MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 102

  • @GraysonNnyari
    @GraysonNnyari Місяць тому +4

    Wewe ni mtu mmojawapo ambae unajielewa sana Godlove na ninakukubali sana,maana unajielewa na kujiyambia kuwa imeletwa Duniani kumiliki na kufurahia maisha,I love you so much Chief,, NEVER GIVE UP 💪💪

  • @clifadishali1660
    @clifadishali1660 День тому

    Ajui nimbalikiwa wa nani jamani kumbuka unako enda kuomba kwa uyu profit umepotea

  • @lawrenceleonard2007
    @lawrenceleonard2007 Місяць тому +5

    😅😅😅😅😅 Salim Bakhresa amekaa zake kimya tu uku anamuangalia kijana nakusema daaah, ivi namimi ningekua limbukeni kama huyu leo ata Azam kampani ingekuwepo?

  • @humphreyroberty8982
    @humphreyroberty8982 Місяць тому +1

    SIKILIZENI KWA MAKINI KASEMA JIRANI YA CLOUDS FM BADALA YA CROWN FM YANI HUYU BADO AKILI YAKE IPO CLOUDS

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 27 днів тому

    Ni sahihi kabisa kuna wakati unaweza fanya kitu alafu unakumbuka kuwa hiki kitu mbona kama nilishawahi fanya, kwa kifupi kuna maisha fulani ambayo unaona kabisa ulishawahi kuyaishi lakini ndio Ivo unashindwa kuelewa.
    Au unaweza fika sehemu alafu unaona kabisa kuwa ulishawahi fika.
    Huwa kuna wakati najisemea kuwa mbona Kuna vitu vinajirudia ktk maisha yangu.
    Lakini humuambii mtu unajiuliza mwenyewe tu.

  • @GetfordMasehe-v7i
    @GetfordMasehe-v7i Місяць тому

    Nakukubali sana pia nakuheshimu sana Mungu akupe maisha marefu

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 Місяць тому +1

    Kumbe aliwapooza kwanza watangazaji ndo maana wakashindwa kumuuliza maswali yaa msingi😂😂😂

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 Місяць тому +1

    Watu wako kwenye kazi zao hata akiwa kitoboto ,maishayake kachagua ,ukiweza iga.

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Місяць тому

    ❤❤❤❤from.kenya

  • @AMOSIDAUDI-k4g
    @AMOSIDAUDI-k4g Місяць тому +1

    Sasa huo sio uchawa huo ni ukunguni

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Місяць тому

    Godlike nimekuku bali,hongera kwa.hili unalilifanya

  • @germainmukandamamauridi3112
    @germainmukandamamauridi3112 Місяць тому

    Ila Mwijaku, come on guy
    Yaani ulinifuraisha sana kwa kauli yako ya kuokota na ukaokota tena

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Місяць тому +6

    Nilichogundua ni kwamba ukiwa na laki 4 bongo unasumbua 😅😅

  • @emmanuelpeter7959
    @emmanuelpeter7959 Місяць тому +1

    😢choosen oneeee

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 23 дні тому

    Ninyi mnaomtukana chief acheni usenge,,,mimi sio mshilika wa chief lakini kwa misaada anayotoa kwa wamama namkubali sana..manemo yenu machafu hayatamfanya afilisike kwanza ndo mnamuongezea watu wanaomfaata na kumsikiliza

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Місяць тому +2

    Watu wa ofisini..mtake misitake mtachangamka kilazima😊

  • @BoniphaceSimon-i2e
    @BoniphaceSimon-i2e Місяць тому

    Yani huyo mwijaku anavyofurahi utadhani malaya aliyeona pesa😂😂😂

  • @JumaGendeye-sv6yl
    @JumaGendeye-sv6yl Місяць тому +2

    Nakuku bari San chifu

  • @AdenBernard-ll4xo
    @AdenBernard-ll4xo Місяць тому

    Ni noma sana

  • @MaisalaMamboe
    @MaisalaMamboe 12 днів тому

    Mimi napita jaman

  • @morandraymond3169
    @morandraymond3169 Місяць тому

    Ndiyomaana tunakuwa mashoga wengi pia huyu chief atokani na mungu

  • @kalebomawande6057
    @kalebomawande6057 28 днів тому

    Ukitaka kufilisika vua hayo mapete mpuuzi na muongo hapo unafanya hivyo kwa masharti na siku zako si nyingi

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 Місяць тому

    Duuuh mwijagu uchawa umeuanza lini jamani ila unafaa

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Місяць тому

    Ni.kweli.kaka.

  • @StalinAlphonce
    @StalinAlphonce 17 днів тому

    Huyu jamaa ni nani? Mganga au?

