KUMEKUCHA TUNDU LISSU ANAMJIBU NAPE NNAUYE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 113

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 5 місяців тому +4

    Ee mwenyezi Mungu mwenye haki zote simama na wapenda haki wote wanaoitakia mema nchi hii ya Tz walinde na kuwatetea kwa jina la Yesu Amin

  • @GoldDolan
    @GoldDolan 5 місяців тому +13

    Kumpata lisu chukua CCM wote+ wanasheria uchwara wa ccm wote 😂😂😂

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 5 місяців тому +7

    Uko sawa lisu

  • @SamweliDaudi-sc1mj
    @SamweliDaudi-sc1mj 5 місяців тому +5

    Shujaa lisu mwalimu wa siasa nape kasome usibishane namjomba Ako mjomba ni mama

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 місяців тому +9

    Hoja zijibiwe kwa hoja sio matus

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 5 місяців тому +4

    Hapo Lisu Kisha piga gongo lake hana hoja mbona Kuna MA RPC Zanzibar kutoka Bara?

  • @EliusPonde-i3u
    @EliusPonde-i3u 5 місяців тому +2

    Ani kichwa kimoja kinawachanganya ccm wote .tundu lissu juu

  • @GoldDolan
    @GoldDolan 5 місяців тому +9

    Lisu ni mtu na nusu

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq 5 місяців тому +2

    LISU NI SHUJAA WA TAIFA LETU

  • @JumaMgeri-fb2qs
    @JumaMgeri-fb2qs 5 місяців тому +2

    Ukweli lazima usemwe

  • @ShaibuYahaya-v4b
    @ShaibuYahaya-v4b 2 місяці тому

    Mzee achana na uyo boya eti anajua mbingu za uchaguz acha kuchochea moto ww unatangaza aman alafu unaivunja tunaomba nape unyamaze

  • @AyoubMsonga-ch5xg
    @AyoubMsonga-ch5xg 5 місяців тому +5

    Kama weweni mtanganyika na unamkosowa lisu huna hakili kabisa

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 5 місяців тому

    Mw Nyerere angerudi duniani Jambo la Kwanza angempiga risasi huyu jamaa😂😂

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 3 місяці тому

      Nafikiri Kuna kazi kubwa ya kuhakikisha watanzania tunaelewa

  • @thomasanthony7338
    @thomasanthony7338 5 місяців тому +4

    Very true

  • @evelina9621
    @evelina9621 5 місяців тому +3

    Kwelika.kabisa.unasema.hongerA

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 5 місяців тому

    Ili mawazo yasiyo ya kibaguzi yasiwepo ni pale tu tutakapokuwa na katiba moja. Huwezi ruhusu upande mmoja kuwa na mawazo ya kibinafsi juu ya upande wao na kisha ukafanikiwa kuzuia mawazo hayo upande mwingine yasiwepo na upande wenye watu wengi.
    Ili kuondoa mawazo haya ya utanganyika na uzanzibar ni kuwa na katiba moja kwenye nchi moja.
    Mengine yabaki kwenye his5oria

  • @MbarakNahdi-l9s
    @MbarakNahdi-l9s 5 місяців тому +1

    Wewe huna shukrani Wala sera

    • @alphaexaud5279
      @alphaexaud5279 5 місяців тому

      Wewe unashindwa je kumuelewa Lissu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 5 місяців тому +6

    Wewe ni Shujaa kwa Wazanzibari kama Zanzibar ipo Tanganyika iwepo na kila mtu afanye mambo yake mwenyewe bila ya kuathiri mahusiano ya nchi husika Tanganyika na Zanzibar

    • @martinsimkoko4729
      @martinsimkoko4729 5 місяців тому

      Ongera

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 місяців тому

      Ingefanyika hivyo hizo kero za Muungano zisingekuwepo kwa kiasi kikubwa lakini ukikaa chini utagundua kuwa watu hawana dhamira nzuri katika kuzitatua wanasimama majukwaani wakiwa sio wakweli katika kuzitatua.

