Mahusiano yangu na Joseph haikuwa riziki huyu niliyempata ndo chaguo sahihi kutoka kwa Mungu na ni kama Mungu alinitoa kule kwa J ili aje anikutanishe na familia yangu 😭😭😭nakumbuka kuna kipindi mme wangu alipata hitilafu kidogo kwenye kazi ikampelekea kufanya kikao na waajiri wake, siku aliyotakiwa mme wangu kuhudhuria kwenye kikao aliniomba tuongozane na hiyo siku ndo niliyoenda kukutana na familia yangu😭😭😭 baba pamoja na pacha wangu wao ndo wamiliki wa kampuni iliyomwajili mme wangu ni kampuni kubwa ya maroli ya mizigo yanayosafirisha mizigo mbalimbali ndani na nje ya nchi🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimepitia misuko suko mingi sana ya maisha kwa hapa nilipo ninasema alhamdulilah kila kitu hutokea kwa sababu sina budi kusahau yote ya nyuma🥰🥰🥰kwa sasa mimi ndo kipenzi cha baba na vile hakupataga muda wa kunilea nikiwa mdogo now ndo nayaenjoy mapenzi ya baba ananipenda mnoo💃🏼💃🏼💃🏼na kawekeza kiasi kikubwa mno cha pesa kwenye biashara yangu........Tunaishi kwa kusudio la Mungu na kila linalotokea kwenye maisha yetu limepangwa na Mungu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻Nimeamini kweli mwisho wa kilio ni furaha❤️❤️❤️furaha niliyo nayo sasa ni zaidi ya furaha niliyokuwa nayo kipindi cha nyuma🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante Mungu kwa kila kitu❤️
😢😢😢😢😢😢 Hiii imenigusa mnooo ila kupitia simuliziii hiii napenda kutoa tamko kwaa mwamamke au msichan yyt anaingilian mapenzi ya watu anaharibu aman na furaha ya watu yaan umekuta mtu ana mwanamke wake wanapendan ww unaingilia kati unamloga mwanaum ili upendwe ww mwenzako ateseke😢😢😢 litakukut jambo aki nasem ivo maan mie nliumizw san na mwanwmke mwenzang alinipokonya tonge mdomon na sijawah kumsahau kweny maish yangu ila sintosahau magum nliuopitia😢😢😢😢😢🙌🙌🙌 nashukur Mungu amenipa pumziko ten nmempat mwanaume anayejua thmn yangu yaaan nina story chungu ambayo nikitoa ni simuliz kabisaaa loooooh mapenz jmn ila mwanaume halogwi jmn😢😢😢😢
Jamani Mimi Leo kama shabiki WA Lucas ni WA kwanza naomba like zenu tuzidi kusikia simulizi pamoja nasauti ya Lucas wetu vile anaa tusimulia simulizi nzuri karibu mashabiki tuwee pamoja asante kwa like zenu❤❤❤❤
Jamani mbona mnalaumu sana hakuna binadamu hana Makosa na amejifuza hawezi kurudia tena hakuna mtu mkamilivu kwa hii dunia ,pia mwanawake before mume wako hajatoka nyumbani kwenda kazi piz make sure unamuombea kwa mungu juu huko inji siyo kuzuri .. thanks sana bro Lucas nimejifunza sana😊
Shatani Hana jama kwa mtu yoyote mungu tu ndiye waupedo zura zuri roho wa kishatani si wewe ni shatani baba wa Dunia hasiye penda watu. Asente Sana Lucas lumbasi
Naituwa priska shio Niko Moshi kilimanjar na barikiwa sana na simulizi zako nimejifuza megi sana mungu abariki kazi yao akupe afya bora sana tuzidi kufuraia
Kweli shetani siyo wakutaniwa,tumtangulize Mungu ktk kila jambo letu kwakweli,tusali sana daima bila kukoma,na tusipambane wenyewe kwa wenyewe bali tupambane na yeye
😢😢😢hii simulizi leo imeninguza pia mm nilijaliwa mapacha ila mila haikuhurusu sasa ivi natafuta pesa ili niende nikachukue watoto wangu juu walininyang'anya
Uvumilivu wa Tunu siupendi kabisa,mtu akikugeuka wakati wa uchumba,ni vizuri kwani unakuwa umeshaepuka magumu ambayo Mungu anayajua,unang'ang'ania mapenzi?yakishakoma shukuru Mungu
Sijawai kuona mwanaume mpumbavu kama huyu,hana msimamo, kama alikua hamtaki huyu msichana asinge owa,alafu paula nae hayo unayomfanyia mke mwenzake sio kabisa,hilo limbwata lina mwisho wake
Hakika hasira hasara ulijifanya jeuri ila wewe ndiwe mjinga utupe watoto wako ulio wabeba kwa ajili ya wivu tiuu ili ufaidi maisha ya kitajiri na huogopi kuwa umepoteza watoto na kizazi chako faida yako ni ipi
Yaani hii simulizi angeyelezea tunu kuja jambo kubwa kujifunza kupitia tunu sio huyo muuwaji na mungu kampa laana kuishi bila kupata mtoto hata uwe na pesa vp ni bileee mbwa huyo atahangaika maisha yake ya uzeeni nyau huyo
Mahusiano yangu na Joseph haikuwa riziki huyu niliyempata ndo chaguo sahihi kutoka kwa Mungu na ni kama Mungu alinitoa kule kwa J ili aje anikutanishe na familia yangu 😭😭😭nakumbuka kuna kipindi mme wangu alipata hitilafu kidogo kwenye kazi ikampelekea kufanya kikao na waajiri wake, siku aliyotakiwa mme wangu kuhudhuria kwenye kikao aliniomba tuongozane na hiyo siku ndo niliyoenda kukutana na familia yangu😭😭😭 baba pamoja na pacha wangu wao ndo wamiliki wa kampuni iliyomwajili mme wangu ni kampuni kubwa ya maroli ya mizigo yanayosafirisha mizigo mbalimbali ndani na nje ya nchi🙏🏻🙏🏻🙏🏻nimepitia misuko suko mingi sana ya maisha kwa hapa nilipo ninasema alhamdulilah kila kitu hutokea kwa sababu sina budi kusahau yote ya nyuma🥰🥰🥰kwa sasa mimi ndo kipenzi cha baba na vile hakupataga muda wa kunilea nikiwa mdogo now ndo nayaenjoy mapenzi ya baba ananipenda mnoo💃🏼💃🏼💃🏼na kawekeza kiasi kikubwa mno cha pesa kwenye biashara yangu........Tunaishi kwa kusudio la Mungu na kila linalotokea kwenye maisha yetu limepangwa na Mungu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻Nimeamini kweli mwisho wa kilio ni furaha❤️❤️❤️furaha niliyo nayo sasa ni zaidi ya furaha niliyokuwa nayo kipindi cha nyuma🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante Mungu kwa kila kitu❤️
Kuna.sababu na kusudi.kwa kila pito linalompata mja...God have great.plans in our.lives....nyc story
P0
😊😊😊😊😊😊²22²2
😢😢😢😢😢😢 Hiii imenigusa mnooo ila kupitia simuliziii hiii napenda kutoa tamko kwaa mwamamke au msichan yyt anaingilian mapenzi ya watu anaharibu aman na furaha ya watu yaan umekuta mtu ana mwanamke wake wanapendan ww unaingilia kati unamloga mwanaum ili upendwe ww mwenzako ateseke😢😢😢 litakukut jambo aki
nasem ivo maan mie nliumizw san na mwanwmke mwenzang alinipokonya tonge mdomon na sijawah kumsahau kweny maish yangu ila sintosahau magum nliuopitia😢😢😢😢😢🙌🙌🙌
nashukur Mungu amenipa pumziko ten nmempat mwanaume anayejua thmn yangu
yaaan nina story chungu ambayo nikitoa ni simuliz kabisaaa loooooh mapenz jmn
ila mwanaume halogwi jmn😢😢😢😢
