STAA WA PSG HAKIMI ATOA MSAADA KARIBIA TSH BILIONI 1 JIJINI ARUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 95

  • @ibraheemqassim3018
    @ibraheemqassim3018 3 місяці тому +31

    Yule mkewe aliyetaka kugawana mali angefanikiwa tusingepata haya 😅 watanzania tulikuwa na ww wakat wa kesi Asante kwa kutukumbuka

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 3 місяці тому +4

    Mwenyezi mungu azidi kuimarisha nguvu zake uwezo wake na kuzidi kumpa moyo wa kujitolea ubarikiwe bro

  • @Chriano_Cr7
    @Chriano_Cr7 3 місяці тому +8

    God bless him

  • @chacha-255
    @chacha-255 3 місяці тому +4

    ukiwa na jicho la kuona mbali utagundua Hersi ana mipango ya malengo ya mrefu, matunda yataanza kuonekana 2030, hii ni misingi tu ya hayo malengo

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 3 місяці тому +1

    Awa wanaoji Fanya Wana ela kwetu apa atuonii ata misaaada Yao balii kujisifia2 Sasa sijui izo ela zao ZAA aina gani

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 місяці тому +1

    MANGUNGU VS ENGINEER HERS WHO IS A GOOD LEADERSHIP, MANZOKI VS HAKIM WHO IS A GOOD PLAYER

  • @masoudmwinyikondo2678
    @masoudmwinyikondo2678 3 місяці тому +1

    Mama ake anajua lkn km ametoa hiyo

  • @PaultibulaPaultibula
    @PaultibulaPaultibula 3 місяці тому +5

    I promise if one day I get money I will do like this my dream is come (tunasema Asante)

  • @AsheryMahayu
    @AsheryMahayu 3 місяці тому +1

    God bless him

  • @AhjuceAqeeb
    @AhjuceAqeeb 3 місяці тому +5

    Haya yte yanajengwa kwa iman jaman tujifunze kutoa kwa wenye uhitaji .kama Allah kakujaalia basi nawe mjali na mwenzako....Allah akuongoze braza na akupe mwisho mwema na akuongezeee zaidi..Inshaallah

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 3 місяці тому +5

    Xawa katoa,msaada hao wenye zamana watafanya kama.alivyo toa au ndy ma2mbo yao,watazila😢

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 3 місяці тому +1

    Visije vikapigwa na wabongo maana mm nililipia kompyuta nikaambiwa nisubirie kuna mzigo unakuja wa bei rahisi😂😂😂

  • @DjMswati
    @DjMswati 3 місяці тому +12

    basi habarikiwe awe mchezaji mkubwa kama messi

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 3 місяці тому +1

    Hawa walinzi wa nn bhn nchi yetu ina amani kzi kutisha wageni tu maan wana sura ngumu kwel kwel agh 😅

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 3 місяці тому +5

    Muwe mnaiga sio kile kituko mlicho letaga eti manzoki ata msaada katka inchi amna😂😂 mumeona mwenzenu kamleta m2 kwa faida taifa limefaidika na waitaji pia duu mungu amuwekee enginer 🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🎎

    • @linnusaloyce6559
      @linnusaloyce6559 3 місяці тому

      Nani kamleta kajileta mwenyewe uyo injini alijipeleka airport kumpokea to acheni majivuno ya kiaya ukweli nikwamba injinia alienda kumpokea tu ila cyo kamleta tofautisha kumleta na kuja yeye kaja kutembea to mapumziko yake

    • @TedyElisha
      @TedyElisha 3 місяці тому

      Wanapend kujipendkeza xana hao majini fc

    • @lovenessvisent9408
      @lovenessvisent9408 3 місяці тому

      Makofi kwa Samia Mimi nashindwa kuelewa Sio mnasifia tuu yeye amesimama pale kusimamia ilani au ajenda hivyo ni lazima atekeleze hayo kusifia wakati hahusiki hata hapo kwenye kikao duu

