Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha
Вставка
- Опубліковано 4 вер 2024
- Wakati tukiendelea kuzifuatilia headline za bungeni Dodoma ni vyema usikubali kupitwa na maoni ya mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyowasilisha wakati akichangia hotuba ya wizara ya fedha na mipango kwa maendeleo ya taifa kwa mwaka wa fedha 2016/2017
absolutely.. you stand up, you say the truth fearlessly... thank you.. be blessed kaka bashe
Bashe nakuelewa sana fanya kweli nchi ibadilike
Ipo siku Bashe atakuwa rais wa Tanzania insha Allah.
InshaAllah
Amina
I salute you Bashe you're always stands on truth and facts
Waaah I have never listened u before.Allah akujalie kila LA kheri
we nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu sana bashe
tamaa yangu ni kuona kila kiongozi anajituma kuliko mwenzake asante Husehn Bashe
big up sana hussein bashe kwa kutetea masilahi mapana ya nchi.
big up bashe uko vizuri hata kama wewe ni ccm nakukubali kwny hoja zako mungu akubariki
well spoken MP.
tunapenda wabunge wanaojiamini kama wewe.
sio wengine waoga ka kunguru.
sipendagi kusikiliza speech za wanaccm. but hapa👍👌
uko vizuri sana mh Bashe
(kaka tumehaidi wananchi sisi chama cha mapinduzi,au kwa sababu kaka yangu wewe ujaenda kuomba kura?)yani ni moja ya maneno yenye ukarimu sana.daaaah yani kaka hussein bashe ningekuwa na uwezo wakukutana nawe ningekupa mkono wangu ili uendelee kupata baraka na maneno mazuri kama haya,manake kwa muonekano na hayo maneno yako inaonesha ni mtendea kazi mzuri japo me sikufuatilii...kaka husseini fanya kazi hiyohiyo kwani wananchi walikupa kura ili ukafanye kazi nzuri...nakuombea Mungu akulinde na kukubariki kokote uendako na kuuweka mkono wake kwenye shughuli zako zote ufanyazo,ziwe zako na za wananchi kwa ujumla zote ubarikiwe.
mungu akulinde mbunge ww kama tungekua na wabunge wa ccm 15 tu hii nchi ingekua mbali
Wewe ni mbunge shupavu sana na unasimamia ukweli wala sio siasa nakukubali sana na Allah akulipe kwa ukweli unaosimamia
Amiin
We ni mashine bashe mungu akulinde daima mpango n kilaza uyo
upo vzr brother wananchi tumekuelewa (siku zote tuna hitaji watu wa kweli wanao weza kusimamia maslahii yanchi yetu )nawapa shukran watu wa nzega kupata bonge la kiongozi
linapokuja suala la nchi tuweke vyama pemben...hawa ndio wawakilishi tunaowataka bungeni
Kaka mungu akuzidishie maisha malefu
Umeongea ukweli kaka big up!
Napenda sana viongozi kama hawa bungeni kungekuwa na wabunge wengi tungefika mbali sana mungu akuweke miaka mingi Mh. Bashe
pamoja xana bashe,,
Kweli mungu ameshuka kwa watu wachache bashe mungu akubarik kwa kututetea wananchi wengi
bro bashe you are upcoming Magufuli, Utakuwa rais nimekutabilia mimi.
maarifa iko Juu Yako! Be Blessed Baahe.
Hon. Bashe 👏👏👏
Mwenyezi mungu aendelee kukutunza na kukupa afya njema wewe ni muwaz na unachoongea nakuelewa
Hii ni nchi yetu ambapo Mungu alipenda sisi wstu weusi tuzaliwe hapa,HIVYO tunataka viongozi wanaosema ukweli katika kutetea maslahi na maendeleo ya wananchi!wabunge wetu simamieni vizuri sheria za nchi yetu.unganeni na kufanyakazi kama wabunge wa binge LA jamhuri ya muungano, na si vinginevyo !kwa pamoja na kwa sauti moja tunaweza.
Magufuli umefanya vema sana kumteua uyu jamaa anaakili kama zote ani MPE nafasi kubwa atakusaidia sana mzee bashe
i do respect u bro...unajua mpaka sio vzuri
aksante sana kwa kazi ulofuata kwaajili ya watanzania 'heshima'kwa ulo waambia wakuelewa ataelewa
hongera sana kaka ubarikiwe mungu akupe afya njema utumikie wantanzania kwa haki
asante kakaangu Bashe bungeni natamani hata uwe ndgu unakomboa taifa la 2018
nimekuelewa sana big up!!!!
mungu akulinde na kuongoze mh.h bashe we ni muwazi na si mnafiki kama walivyo wabunge wengine
you are real man ....Bashe
Bashe anajua achosema..💪
Braza uko vinzur sis wakulima nakupa hoger kazi iedelee kaka
Uyu ndie mbunge anajua kazi yake wote wangekuwa kama Bashe Tanzania tungekuwa mbali sana ila wengine hawatimizi wajibu wao
mungu akutangulie ktk uongozi wako nimejifunza kitu
Mungu akubariki sana kaka umeongea points sio brabra usichoke kutenda Mema vivyo hivyo ili wananchi tunufaike
go ahead Bashe, go wakikuzingua hama na Chama kbs
Huyu ndie mbunge......
