Dadangu zatiti usife jamani ww ni rafiki yang plz tulia furaha Yako ipo njiani ❤❤ utapata anaye kupenda zaidi mungu yupo🙏🙏amini Kila kitu Kiko Kwa mbakilio xawa dadangu ❤❤❤❤
Zatiti wangu punde tu utapata furaha hata zuu alipitia hayo sasa anainjoy nakupenda kazi nzuri damani Sania bwana chema chajiuza kibaya chajitembeza hahaha
Sania ata uvae nguo yakukuziba vidole vya miguu tena huwezi badilika kwa hali hio umevalia ngozi ya kondoo ndani ni mmbwa mwitu wewe ukiskiza zuu basi utasaidika sana
Huyu kai ana wazima haki 😢kwani malaya hafai kuolewa jamani 😊wengine wanafanya umalaya kwa kua hawana wakuwatimizia ila wakipata watu watu saihiii wanaolewa na kutulia na ndoa zao
Sikuhizi wanaume hawaliliwi zatiti tunaenda nao bampa tu bampa 😂😂😂😂😂we huogopi akimwaga Unga nawe unamwaga mboga watu walale njaaaa😂😂😂😂 au sio team strong
Kay mi sjapenda kila umuoneapo Sania bs wew wamwijia Tasha juuu,, acha alikuambia mara gp han mausiano na Sania sjapenda kuona Tasha akiwa naasira bhan..
Anaeamini mke wa chiko atakuja kuwa mke wa Mr Tasha like hapa
Usijali utapewa tu Kwa neema ya Mungu
Kama unaamin chiko atakosa vyote yan mtoto pamoja na mke gonga like
Zatiti nakupenda sana mama yangu achana na chiko anayekutesa mama zatiti nakupenda sana staki kuona chozi lako mpendwa wangu
Wakwanza kutokea swideni tunao omba zatiti apate mchumba na ndoa yake amkomohe chiko achia like apa❤❤❤😢🎉🎉🎉
Zatiti anaendana Na Mr tasha ndio mtu wa kufariji moyo wake
Mhhh
Mr tash muoe zatit
Zatiti ataolewa na Mr Tasha 😊
Mm naona Mr Tasha ndio atamuoa zatiti na atapata ujauzito
Anae amini zatit ataolewa na Tasha agonge like apa
House inazd kuwa motrooo🔥🔥🎉.....Nani mwengine anapenda urafiki wa Zatiti na Sandra🥰
Pole daa Zatiti jikaze Mungu anampango mwema na we wanaocheka ss watalia baadaye
Ni sahihi kabisa
Nikwli kabisa zatiti ampate mchumba ili izidi utam
Tunao Amin zatity atakuwa na mahusiano na Tasha week like hapo 😊😊😊
Walai naona Ivo pia mm😂😂😂 kumbe tunafanana akili
Lakini zatity anaboo kushinda aki lilia mwanaume mwenye hana haja na yeye
Walai tunaombea;;;
Acha kukach feelings n movie😂😂@@suzan2929
Nikweli zatiti aolewe na tacha
Jamani wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wenye wanafulaiya za titi apate muchumba like zangu jamani
🇧🇮 niko nawewe dada
🇧🇮🇧🇮tupo
Yaani nawapenda sana kai na zuri,,ila we sania sikupendi
Wangapi tunaona Zatiti akiolewa n Mr Tasha😊InshaAllah
Amiin inshallah na iwe hivyo jmn ❤❤❤❤
Dadangu zatiti usife jamani ww ni rafiki yang plz tulia furaha Yako ipo njiani ❤❤ utapata anaye kupenda zaidi mungu yupo🙏🙏amini Kila kitu Kiko Kwa mbakilio xawa dadangu ❤❤❤❤
Zatiti ukisuka unakaaa vzr kuliko kuvaaa mawigi❤yaani we ni mrembo mashaallah
😊😊😊
Zatiti wangu punde tu utapata furaha hata zuu alipitia hayo sasa anainjoy nakupenda kazi nzuri damani Sania bwana chema chajiuza kibaya chajitembeza hahaha
Mi sijui wangapi ila sijawahi pata like mmmh
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@@LeilaAdija thank you
Kwa wanaotamani zatiti aoane na Tasha gonga like ❤😂
Utakuwa na wew unaumizwa na mapenz
Mwenye bahati mbaya ata like jamani chipati chijuwi ni kwanini mwenye anafurahia ndoa ya yazuu na KAl anipe like ❤🎉❤
hujuikuandika ndomana hupati like
❤❤❤❤🎉
@@RachelJimmy-t9vPotea 😮
😂😂😂😂 like ety
Naona watu wanaomba like basi na mm leo nipen like Yangu nimechelewa😂😊
Zatiti usikate tamaa
leo naomben like hata kumi tuliosubili niwaone 👍
Genz nitawatimua mm nawapa like zangu mm hamnpi like ,bt kazi nzuri sana jamani
😂😂😂Kama kunaanayeamin mama Tasha kagundua kitu Kwa Sania na kawasikia wanavyojibishana na Zuu tujuane hapa 🎉🎉🎉
Leo namm nimekuwa wa kwanza namm nipe like ha kum to
Yaan hiz like zingekuw hel bas mngetajirik looo😂😂 badal y kuwap mshikamano busat TV waendelee kutoa vtu vzur tuburudik nyie mnaomb like
Inamaana mm niloko njombe kupewa like nivigumu mbona mm zenu nalike😂😂😂😂😂
Usijali utapewa tu Kwa neema ya Mungu
Wakwanza kutoka Qatar naomba like zenu wadau
Mbna kama Zuu na Kai wanamshangaa Sania wangu. Mniachie Sania. Amebadilika jaman.