    • @remidusmwanandenje-yy5gs
      @remidusmwanandenje-yy5gs 3 місяці тому

      @@linnusaloyce6559 kichwa kikubwa kukosa akili nimzigo wa xhingo😅 yanga bingwa adi 230🕺🕺

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 місяці тому +5

    walinzi wa bongo hata wanachekesha😂😂😂

  • @ahmedthuva3162
    @ahmedthuva3162 3 місяці тому +1

    Walitsks kumwambia studies in English

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 3 місяці тому +2

    Itakuwa mama mkwe amempatia hizo pesa amaana cc tunajua mama mkwe ndio kilakitu

  • @NunuKupela
    @NunuKupela 3 місяці тому +3

    Ally upo vzr yan yule lopolopo angeshukiza na kujimwambafire jifunze kwa mwenzio

    • @TedyElisha
      @TedyElisha 3 місяці тому

      Hakuna chakujifunz hapo wote ni malopolopo 2 Sema utaleta ulolopolop kwa wanaojielewa

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 3 місяці тому +1

    Hiyo ni mizinga wa2 wa simba 2naita mnaombaomba gsm wenu awezitoa yee??

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 3 місяці тому +1

    Hivi kwani serikari imeshindwa kufanya hayo adi aje m2 wa moroko aje afanye hivyo?

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 3 місяці тому +1

    Namuona Eng. Hersi katika level zingine..zakuwa Rais wa Mpira Barani Afrika...anayiyafabya katika soka ni makubwa sana

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 місяці тому

      Kabisa, sio Tu kiongozi wa Mpira Bali hata kuwa kiongozi wa serikali

  • @fahadmbawala730
    @fahadmbawala730 3 місяці тому +1

    Hii ndio misaada yenye Baraka kwa Allah sio misaada mpaka tukubali mashart fulani. Allah kupe umri na Afya njema bro

  • @akandungoma2404
    @akandungoma2404 3 місяці тому +1

    Safari ijayo mshawishi mess uje nae mkuu

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 місяці тому

    Jamaa hana majigambo na hana mambo mengi yan

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 місяці тому

    Ahmed Ally hayupo hapa jamani

  • @SaleheMpemba-q7j
    @SaleheMpemba-q7j 3 місяці тому +1

    Washabiki wa yanga washamba San woooote mabubub yanga

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 3 місяці тому +1

    Mama yake alikubali pesa hiyo itoke😅

  • @BaboumitengaMutenga
    @BaboumitengaMutenga 3 місяці тому +1

    Wale wanaowachambaga waarabu kuwa ni watu wabaya "waraka wa tec tuonane hapa kuwajadili tena waarabu tafadhali😊"

    • @JosephKangungu
      @JosephKangungu 3 місяці тому

      Wapo wengi tu wabaya hilo halipingiki huyu kajitahidi🙂🙂

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 місяці тому

      ​@@JosephKangunguhata waafrika wapo wengi wabaya mmoja wapo ni wewe

    • @feisalboy6702
      @feisalboy6702 3 місяці тому

      Hawalisemei hili wamekaa kimya kazi Yao ubaguzi tu

  • @jjjhhb4300
    @jjjhhb4300 3 місяці тому +1

    Mtoto wa mm

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 3 місяці тому

    NI muda wa wachezaji wakubwa wa kiafrika kurudi kuijenga afrika yao

  • @deedollarz7144
    @deedollarz7144 3 місяці тому +2

    Hashimu lugha mbagala

  • @JustenRaphael
    @JustenRaphael 3 місяці тому

    Sana jomba

  • @hamismusa7314
    @hamismusa7314 3 місяці тому +1

    Hizo kofia ndiyo zinavaliwa hivyo.

