EXCLUSIVE: IDRISS KITAA AONGEA SABABU YA KIFO CHA DIDA SHAIBU/NATAMANI DIDA ARUDI TENA/NIMEUMIA SANA
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Tumepiga Story na IDRISS KITAA
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````
Dah Kaka pole Sana ndugu yangu hakika ni Uchungu Sana Ulio nao Mwenyezi Mungu akupe wepesi Sana 😢😢😢😢😢 Dah Pumzika kwa Amani Dida
Hainahaja yakumsema kwa ubaya mwezetu maana hata cc hatujazijuwa hatima zetu kubwa nikumuombea duaa allah ampekauli thabit naamsamehe makosa yake na cc atujaalia mwisho mwem🙏
Poleni sana mungu amlaze maali pema peponi mbele yake nyuma yetu mungu atupe mwisho mwema
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Dida
Idris usikufuru, hata kama una uzuni , mola akusamehe
Kachanganyikiwa jamani hakujua analolisema Allah amsamehe sidhani kama kasema kwa kujua
Poleni sana tena sana tulimpenda lakini Mungu kazi yake haina makosa
Poleni jamaniii Eee mwezi mungu tunaomba umsamehe makosa yake yote apumzike Kwa amanii
Idrisa umekufuru Yan hamuamin kama mungu yupo mbaka akuondole mtu wako wa karibu au ndg Yako tunajidanganya sana hibada ni muimu na pumzi tunayo itumia atunui kama ruku au bado ni mumba wetu katujaria na anaichukua wakanti ukifka urivyo sain kabda ujaja dunian ivyo tumche Allah kila huchao in Sha Allah Allah atujarie mwisho mwema Ameen
Kughafilika ni kwa Sisi binadamu lkn pia mauti ni mawaidha tosha hususan ya mtu wako wa karibu..Allah amuongoze na amuongoze na Sisi na amjalie kaul thabit ya Rabb
Subir na ww ya kukute utajua nn Alimaanisha
Kachanganyikiwa jmn jmn mwache tuuuh
Mimi nahisi kamaanisha binaadam tunajisahau sana km Mungu yupo muda wote. Ila unapoumwa na yanapofika mauti ndio tunakumbuka km Mungu yupo.
True hapo amekosea bt Allah atamsamehe ni huo uchungu mpk hajui alicho kiongea😢😢😢
Inna lillahi wa inna illahi raijun😢Allah amsehm makosa yake ya siri na dhairi🙏🙏sote pua zangalia chini😢Allah atujalie mwisho mwema InshaAllah 🙏🙏🙏ndugu zangu sio vizr kusehm maiti hii niwakati wakumuombea dua ndio chakula cha maiti
Allah awape Subra...
Innallilah wa Innailaaih Llaajhun..
Jaman dida hakika umeniuma mama angu mungu akupumzishe kwa amani
Pumzika kwa amani dida wetu mbele yako nyuma yetu tulikupenda ila mungu amekupenda zaidi
Allah akuongoze inamaana kumwabudu M/ mungu mpaka akuondoshee hili
Kachanganyikiwa maskini Allah amsamhe Na atusamhe Sisi sote hakuna aliekamlika kwakweli
Kachanganyikiwa maskini
Waandishi bas muachrni huyo kijana mnahoji sana mnamuona kibisa hayupo sawa kachanganyikiwa atakufuru msiwaulize maswali wafiwa
Pole kaka iddy 😭😭
KKa mbn unaongea hvy utamuamudu mungu mpk akuondoshee hyo.. dah Allah atuongoze
Haifai kabisa
Poleni sana kwa msiba. Innalilah wainah ilahi rajiun. Haqika sisi wote wa Allah.
Kijana wangu kuna kitu umesema kizito sana. Amakweli kifo ni mawaidha tosha kwa muumini. Umeapa kuhusu kumuabudia Allah akuoteshe kuhusu kufanya jambo sahih katika kumuabudia Allaah.
Hicho kifo cha dada yako mpedwa Dida kufariki. Kina kupa usahihi wa kujitathimini. Nenda kutana na Masheikh wa Kisalafi....katika masjid omary mukhatab Jangwani karibu na club ya yanga. Kawambie story yako na elezea hamu yako ya kutaka kumuabudia Allaah. Na akujuze pale ulipoteleza katika kufanya makosa. Allaah akuifadhi Iddrisa
Kachanganyikiwa jamani musimuhukumu na yeye binaadamu ni anaekosea nna imani hakumaanisha kutkana na maelezo yake alikua total confused
@@kadrimwingamno258ni kuchanganyikiwa tu, hao salafi wenyewe kuna watu wanawaona walo nje ya maamrisho ya Allah
Allah akuongoze kweli umludie allah idrisa
Amrudie mungu kivipi kwani huko kuwa mtangazaji ndio ina maana hafati vile Allah anataka acheni mambo yenu nyie
Kwa kweli hinindoto hata kwangu pia mungu amutanguliye mbele ya haki 🙏🙏🙏🙏
Poleni sana mungu Amsamehe makosa yake
KI KWELI IMENIUMA SANA PUMNZIKA KWA AMANI DADA DIDA❤
Innaalillaahi Wainnaa Ilayhi raajiuun
*Alikuwa mtoto wa kiislam ila maadili ya kikafiri... hii dunia sio sehemu sahihi ya kufanya staarehe na kujisahau kuishi ni bahati na kufa ni lazima Allah atujaalie mwisho mwema in shaAllah*
Sawa secretary wa Mungu tumekuelewa wewe unaye ishi mbinguni...
We unajuaje km aliishi kikafili usihukumu maana utahukumiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hi imenifanya ncheke aki hyu cy anahukumu @@joycehaule9717
Tajeni mema ya maiti zenu na muwafichie makosa yao. Usimuhukumu mtu wewe muombee dua mwenye kuhukumu ni Allah peke yake
hukumu mmeanza
Why vidonda vya tumbo dah didah😢😭😭😭rest in peace 🕊
Inalilahi waina ilahi rajiun
Allah atupe mwisho mwema 😢😢nimeumia😭😭😭😭
Innalillah Wainna ilayah Rajiun poleni sana Familia
Innalillah wainna illayh raji'uun
Allaah amsameh na amjalie qauli thabit
pole kaka angu mungu akupe uvumiliv
Innalillah Wainnailayh Rajiuun ,Mungu akupeni subira nikweli usemavo kaka ,mazoea nimtihani sio kama hatuyakubali mauti ,msiba unauma hata kama niwajibu ,Allah nae Assamese alimokosea sote siwakamilifu ,tusihukumiane vibayapia😢
Mungu hayupo kwa kuandoka Dida??acha kufuru wameondoka wangp dida ni nan??usitake tumtukane marehemu wakat ni muda wa kumuombea dua😢😢😢
Nikuchanganyikiwa tu jamani musimuhukumu
Ndugu zanguni kifo hakina mda hakina taarifa tuishi kwa tahadhari na tujilazimishe kumuabudu allah
Subiri sanaa zote usikifuru
😢😢poleni kwa kipindi hiki kigumu mbele yake nyuma yetu😢😢😢
Allah amlaze pema peponi
😭😭😭😭😭R.I.P. Dida
Kwahiyo kama sio ndoto hutamuabudu 0:35 🤔
INNALILLAHI WAINAILEHI RAJIUN
Daaaaaah kweli kifo sikia kwa mwenzio mbele yake nyuma yetu 😢
Daaaaaaa ehhhhh mungu
Innalillah wainna ilayhi rajiun, ila mbona wamemueka Sana KafA Jana anazikwa keshokutwa
Innalilah wainnailah rajiun😢
Inalilah wainailah rajun aaalllah amuweke peponi
Poleni kwa msiba.
Innalillah wainaillha rajiuun😭😭😭😭dida jamn
Pole sana
Tunafaa kukumbushana mungu atupe mwisho mwema
Ata me inaniuma san san dad yangu kuondoka nimeguswa mno na huu msiba 😭😭😭😭
Kwani @ Kombo ukinyamaza utakufaa mbaka utoe kaulii mbakaa watu wanauzuni unaongea upumbavuu
Pumzika kwa amani dada dida inauma sana
Innalillah wa innailayh rajiun
Kachanganyikiwa uyo Allah amsamehe
Astagharullah 😢 yeye ni binadam ila tuna fundishwa kumuombea maiti sio kumsimanga kwa makosa yake haijalishi alikuwa ana ishi vipi mwenyezi mungu amurehem amsamehe makosa yake ya Siri na dhahili
Apotujiulize dunia imemuacha au dunia kaicha tusijisahau naulimwengu jina nzur khadija ila matendo sifuri
Pole id inalilah wa inalilaa raijun
Pole sna Babu iddi najalbu kuvaa viatu
Unajipa asilimia mbingu ni ya waisilamu tu .acha kuwaza ujinga .mungu sio mwanadamu
🤔..Kwaio Wewe Mungu unaemuabudii Una Imani nae na Umuamni mpka akuodole ilo itaji lako 🤔 Hii kufru
Ni jazba tu ya msiba ndugu usikaze fuvu sana .. yeye anaelewa anatakiwa kumuabudu mungu wake wakati wote!
Kachanganyikiwa wallah😢😢😢
@@treyvissy9854 Akuna cha jazba yeye ni arudi nyuma atubie maana hii clip ipo akione tena na akijua amekosea basi atubie tu.
Subraaaa subraaa punguza maneno
He was closed to her just relax .. it’s painful trust me 😢. Dude he’s in excruciating agony right now 😢
isikufuru bro
Innalillah wainaillaih rajiun
Innah lilah wa innah lilah rajhun
Kilicho bakia kaka Ibada ukweli kabisa
Inalilah wa inalilah lajiun
Usimuhukumu mtu. Tuombeni. Mwisho mwema jmn
Ata mimi nimeumia sana 😢
Huwa nachukia uandike heading alaf haiendani na kilichozungumzwa
Leo mtajifanya watiii ila mbabadili waja glasiya pombe atabeba au kaaicha
Jamani msiba usikue tu Kwa mwenzio ila unaumaaaa
Kufa ni wajibu kila kikubwa tusijisahau safar ipo
R.I.P
Ukimuona Idris machozi yanakutoka pole I saaaaaana
dunia ni mapito fanyeni ibada mnasubiri mpaka mtakapokufa ndo mpelekwe masjid
Bdo siamini jmn dida mbn mapema poleb sanaaa jmn
Dida wetu sote Mungu amarehumu
Kuli nafsi dhalikal mauti inna lilahi wainailahi rajiuun
Kullu nafsin dhaikatul
Maut
Huyu kaka Allah ampe hidaya mana imani yake haijatengemaa maongezi yake tu unafamu😢 Allah atuongeze kumjua Yeye mola wetu nakufata matakwa yake nakuacha makatazo yake
Kila mtu akipata msiba anaupokea anavyojua yeye 😭
Tatizolako umejawa naudini sana ubaguzi umekujaa .sasa alichokosea nikipi .au kisa bwana ametowa jinalake is iimisiwe .uyo amegusa kwWatuwote
Hupaswi kusema hunais ndoto broh kifo tumeumbiwa wanadam ni sehem moja ambayo kila mmoja wetu hitamkuta hila tu kwa nyakat zake tuseme inshaallah mwenyenz mungu hamfanyie wepes kwenye safali yake ya milele kabuli lake liwe miongon mwa watu wema popen inshaallah
Mungu amfanyie wepes hakuna mkamilifu mbele ya allah!
😭😭😭😭😭😭
😢
😢😢😢😢😢
Punguza kuongea sana unachochora.
Kuumwa ckufa muda umefika
Huyu kachanganyikia kidogo
Vua io midude mikononi
mbona watu wanasema ni moyo
Watu gani wakwenu huko uliko au hao walokua karibu nae
Muache naushetani shamsham leo ndani yakabur
Daaa kwaiyo dida malizake kaaacha pesa zake kaaacha kaenda yeye tu jamani dunia tunaiacha jamani tupunguze tama za dunia
ndyo tafsiri ya dunia hii
🙏🙏🙏🙏
Kufa ni wajibu kila kikubwa tusijisahau safar ipo
😢😢😢😢