Ally kamwe Atapimwa kwa idadi ya wanachama wapya , wale wazamani wanaolipa ada, na mashabiki wanao ingia viwanjani. Huku kitaa Yanga hajawahi kupungukiwa hamasa. Yanga inahitaji fedha ili ijiendeshe 😮😮
Naachaje kitoogopa mmetisha wapambanaji wetu natumai mtauafanyia kazi mapungufu madogomadogo hasa upande wa kushoto kaizer walijaribu kutushambulia kama wangekuwa very clinical na hisingekuwa uzoefu wa kipa wangepata ata goli moja la kufutia machozi,pia muendelee kufanyia kazi fitness izidi kuimarika,pumzi zakutosha,na speed ya 10G 😁 yaani mapaka waje watubu kwamba team yetu haina wazee na japo wanajificha hawataki tuyaone madhaifu yao ila msijethubutu kuingia mtegoni kwa maneno yao mihimu kufocus na yanayotuhusu ili mwisho wa siku kutimiza malengo yetu especially ngao ya jamii tuanze kunyanyua kwapa kwa hilo kombe pia mzize alikuwa bora sana leo especially anapocheza pembeni alikuwa 🔥 nawaombea kila la kheri mzidi kuimarika ili kutupa furaha zaidi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana Kaka zangu. Ali unaonekana uko POA sana ata kwa team yako Mungu akubariki.
Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉🎉
Huyu Ali Kamwe yuko social sn, hakai ofisini muda wote. Anakuja kitaa kuchanganyika na sisi wananchi wenzake! Ali Kamwe miaka 10000000000
Ally kamwe Atapimwa kwa idadi ya wanachama wapya , wale wazamani wanaolipa ada, na mashabiki wanao ingia viwanjani.
Huku kitaa Yanga hajawahi kupungukiwa hamasa.
Yanga inahitaji fedha ili ijiendeshe 😮😮
@@JumbeOjasokamwe kaongeza wanachama wengi
Wanachama wanakuja tm ikiperform
Wanachama wanakuja tm ikiperform
Na si makelele
Hongera injinia hersi 🎉🎉🎉🎉
Ugenin kama Nyumban this is Young Africans
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Hii ndio mtaa kwa mtaa sasa 💚💚💚
Ndan ya mtaa Al kamwe
Eti vitenge ,ila bora ya vitenge vyetu kuliko sanda za makolo na mshaanza kuvaa sanda misri huko
Aziii z10 africa🎉🎉🎉
Yanga 🎉🎉🎉🎉
Kumbe hapo ndo kwa ujugu😂
Mwenyekiti 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Daima mbele ❤❤
Ally kamwe yanga umekuja na mguu mzuri wa mafanikio.
Likes za kamwe hapa semaji letu lenye makombe yake mjini🎉
Jangwani 🔥🔥🔥
Yanga🎉
Hadi rahaaaa
Mubarikiwe sana aiseee, mumepigaje apo wanainchi
Ko leo kamwe hukua na vibe, ulijua ndo moment ya mwisho kua na nafas ya semaj !!!!😢😢😢
Kila la kher4🎉🎉🎉🎉🎉
Hamuogopii😂
😂😂😂😂😂tunaogopa
Allaah Akbar
Daima mbele nyuma mwiko
Mzee mpiri...mtampa kisukari😊😊😊😂😂😂
Wakwanza Mimi apa
Hii ndio maana ya timu ya wanachi
Naombeni like zangu
Kama ulizowekesha vile 😂😂😂 haya niishakupa comasava🖐️
Ndani ya Ujugu Arena 😂😂
Niachie yanga yanguuuuuuuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Piga sana
Polepoleni Basi mikono hiyo na mafeni wenzangu hiyo 😊😊😅😅😅
Wakwanza
🤣🤣🤣🤣🤣 awaleti team DANDA
Yanga bingwa ❤❤❤❤❤❤❤
Zamu yangu
HUU MOTO YANGA MBONI HATARII.YAANI RAHA MPAKA KUMOYO.
Hivi hamuogopi??
