Haijapiga eneo lolote nyeti....Israel na Mataifa ya magharibi wameaibika, hawakutegemea mashambulio yangefeli..! Sasa US amemkataa Israel, anasema hakujulishwa na Israel kuwa atashambulia Iran Leo, hii yote ni baada ya kufeli
Acha uongo ww maeneo nyeti gani sisi tunao ishi huku hatujaona hizo nyeti mbona 😅iran wako vzr mno kwenye ulinzi wa anga wasubiri mvua ya moto wa iran😅
Waongooooo acheni sifa iran mziki mnene
Mziki mnene kwa waislam wenzake lakini siyo kwa wayahudi
Haijapiga eneo lolote nyeti....Israel na Mataifa ya magharibi wameaibika, hawakutegemea mashambulio yangefeli..!
Sasa US amemkataa Israel, anasema hakujulishwa na Israel kuwa atashambulia Iran Leo, hii yote ni baada ya kufeli
Acha upimbi ulikuwepo,mashoga wamepata aibu sana
WAENDELEE KUPIGA WAGONJWA WAZEE WATOTO WAJAWAZITO UKO GAZA NA LEBANON MISIR SIO IRANI WALISEMA IRANI ITAKUWA MAJIVU KIKUWAPI
Acha uongo ww maeneo nyeti gani sisi tunao ishi huku hatujaona hizo nyeti mbona 😅iran wako vzr mno kwenye ulinzi wa anga wasubiri mvua ya moto wa iran😅
Mmefeli washenzi nyie😂😂habar potofu
Hii chanel waga ni kweli haiweci sema ukweli
Israel inapiga penye mshono
Tuomesheni hizo video ambazo iran amepigwa😂
Hiyo video imeoneaha uhalisia kabisa wa kilichotokea
Sio kweli marekani yenyewe imesema mi.....see more
Kabisa waongoo teña waogo
Iran nimbabe sana kwa Israel wasubirie kichapo
Hakuna kichapo wanangoja