Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • Wakati tukiendelea kuzifuatilia headline za bungeni Dodoma ni vyema usikubali kupitwa na maoni ya mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyowasilisha wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017

КОМЕНТАРІ • 169

  • @edwinchama9211
    @edwinchama9211 7 років тому +5

    absolutely.. you stand up, you say the truth fearlessly... thank you.. be blessed kaka bashe

  • @stevenayo4742
    @stevenayo4742 7 років тому +6

    Bashe nakuelewa sana fanya kweli nchi ibadilike

  • @muhammadsalaam1373
    @muhammadsalaam1373 4 роки тому +13

    Ipo siku Bashe atakuwa rais wa Tanzania insha Allah.

  • @franksomanga8759
    @franksomanga8759 7 років тому +5

    I salute you Bashe you're always stands on truth and facts

  • @sharifaoisso2094
    @sharifaoisso2094 6 років тому +2

    Waaah I have never listened u before.Allah akujalie kila LA kheri

  • @ephraimathanas7833
    @ephraimathanas7833 7 років тому +3

    we nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu sana bashe

  • @medlucas7397
    @medlucas7397 6 років тому +2

    tamaa yangu ni kuona kila kiongozi anajituma kuliko mwenzake asante Husehn Bashe

  • @marcojoel5217
    @marcojoel5217 7 років тому +4

    big up sana hussein bashe kwa kutetea masilahi mapana ya nchi.

  • @moheqadday8123
    @moheqadday8123 7 років тому +2

    big up bashe uko vizuri hata kama wewe ni ccm nakukubali kwny hoja zako mungu akubariki

  • @lapelyepota5572
    @lapelyepota5572 7 років тому +3

    well spoken MP.
    tunapenda wabunge wanaojiamini kama wewe.
    sio wengine waoga ka kunguru.
    sipendagi kusikiliza speech za wanaccm. but hapa👍👌

  • @jumayahaya8609
    @jumayahaya8609 6 років тому +3

    uko vizuri sana mh Bashe

  • @jeromefelix7741
    @jeromefelix7741 7 років тому +4

    (kaka tumehaidi wananchi sisi chama cha mapinduzi,au kwa sababu kaka yangu wewe ujaenda kuomba kura?)yani ni moja ya maneno yenye ukarimu sana.daaaah yani kaka hussein bashe ningekuwa na uwezo wakukutana nawe ningekupa mkono wangu ili uendelee kupata baraka na maneno mazuri kama haya,manake kwa muonekano na hayo maneno yako inaonesha ni mtendea kazi mzuri japo me sikufuatilii...kaka husseini fanya kazi hiyohiyo kwani wananchi walikupa kura ili ukafanye kazi nzuri...nakuombea Mungu akulinde na kukubariki kokote uendako na kuuweka mkono wake kwenye shughuli zako zote ufanyazo,ziwe zako na za wananchi kwa ujumla zote ubarikiwe.

  • @allyomary2636
    @allyomary2636 7 років тому +4

    mungu akulinde mbunge ww kama tungekua na wabunge wa ccm 15 tu hii nchi ingekua mbali

  • @gabrielchowo8070
    @gabrielchowo8070 7 років тому +12

    Wewe ni mbunge shupavu sana na unasimamia ukweli wala sio siasa nakukubali sana na Allah akulipe kwa ukweli unaosimamia

  • @frankmlawa4156
    @frankmlawa4156 5 років тому +1

    We ni mashine bashe mungu akulinde daima mpango n kilaza uyo

  • @hermanmwailanga3912
    @hermanmwailanga3912 6 років тому +1

    upo vzr brother wananchi tumekuelewa (siku zote tuna hitaji watu wa kweli wanao weza kusimamia maslahii yanchi yetu )nawapa shukran watu wa nzega kupata bonge la kiongozi

  • @athumangullam3854
    @athumangullam3854 7 років тому +16

    linapokuja suala la nchi tuweke vyama pemben...hawa ndio wawakilishi tunaowataka bungeni

  • @potypooty38
    @potypooty38 5 років тому +2

    Kaka mungu akuzidishie maisha malefu

  • @realrealadventurestz3348
    @realrealadventurestz3348 7 років тому +4

    Umeongea ukweli kaka big up!

  • @maxv5047
    @maxv5047 7 років тому +5

    Napenda sana viongozi kama hawa bungeni kungekuwa na wabunge wengi tungefika mbali sana mungu akuweke miaka mingi Mh. Bashe

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 3 роки тому +1

    Kweli mungu ameshuka kwa watu wachache bashe mungu akubarik kwa kututetea wananchi wengi

  • @jacksonsospeter-cg2of
    @jacksonsospeter-cg2of Рік тому

    bro bashe you are upcoming Magufuli, Utakuwa rais nimekutabilia mimi.

