ngumu 😂😂😂😂

    • @raynnaboy2
      @raynnaboy2 11 місяців тому +1

      hao ndowenye watafaidika kwasababu ai nirahisi sana

  • @philozithegreat888
    @philozithegreat888 11 місяців тому

    Tumekwisha😢😢

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 11 місяців тому

    Snash tafuta video ya kanye west VULTURES(havoc version) ni full AI video na kawaida uwezi gundua..lakini AI itachukua ajira nyingi tu tofauti mfano kwenye magari najua ww ni mtu wa magari Tesla na gari zingine zenye autopilot magari yote mpaka lori zitakuwa zinajiendesha zenyewe bila mtu kiukwel AI will take everything

    • @wakwanza1832
      @wakwanza1832 10 місяців тому

      umeelewa lakn maama ya a.i na unachokionge wewe

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 11 місяців тому

    Fundi ujenzi ndio tupo salamaa 🙌🤝

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 11 місяців тому +2

      kaangalie 3D printing nyumba inaprintiwa ngoja nikupe link ya video😅

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 11 місяців тому

      ua-cam.com/video/LVNZbl8in_Q/v-deo.htmlsi=jNCPNLX0H5Bu6Tsu

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 11 місяців тому +1

      angalia hio video

    • @theoriginals3240
      @theoriginals3240 11 місяців тому +1

      @@Max9_captain si lazima utumie mikono kujenga hiyo nyumba mkuu? Ndio ninacho semea

  • @Tanzaniazone
    @Tanzaniazone 10 місяців тому

    Je harusi itashoot 😂😂

  • @ervinlihawa
    @ervinlihawa 11 місяців тому +1

    Serikali yenyewe sasa

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 10 місяців тому

    Kaka...

  • @princegerard4704
    @princegerard4704 11 місяців тому

    MADJ KIDOGO TUKO SALAMA KIDOGO SANA 😂😂😂

  • @technicalandinfo3174
    @technicalandinfo3174 10 місяців тому

    Nilijua ni GTA V hio gari

  • @ErickRichard-kt1li
    @ErickRichard-kt1li 11 місяців тому

    Bro skuiz umekauka kabisa na review za movie please naomba ufanye review ya movie moja inaitwa damsel 2024 tuielewe vizuri.

  • @GM-qc3ns
    @GM-qc3ns 10 місяців тому

    i think tuta adapt

  • @WANKYOMARWA
    @WANKYOMARWA 10 місяців тому +1

    Wasanue pia kuhusu crypto currency na blockchain technology Kaka watu wanelala pia 😅

  • @MangulaDaudi
    @MangulaDaudi 11 місяців тому

    Ai inakua ila ni muhimu sana vizazi vyetu tuvikuze tukiiangalia kesho yao

  • @anuaryfernandez7230
    @anuaryfernandez7230 10 місяців тому

    Video Games Zijazo Zitakuwa Na Uhalisia Hata Movies Ambazo Hazijawahi Kutengenezwa Sababu Ya Kumpata Character Sahihi Wakufit Mfano God Of War Zitatengenezwa

  • @kirikou6078
    @kirikou6078 11 місяців тому

    Kaka tu dondoshee hiimuvi paralel imenichanganya

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 11 місяців тому

    Selikari halijangalia hili kwa makini sio kila kitu tunapokea tu mara 5G vimechunguzwa au short

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 місяців тому

      Bro AI ni shida inafanya kazi zote wabunge hawana tena uwezo wa kudanganya wananchi

  • @raynnaboy2
    @raynnaboy2 11 місяців тому

    ishaanza kufanyakazi au bado ?

  • @mchakitvonline6539
    @mchakitvonline6539 11 місяців тому

    Hatar xan

  • @JanethyjKoyo
    @JanethyjKoyo 11 місяців тому

    Piga bas oppenheimer ..cjaielewa

  • @Sultanrawahy
    @Sultanrawahy 11 місяців тому

    Na mfanya biashara je

  • @zuberiimamumhina5164
    @zuberiimamumhina5164 10 місяців тому

    Bro kuna jamaa nafikir ana kitu chako anaitwa ,micro viewrs ==check video hii naina kuna kitu chako humu (Mobile data on but not working)

  • @AgreyAckim-pt3wv
    @AgreyAckim-pt3wv 11 місяців тому

    Atapona wakala tuu

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 11 місяців тому

      wakala wa nin

    • @hallin9561
      @hallin9561 11 місяців тому +1

      mawakala wapo Africa tu, uko duniani kuna ATM tu hakuna wakala. na uku itakuwa ivyo ivyo

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro 11 місяців тому

    I don't think AI is gonna be a problem in a Third World country like Tanzania. With such a poor education system, I'll be very surprised if rural Tanzanian kids can recognize a computer

  • @Official-bataboy
    @Official-bataboy 11 місяців тому

    This the meaning of @techinswahili