ALICHOFANYA HARMONIZE KWA DJ WA MISSO MISONDO // TAZAMA HAPA FULL INTERVIEW...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 170

  • @hassanally7832
    @hassanally7832 9 місяців тому +11

    Dogo upo fresh kwa kujibu maswali awo jamaa awajui wanacho kuuliza zaidi ya maswali ya mitego na kukuchonganisha na wenzio ❤

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 9 місяців тому +27

    Waandishi hawana maswali wanauliza uzushi ili kutengeneza tofauti .. hongera dogo kwa majibu mazuri hawa ni wachawi hawa nuksiii sana hawa waandish wetu

    • @LameckMwansa-bb7fj
      @LameckMwansa-bb7fj 9 місяців тому +2

      Uyu mwandishi msenge kinoma yani

    • @jonijomk3107
      @jonijomk3107 9 місяців тому +2

      Cdhani Kama anamarinda

    • @raajtz8073
      @raajtz8073 9 місяців тому +1

      ​@@jonijomk3107😂😂😂😂 dah we jamaa

  • @Ahmadilauma
    @Ahmadilauma 9 місяців тому +20

    Dogo anajua sana mungu amzidishie

  • @EveliusEdwin
    @EveliusEdwin 9 місяців тому +10

    Big up san Kwanza unajitambua san god bless you

  • @selinasteven6258
    @selinasteven6258 9 місяців тому +50

    Doctor kumbuka nakukubali sana umeongea point. Hila tambua huyo ni km mwanao hakikisha hasitoke nje ya reli. Aka feli.

  • @jackylinemwamba3923
    @jackylinemwamba3923 8 місяців тому +7

    Hongera nimependa majibu yako unajibu kimakini Sana big up💪💪

  • @Isael.6396
    @Isael.6396 9 місяців тому +16

    Huyu jamaa ni mutu muzima anajuwa jibu🎉

  • @menloofnjovu6140
    @menloofnjovu6140 9 місяців тому +22

    Mungu akiamua kukupa anakupa Kwa wakati sasa ni wakati wao Kwa Sasa .

    • @user-hp3bx8ih4y
      @user-hp3bx8ih4y 9 місяців тому

      mungu hamtupi mjawake kila jambo nawakati wake ongera sana

  • @user-kk6sn2si8o
    @user-kk6sn2si8o 9 місяців тому +8

    Uko vizur broo kazi yako na ray ni nzuri sana hongera

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 9 місяців тому +10

    Vijana Naon Wamekuja Kihukwel Kikubw Wapamban Na Wasilew Sifa🎉🎉🎉🎉

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 9 місяців тому +3

    Miso Missondo Wametikisa Mji Kweli Kikubw Wafany Kazi Iliyowaleta Mjini Wasilew Sifa Mungu Awatanguliye Kweny Safar Yaho🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-dv4kp2dl6h
    @user-dv4kp2dl6h 9 місяців тому +12

    Miso nakuelewa sana kuwa makini na waandishi hao watakugombanisha na watu

  • @gesusblack8414
    @gesusblack8414 9 місяців тому +4

    Unyamaa Yani zaidimsee..miso on top

  • @user-ig7ou6wh6k
    @user-ig7ou6wh6k 9 місяців тому +4

    Kuna wasanii wengi wakubwa ukiskiza interview zao utaona kbsa namna wanavyojibu maswali na kuzngumza kuna vile wanakosa flow nzuri y kujibu maswali.. Dogo anaflow nzuri sana y kuzungumza n kujibu maswali. Nimemskiza kw makini sana yani.. hongera zakee 👏👏👏

  • @FernandoafonsoChinduli
    @FernandoafonsoChinduli 7 місяців тому +2

    Uyu ndio misso misondo tunamkubali sana kwetu msumbiji kuzidi

  • @mussahosseni8229
    @mussahosseni8229 9 місяців тому +11

    Kweli waandishi wa habari hawana mamb yakuuliza wanachonganish watu tu hawa

  • @GamanielKatani-nw8ll
    @GamanielKatani-nw8ll 8 місяців тому +4

    Kijana unajua kujibu vizuri Kwa ufass huna unafiki mungu akutanguli Kwa mambo yote unayo ya fanya Tena mazuri Skype baraka tele usije kuja kujisahau pesa mbele majibu mkAto

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 9 місяців тому +24

    Dogo anajua ninamkubali sana ,Mungu amsaidie atimize malengo yake

  • @networkerhazardtz
    @networkerhazardtz 9 місяців тому +5

    Miso misondo🔥🔥🔥unaitisha saana dogo

  • @user-ie7lu5wn5y
    @user-ie7lu5wn5y 9 місяців тому +5

    Jamaa yupo active sana kichwan

  • @Ronaldofficials
    @Ronaldofficials 9 місяців тому +6

    Maswali gan nyie uyo dogo ana fight afike mbali.