  • @NabiiKelvinSittaSitta
    @NabiiKelvinSittaSitta 7 років тому +6

    maarifa iko Juu Yako! Be Blessed Baahe.

  • @eliudkimokezi8538
    @eliudkimokezi8538 7 років тому +1

    Hon. Bashe 👏👏👏

  • @annamwamlima894
    @annamwamlima894 7 років тому +8

    Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema wewe ni muwaz na unachoongea nakuelewa

  • @janekivivilo1851
    @janekivivilo1851 7 років тому +2

    Hii ni nchi yetu ambapo Mungu alipenda sisi wstu weusi tuzaliwe hapa,HIVYO tunataka viongozi wanaosema ukweli katika kutetea maslahi na maendeleo ya wananchi!wabunge wetu simamieni vizuri sheria za nchi yetu.unganeni na kufanyakazi kama wabunge wa binge LA jamhuri ya muungano, na si vinginevyo !kwa pamoja na kwa sauti moja tunaweza.

  • @frankmlawa4156
    @frankmlawa4156 5 років тому +2

    Magufuli umefanya vema sana kumteua uyu jamaa anaakili kama zote ani MPE nafasi kubwa atakusaidia sana mzee bashe

  • @nestarlameck9561
    @nestarlameck9561 7 років тому +1

    i do respect u bro...unajua mpaka sio vzuri

  • @obadiaalbetus620
    @obadiaalbetus620 7 років тому

    aksante sana kwa kazi ulofuata kwaajili ya watanzania 'heshima'kwa ulo waambia wakuelewa ataelewa

  • @annacarlos7925
    @annacarlos7925 7 років тому

    hongera sana kaka ubarikiwe mungu akupe afya njema utumikie wantanzania kwa haki

  • @itmanager1119
    @itmanager1119 6 років тому +4

    asante kakaangu Bashe bungeni natamani hata uwe ndgu unakomboa taifa la 2018

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 7 років тому +1

    nimekuelewa sana big up!!!!

  • @wilsonamandus1567
    @wilsonamandus1567 6 років тому

    mungu akulinde na kuongoze mh.h bashe we ni muwazi na si mnafiki kama walivyo wabunge wengine

  • @lwiticomwalukumba4148
    @lwiticomwalukumba4148 7 років тому

    you are real man ....Bashe

  • @mgendela2416
    @mgendela2416 7 років тому +1

    Bashe anajua achosema..💪

  • @jisandumanyakenda3666
    @jisandumanyakenda3666 2 роки тому

    Braza uko vinzur sis wakulima nakupa hoger kazi iedelee kaka

  • @sebastianitz2178
    @sebastianitz2178 6 років тому +1

    Uyu ndie mbunge anajua kazi yake wote wangekuwa kama Bashe Tanzania tungekuwa mbali sana ila wengine hawatimizi wajibu wao

  • @oresluaw6607
    @oresluaw6607 7 років тому +3

    mungu akutangulie ktk uongozi wako nimejifunza kitu

  • @anastanciamalema9406
    @anastanciamalema9406 7 років тому +1

    Mungu akubariki sana kaka umeongea points sio brabra usichoke kutenda Mema vivyo hivyo ili wananchi tunufaike

  • @gezaulole7988
    @gezaulole7988 7 років тому

    go ahead Bashe, go wakikuzingua hama na Chama kbs

  • @capelohamadi5273
    @capelohamadi5273 7 років тому +3

    Huyu ndie mbunge......

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic1514 3 роки тому

    Ccm mtunzeni huyuu MTU ndo rais ajae ,mie nasema wacha tumpe nchii nyota njema hiii .....big up bashe am learning facts in politics via u bro .....my vote will not lost in ballot box

  • @jaliwakope1949
    @jaliwakope1949 7 років тому +2

    Niliwaza pia suala la kuongeza kodi hasa kwenye sekta za kibenki, utalii, na n,k kama ndio njia pekee ya kuongeza makusanyo na matokeo yake tunaona utalii na huduma za kibenki kushuka nchini. Serikali isikilize maoni haya

  • @kephasnaftal
    @kephasnaftal Рік тому

    Hussein Bashe his president

  • @godlucktesha2676
    @godlucktesha2676 7 років тому +7

    kaka ww ndio unahitaji wa tz tukuombee maana upo sereous na maaendeleo ya nchii hii