Naona ndoa ya zatiti na Mr Tasha ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nampenda sn Sandra anavyo mfariji zatiti❤❤❤
Ni kweli nampenda pia sandra
Wanaosem zatit atakuf au ataishi kwa maneno ya rafki yake gonga like apaa❤❤😅😢
Hakika nyie mnajuwa kutupatia raha mashabiki zenu nawapenda bure🎉❤❤❤
Sania ata uvae nguo yakukuziba vidole vya miguu tena huwezi badilika kwa hali hio umevalia ngozi ya kondoo ndani ni mmbwa mwitu wewe ukiskiza zuu basi utasaidika sana
Sania chui😅😅😅
@@MERCYMWIAMUSEMBI umeonaeee😂😂😂😂😂
Sasa we zuu toa hayo manywele bhna uwe Kama mwanzo ulikua Good kichwan.
Hengereni Kawa KAZI nzuri ❤❤
Leo ni mewai kutoka moçambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba like 5 to
Nmewahi naombni like zang
Zuu nakukubali sana naiga mengi kwako
Jamani nime wai Leo kweli nipeni like zangu plz nime kuwa wa kwanza ❤❤🎉🎉
Jamani naona house girl inazidi kusisimua ....hongereni sana wa busati🎉🎉🎉🎉
Chiko bado hujasema labda la kuongezea sijui kama utawai pata mke aina ya zatiti maana uliyatimba pole sana
Huyu kai ana wazima haki 😢kwani malaya hafai kuolewa jamani 😊wengine wanafanya umalaya kwa kua hawana wakuwatimizia ila wakipata watu watu saihiii wanaolewa na kutulia na ndoa zao
Kai anaongea hivyo kwa sababu yameshamkuta kwa candy,baada yakupata ndoa candy hakubadilika ndio alizidi
Nimewai jaman naombeni ata like 2
Kama Kuna mwingine zatit amemtoa machoz kama mm gonga like apa
Zuuu badilisha wigii hiloo halikupendez kipez ❤️❤️❤️🌹🌹
Alafu avae na brazia😅
Yan hali mpendezi kabisa na hayo malingo kisa kampata kay
Ni muvi ndo imemtaka acheze ivo ila ili uamini zuu ni piss kali basi endelea kuangalia muvi zao zingine.
😂😂naomba muache kuomba like atakaye omba mm nayy tunakutana jiandae sana sana wakaka omba uone
Kiukweli wanaboo wew mpaka wananisinya mm😂
@@MariaSalim-u5z Kwa kweli
Jamn nigaieni like 😢 maan Nikiomb sipew😚😚
njoo zatiti oman 2takufariji😂❤❤
Zatiii acha kulia lia nawe 😂😂 heee!!!!!
Tasha amuoe zatiti jmn Kama unakubaliana na mm like bc
Unataka sania ajinyonge
Na kamkonde
😂😂😂@@irinemmasy8387
Good my favorite episode!
