TUIOMBEE SIMBA| BADO WANA NAFASI YA KUSHINDA UBINGWA KAMA YANGA ATAFUNGWA MECHI ZOTE ZILIZOSALIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 52

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 4 місяці тому +5

    Oscar umesahau msim ulipoanza ulisema yanga watamaliza nafasi ya 5??? Haya sasa tuambie kimetokea nini

  • @david255chengula5
    @david255chengula5 4 місяці тому +6

    Osca atakuwa amesha kunywa konyagi tayar sio bure

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 4 місяці тому +2

    Azam atashika nafasi ya pili Oscar acha kuwadanganya makolo wenzio

  • @kitaurosalim6562
    @kitaurosalim6562 4 місяці тому +1

    Angalieni hesabu zenu.Hamjazipata vizuri.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 місяці тому +3

    Simba wanatakiwa kutengeneza timu siyo ubabaishaji huu

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 4 місяці тому +1

    Asante. Huyo. Oscar. Oscar. Ameshakunywa. Huyo. Ni. Mlevi. Sana

  • @allymkazi2775
    @allymkazi2775 4 місяці тому

    Kama huna wachezaji wazuri omba mpaka matako yapike viraka hupati ng,oooo

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. 4 місяці тому +1

    azam akimpiga simba anamzid point 4 ak draw anamzid point 1 akipigwa azam anazidiwa na simba point 2 mbona ni hesabu nyepesi.

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm 4 місяці тому +1

    Ubingwa upi wa nafasi ya pili au moja

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 4 місяці тому +4

    SIMBA NAFASI 3 Haina MAOMBI🤣🤣🤣🤣

  • @daudiyaqhambe5837
    @daudiyaqhambe5837 4 місяці тому

    Mchungaji mashimo alisema mwanzo wa msimu yanga atachukua nafasi ya tatu

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 4 місяці тому

    Oscar ni tapeli

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 4 місяці тому +3

    Azam atakuwa mshindi wa pili

  • @YussufMussa-sg5bv
    @YussufMussa-sg5bv 4 місяці тому +1

    Simba hawezi kuwa bingwa kwa mcmu huu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 4 місяці тому +1

    Duuh sema Madunduka wamevurugwa

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 4 місяці тому +1

    Shirikisho walifuta

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 4 місяці тому

    Edo wewe mtu wa mpira!! Azam akipata nafasi yapili, narudisha kadi yangu uanachama CCM!!!

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 місяці тому +2

    Kwiki Oscar mwehu😂😂😂😂😂😂

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 4 місяці тому +2

    Kweli vichaa ni wengi ??!

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 4 місяці тому

    MNA VITUKO SIMBA ATAPATA UBINGWA POINT HATAZICHUKUA WAPI NA JE YANGA HATAFUNGWA ZOTE?

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 місяці тому +1

    Boli linatembea amecheza na nani? Amecheza na timu ya 15 na 16

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 4 місяці тому

    Oscar unaongea kwel,,,simba chini ya mgunda azam ana kaz kubwa hachomoki

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 4 місяці тому

    KWA WAAMUZI KAMA WALE WALIOCHEZESHA SIMBA NA TABORA ,KWA UCHEZESHAJI ULE SIMBA ANAFUNGA AZAM

  • @thirdsurveyor7784
    @thirdsurveyor7784 4 місяці тому +8

    Wewe Oscar si ulisema Simba bingwa, Azam namba 2 na Yanga namba 3?

    • @Taito-brand
      @Taito-brand 4 місяці тому +1

      Kak alisema yanga ya. Tano ya tatu alimpa singida na 4 ihefu kak😂😂😂😂

    • @jamalijamali6820
      @jamalijamali6820 4 місяці тому +1

      Ameshasahau😂

    • @ulicydickson6816
      @ulicydickson6816 4 місяці тому +1

      Amejisahau

    • @AbubakariKisweka
      @AbubakariKisweka 4 місяці тому +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊❤ ​@@Taito-brand

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 4 місяці тому

    Huyu naye mjinga sanaaaaa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 місяці тому +1

    Hii ni Abunwasi

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 4 місяці тому

    Uyu oscari alisema yanga atakuwa nafasi ya tatu

  • @ScardySangah
    @ScardySangah 4 місяці тому

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 4 місяці тому

    JAMANI KWA SASA TATIZO LA SIMBA KUMALIZA NAFASI YA PILI NI AZAM FC NA WALA SIYO VINGINEVYO...!

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 4 місяці тому

    Simba anacheza asl

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 місяці тому

    BANGI SIO SAFII🤣🤣🤣YANGA TO LOSE ??

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 4 місяці тому

    Acheni ukuda na unafiki

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 4 місяці тому

    Team MP Points
    Azam 25 57
    Simba 24 53
    Next Game
    Azam vs Simba
    Simba akishinda mechi na Azam msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Azam 26 57
    Simba 25 56
    Simba akicheza mechi yake ya kipolo, msimamo utakua hivi
    Team MP Points
    Simba 26 59
    Azam 26 57

  • @ScardySangah
    @ScardySangah 4 місяці тому +2

    Simba hata akimfunga Azam, halafu Azam akashinda mechi zake zilizobaki zote na Simba akashinda zote bado Simba atamaliza nafasi ya 3

    • @barakahenry8888
      @barakahenry8888 4 місяці тому

      Umeona eee!
      Ugumu wa mtani kuipata nafasi ya pili.
      Utofauti wa magoli yaani Goal difference bado inampatia nafasi kubwa Azam kumaliza nafasi ya pili hata kama ktk hyo mechi yao atashinda Simba na baada ya hapo kila mmoja ashinde mechi zake zote.

    • @josephatn5040
      @josephatn5040 4 місяці тому +1

      Si kweli. Simba akimfunga Azam na akishinda mechi zilizobaki atafikisha point 71. Azam akifungwa na Simba na akashinda mechi zilizobaki atafikisha point 69. Simba atashika nafasi ya pili. Lakini na pia Yanga akishinda mechi tatu kati ya tano zilizobaki atakuwa amekuwa bingwa kwa kufikisha point 74 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yeyote.

    • @AmourMohammed-m3p
      @AmourMohammed-m3p 4 місяці тому

      Mnazungumzia kushindwa tu. Muonekano uliopo Kila timu kati ya 3 za juu itapata droo.

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo3043 4 місяці тому

    Wewe Oscar na Baba levo acheni kupotosha umma mpaka sasa simba akishinda mech zake zote pamoja na hicho kiporo na Azam pia ashinde mech zake zote bado azam atakuwa juu ya simba by any how...,bado simba aombe maombi azam adondoshe point si chin ya michezo na zaid ili simba ipate upenyo

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 4 місяці тому +1

    Mgunda sikocha

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 4 місяці тому

    Kesho simba na azam wana droo

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 4 місяці тому

    Watatoa sare hao

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 місяці тому +1

    Yanga anahitaji pointi 8 tu