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 5 місяців тому

      @@jumamohamed3168 hakuna kero za Muungano ndugu yangu huo Muungano wenyewe ndio kero

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 5 місяців тому +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 5 місяців тому

    Suala la.muungano.waulizwe wananxhi haswa waliounganishwa pande zote mbili kuwe na referundum
    Kukusanywr maoni ili yapitiwe na kuona kama kuna mapungufu na kama wananxhi wanatakaje kuhusu muungano muungano.mzuri ni ule unaokubalika na wananchi kwa100%

  • @Kajunakabyemela
    @Kajunakabyemela 5 місяців тому

    lisu yuko sahii asimia 100, ccm ndo wabaguzi namba 1, nchi imekuwa ya watu wachache!

  • @MussaMussa-v4x
    @MussaMussa-v4x 5 місяців тому +1

    Alafu tambueni watanganyika.MAMAHatawali Tanganyika Anatawala Tanzania uyo lisu mwanasheri gani asie lijua hilo.

  • @EmmaMwaituka
    @EmmaMwaituka 2 місяці тому

    Majitu ya ccm akili hayana kabisa yanapinga hata ukweli

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 5 місяців тому

    Hoja haiakisi tukio na wakati wa tukio na sababu ya kuwepo kwa Sheria hiyo na siyo ubaguzi

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 5 місяців тому

    Ndugu wananchi

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 5 місяців тому

    Hivi mtanganyika akiwaza kama mzanzibari juu ya ardhi yake ni vibaya?

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc 5 місяців тому

    Ni kweli mwizi

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 місяців тому +1

    Nape usimjibu.huyo.siriziki achana nae mjinga umeongea bungeni tumekusikia.achahuyo.aongee.maporini

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 5 місяців тому

      Hujielewi wewe ndio sio riziki lisu wewe ndio mchungaji wa kweli kemea hao watu sio riziki

    • @issahdady608
      @issahdady608 5 місяців тому

      Kaongea porini pia tumemsikia

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 5 місяців тому

    Ccm awanadata ispokua wanadata yakutumia lisas nguvu nk awana sifa nambaya zaid kufa magur sisi wanyonge tumewaona hawa ccm nihatar kwa afya zetu

  • @twincetwicetv6031
    @twincetwicetv6031 5 місяців тому

    Umechanganyikiwa

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty 5 місяців тому

    Chadema wako vizuri sana hawa ndio wana sifa ya kuwatetea watanzania kwa dhati

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 5 місяців тому

    Ccm typing 😂😂

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 5 місяців тому +1

    Ndugu wananchi tumpuuze mtu huyu jukumu lakumlinda Rais niletu sote kwahiyo kumsema vibaya Rais nikumuongezea maadui kwahiyo mtu huyu achukuliwe hatua

    • @richardmwandanji65
      @richardmwandanji65 5 місяців тому

      Hakuna anae msema vibaya rais wetubali ameshindwa kutusikiliza tunataka bandali yetu tunataka KATIBA MPYA hiyo nihaki yetu lasivyo atasemwa tu

    • @pedri-nc5in
      @pedri-nc5in 5 місяців тому

      Tundu lissu anaongea point usituchanganye ww baki na mawazo yako usituchanganye sisi

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 місяців тому +1

    Siku haya majamaa yakipata nchi itakua ndio mwisho wa amani ya Tanzania yanawaza ubaguzi2 ndio Magufuli hakuyapenda kumbe alimanisha.

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 5 місяців тому

    Ccm nawaomba mtoke mkamjibu lissu na chadema kwa uja kwani ccm atuna wanasheria? Wabobezi wa katiba nao waje sio kabudi uyo nae anachanganya mafaili kwa ukweli lissu ana oja na anatumia katiba zote mbili tz znzbr nanyi twambie kwamba lidsu apa ni mwongo kwa ili sio nape ajui chochote wasila ajui chochote walioba jaji na wazili mkuu anaungana na lisu sasa kwanini tusimwamini?