  • @user-rl8kk9nr6y
    @user-rl8kk9nr6y 8 місяців тому +3

    Kweli dogo Yuko makini sana mungu ampiganie sana maana wanga ni wengi ❤

  • @dollovictor
    @dollovictor 9 місяців тому +6

    Safi sana ,kilichobaki upate muda wa kutumia mixa za kisasa zaidi ya laptop unazotumia

    • @Truth4ever
      @Truth4ever 9 місяців тому +1

      Ukimpa mashine huyo unamfelisha. Aendelee kutumia laptop yake. 😂

  • @isackkimath8471
    @isackkimath8471 8 місяців тому +1

    Dj yupo VIZUR maswali ya kuleta mgongano unayakataa vizuri..Huna baya keep it up

  • @Ngwea_Crazy
    @Ngwea_Crazy 9 місяців тому +10

    Kweli maan kuna dj collaz ndo father wenu kusin yoteeee..

    • @OtmaryKiowi
      @OtmaryKiowi 9 місяців тому

      Huyo collaz labda mkongwe tu
      Nimeona ngoma zake video kama nne tofauti hatii mguu hapa

  • @allymwinja2693
    @allymwinja2693 9 місяців тому +5

    I real appreciate misondo
    #The home drum#🤝😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @LameckMwansa-bb7fj
    @LameckMwansa-bb7fj 9 місяців тому +5

    Mwandishi msenge kinoma yani

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 9 місяців тому +4

    Mbna mtangazaji maswal yako ya kinafiki kwel...mbn mchanganishi....umemzoea meneja wew...ujibiwe Mpka upaliwe na mate...

  • @Ngwea_Crazy
    @Ngwea_Crazy 9 місяців тому +6

    Timu COLLA like hapa..

  • @isaselogistics7266
    @isaselogistics7266 9 місяців тому +8

    MAJIBU MAZUR

  • @saumu3007
    @saumu3007 9 місяців тому +13

    Anajibu vizur kiutu uzima 🤣

  • @MusaRamadhani-sm3pz
    @MusaRamadhani-sm3pz 6 місяців тому

    Nawapenda sana wasanii wakale,wasasa ni pumba mchele tuliupika na tunazidi kuhuchehuwa.Big up sana bongo za kitanbo.

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 9 місяців тому +3

    Misso nakukubali sana ushatoboa tyr❤❤❤🎉🎉🎉

  • @IssaNamanga
    @IssaNamanga 9 місяців тому +4

    Miso yoko powa sana

  • @bitaliohamis3860
    @bitaliohamis3860 9 місяців тому +7

    Dj ally b anapiga miluzi kama anaitwa mbwa 😂😂nmecheka

    • @DoshiboyTZ
      @DoshiboyTZ 9 місяців тому

      Miso misondo anaakili saana kwahyo kazi yake hajakurupuka na mkubali saana, good answers bless saanaaa🙏🙏🙏

  • @HappinessBunna
    @HappinessBunna 9 місяців тому +9

    Kuna sangula kali Sanaa big up misondo🎉

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa8655 9 місяців тому +28

    Mwandishi kuwa makini na maswali yako please🙏 husimchonganishe mtoto wawatu haonekanike mbaya kwa ajili yako

    • @hassanally7832
      @hassanally7832 9 місяців тому +1

      Waandishi wasio jielewa nn kazi zao

    • @twahachano7410
      @twahachano7410 9 місяців тому

      kweli kabisa waandishi sio watu wazuri maswali yakichonganishi ila nimempenda dogo anajishusha sana

  • @HamadHaji-fz3nn
    @HamadHaji-fz3nn 9 місяців тому +7

    Ety nyimbo nyimbo anatoa na rayvanny ana muweka harmonize hii media

  • @petermbise
    @petermbise 8 місяців тому +4

    Nimekupenda binafsi unavyojibu maswali vizuri kwakujiamini hongera hiki ni kipindi chako cha kutrend.
    Umepigaje apo?????