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Місяць тому +1

    Et cloud fm

  • @FaridaKessy
    @FaridaKessy Місяць тому

    Kabisa jmn wagangaaaa😥mmmhhh

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m Місяць тому

    NAOKOTA TENA KWA CHIEF ,PESA HIZI😂😂😂😂

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 Місяць тому +1

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo

  • @user-ti2ru9lk6v
    @user-ti2ru9lk6v Місяць тому

    Acha kupotosha watu ww si ulishawahi kujiposto unakunywa damu ww unasema unatoa kafara kijana WA ovyo sana ww acha kupotosha watu 🏃🏃🏃

  • @Kondowr
    @Kondowr Місяць тому

    Mmmm chief sio kweri even us we have money

  • @danielndam5997
    @danielndam5997 Місяць тому

    Jamaa ana ongea mpaka jasho linamtoka matakoni😂😂

  • @GenggengFashion
    @GenggengFashion Місяць тому

    Mwijaku anaweza kukufilisi walah

  • @marselsirlema681
    @marselsirlema681 Місяць тому

    Jirani wa clouds FM kivipi mwijaku

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Місяць тому

    kijana wa hovyo kabisa

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv Місяць тому

    Kweli boy

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Місяць тому

    Kwahiyo mwijaku chawa tena

  • @ellykaka2360
    @ellykaka2360 Місяць тому

    Mwijaku da!!😂

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Місяць тому

    Mwijakuuu wqmotooo

  • @quainfaithful-q3n
    @quainfaithful-q3n Місяць тому

    Ilaa mwikaku😂

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Місяць тому

    hiyo kusaidia mayatima na wajane kila mtu akifanya anafanikiwa acha kudanganya watu

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Місяць тому

    Punguzeni ushamba mbona hapa zenji kuna watu wanapesa Havana Hata zakuzifanya

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Місяць тому

    Ogopa mtu chawa nikama upele unavyowashaga taka usitake utaukuna tu 🤣🤣🤣

  • @baizobaizo6638
    @baizobaizo6638 Місяць тому

    Walikuja Watu Kama Hawa Na Wakapotea Pia Dunia Ina Siri Kubwa Sana

  • @samjm7330
    @samjm7330 Місяць тому

    Huyu jamaa hafiki mbali hii siyo sifa ya matajiri

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Місяць тому

    Yani huyu mwijaku kajimuliya kuomba hella

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Місяць тому

    kwa hiyo kwemda kwa viongoz wa dini ndio matatizo yanaanzia kweli huyu amelaaniwa aisee huyu ni shetani aisee

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Місяць тому

    Huyu jamani hatafirwa jamani

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Місяць тому +11

    Dah, serikali isipochukua hatua za haraka kuzuia uchawa, vijana wengi wanaweza kuangukia kwenye janga hili, hivyo nchi kupoteza nguvu kazi tegemeo

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps Місяць тому

    Huyu mwijaku hata forward jamani

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Місяць тому

    👊🔥

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Місяць тому

    Warundi wa kigoma mmetupita kwa sifa

  • @Kondowr
    @Kondowr Місяць тому

    You cant fine money without support from someone

  • @meowzna
    @meowzna Місяць тому

    🎉🎉👍👍

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Місяць тому

    Tufanyaje

  • @JordanRichard-s2d
    @JordanRichard-s2d Місяць тому

    Agents of colonialism is back again in another way utawala mpya umeanza kuandaliwa kidogo kidogo people huu ndio ule mda wa kufunga na kusali huyu Kuna watu wapo nyuma yake.

  • @RichWise671
    @RichWise671 Місяць тому +1

    😂😂😂🎉😊

  • @user-ve8yy6rj2v
    @user-ve8yy6rj2v Місяць тому +1

    Jamaa kapendeza

  • @user-hd7gs5by4s
    @user-hd7gs5by4s Місяць тому

    Tujiunge wap

  • @SuperkarimBenzema-o1h
    @SuperkarimBenzema-o1h Місяць тому

    Omba omba wamekuja kw mfumo mwengine

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 27 днів тому

    Mfano kuna tukio huwa naona kabisa nililiona lile la adam na hawa wakiwa bustanini, hadi sehemu huwa naikumbuka lakini sielewi kwa nini?
    Huwa sipati majibu why? au naweza fanya kitu ambacho naona kabisa nilishawahi kukifanya ni kama vile vinajirudia .

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Місяць тому

    Jitu zima ujinga mtupu

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 Місяць тому

    Uyu anatafuta waumini wa sheteni ambao watategeteya pamoja Ndugu zanguni njaa isiwasababishe munapotoshwa na huyu dogo