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 5 років тому

    Mh uko vzr sana 100% ila punguza lugha ya magaribi huko, tumia lugha mama ya kiswahili tukuelewe vzr Mh H.Bashe

  • @rehemapaulo9427
    @rehemapaulo9427 5 років тому

    Mungu akulinde mheshimiwa

  • @edwinmoshi2523
    @edwinmoshi2523 7 років тому +2

    mi naona huyu mh. apewe kabisa hiyo wizara.
    inaonekana waziri Mpango ana vyeti vizuri tuu ile anashindwa kuviweka in practice

  • @lawisonjameskaleme6243
    @lawisonjameskaleme6243 6 років тому +1

    Very thick minded, hiki kichwa achana nacho.. tungepata hata robo ya wabunge wa CCM... kama hawa hakika

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Рік тому

    Safi sana big mungu pamoja nawe

  • @nasseralhabsi1483
    @nasseralhabsi1483 5 років тому +1

    Msema kweli mpenzi wa Mungu.

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 7 років тому +5

    daah aisee wanatuua na haya makodi

  • @ajayommy279
    @ajayommy279 Рік тому

    Liumbwa linacheka kwa zarau dar inaumaa mungu ww wajua

  • @Msonjo
    @Msonjo 7 років тому +1

    big up umesoma

  • @YOHANAKASARA
    @YOHANAKASARA 7 років тому +2

    Huyu ana neno zur kwa nchi

  • @denniskiboko2502
    @denniskiboko2502 7 років тому

    Ukwell nikwamba Inchi hii inaitaji watu Jasiri kama Bashe. tuache ushabiki tutete Taifa. Mungu akubariki Bashe

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 7 років тому

    constructive contribution

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 7 років тому

    Hongera Sana kaka hussein bashe ww ni mzalendo baada ya jk yaan nyerere

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo5836 5 років тому +1

    Bashe. samahani ,naomba nikuulize swali bro, hivi unahisi kwann wabunge wezako hawafanyi kazi ya kibunge kama we we?

  • @omarymwigula5479
    @omarymwigula5479 7 років тому +4

    Huyu jamaa huwa namuelewa sana pamoja na kuwa yeye ccm

    • @user-oj1vp9vd4j
      @user-oj1vp9vd4j 7 років тому

      ɷɷɷɷ Heeyy Friends I Havee Just Won Branddd New Samsung Galaxy From visitttt : - t.co/wnm5Vtayxv

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 7 років тому +2

    Hussein Bashe Hawa ndio viongozi Na Wabunge tunaowataka. wawe CCM ila wakweli. hatutaki unafiki Mungu akulinde kijana mwenzangu. tears for really

  • @hasanngwindi3237
    @hasanngwindi3237 7 років тому

    Waambie nakukubari sana bashe

  • @nathanmapunda1052
    @nathanmapunda1052 5 років тому

    natafuta kila neno la kukuambia kaka bashe, zaidi ya ahsante.

  • @ezekiamaluma6091
    @ezekiamaluma6091 6 років тому +3

    Ungekuwa jimbo ni kwangu ningepanga foleni kukuchagua

  • @pastorydaudi1388
    @pastorydaudi1388 Рік тому

    NEXT PRESIDENT

  • @ambakisyemwanjemba6501
    @ambakisyemwanjemba6501 7 років тому +2

    mbunge makini sana

  • @salisali3738
    @salisali3738 3 роки тому

    2021 lita kuwa bunge kama tembere

  • @mangibusiness6771
    @mangibusiness6771 7 років тому

    J.P.M akitumia busara na hekima... Tutafika... Akitumia sifa tutamtoa 2020......

  • @jamesmwaisondola6745
    @jamesmwaisondola6745 6 років тому

    Bora kuwa na mmbunge mmoja kuliko wabunge mia wasio na elimu by mwaisondola chief

  • @stelaamosi2549
    @stelaamosi2549 7 років тому +1

    nimekuelewa kaka semasema habari iwafikie

  • @kamkubwa
    @kamkubwa 7 років тому

    what we call a leadership.