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 5 місяців тому

    Goli la mkono hana lake ni msaka Tonge tu axikukatixhe tamaa kamanda wetu

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 5 місяців тому

    NI KWELI LAKINI MIMI NILIMKATALIA AFANDE WANGU

  • @Man-w4o
    @Man-w4o 5 місяців тому +1

    We tundu lisu Acha kuwadangany watu

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 5 місяців тому

      Anawadanganya nini, unajua kusoma kweli wewe?? Kasome katiba anayoisema ndo utajua

  • @magilafranco681
    @magilafranco681 5 місяців тому

    Hii imeenda

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 5 місяців тому +1

    Ndio maana alinyooshwa dem huyo

  • @RashidThabite
    @RashidThabite 5 місяців тому

    Ww nimsenge tunajua ivi watanzania hatuna akili kiasihiki uyu ndoanakubali mashoga unampaje uwongoz uyu nifalaaa

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 5 місяців тому +1

    Katina ina sema ili uweze kugombea urais lazima utokee chama chochote cha siasa lakini ukisha shinda una kuwa Rais wanchi naima bila kujali vyema sasa mtu huyu unaongea nn?

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 5 місяців тому

      Hujui kitu nyamaza sikiliza mambo ili ujifunze kwanza juu ya jambo hilo na ,akisema katiba kifungu fulani kinasema hivi au vile nenda ukachukue katiba uiangalie aliyoyasema ni kweli au sio kweli ,kama sio ya kweli basi njoo uandike komenti yako kumkanusha maneno yake kuwa sio ya kweli anadanganya watu.

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 5 місяців тому

    Nyinyi wabara mumejaa zanzibar na mnapiga kura kuiweka ccm madarakani kule zanzibar kwa sababu mzanzibar hawaitaki ccm wala muungano ila ni nyinyi ndio mnalazimisha kama kweli wewe lissu na huyo mbowe wako ni vidume kweli washawishi watanganyika muvunje muungano huu mbovu hatuutaki

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 5 місяців тому

    Ila kwa nchi za Kiafrica Nyinyi wenyewe mnataka madaraka mambo yenu binafsi yawe poa tu

  • @MussaMussa-v4x
    @MussaMussa-v4x 5 місяців тому +1

    Zanzibar ni visiwa hatuwezi kuwapa mamlaka ya kupiliki kila kitu halafu sisi tukashindwa nipakukaa nakuzikana.

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 5 місяців тому

    CCM wameishiwa Awana oja

  • @AbdallahOmar-t9v
    @AbdallahOmar-t9v 5 місяців тому

    Katiba ya tanzani kwani kaitunga mzanziri

  • @claudiussilas
    @claudiussilas 5 місяців тому

    Umeongea ukweli kabisa,wafungue macho watu waone.wanaopiga kelele ni kwa sababu ya ulaji

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 5 місяців тому

    Hata hyu lisau anabwabqaja bure akipewa madaraka anaangalia maslahi yake nyie mnaomuunga lisu mkono yeye ana maisha yake ubelgiji akiharibu anakimbilia huko nyie maboya umbwa nyie mnapakwenda ama mmebebewa akili na huyo mpumbavu mwenzenu

  • @ChristopherSteven-oe1dd
    @ChristopherSteven-oe1dd 5 місяців тому

    Shida ipo

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 5 місяців тому

    Sasa uwongo uko wapi

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 5 місяців тому

    Wakala wa ubergiji

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 місяців тому

    Hili jamaa haliko sawa kiakili

    • @abeidnalino8584
      @abeidnalino8584 5 місяців тому

      Wewe ndio mgonjwa wa akili

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 5 місяців тому

      Huna hata aibu kumuita LISSU Hana akili muombe msamaha nyumbu wwe inaonekana umeishia memukwa

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 5 місяців тому +1

    fukuzeni tundu lissu mumpeleke kwao Congo RDC mkimwacha tundu lissu Tanzania basi mtajuta badae nyinyi watz nchi yenu itavamia na magaidi tundu lissu ataharibu Amani na umija wataifa la tz

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 5 місяців тому

    Waliotaka roho yake wametangulia wao

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 5 місяців тому +1

    Ndo maana ukapigwa risasi kwa uchonganishi wako akili zako zimechanganyikiwa bandari sio ya Tanganyika ni ya Zanzibar Tanganyika haina bahari ina maziwa mkuu iyo ufahamu

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 5 місяців тому

      😮😮

    • @madenge731
      @madenge731 5 місяців тому

      We kuma kweli

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 5 місяців тому

      Kwan wew ambaye hujachanganyikiwa unaona haki ni sawa kwa kipi kati ya maendèleo ya tz na zanz au na wew ni chawa wa mama

    • @YunisRichard
      @YunisRichard 5 місяців тому

      Kichwa mchungwa

    • @HamidaSeif-c8u
      @HamidaSeif-c8u 5 місяців тому

      Hawa wazanzibari wanakuja kufanya kazi/biashara na hata wakimiriki ardhi, wanaume hawaruhisi kuoa bara hayo sio maneno yangu waosema no vijana WA kizanzibar kariakoo kwenye maduka ya nguo "kama sio ubaguzi ni nini"?

