MSICHANA HUYU ATAMAN KUANGAMIZA WANAUME WOTE DUNIANI, ILA ABAKI BABA YAKE MZAZI TU. SABABU HII HAPA.
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- Msichana huyu anaetamani kuangamiza wanaume wote duniani, abaki baba yake mzazi tu, Ni baada ya mchumba wake kuoa mke mwingine wakati alikuwa ameshajitambulisha kwao kwa ajili ya kumuoa,
Siku anaenda kuoa mwanaume huyo alilala kwake usiku kucha wakishiriki tendo ndoa. Aongea na mkoi tv
Mzr sana ndo changamoto
Pole sana Dada. Siku zite mwisho
Wa ubayq ni aibu.
Ahsant Hellen toka Us tumuona ujumbe wako mzuri
Ingewezekana tungesaidiana, nawachukia sana wanaume ipo kua mwangu tu wakumzaa, waname wanaboa sana
Sote tuliwachukiya wanaume zamani lakini sasa tumeolewa na tupo vizuri.
Kila kitu na mda wake dada. Wakati wa kuliya na wakati wa kucheka.
Huyo alikutafuta ww tiar alikuwa na mchumba wake alikuwa ana kuenjoy tuu
Bint ilaumu nafsi yako
Kijana kaja kutaka kukuchumbia,
Alafu unatoka kwa dada yako unapanga, kwa nini usikae kwa dada yako hadi uolewe uende kuishi kwa mumeo
Kwa nini utakae uhuru na kukubali tendo la ndoa kabla ya harusi
Wanaume wanatabia ya kumzoea mwanamke na kumkinai
Huyo aliyeolewa anaonekana alikataa zinaa.
Point
Aikua ridhiki yako dada funga mkanda songa mbele kikubw uko salama shukulu mung
MUNGU alilijua hili akakataza uasherati uasherati ni sumu ni kifo ni jehanum
ShikaAdabu yako madam bola Angekuua tu kama Aliyokua Anakufila wewe Ufanye kutuchukia wote babayako ndio bola mbwa wewe madam pamaja na Uziri wako Auna Eshima kauli zako chafu bola Angekuua👃👃🖕🖕🇹🇿🇹🇿🇬🇷🇬🇷
Daah pole sana ila ushauri wangu Binti ama mwanamke yeyote usikubali kumvulia mwanaume nguo kisa kakudanganya eti atakuoa ukidhani ya kuwa kumvulia nguo ama kushiriki tendo kabla ya ndoa kivutio cha ndoa hapana mwanaume yeyote mwenye Nia ya kuona kwanza hawezi kukwambia et mshiriki kwanza ndo baadae ndoa ukikuta wa hivyo jua kabisa kuwa huyo Hana uoaji anataka tu kukuchezea
Uwaangamixe walikushikia miguu wakati unafanya malaya,eti uwaangamixe wanaume wote,tena koma kutoa nux ktk family xa wa2,Kufa nyoko weye.Muuwe huyo babako unalotaka libaki duniani.
Warangi umalaya kawaida yao
pole mndogo wangu
Umeokoka na kifo ambacho kingekutupa kuzimu Mpokee BWANA YESU Sasa awe Bwana na Mwokozi wako atakupa mme mwema atakulipizia kisasi kwa adui yako
Ni kweli
@@MkoiTvTz kati ya Mwenyezi Mungu na Yesu nani wa kuombwa???
Hasa alikuacha vp kukuoa hali yakua weye mzur sana misifa yote alikua anakusifia mmh chezea wanaume weye nahuko kwao hata hakuifiwa alikwenda kwamambo hayo ya ndoa yake
Tutolee hii umbwa
Habari, naomba Mawasiliano yenu
+255713575718 MKOI T, KARIBU BOSS
Hii nikotekotetuu wanaume wapo walio pitia kuumizwa kwamawewe nivile tuu wanaume sio waongeaji usiseme wanaume nihuyo mwanaumewako tuu. Viumbe siowanaumetuu hatawanawake niviumbe tushatesekasana nawanawake niviletuu hatuongei usitujumuishe nyau wewe kwanza ninahasìra unavyo tulaumu wanaume wote.