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 4 роки тому

    Nakupenda sana kaka

  • @paulkusaya8476
    @paulkusaya8476 6 років тому +1

    MUNGU akupe ulinzi mh bash

  • @robati.majwajwamajwajwa4152
    @robati.majwajwamajwajwa4152 6 років тому

    Huseen. Bashe. Ninomasana. Namkubari

  • @MohamedHassan-zc5bl
    @MohamedHassan-zc5bl 7 років тому +2

    mkuu bashe ndelea hivyo yani ni filosis filanyoso

  • @tinooscar9981
    @tinooscar9981 7 років тому

    safi sana

  • @ibrahimmwasomola4130
    @ibrahimmwasomola4130 7 років тому +1

    daaaah uyu jamaa

  • @rashidabrahamani5860
    @rashidabrahamani5860 6 років тому

    kaka nakupongeza sana kwa kucmamia haki kweli tunaumia

  • @sskbmtbk4901
    @sskbmtbk4901 7 років тому +1

    Lait wabunge wa cc ...wangekuwa na hoja kama hz za mheshimiwa klio knachoskika xaiv kisngekuwepo

  • @imraanhaji5982
    @imraanhaji5982 Рік тому

    jembeee aisee....

  • @yassinponera4271
    @yassinponera4271 5 років тому

    nice kaka

  • @kabaitijunior2642
    @kabaitijunior2642 7 років тому

    Bashe ni mtu makini sana namuelewaga harakati zake hasa pale anapooona ujinga unatendekaa

  • @tanstoretz
    @tanstoretz 7 років тому

    big up Beshe

  • @hamismartin5011
    @hamismartin5011 7 років тому +1

    hii ndio inaitwa hadhi ya bunge

  • @fathiyasaleh2639
    @fathiyasaleh2639 7 років тому

    Hakuna professionalism inayoweza kusimama peke take bila msaada kutoka fani nyingine. kwa mfano ni mhandisi gani asiyehitaji mpishi WA kumuandalia chakula.

  • @danielphares3089
    @danielphares3089 5 років тому

    Nakukubari brother yani dah one day naomba mungu anisaidie nije nilitetee taifa langu kama unavyo litetea wewe

  • @mafoleb.8562
    @mafoleb.8562 7 років тому

    basheee kula tanooo

  • @emmanuelpanga943
    @emmanuelpanga943 6 років тому

    Bashe wewe ni kiongozi bora ndoto ya watanzania..Uzalendo kwanza Mr. ccm mjipime kwa mwenzenu jamani

  • @salimmasatu6839
    @salimmasatu6839 7 років тому

    kaka kweli we ni mwanaume haung'atagi maneno kabisa cyo km hao wanaccm wengine wao ni ndiyo hata km ni baya ili wachanguliwe kuwa mawaziri. tutetee kamanda tunakuombea ufike mbali

  • @mojakabenga6270
    @mojakabenga6270 5 років тому

    Saruti sana mbashe

  • @omarymussa4506
    @omarymussa4506 7 років тому

    huyu jamaa kaongea facts saana

  • @maliyamungukimaro5211
    @maliyamungukimaro5211 5 років тому +1

    unasifa ya Kuwa rais

  • @renatuscharles4524
    @renatuscharles4524 5 років тому

    Pengine naona huyu ndo miongoni mwa waheshimiwa wa kweli,wabunge wetu wamuige Mheshimiwa Bashe,nchi yetu ikiwa na wabunge wengi kama Huyu ni lazima nchi yetu isonge mbele tu ,sasa niwakati wakufanya utekelezaji sasa Tanzania mpya izaliwe.

  • @yusufumpepo5836
    @yusufumpepo5836 5 років тому

    kwa ifahamu wa elimu yangu, kama hutaku kushauriwa au kukosolewa basi hutafanya vitu kwa maendeleo na kitu utakuwa unapata hasara. na huh mfumo ndio serikali yetu ilivyo.

  • @petermsogot4905
    @petermsogot4905 7 років тому +2

    mzalendo waukweli

  • @shadagashabani9336
    @shadagashabani9336 Рік тому

    Huyu ndo anafaa kuwa waziri wa fesa

  • @pauldeogratias1037
    @pauldeogratias1037 6 років тому

    NAKUPONGEZA SANA BASHE KWA UZALENDO WA KUWA MKWELI BILA KUJALI ITIKAD ZA CHAMA CHAKO

  • @odetatz3050
    @odetatz3050 7 років тому +5

    tungekuwa na watu kama hawa wa5 tz tungefika mbali

  • @ayoubmponzi2859
    @ayoubmponzi2859 7 років тому

    umetukuka na unafanya kaz kwa weledi mkubwa sio mkulupukaji mungu awe pamoja nawe kwa kutusaidia wanyonge

  • @jimsonmsigwa4072
    @jimsonmsigwa4072 7 років тому +1

    bashe ni mzalendo tuache siasa.