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 5 місяців тому

    Siku mtu wa bara akitawala kama rais kule Zanzibar ndio nitaukubali muungano, lakini sio hii changu changu chako changu

  • @TwikaleDldm
    @TwikaleDldm 5 місяців тому

    Kifungu gani Cha katiba Sasa kinasema hayo maneno

    • @elizariatsere7701
      @elizariatsere7701 5 місяців тому

      Haki yake kijieleza acha upuzi

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 5 місяців тому

      @@elizariatsere7701 matusi ya nn. Kama haki yake kujieleza nami haki yangu kuuliza... Sa upuuzi wa nn. alafu ilikuwa si lazima ujibu Kama ukuwa na Cha kujibu

    • @EdwardAlphonce-xe1yi
      @EdwardAlphonce-xe1yi 5 місяців тому

      Waulize waliopita chuo

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 5 місяців тому +2

    Kila ujinga mnaongea SASA umejichora mzanzibar kwani Hana kuwa rais NI haram hata ufanye nini heshima yako imeshuka

  • @TwikaleDldm
    @TwikaleDldm 5 місяців тому

    Itume hyo clip aliyosema hayo maeneo hayati Nyerere...

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 5 місяців тому

      unamatatizo ww akutumie crp tafta mwenyewe

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 5 місяців тому

      @@allonjoseph5467 nchi yangu Tanzania Naipenda Sana...watu wanataka hoja ukihoji hawatoi hoja...nitafte wakati msemaji yupo

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 5 місяців тому

      Lisu ni mkwer sio hadi kripc kwa sas watanzania tuna anza kujielewa. Mim maoni yangu mama akubali meza ya mazungumzo watunge katiba mpya ili kuepusha vulugu kama hizi. Kwani asiogope kama tunampenda tutamchaguà katiba mpyaaaa . Kama unaumia na mamneno ya lisu

  • @piusprospa8832
    @piusprospa8832 5 місяців тому

    RISU POKEA MAUA YAKO

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 5 місяців тому

    yaani kama kuna ubaguzi na wewe unataka kuwa m,baguzi

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 5 місяців тому

    Kufa wewe lisu yupo sana

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf 5 місяців тому +1

    Nonsense!

  • @AbdallahOmar-t9v
    @AbdallahOmar-t9v 5 місяців тому

    Kwanza ww muongo bora wange kuwa kabisa mbwa ww

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 5 місяців тому

      Unahasira sanà kaka kwani na wew ni mzanzibali anayosema lisu ni kwer kabisa tumuunge mkono lisu ili tupate katiba ya haki sawa.

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 5 місяців тому

      Aaaaaa wewe naukoo wako mtalaniwa kwaujinga unao mwombea lisu

  • @jumanneratili9829
    @jumanneratili9829 5 місяців тому

    Wewe ulikuwa wapi acha waanzilishi wewe ulikimbia nchi amekurudisha unaleta ndabi mshukuru magufuri amekufa usingerudi tz ole wako hakutaki

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 5 місяців тому

      Tena mpumbavu huyu hana shukurani bora wangeliachilia mbali hata lingerie huko umbwa hiiii

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 5 місяців тому

    Utakufa wewe lisu hafi

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 5 місяців тому

    Acha uhanisi wewe mmetunyonya miaka 60 na kutuuwa kila uchaguzi ujayaona na yule mwinyi kula katuuziya bandari yetu mchukuweni hatumtaki hameni zanzibar na ss tutahama tanganyika muungano tupa baharini

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 5 місяців тому

      Acha uhanisi ndio Nini, hata huelewi . Toa hoja

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 5 місяців тому

    Mbwa ni wewe huna akili

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 5 місяців тому +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri