Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
KWA KILIMO BORA CHA MBOGA MBOGA TUMIA MBEGU BORA ZA EAST WEST SEED TANZANIA
Вставка
- Опубліковано 3 бер 2021
- Kwa mahitaji ya mbegu bora za mboga mboga kutoka kampuni ya East west seed,viutilifu na mbolea kwa bei nafuu na ushauri buree kabisa karibu kwa wakala wao Dodoma Double S. AGROVET karibu na soko kuu Majengo Dodoma.
AINA ZA MBEGU ZETU NI MBEGU CHOTARA ZA MBOGA MBOGA
Imara F1 ndio nyanya Bora kwa wakulima,
Kipato F1 ni mbegu ya Nyanya chotara yenye uwezo wa kupambana na magonjwa ya mnyauko wa bakteria na pia huzaa sana.
Mkombozi F1 inaukubwa wa kilo 10-12 kwa tunda
Tango Greengo F1,Monalisa F1
Mbegu ya vitunguu Mars F1
Johari F1,Mkombozi F1
East West Seed tuna mbegu bora za papai,Tuna Red Royale F1 na Sinta F1.
Uchaguzi sahihi wa mbegu Bora ni mafanikio kwa Mkulima
East-West Seed inakushauri uTumia aina inayostahimili magojwa, kama inapatikana; Jitahidi kuandaa udongo ... mbegu na miche zisizo/isyo na vimelea vya magonjwa (zilizothibitishwa) ... Badilii makundi ya viuatilifu ili kuzuia uwezekano wa kujenga usugu.
#mkulimasmart
#shambadarasa
Mbegu bora kwa mapato mazuri
KARIBU
Bei hukutaja kaka
Bei ya nini
Iko poa sana
Welcome
Me nahitaji mbegu bora ya hybrid ya nyanya inayohimili masika
Karibu Imara F1
KIPINDI KIZURI SANA
Nice
Kuna mbegu f1 za chainizi?
Ndio
Unauzaje mbegu za nyanya
Karibu.Unataka mbegu Aina gani? Maana zipo nyingi.Tupigie simu
Papai mbegu ipi ni tamu sana?
Malkia na sinta
Asante sana kwa kunijibu
@@sarananyaro9089 karibu na aksante kutazama vipindi vyetu
Asante sana
@@sarananyaro9089 😍