Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu
Halafu ni Model asiyejuwa kutamka R na L. Bora angekaa Kimya tu. Hajafikisha hata Mwaka Marekani na bado hajajuwa Vitu Vingi vya Marekani. Jifunze kunyamaza kuliko Kuongeaongea Unajiaibisha Ceccy.
Uraia pacha ni muhimu. Serikali ya Tz ni ya kikoroni,too much controlling people! Mimi mwenyewe nina ishi miaka mingi Ulaya ila sina passport ya Europe kwa sababu sitaki kupoteza passport ya Tz 😢
This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂
Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko
@@official_dicksonmunga Mi nasemagaa moyonii watu Wanaopondaa hivyo, walishatamani wakakosaa na hawawezi kuja hukuu yaani kifupi ni maneno ya wakosajii, kama kweli mpambanaji kujutaa kuwa Ulaya ni Ulofaa! Miakaa 500 huwezi linganishaa maisha ya Ulaya na africa ! Waache kupondaa wasivyovijuaa ! I sign out here 😂 !✍️✍️🤷♂️
Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana
huyo ni muongo saaaaana tena sana ili kupata uraia wa usa mpaka uwe na umeishi usa miaka mi5 kabla ya kupata unatakiwa na uwe na green card na kuhipata hiyo ndo shida unafikiri hapa marekani ni tanzania kupata urahia kiraisi raisi
Muogo bhn mwaka mmoja uwezi kua na urahiya
Huwezi kuwa citizen maybe kama umepata greencard. Sisi tupo huku huwezi kupata uraia ndani ya mwaka
Mwenzio ana sponsors ambae washakuwa kama mke na mume we nawe dume unataka shindana nae we unataka sponsor pia au?
Everything is possible with connection and money😊😊
still kuna process mpaka kuwa raia. pengine ni permanent resident wa marekani ana working permit tu kwa sasa
Uongo, hawezi kua Citizen kwa miezi ao mwaka 1 ,apa USA. Acha uongo
Yeah, ana danganya
Anawadangaya watazani ambowo hakwenda 🇺🇸
Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu
😂😂😂😂nami nilikuwa nashangaa mwaka 1 wakupe uraia imekuwa karanga😂😂
Yaani hajitambui halafu hajitambui tena 😂😂😂😂 eti raia nyoooooo
Halafu ni Model asiyejuwa kutamka R na L.
Bora angekaa Kimya tu. Hajafikisha hata Mwaka Marekani na bado hajajuwa Vitu Vingi vya Marekani.
Jifunze kunyamaza kuliko Kuongeaongea Unajiaibisha Ceccy.
Hovyo kabisa
Mwenzio yupo new york wewe unakazi ya kupiga makelele huko kwenu shinyanga mbali mbali kakutana na Chriss brown macho kwa macho wewe piga mikelele tuu
Hakuna citizen ya mwaka, muongo huyo
Uraia pacha ni muhimu. Serikali ya Tz ni ya kikoroni,too much controlling people! Mimi mwenyewe nina ishi miaka mingi Ulaya ila sina passport ya Europe kwa sababu sitaki kupoteza passport ya Tz 😢
Oya mbn hamsemi kma kapauka wabongo auseee😂😂😂😂😂 wanaumbuka dk 1 tu 😂😂😂
Citizen ya US nimpaka myaka 5 Uwongotu 🤣
Ana marengo😂😂😂😂( Malengo bana)
Babalevo mshamba eti ana viza uraia wa marekani😂
Mama work permit sio Citizenship
This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂
Bangi kbs uraia nyoko
Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko
@@FredrickMatiku-xf2uk ulimbukeni unawasumbua watu
Muwage na adabu na mnacho coment. Huyo huyo anae beba ma box anamshahara mkubwa zidi hata anae fanya kazi TRA 😂😂😂 weka heshima weweeee
@@official_dicksonmunga uwo mshahara mkubwa kwa uchumi wa marekani na tanzania ni tofautiiii unaishia kwenye kula na kulipa kodi tu
@@official_dicksonmunga
Mi nasemagaa moyonii watu Wanaopondaa hivyo, walishatamani wakakosaa na hawawezi kuja hukuu yaani kifupi ni maneno ya wakosajii, kama kweli mpambanaji kujutaa kuwa Ulaya ni Ulofaa! Miakaa 500 huwezi linganishaa maisha ya Ulaya na africa ! Waache kupondaa wasivyovijuaa !
I sign out here 😂 !✍️✍️🤷♂️
Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana
Haiwezekani hawazi kupata passport ya marekani ni muongo Tena sana
Baba Levo hujui kingereza unasema2 yaaaa
Marengo😂😂😂😂
@@namelockmaasailady8002 Marengo🤣🤣🤣🤣🤣
Bora akae Kimya tuu
Famiry( family)
huyo ni muongo saaaaana tena sana ili kupata uraia wa usa mpaka uwe na umeishi usa miaka mi5 kabla ya kupata unatakiwa na uwe na green card na kuhipata hiyo ndo shida unafikiri hapa marekani ni tanzania kupata urahia kiraisi raisi
Baba levo unatafuta kiki
Wamarekani wanapana uraiya ila nyiye watanzania munarombaya asie kuwa mtanzania hapewi uraiya acha rombaya watanzania
Tatizo la taifa maskini km Tanzania
Dada hajui anataka nini
huu ni ujinga wa kiwango cha juu ..
walikuw wanasema huyu kiumbe kichwa kikubwa sikujua kikubwa vp 😂
Baba Levo, interview utani mwingi, try to be abit serious. Unamchanganya unayempa interview....
Niwongo hakuna uraiya wa merakani kwa mwaka kupatika
Watanzania wengi washamba kwenye mengi. Kwanini wakiwa wanaongea lazima waweke English?
Wote hamjamuelewa hana passport ila anakibali cha kufanya Kaz
@@JescaHwati 🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Ungo
Uyo ni Mongo siyo rahisi kupata uraiya
Citizen in one year?Uongo jamani
😂😂😂😂😂😂😂😂