Nataka kuwa muumini wa kanisani kwenu ili nijifunze Zaidi mtumishi wa mungu, mnapatikana maeneo gani kwa hapa dar es salaam,? Sitaki kuungana na huo mpango wa j,pili, mfumo wa kishetani, mana tunapo wahubiria Ni nyakati za mwisho hawaelewi kabisaa
Asante mtumishi. ila la muhimu ni watoto wa Mungu kuishi kila siku kana kwamba ni siku ya mwisho. hakuna ajuaye siku yake ya kifo, tutubu kila wakati ili tukilala mauti mapema, tulale na matumaini ya ufufuo wa kwanza. pia hakuna ajuaye mlango wa rehema utafugwa lini.naomba tujiandae kila wakati tusifungiwe nje. we have only now.
Mungu akuongoze mtumishi, heri aaminiye maneno ya Unabii huu na Biblia , tunaomba pia uwe una weka mawasiliano namba za simu, tuna tamani kujifunza zaidi hasa kwa kukuuliza direct
Bwana kaka barikiwa kwanza,nataka nijue kwa Mungu tunajua callender ni ya siku 30 pekee sasa lakini huu unabii naona kama unahesabiwa kwa calendar ya kawaida iko je hapo... asante
Mwaka WA 31 Ad ilitumika calendar ya Gregory na ndio hiyo iliyotumika na calendar hiyo halibadili kitu kwa Sababu ya makosa ya calendar ya julian calendar ambayo iliku rekebishwa kwa kuongeza masa kaadhaa au siku kwa kalendar ya Gregory hakuna kinachobadilika.
Nilikuwepo mwaka 1996 wakati mnapita nyumba Kwa nyumba mkisisitiza mwisho umefika,mlihesabu Kwa mahesabu hayo hayo kuwa 2000 ni mwisho lakini wapi?wasabato Huwa hamjifunzi
Pole sana ndugu yangu , hulazimishwi kuamini ukiona kinachofundishwa wewe hukunaliani nacho basi ila muda utaongea na huenda ukaja kujutia sana na hutoweza kurudisha siku nyuma
Ubarikiwe sana KANUDA
Barikiwa sana Mtumishi WA Yesu
Mungu akubariki sana 🙏🙏🙏
Amen tubarikiwe sote
Ubarikiwe mtumishi
Amina tubarikiwe sote
Ubarikiwe mtumishi wa mungu, kwa neno la uzima, kwa hakika unatuongoza vyema katika kulijua andiko, kupitia roho mtakatifu
Barikiwa mtumishi
@bibletruthprophecyminister2329 amen
Nataka kuwa muumini wa kanisani kwenu ili nijifunze Zaidi mtumishi wa mungu, mnapatikana maeneo gani kwa hapa dar es salaam,? Sitaki kuungana na huo mpango wa j,pili, mfumo wa kishetani, mana tunapo wahubiria
Ni nyakati za mwisho hawaelewi kabisaa
Mungu azidi kukujalia mjungaji,ulimwengu umechoka,nitapataje kitabu cha pambano kuu nakala ya kiswahili.from kenya
Uko kwenya au uko Tanzania
Nairobi, kenya
Tanzania vip, kwenya Sababu sipo sifaham
Asante mtumishi. ila la muhimu ni watoto wa Mungu kuishi kila siku kana kwamba ni siku ya mwisho. hakuna ajuaye siku yake ya kifo, tutubu kila wakati ili tukilala mauti mapema, tulale na matumaini ya ufufuo wa kwanza. pia hakuna ajuaye mlango wa rehema utafugwa lini.naomba tujiandae kila wakati tusifungiwe nje. we have only now.
In deed hivyo ndo wanavyopaswa wakristo kuwa
Mungu akuongoze mtumishi, heri aaminiye maneno ya Unabii huu na Biblia , tunaomba pia uwe una weka mawasiliano namba za simu, tuna tamani kujifunza zaidi hasa kwa kukuuliza direct
0629394311
Amen Mungu akubariki 🙌
Barikiwa sana
AMEN NABARIKIWA NA MAFUNDISHO YAKO BABA YETU ALIYE MBINGUNI AZID KUKUBARIKI NA KUKUTUNZA
Barikiwa sana
Be blessed mtumishi
Amen mjoli
Bwana kaka barikiwa kwanza,nataka nijue kwa Mungu tunajua callender ni ya siku 30 pekee sasa lakini huu unabii naona kama unahesabiwa kwa calendar ya kawaida iko je hapo... asante
Mwaka WA 31 Ad ilitumika calendar ya Gregory na ndio hiyo iliyotumika na calendar hiyo halibadili kitu kwa Sababu ya makosa ya calendar ya julian calendar ambayo iliku rekebishwa kwa kuongeza masa kaadhaa au siku kwa kalendar ya Gregory hakuna kinachobadilika.
Wasabato Huwa hamjifunzi.mlishafeli mara kadhaa,hii nayo ije ikufanye utafute Imani na maarifa ya kweli
Hakikisha unaacha dhambi kuamini nilichofundisha hata sio hoja kubwa, utake usitake anakuja
Nisawa kabisa hichi nikinchoerea laki watu Huwa bashiii
Hakika wakati umeisha kuanzia 2031 na kuondelea tujionea wemyewe hana muda anarudi Kristo
Ila nikweri kabisa ushali huo mchlo untimia uwe unanesha
Unabii huu huenda ukawa na mashaka maana hata 2000 walisema mwisho wa dunia
Umesikiliza sehem ya kwanza?
Ujumbe wetu sio wa kuweka siku saa miaka au week kitabu Cha matukio ya siku za mwisho sura ya 3
Sikikiza part zote
Nilikuwepo mwaka 1996 wakati mnapita nyumba Kwa nyumba mkisisitiza mwisho umefika,mlihesabu Kwa mahesabu hayo hayo kuwa 2000 ni mwisho lakini wapi?wasabato Huwa hamjifunzi
Mahesabu achana nayo mpendwa jitahidi kuachana na dhambi, hii ndio itakuponya, sisi tunakuletea tu ujaribu WA MAREJEO ya YESU ili usijisahau
Pole sana ndugu yangu , hulazimishwi kuamini ukiona kinachofundishwa wewe hukunaliani nacho basi ila muda utaongea na huenda ukaja kujutia sana na hutoweza kurudisha siku nyuma
@grecemakalwe8286 kwa kweli
Hawa ni matapeli wa injili , hakuna wanachokijua kuhusu kristo , Ila tu wana kiburi Cha kiroho 😂😂😂, wakikuta umekaa kizembe wanapita na wewe😊
@venancenkoronko9250 poleni Sana