Jamani Mimi Leo kama shabiki WA Lucas ni WA kwanza naomba like zenu tuzidi kusikia simulizi pamoja nasauti ya Lucas wetu vile anaa tusimulia simulizi nzuri karibu mashabiki tuwee pamoja asante kwa like zenu❤❤❤❤
Jamani mbona mnalaumu sana hakuna binadamu hana
Makosa na amejifuza hawezi kurudia tena hakuna mtu mkamilivu kwa hii dunia ,pia mwanawake before mume wako hajatoka nyumbani kwenda kazi piz make sure unamuombea kwa mungu juu huko inji siyo kuzuri
.. thanks sana bro Lucas nimejifunza sana😊
Pamoja sana rafiki yetu na burudan yetu lukas lumbas ,lumbas simulizi
Paula ni mjinga sana unaonaje mimba ya miezi 7 wadada tujifunzee maaana yaliyo mkata paula ni makubwa sana 😍😍
kuondoa uhai wa mwanamke mwenziyo kisa mwanaume paula mungu anakuona ni bora kujiroga tuu ili upendwe ❤❤
Wow kazi nzuri kaka,listening from Kenya,much ❤
Weuweeeeee?leo wa 1 kabisa,like zenu tupendanao
Asante sana
Shatani Hana jama kwa mtu yoyote mungu tu ndiye waupedo zura zuri roho wa kishatani si wewe ni shatani baba wa Dunia hasiye penda watu. Asente Sana Lucas lumbasi
Penzi si dawa penzi ni damu❤
Nimewah kumsikiliza Paula akafanyaje ❤❤❤🎉🎉
Naituwa priska shio Niko Moshi kilimanjar na barikiwa sana na simulizi zako nimejifuza megi sana mungu abariki kazi yao akupe afya bora sana tuzidi kufuraia
Wakwanzaaaa❤❤❤❤❤
Kweli shetani siyo wakutaniwa,tumtangulize Mungu ktk kila jambo letu kwakweli,tusali sana daima bila kukoma,na tusipambane wenyewe kwa wenyewe bali tupambane na yeye
Asante japo leo imechelewa kidogo 😊
😢😢😢hii simulizi leo imeninguza pia mm nilijaliwa mapacha ila mila haikuhurusu sasa ivi natafuta pesa ili niende nikachukue watoto wangu juu walininyang'anya
Pole sana mwaya
Mungu akupe nguvu😢
Asante sana
Uvumilivu wa Tunu siupendi kabisa,mtu akikugeuka wakati wa uchumba,ni vizuri kwani unakuwa umeshaepuka magumu ambayo Mungu anayajua,unang'ang'ania mapenzi?yakishakoma shukuru Mungu
🎉🎉🎉🎉
Wanawake tuna roho mbaya sana hatuoneani huruma Mungu atusaidie
TatizoRohoMbayaIla.mieHivyoHapana
❤❤❤n imenifunza mambo mengi snaa
❤🎉
Asante sana kwa kitu kipia jmn Lucas ubalikiwe sn 😊😊🎉🎉
Wewe
Uko juu lucas lumbas from UK 🇬🇧
Japo nimechelewa but uko vizur bro congratulation👏👏❤️
Kutoa mimba kaniboa sana heri angeacha angetunzwa kwa ajili ya watoto wake damu ni nzito kuliko maaji nyambafu zake tena mapacha endelea kuumia sasa
Alitumia hasira pasipo kutumia akili ni tatizo letu wanadamu lkn baadae huwa tunajifunza somo toka kwa Mwalimu Dunia
Kwani mabinti bikra wanapatikana kweny simulizi za lucas😂😂.. ila mauwa Yako Lucas 🎉🎉
😂😂😂😂😂 Kila simulizi ni Bikra😂😂😂😂😂
Boom Boom kabisa kweli namimi nilifanyia ayo poula kafanyiya mke WA jii
Wakwanza Kwa mara nyngne likes zen vipenz
Sijawai kuona mwanaume mpumbavu kama huyu,hana msimamo, kama alikua hamtaki huyu msichana asinge owa,alafu paula nae hayo unayomfanyia mke mwenzake sio kabisa,hilo limbwata lina mwisho wake
Ujumbe uwafikie
Asante sana mtunzi na musimuliaji🙏🎊
Kutoa mimba hapana naningemtoa wangu ningejutia mana sahii ako 20yrs.mapenzi yadawa hapana nakwann utumie dawa iliiwejee?