Ccm mtunzeni huyuu MTU ndo rais ajae ,mie nasema wacha tumpe nchii nyota njema hiii .....big up bashe am learning facts in politics via u bro .....my vote will not lost in ballot box
Niliwaza pia suala la kuongeza kodi hasa kwenye sekta za kibenki, utalii, na n,k kama ndio njia pekee ya kuongeza makusanyo na matokeo yake tunaona utalii na huduma za kibenki kushuka nchini. Serikali isikilize maoni haya
Hussein Bashe his president
kaka ww ndio unahitaji wa tz tukuombee maana upo sereous na maaendeleo ya nchii hii
Mh uko vzr sana 100% ila punguza lugha ya magaribi huko, tumia lugha mama ya kiswahili tukuelewe vzr Mh H.Bashe
Mungu akulinde mheshimiwa
mi naona huyu mh. apewe kabisa hiyo wizara.
inaonekana waziri Mpango ana vyeti vizuri tuu ile anashindwa kuviweka in practice
kodi zinatuumiza wananchi WA chini
shida ni kuwa wazir mpango amepangwa
Very thick minded, hiki kichwa achana nacho.. tungepata hata robo ya wabunge wa CCM... kama hawa hakika
Safi sana big mungu pamoja nawe
Msema kweli mpenzi wa Mungu.
Kwel Allah amuhifadh
daah aisee wanatuua na haya makodi
Liumbwa linacheka kwa zarau dar inaumaa mungu ww wajua
big up umesoma
Huyu ana neno zur kwa nchi
Ukwell nikwamba Inchi hii inaitaji watu Jasiri kama Bashe. tuache ushabiki tutete Taifa. Mungu akubariki Bashe
constructive contribution
Hongera Sana kaka hussein bashe ww ni mzalendo baada ya jk yaan nyerere
Bashe. samahani ,naomba nikuulize swali bro, hivi unahisi kwann wabunge wezako hawafanyi kazi ya kibunge kama we we?
Huyu jamaa huwa namuelewa sana pamoja na kuwa yeye ccm
ɷɷɷɷ Heeyy Friends I Havee Just Won Branddd New Samsung Galaxy From visitttt : - t.co/wnm5Vtayxv
Hussein Bashe Hawa ndio viongozi Na Wabunge tunaowataka. wawe CCM ila wakweli. hatutaki unafiki Mungu akulinde kijana mwenzangu. tears for really
d
mungu akubariki mh bashe kwkwel unaongea vitu vyenye ukwel ndani yake
Waambie nakukubari sana bashe
natafuta kila neno la kukuambia kaka bashe, zaidi ya ahsante.
Ungekuwa jimbo ni kwangu ningepanga foleni kukuchagua
NEXT PRESIDENT
mbunge makini sana
2021 lita kuwa bunge kama tembere
J.P.M akitumia busara na hekima... Tutafika... Akitumia sifa tutamtoa 2020......
Bora kuwa na mmbunge mmoja kuliko wabunge mia wasio na elimu by mwaisondola chief
nimekuelewa kaka semasema habari iwafikie
what we call a leadership.
Nakupenda sana kaka
MUNGU akupe ulinzi mh bash
Huseen. Bashe. Ninomasana. Namkubari
mkuu bashe ndelea hivyo yani ni filosis filanyoso
safi sana
daaaah uyu jamaa
kaka nakupongeza sana kwa kucmamia haki kweli tunaumia
Lait wabunge wa cc ...wangekuwa na hoja kama hz za mheshimiwa klio knachoskika xaiv kisngekuwepo
jembeee aisee....
nice kaka
Bashe ni mtu makini sana namuelewaga harakati zake hasa pale anapooona ujinga unatendekaa
big up Beshe
hii ndio inaitwa hadhi ya bunge
Hakuna professionalism inayoweza kusimama peke take bila msaada kutoka fani nyingine. kwa mfano ni mhandisi gani asiyehitaji mpishi WA kumuandalia chakula.
Nakukubari brother yani dah one day naomba mungu anisaidie nije nilitetee taifa langu kama unavyo litetea wewe
basheee kula tanooo
Bashe wewe ni kiongozi bora ndoto ya watanzania..Uzalendo kwanza Mr. ccm mjipime kwa mwenzenu jamani
kaka kweli we ni mwanaume haung'atagi maneno kabisa cyo km hao wanaccm wengine wao ni ndiyo hata km ni baya ili wachanguliwe kuwa mawaziri. tutetee kamanda tunakuombea ufike mbali
Saruti sana mbashe
huyu jamaa kaongea facts saana
unasifa ya Kuwa rais
Pengine naona huyu ndo miongoni mwa waheshimiwa wa kweli,wabunge wetu wamuige Mheshimiwa Bashe,nchi yetu ikiwa na wabunge wengi kama Huyu ni lazima nchi yetu isonge mbele tu ,sasa niwakati wakufanya utekelezaji sasa Tanzania mpya izaliwe.
kwa ifahamu wa elimu yangu, kama hutaku kushauriwa au kukosolewa basi hutafanya vitu kwa maendeleo na kitu utakuwa unapata hasara. na huh mfumo ndio serikali yetu ilivyo.
mzalendo waukweli
Huyu ndo anafaa kuwa waziri wa fesa
NAKUPONGEZA SANA BASHE KWA UZALENDO WA KUWA MKWELI BILA KUJALI ITIKAD ZA CHAMA CHAKO
tungekuwa na watu kama hawa wa5 tz tungefika mbali
umetukuka na unafanya kaz kwa weledi mkubwa sio mkulupukaji mungu awe pamoja nawe kwa kutusaidia wanyonge
bashe ni mzalendo tuache siasa.
Jimson Msigw