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nipen like zangu kutoka oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Mbona bado utamu aujanipata hi sizon 2,nimm tu au
Team strong❤ tujuane
Wanao amini zatiti ataolewa na Mr Tasha hebu gonga liki hapo
Wale wa kukimbilia kucomment 🤣🤣🤣
mnaboa Sana nyie watu Kwan hizo like mnazozitaka zinawasaidia nn maana kila mtu like like
Zatiti pole sana dadangu njoo nikupee kakangu
Sijui mm niwangapi nachujua movie nzr mmetisha wanangu Mariam kutoka oman zatiti karib oman tunajiand na wagen
Namba moja🎉
Hee nimewahi leo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nampenda sana sandra na moyo wake mzuri ❤❤❤ Kwa satiti
Sikuhizi wanaume hawaliliwi zatiti tunaenda nao bampa tu bampa 😂😂😂😂😂we huogopi akimwaga Unga nawe unamwaga mboga watu walale njaaaa😂😂😂😂 au sio team strong
Jaman mimi kutokea China 🇨🇳 naomben like zangu😢😂
Wanao sema zatit atpat mume gongen laik
Sania ww unataka Mr Tasha lazima utawezana kweli hii move inaamafunzo mengi cn kujali utu na urafiki wakweli na kuheshimu wa2
Kazi nzuri
Naomba ata line moja jamaniiiiiiiii wapenzi wa busati tv please ❤🎉🎉
Qwani izi likes mnaomba ziko na maana ngani nami ntaka walai
Wakwanza Leo love much from 🇲🇿 Mozambique
Kutoka sauth tasha awoane na tasha ingependeza xnaaa jmn ata like mbili 2
Kwahio tasha aoane na tashaaa so tasha ajioe😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hahaha jmn kakosea2@@JemimahNzai
Haya jmn tunapata mafunzo na Raha pia ❤❤❤❤❤❤
Kay mi sjapenda kila umuoneapo Sania bs wew wamwijia Tasha juuu,, acha alikuambia mara gp han mausiano na Sania sjapenda kuona Tasha akiwa naasira bhan..
Kazi zuri sana kweli Muna juwakuingizasana Kai na zuu nawatakia ndowanjema tena muzaewatoto wazuritu Mungu awalinde beautiful. Butterfly 🦋❤❤❤❤
Zatiti yani unalia kwa uchungu sana mpaka unanitoa machozi wee nimrembo sana usikate tamaa❤❤❤🎉🎉karibi hapa🇰🇪🇰🇪
Fanyeni mchakato tasha amuoe zatiti arudishe furaha yake kwani wanaendana
Wimbo mzuri akika ❤❤❤unaitwaje plz naombeni Jina la wimbo wausika🎉🎉🎉
Huku watu hawalali aki thank you so much busati tv kwa kazi nzuri 🙏
Ila sania 😂asisikie wanaongelea abar za mke mwema ashawmda kupiga magoti😂😂😂😂
Naiona Couple ya Zatiti na Mr Tasha ebu iwe Ivo jmn🎉🎉❤
Tuseme insha Allah
Kila mtu amewahi amewahi na kutaka like ivi mnajifunza kweli😊
Zatiti imetosha unalia adi unaniliza hata mimi mpenzi mtazamaji❤❤❤
Wanaosema mama Tasha amefanana na Tasha kweli like hapa.
Wa kwanza jaman lik zeb ata 5
Kazi suri na ❤❤❤
Wadau me naic huu mziki soon nitakua kwenye penz la dada wa kaz umeisha mda wake mana tyr nipo kwenye penz mm 😂😂😂😂😂
Haya mr tasha kazi unayo 😂😂😂😂
Gonga like kwa ajiri ya Sandra Ni rafki mwemaaa
Waooh Kay anamuchukia Sania kwa7bu yamukeo muuh nipeni like yangu
Vema kabsa.
Filam hiyi ni number one
Team strong 💪 njooni tupamban asubui sai 😢halafu wenye wanajua dada wa chiko atammiss zatiti gonga likes hapa😂😂😂
Pole sana zatiti Jmn adi unani toa machozi duh
Zuuu kavue Hilo wigi bhana dar
Kiukweli mie nimempenda lafiki ake zatiti ao watu ni watu jaman na mie napenda
Ijapo nimechelewa lakini nimefika nyote rudi mnipe likes zenu❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🌹🌹
mimi naomba sana zatiti aolewe na tasha kama mnaniunga mkon gongen like❤❤❤❤
Hongeren ❤❤sana team kai nyote nawapenda❤❤
🥰😍😍
Kai utanikera sasa Acha kufatilia maisha ya watu dili na maisha yako Bana aiiiiiii
Natamani nipate rafiki. Kama rafki ake zatiti 🎉🎉🎉❤
Si ndiyo mimi sasa🤗
Nitaagalia badae kwaumakini bayeeeee😂😂😂😂😂😂
Safi sana
Wamwisho Kutoka Qatar.🎉🎉❤. Hongereni Kwa Kazi Nzuri Yenyeafunzo
Wadada naombeni likes zenu tu ❤