  • @user-mj1us4zb1l
    @user-mj1us4zb1l 9 місяців тому +4

    miso misondo unatisha sana

  • @kassimkambona8649
    @kassimkambona8649 9 місяців тому +7

    Take care bro

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma 9 місяців тому +2

    Miso majibu yako nondo nimekubali❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-qg6rs7of5l
    @user-qg6rs7of5l 9 місяців тому +3

    Waandish wengi mnamaswal ya hovyo maswal gan ayo

  • @user-sq6dd5nn6o
    @user-sq6dd5nn6o 9 місяців тому +2

    Safi

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 6 місяців тому +1

    Nimekubali kbx miso misondo

  • @user-fq3hi9bi4z
    @user-fq3hi9bi4z 9 місяців тому +4

    Hawa waandishi wetu ukijibu maswali bila akili unaweza kujikuta unajiingiza kwenye mtego pasipo kujua

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 8 місяців тому +1

    Dk kumbuka angalia asipotezwe au kuchukuliwa nyota yake kamasonder tz

  • @mashakakaoneka8082
    @mashakakaoneka8082 6 місяців тому +1

    Dogo anajibu vizuri sana

  • @MathewElias-sl7mt
    @MathewElias-sl7mt 7 місяців тому +1

    Majibu yako yako powa sana kijna

  • @user-du6od1ph4p
    @user-du6od1ph4p 8 місяців тому +2

    Dogo aisee mungu akupiganie ❤❤

  • @FilimonGabriel-p5k
    @FilimonGabriel-p5k 8 місяців тому +1

    Umetisha san dj miso

  • @user-vn7cd2tr6y
    @user-vn7cd2tr6y 9 місяців тому +3

    Awo wadishii sasa
    4:52 4:54

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 9 місяців тому +1

    Yupo vzr sana vabe tu noma

  • @feelNice-vi3lo
    @feelNice-vi3lo 9 місяців тому +7

    Kumbuka nakukabidhi dogo huyo msaidie asitengane na madancers wewe chukua uongozi hapo ucwe kama wakina fulani wenye roho kubwa watakuja kujifanya wameokota kumbemaokoto ndio lengo lao niletee kima hao niwa panguse

  • @HadjaSefu
    @HadjaSefu 5 місяців тому +1

    Umeuwa

  • @user-uj2jp1tc6w
    @user-uj2jp1tc6w 9 місяців тому +3

    Respect

  • @HuyannyBoy-me7rb
    @HuyannyBoy-me7rb 8 місяців тому +1

    Miso missondo nimekubali

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers 9 місяців тому +5

    🔥🔥🔥🔥🔥🥂🔥🙄🔥

  • @user-ul4rg6xd3v
    @user-ul4rg6xd3v 6 місяців тому

    Noma sana

  • @user-uy5kx6mk4y
    @user-uy5kx6mk4y 5 місяців тому +1

  • @EliyaPatrick-cn8gw
    @EliyaPatrick-cn8gw 3 місяці тому +1

    Huyo jamaa yupo safi hajikwezi, aendelee kuwa mbunifu atafkia malengo asio yatarajia

  • @Swahili14
    @Swahili14 9 місяців тому +8

    Huyu brother atafika mbali sana
    Ana akili na hekima ya kuongea ❤️🔥
    It seems like Misso misondo anawakubali WCB
    Mana ile mix ya honey beat lake ni 🔥🙌🏿🤣🤣🤣

  • @Fundnlly
    @Fundnlly 9 місяців тому +2

    Yani umejibu vizuri sana

  • @user-lt4ou1tu6s
    @user-lt4ou1tu6s 9 місяців тому +4

    nyie ni wasenge mnasema alicho kifanya harmonize kwa miso misondo afu kwenye video hamna chochote qmmke

  • @JovinusJoakim-f4z
    @JovinusJoakim-f4z 5 місяців тому +1

    Kwel dogo anaweza anayekataakatae sema watanzania unafiki bahali.

  • @hajinambuta1792
    @hajinambuta1792 9 місяців тому +4

    Dogo anajua kujibu maswali ya mtego

  • @HadijaRashidi-q9j
    @HadijaRashidi-q9j 24 дні тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @swelehemkumba5007
    @swelehemkumba5007 9 місяців тому +3

    Mwandishi Rudi shule ukasome Bado sana hujajua kumhoji mtu ww ni mgombanishi.

  • @MizzoFighter
    @MizzoFighter 8 місяців тому +1

    Watu wakusini bendela tumekukadhi wew kwahyo watembezee bendela mpaka mwisho

  • @MwanadiaSaid
    @MwanadiaSaid 3 місяці тому +1

    kwan missomisondo n msanii..?