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 3 місяці тому +1

    Muarabu anateleza kama kambare yule mlimbwende alishindwa kumuibia kaamuwa zile pesa ambazo yule alitaka kuziiba azitowe sadaka

  • @CholoNassor-h8r
    @CholoNassor-h8r 3 місяці тому +2

    Good 👍👍👍and thanks again very much

  • @ikrahtune
    @ikrahtune 3 місяці тому +1

    Mmmh nimesha sanuka uyu anatak kuwekeza kwenye timu ya yanga tayar nishaelewa janja zen mnatak aimiliki clab ya yang

  • @seifsuleimanali7595
    @seifsuleimanali7595 3 місяці тому +1

    Ndugu zetu wa bara mnatuaibisha bordyguard wanini

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 3 місяці тому

    Misaada kila Kona hatari sana

  • @mrben227
    @mrben227 3 місяці тому +1

    Jamaa yup humble sana mwenyezi amjalie kil la kheir, amjalie mwisho mwema

  • @jumabakari1081
    @jumabakari1081 3 місяці тому

    Yanga wanamnyemelea

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 3 місяці тому +2

    Hakimi mpira ushakufa kama chama

    • @yunusimchala6569
      @yunusimchala6569 3 місяці тому +2

      Nahisi ww ni maskini wa akili kucheza psg useless mpira umeishaaa una nongwa ww mwenyewe wa hata buku hauna

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 місяці тому

      Mchezaji tegemeo wa PSG ya Ufaransa. PSG ni mabingwa wa ligi one ya Ufaransa na ni moja ligi kubwa Europe na duniani.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 місяці тому

      Sio Tu mchezaji tegemeo wa PSG Bali pia wa Morocco

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 3 місяці тому +1

    Mukiambiwa muache ushamba hamusiki sasa mbona ao mabaunsa wameondoka nyuma yanga mustutie aibu

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 3 місяці тому

    Mashaallah ❤

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 3 місяці тому

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 3 місяці тому

    God bless you more mr Hakimi

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 3 місяці тому +2

    Sasa mabodyguard wa nini, nani anashida na Huyu jamaa

    • @davidsebastian661
      @davidsebastian661 3 місяці тому

      Tz kwenye mambo kama haya hawalaz Damu wambie kuwatekelezea wananchi hawana la maana kabisa vitu vya hivi hupewa promo na Yanga nao wanaoshea fuc..ng

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 3 місяці тому

    Congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @nellykira7812
    @nellykira7812 3 місяці тому +1

    Kwa nn Hersi anamganda sana jamaa😂😂

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 3 місяці тому +1

    Yanga nao wanatafutia sababu to

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk 3 місяці тому

    wellcome Zanzibar Our Brother

  • @saidsalimin
    @saidsalimin 3 місяці тому +2

    Zaidi ya cr7

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 3 місяці тому

      Usumfananisge CR7 na uchafu huu.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 місяці тому

      Amegusa maisha ya waafrika wenzake. Ahsante sana rafiki

    • @muhseenmakpel5043
      @muhseenmakpel5043 3 місяці тому

      Uyo cr7 unaemsemea aliisaidia morocco walipopatwa na janga la tetemeko katoa misaada kibao ikiwemo mahoteli

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 місяці тому +2

    Star wa PSG ni Kirian MBAPE tu wengine ni wachezaji wa PSG

    • @kshayofurniture2941
      @kshayofurniture2941 3 місяці тому +1

      Hujui mpira kenge wewe Mbape ni mchezaji wa Real Madrid, kaa hujui kitu si lazima uchangie utumbo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 місяці тому +1

      Dunduka ni mbumbumbu kila mahali.. huyu mwamba amegusa maisha ya watoto wetu wahitaji,tumpongeze hasaa..tuache itikadi zetu

    • @ChireGriffin
      @ChireGriffin 3 місяці тому

      Mbape kashaondoka

    • @ngulathfundikira4205
      @ngulathfundikira4205 3 місяці тому

      Acha ushamba mbape na psg wapi na wapi

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 3 місяці тому

      Kulopoka ru hata mpira hufuatilii, hovyooo