Shughuli za kutafuta miili kwenye mkasa wa boti kuzama katika mto Tana zinaendelea

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 кві 2024
  • Katika kaunti ya Tana River, Shughuli za kuwatafuta waathiriwa wa mkasa wa boti ya jana jioni zimeendelea. Ripoti zikituarifu kuwa watu 23 wanatafutwa.
    Haya yakiendelea huku waliookolewa wakiendelea kupokea matibabu katika hospitali moja Madogo. Waliozungumza wakisimulia yaliyojiri, wakiwalaumu wasimamizi wa boti hiyo kwa kubeba abiria wengi kupita kiasi.Kwa mujibu wa polisi eneo la Madogo, Kufikia sasa ni watu 20 pekee ambao wameokolewa. Shughuli za kutafuta miili ya wanaoshukiwa kuangamia kwenye mkasa huo zinatarajiwa kuendelea hii leo baada ya kusitishwa jana usiku kutokana na giza. Naibu Gavana wa kaunti hiyo Mahat Ali Loka amesema maafisa wa kaunti hiyo wataanza kusafirisha watu kwa kutumia boti za kaunti

КОМЕНТАРІ • 30

  • @erickithuka6997
    @erickithuka6997 20 днів тому +5

    Watu wapuguze kutenbea jameni wakenya kila pahali n mvua poleni sana watching from Switzerland

  • @umtv9224
    @umtv9224 20 днів тому +6

    Duuu kenya poleni kwa maafa haya nguvu ya Taifa imepungua

  • @phoebeadikinyi3441
    @phoebeadikinyi3441 20 днів тому +5

    Kila mtu na aombee nchi yetu kenya 😢,baba wetu,hii imetuzidi😢tuonee huruma

  • @jacklineachieng1131
    @jacklineachieng1131 20 днів тому +9

    Walikuwa wanaenda wapi? Si watu watulie makwao mpaka mvua ipungue jamani? 😢😢Haraka za kuenda wpi??

    • @CynthiaOdero-ik6dx
      @CynthiaOdero-ik6dx 20 днів тому

      ni ukweli kabisa ni vyema watulie makwao hadi mvua iweze kupungua

    • @nahashongichine4877
      @nahashongichine4877 20 днів тому

      Just imagine, hawawezi kutulia, dancing with death

    • @transmissionlines3726
      @transmissionlines3726 20 днів тому

      Some were returning home to their families. Kutulia Ni nyumbani

  • @webnejs5365
    @webnejs5365 20 днів тому +2

    acheni kuraumiana juu ata nyinyi mlikuwa mnaona mko wengi

  • @user-wd1ft1zb6n
    @user-wd1ft1zb6n 20 днів тому +5

    Serikali iko nakibarua.Ngai

  • @irineoluoch
    @irineoluoch 20 днів тому +5

    From land to air,from air to water😢

  • @alicemumbi7585
    @alicemumbi7585 20 днів тому +3

    Sasa mbona watu wapande boat kama imejaa jameni...
    Wakenya tujichunge wenyewe 🤔🤔🤔

  • @nuruprince
    @nuruprince 20 днів тому +4

    Overloading my foot , nobody had a gun on their head

  • @UmulkerAmir
    @UmulkerAmir 20 днів тому +2

    Why overloading?

  • @user-hq5tq9dj2v
    @user-hq5tq9dj2v 20 днів тому +1

    Thanks God 🙏🏼🙏🏼

  • @priscillamakena3884
    @priscillamakena3884 20 днів тому +4

    Why overload na kuna more boats.....wakenya jameni!!

    • @Ismaelkhaani
      @Ismaelkhaani 20 днів тому

      Not Kenyans they were somalians

    • @priscillamakena3884
      @priscillamakena3884 20 днів тому

      @@Ismaelkhaani ..ok... But weeh! So sad

    • @berdilacashe283
      @berdilacashe283 20 днів тому

      ​@@Ismaelkhaaniwho the fuck said somaalis are not kenyans you poor oromo

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 20 днів тому +1

    Ina ilah waina Lilah rajiun

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 20 днів тому +2

    Serikali ndio ya kulaumiwa lakini sasa watakuokuwa n hatia kubwa n wenye maboat huu n uzembe wa waziri wa bara bara

  • @ag-tm7je
    @ag-tm7je 20 днів тому +2

    Si ndege si magari si boat si mvua si manyumba God intervene hakuna place safe sasa

  • @user-uq5bs1gl8l
    @user-uq5bs1gl8l 20 днів тому +1

    Mungu Dunia ajue wewe muhumba amna muhumba ila wewe

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz 20 днів тому

    🎉🎉❤❤❤❤

  • @ramenyaramenya6223
    @ramenyaramenya6223 20 днів тому

    Wakenya pia inafaa wajisimamie ,sasa kama unaona boti limejaa mbona waabiri jamani na kisha unaanza kulaumu serikali....wewe ndio serikali

  • @dr.enokim4705
    @dr.enokim4705 20 днів тому

    It's the end

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 20 днів тому

    Jamaa alkwa na tamaa kukimpia

  • @verahnyanchoka7480
    @verahnyanchoka7480 20 днів тому

    Ruto huko inchi gani wakenya wakiumia 😢😢

  • @daudaden1308
    @daudaden1308 20 днів тому

    KENHA are responsible of all this why not take an action it's 4 months tangu ile mvua ya mbeleni