  • @Kassimngonyani
    @Kassimngonyani 9 місяців тому +1

    Hongera sana dogo

  • @BoscoDunia-gb6co
    @BoscoDunia-gb6co 9 місяців тому +2

    Miso misondo nitakupa dada

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk 9 місяців тому +7

    Miniliwapenda toka nilipowaona sikuyakwaza

  • @danielshauri9054
    @danielshauri9054 9 місяців тому +3

    Niliwakubal tangu nilipoona video yao ya Kwanza mtandaon Sanaa n ubunifu

  • @RamadhanMbura
    @RamadhanMbura 9 місяців тому +2

    Nnacho Kushauri Dogo Hata Kama Umekuja Mjini Usije Ukawatenga Wale Jamaa Wa Makoti Machafu Wale Ndiyo Wamefanya Uonekana na Kujulikana Zaidi Ile Staili Ndiyo Itakutoa Kimaisha Zaidi

  • @henrysangiwa1731
    @henrysangiwa1731 9 місяців тому +5

    Ila usije tu ukam.... Mtoto a watu 😅😅😅

  • @user-tc4vy4bw3q
    @user-tc4vy4bw3q 9 місяців тому +3

    Kila kitu nimuda ivyo kazi kazi familia

  • @user-mw9qh7to3y
    @user-mw9qh7to3y 9 місяців тому +1

    Brother good game

  • @nassibhassanali5082
    @nassibhassanali5082 9 місяців тому +1

    Kusin rahaaa

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 9 місяців тому +3

    Hawa waandishi kavu kweli uchonganishi tu

  • @YonaSimon-um9cj
    @YonaSimon-um9cj 9 місяців тому +4

    Nimependa majibu yako misomissondo

  • @MarkoLyimo-ny9ku
    @MarkoLyimo-ny9ku 8 місяців тому

    Safi sana vijana mpo vizuri

  • @user-pb3ho7zr4x
    @user-pb3ho7zr4x 8 місяців тому +1

    Dg anaweza mashine ya kaz

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 місяців тому

    Asante Dr Kumbuka❤❤

  • @misifaskills745
    @misifaskills745 8 місяців тому +1

    Nmependa namna anavojibu mwaswali ya wanafiki wanaojiita watangazaji wana maswali ya kimtego na Kuchonganisha watu ila dogo anazani atakuwa ashapewa darasa la namna ya kukwepa maswali la kinafiki.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 9 місяців тому +3

    ✌️👍👊.

  • @FidostAžižAbre
    @FidostAžižAbre 9 місяців тому +1

    Mimi napeda sasana misisodo asiashe

  • @user-fv1df4xe4q
    @user-fv1df4xe4q 9 місяців тому +1

    Ongera sana tupo nyuma Yako

  • @MbongoBoy-yg9tq
    @MbongoBoy-yg9tq 9 місяців тому +1

    Yupovzr

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn2104 9 місяців тому +1

    Good young man

  • @Johnsonizdory-ql9lw
    @Johnsonizdory-ql9lw 9 місяців тому +4

    muandishi maswali ya kinfki

  • @mussahosseni8229
    @mussahosseni8229 9 місяців тому +3

    Yan waandish wa habari ni wanafiki

  • @Kingdenis_crocodile
    @Kingdenis_crocodile 8 місяців тому +1

    Hatar

  • @user-bg2yc4kw9k
    @user-bg2yc4kw9k 7 місяців тому +1

    Ata mm hawajamaa siwaelewi

  • @JulitaCharles-lf7xl
    @JulitaCharles-lf7xl 9 місяців тому +3

    Sad sanaa

  • @user-pj8wv6gy4h
    @user-pj8wv6gy4h 7 місяців тому

    God God

  • @muksinjuma4685
    @muksinjuma4685 9 місяців тому +4

    Watoto wa ntwara wanafujoo😅

  • @LutiMahimbo-bt9nk
    @LutiMahimbo-bt9nk 8 місяців тому +1

    Umefunga mwaka kijana

  • @buberwarugaiganisa5190
    @buberwarugaiganisa5190 8 місяців тому +1

    Waandishi mnazingua saana

  • @salumumohamed8490
    @salumumohamed8490 9 місяців тому +1

    Pia hat huyu Alie andika hajazingatia matamsh ya uhandish wake Head line harmonize maelez tofaut