TIMBWILI la NACCOZ, MFAUME Ataka KUPIGANA 'Live' STEJINI, Team NDONGA Wacharuka, KIVUMBI Chatimka..
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- TIMBWILI la NACCOZ, MFAUME Ataka KUPIGANA 'Live' STEJINI, Team NDONGA Wacharuka, KIVUMBI Chatimka..
USIKU wa 'SAFARI YA BEACH' umezinduliwa rasmi Septemba 15, katika viwanja vya Faru Mpakani Mabibo jijini Dar es Salaam, ambapo mabondia wote watakaopigana wamekutanishwa uso kwa uso.
Pambano hilo litachezwa Oktoba 28, 2023 katika fukwe za Msasani jijini Dar es Salaam.
Mfaume mfaume team ya wachambaji
Mabondia wana maneno aisee yaani kila siku napata misemo mipya"Maji ya ugali hayaonjwi","maji ya moto hayaunguzi nyumba"
Wahuni wamekutana vibaka hao wote waizi wa simu
Nakoz ni wahuni tuu,,,Hakuna bondia hapo, ukiona mabondia wanachonga ngenga sana hamnaga kitu,,,,igeni mfano kwa Class acheni ndondo
Sio kweli chief kwenye ngumi swala la kuongea au kutokuongea haimaanishi anaajuwa au hajui kuongea sana ni kalama tu ambayo Mungu amekupa tu!!
Wamchangan wana tabu sana
Watu wanavibe hatar
Ata mohammedi ali alikua anaongea shit