angalia tar napia huu ni msimu wa mvua dar kunanyesha mvua balaa ivyo usiropoke tuu chunguza kwanza hakiki maneno yako kisha useme....amemuuza we ndo umemnunua au acha wivu utazeeka kabla ya siku zako
Mhuu zahili apo shimo mtalifunika na hayo maji, hii sehemu nisehemu ya maji kusema laukweli apo sijuwi kama msingi chini hauko imala maji yatatafuna matofali
Kwa wa tz usiamini hata kidogo vp apewe million 7 ajenge nyumba ya million 15 ..huyo ni muongo hapo ukiteleza kidogo tu umekwisha eti kila kitu anajenga bure
Maa shaa Allah ❤❤
Nyumba nzuri
Mmh mbona hiyo sehemu ina maji maji
Nimependa kazi yako kaka
Mashallah zuri sana nyumba
Uko vzr sana. Nyumba ni nzr mno
Mashaallah yani hii kama niliojenga mm hii raman
Hongera
Nyumba mzuri sana
Not good enough for business ilitakiwa uingie ndani uoneshe sio kuchungulia ktk madirisha
Kweli kabisa
Iloo eneo sio Zuri linakaa maji, ila kazi zako nzuri
Umemuuza mbona shimo la maji taka limejaa maji,? Umempeleka bondeni ahangaike na mafuriko huyo
Ni sehemu ya swampy maji tu
Watanzania hamkosi cha kusema
@@Gamba81 kwani huna macho, hilo shimo maji yamejaa kutoka wapi kama si eneo lenye chem hem.
angalia tar napia huu ni msimu wa mvua dar kunanyesha mvua balaa ivyo usiropoke tuu chunguza kwanza hakiki maneno yako kisha useme....amemuuza we ndo umemnunua au acha wivu utazeeka kabla ya siku zako
@@Gamba81hilo apo juu akili halina wivu unataka kumuua nyumba nzur hayapongezi yanaponda
Jee ikiwa nataka kujegewa lkn Zanzibar inawezekana?
Suala zuri sana tunataka tujue
Kwa Zanzibar sidhani kama bei itakuwa ivyoo Zanzibar bei za vitu ziko juuu
Mhuu zahili apo shimo mtalifunika na hayo maji, hii sehemu nisehemu ya maji kusema laukweli apo sijuwi kama msingi chini hauko imala maji yatatafuna matofali
dar saivi mvua nyingi
Umetumiwa shilingi ngapi ?
Kazi.nzuri.jee.hapo.imegarimu.milioni.ngapi
nenda inbox kisha utaelewa
Ndo alitakiwa atuambie sasa yeye ana sema mjengo wa ghalama nafuu
usisahau kutuambia hapo kuna bwawa la kufuga samaki pia 🤣🤣
Zanzibar jee utajenga
bati ni g ngapi? na ni kampuni gani?
Vipi ikiwa unataka kujengewa zanzibar unawezekana
Nakujengea popote boss ww tu
Kaka mbona husemagi bei gani jamani . Uweunatoa na bajeti
nenda inbox kma unania watafute
Sema ukweli uwe na hofu ya mongu kaka yangu
Kwanini hujazi kifusi jamani hapo ndipo unaharibu
Umemuingiza Mkenge
gharama ya kupauwa kama hivo bati mbao bei yake
Unapatikana wapi
Hiyo nyumba gharama zake zikoje hadi hapo?
Makisio bei gani kama hiyo?
TUAMBIENI NA BEI ZAKE
Vipi hali je hujambo no yako ni ipi ilinikupate
naomba namba yako kaka nmependa kaz yk
mpendwa namba inaonekana hapo kwenye video chukua
Mimi nahitaji uniambie kwanza nahitaji kiwanja
😅Hiyo ni mwanzo ukiteleza kidogo atapigwa na kitu kizito
Tumpe maua yake jamani, kumbuka ndg wanaliza
Niliisha pigwa na kitu kizito kichwani
Kwa wa tz usiamini hata kidogo vp apewe million 7 ajenge nyumba ya million 15 ..huyo ni muongo hapo ukiteleza kidogo tu umekwisha eti kila kitu anajenga bure
Hiyo pesa katolea mfano tu sikiliza kwa makini usikoment km hujui
Naomba namba yako Kaz yako nimeipenda
Kataja namba et ten naomba namba eeh mtihan
😂😂😂
@@zainab8251 unacheka mwezie anaomba namba watuy hawajitambui hata kidog
😂😂😂😂
usiamini mtanzania yoyote hata akiwa ni Malaika ukijuwa katoka tz basi usimuamini
Kwanini
Hapo kaz anayo panajama ziwa la mpunga
Mbon bwawan
Kweli kwa hadithi hio msimamamizi wa jengo haruhusiwi kuingia ndani anachungulia kwa dirisha poleni mnao mnao jichanganya