💚💛
Dubeeeeee1
Hadi lah San jmn yanga laha San jmn Ali kamwe uko vizuli san🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤
Jezi taaaaam balaaah 💛💛💚💚💚💚💚
Ali kamwa ❤❤❤🎉Anachangamsha Sana yanga Hana mchezo Ali yupo juuuui🎉🎉🎉❤😂😂
Shaffii Dauda si amesema Alikamwe Kajiuzulu au
Ee MUNGU Ibariki Yanga.
WE HUOGOPIIIIIII😂😂😂😂
Kwan Hapa Yupo Bongo Au South Africa
Daaah hiii video nimeangalia mara 2 🥺🥺🥺mpaka raha yaaan
Jaman jaman Ally kamwe mungezee mkataba msemaji bora kwa sasa Tanzania Ally kamwe Asiondoke tafadhar viongozi wetu🙏🙏🙏🙏🔰🔰🔰🔰🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ila semaji jamani hadi raha
Jmn huku wanasema aliy kamwe amejihuzuru
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sas itakuaje kiukweli haji manara inakiwa awe muhamasishaj sio afisa habali kamwe anatosh
Naachaje kitoogopa mmetisha wapambanaji wetu natumai mtauafanyia kazi mapungufu madogomadogo hasa upande wa kushoto kaizer walijaribu kutushambulia kama wangekuwa very clinical na hisingekuwa uzoefu wa kipa wangepata ata goli moja la kufutia machozi,pia muendelee kufanyia kazi fitness izidi kuimarika,pumzi zakutosha,na speed ya 10G 😁 yaani mapaka waje watubu kwamba team yetu haina wazee na japo wanajificha hawataki tuyaone madhaifu yao ila msijethubutu kuingia mtegoni kwa maneno yao mihimu kufocus na yanayotuhusu ili mwisho wa siku kutimiza malengo yetu especially ngao ya jamii tuanze kunyanyua kwapa kwa hilo kombe pia mzize alikuwa bora sana leo especially anapocheza pembeni alikuwa 🔥 nawaombea kila la kheri mzidi kuimarika ili kutupa furaha zaidi🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Song la kibabe la kufanya mazishi ya sanda FC 😂😂😂😂😂🖐️
Yanga hii tutafurahi sana . Kama wewe ni mwana yanga na unafuraha kama mimi kwa ushindi huu gonga hapo chini.
Manara ataweza kupita vichocholoni watuachie Ally kamwe wetu bana
Ally kamwe wale wanaigeria wa football itel waleteni siku ya yanga day
Kwel kamwe we ndo wakujihudhuri?,me hata siamini
🔥🔥🔥🎉🎉
💛💚👏🏾
Nyie hamuogopi hata kucomment ,😁😁 yanga forever 💛💚
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂namba wani wanachi
Mzee mpili ndani ya mjengo ujugu arena
Ally usijiuzulu mwanangu kipenziiii!!!!!
Me nafuraha tyu😅😅😅💚💛
Simba asilete timu tarehe 8 Yani atapigwa 8
💛💛💚💚🏅🏆🎖
Wangapi wamemuona castor Yanga
Kamwe mkuu Rudi home YANGA
Alli usijiuzulu ss tunakupenda utatupajakaroho ukijiuzulu
Vibe kama holi😢?nani atavumilia limpitie mbali?!
😂😂😂😂😂
Injinia unaona hii na unavunga sio mleteni kamwe
Kamwe anaupiga mwingi
Yoyote anaetaka kumtoa kamwe atatoka
Hapa yanga ni kamwe tunamjua huyo mwngne atulie na zay Lissa
Hii timu ni yetu ss wananchi na tunamtaka atabaki
Kamwe mwanetu Rudi home
Kikwetu utopolo ni mmewamtu
mmewenu simba sc
Kwetu mke wa mtu tena mtu mwenyewe kolo😆😆😆
Utopolo mmevaa vitenge vyenu
Mshapigwa uko na Telecom kaangalie
ngoja tukutane na vitenge vyetu nyie na sanda zenu itajulikana nan maiti😮😮
😂😂😂😂 jikague sio kwa sandakalawe 😂😂😂 zenu
Vtenge na sanda ko Bora?!!
𝐀𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐌𝐖𝐄 𝐓𝐔𝐓𝐀𝐊𝐔𝐌𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐍𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐓𝐀𝐒𝐍𝐈𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐒𝐄𝐌𝐀𝐉𝐈😢
Yanga 🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko