Umenifanya Ibada Paul Clement & Glorious Celebration INTRO BREAKDOWN TUTORIAL.. kwenye Key "A"
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- HIi ni request ya "emmanuel laizer".. i hope itasaidia na wengne! Tuendelee kusubscribe na kushare link ya channel hii ili na wengine wajifunze zaidi..
Check me on...
Instagram: Calkeyz
FACEBOOK: Caleb Julius
Nakutambua sana kaka, naomba ufanye tutorials za D major, you really motivate me
I love music
So amazing
Thank you
Awesome 👏 art 🇰🇪🎹🎼🇰🇪
👍
I love your work bro.. keep it up... Mungu azidi kukutia nguvu... extreme talent..
Amen sana. Asante sana
Napenda sanaa iyo touch aisee
Asante sana
mzee nimewwkubali na tuko pamoja sana
Asante sana.
Hatari sana caleb Julius
Asante sana sana
Daah mwalimu uko vizuri sema speed ni kali sana unatuacha sisi mabigginer
Ntapunguza 🙏🙏
Mimi nadhan Speed ipo sawa. Maana si Una Play kidogo unaweka Stop unajaribisha hadi unaelewa.
- Mimi sio mpiga kinanda Mzuri, lakini nmeangalia hii tutorial polepole hadi nmeweza Kupiga woote
Hehehhehe..sante mwambaa
Just landed on this, when will I play as good as you hahaha. Keep it up brother Caleb.
pAMOJA Sana kijana. kazi nzurri
Shukran kaka
Safi sana brooo kazi nzuri
Shukran sana
bro iko njema Sana Mungu akubariki unaweza Fanya kwa key ya F SHARP au G flat
Fanya wimbo wa Solomon lange;- you have done me well tumia key f
Barikiwa sana kaka
Ameeen
Safi sana stay Blessed
Amen thank you!
Hellow bro I like this tutorial plz do are favor to me bro kwenye key C
Bro Huu Wimbo Ungeurudia Katika Quality Ya Hivi Sasa Ingekuwa Pw Sana...👍
Iko poa nimeielewa sana kaka Caleb naomba tutorial ya ile nyimbo EEH ROHO iko kama kwaito flani hivi ameimba Paul Clement pia akiwa glorious celebration
Safi bro
Asante sana sana..
Umenikumbusha mbali sana
Karibu
Nice move be blessed mr
Amen. Thanks
Hey Caleb you are very inspiring how long did it take you to get good at playing in all keys? I have been playing piano for about a year but I want to learn how to play professionally like you
You can do it.
i love venye unacheza but ni venye I play mostly using the black keys so ka unaeza badilisha kiasi
Thank u so much.
Kaka naomba nielekeze kodi ya ky E
Naomba tutorial ya sema nami by krystaal
Please, I want to make a request
Run
Good work sir how can I get your lessons including some common songs everything you play is just awesome kindly slow it every detail you do it really sounds nice Big thank you
Ouk sir
Nakusihi ndugu ka itawezekana uifanye nyimbo kadhaa kwa F# kwetu ambao tunaendelea kujifunza list yenyewe ni kubwa 1.what a friend 2.Kijito Cha utakazo 3.Alfa and Omega 4.Mbele ninaendelea ni mingi sana naingojea kwa hamu na ghamu tafadhali
kaka naomba ifanye kwenye f#
In na omba ufanye intro ya umenifaya ibada kwenye key c
Mle mle hatari sana ww kijana
Hehe asant sana kaka
ahaa,hii tamu sana,hiyo intro ni kali.bro niko na laptop na keyboard,what else do I need to display midi keys assuming niko na camera.nitashukuru kwa jibu lako
Software inaitwap.. virtual midi piano keyboard
@@CJMusic asante kaka,nahitaji hdmi cable kuiconnect keyboard na laptop?
brother plz fanya Talk Music next tutorial
Vpi kaka hio app ya ku unda sauti hivyo yaitwa aje
Ebu nisaidie Circle of fourth ndo ikoje kaka
You
Sasa hii boss mbona tunashindwa download ?
Sio kwel
Natumia vidmate ina keep sayin retryin
Tafuta app ingine.