Good 👍 job nice story be blessed ❤❤❤🎉🎉🎉
Paula una roho mbaya
Leo wa 16🎉🎉🎉🎉
Asante japo leo nimechelewa❤
Na wanawake tujuwe kukataliwa tusilazimishe mapenzi kama haiwezekani ujue siyo fungus lako
Waa alimtesa mwenzake asante sana lucas kwa simulizi nzuri
Mambo moto mashalla Lucas hongera❤❤❤❤
Santee simulizi nzur yuo lead others follow ❤❤❤❤
Jamani hee
Wow nice story 🎉🎉🎉
Mmmmh uchawi una mwisho. Ety😮
😥😥halfu wachawi hawajiami n
Asant kwa simzliz tamu🎉
Paula kaniboo kweli kutoa mimba😢😢😢😢😢
Safi kabisa
Hatari❤❤❤
Nimeenda,imaburudisha sana
Thx Mr Lucas ❤❤
Paula we hufai😊
Nice story daaaaa
Ahsante sana bro kwa ushauri
Mimi nataka par2 ya chris
Thanks LUCAS ❤❤❤
Asante sana
Nzuri inafundisha
Duuh we Paula umeyaweza
Namuenea huruma paula
Sijaipenda story huyo dada katili
Nice❤❤❤❤
Yani hii nikali nime sikia vibaya inauma sana😢😢😢
❤❤❤nzuri mno
naomba umwambie paula anipe namba za babu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani Paula umeweza hebu nipe number za huyo mganga
😂😂😂
😅😅😅 kwel watu wamevurugwa na maisha
Hakika hasira hasara ulijifanya jeuri ila wewe ndiwe mjinga utupe watoto wako ulio wabeba kwa ajili ya wivu tiuu ili ufaidi maisha ya kitajiri na huogopi kuwa umepoteza watoto na kizazi chako faida yako ni ipi
faida ya uchawi ni mateso nakuishi maisha ya dhiki na shida na mwisho kuwa mtumwa wa mganga kwani kila upatacho nikwamganga
Shukrani sana Mungu awatanguriye 😂❤❤😢
Paula umshenzi sanaa yani jamaa alikwambia ukweli kua ako namchumba ila ukajitia hamnazo sasa kitakacho kupata atasiezi kukuhurimia😏😏😏
😏😏kanikera kweli huyu Paula kama mazuri kwa Nini atumie uchawi ila unamwisho😮😮
Wooow ameniboo mmi mwandishi bado mwanafunzi hajajui haya anayo pitia huyu tunu alikuwa niapitie yye Paula basi
@@ZenaidaDaniel-r9d niivo
@@wertqwe8326 ndomana ikaletwa tujifinze kupitia hiyo stori
KAMA TO DINNY TO DANNY👌
🤣🤣paula uchawi una mwisho hiv kwanini umtese mwanamke mwenzio🤣🤣🤣
Kam kweli ulifanya ivo mngu akuulaani
Inaumaa lakni pau ww😂😂😂😂😂
Yaani hii simulizi angeyelezea tunu kuja jambo kubwa kujifunza kupitia tunu sio huyo muuwaji na mungu kampa laana kuishi bila kupata mtoto hata uwe na pesa vp ni bileee mbwa huyo atahangaika maisha yake ya uzeeni nyau huyo
Lucas simlizi zako nzur
Leo wa 20
😂😂nimewai kidogo jaman🎉🎉🎉🎉
Paula 😭😭😭😭😭
Siezi roga mtu waume ni wengi sana mwisho wa ubaya n aibu
Uyu paula mjinga sana xxxxxxxx
MONEY GOES MONEY COMES! THE TRUE LOVES WILL REMAIN FOR LIFE N FOREVER❤
Paul ni mubinafsi san sija pend
Mhmm, ubinafsi wa Paula ni wa hali ya juu,jamani hata huruma yakujisingizia hana, kwani hakuna wanaume duniani 😢😢sura haina mvuto kwani wanaoa sura?
Uchawi tu,, mkaka wa watu ninamloga tu
Hujatuelezea jee hawakuwahi kuonana Tena hata njiani na mchepuko wake
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Apo kwenye uch sasa😅😅😅
Duuh Paula unayawe
Naamin watu hawan hakili mimba ya miyez ,7 unatowa unataka kufa wewe au ndouwongo mnatudanganya
Paula wewe ni mchezi sana.
Nimechelewa lakini nimefika
Mh Jamani Uchawi cio Nzr
Waooooo 🎉🎉🎉🎉
Waooooh ❤❤❤🎉🎉🎉
Kinasho niumiza wale watoto agewaasha inauma😢
Yani imeniua lakini inapendeza
Nijipongezeeee nime wai piaaa😂❤
No No why oh my god 😢😢😢😢
Uchawi hauna nguvu
Ulijuaje km inauma wakati haujawah kufanya acha uongo
Hili lipaula linanikela