Waandishi hawana maswali wanauliza uzushi ili kutengeneza tofauti .. hongera dogo kwa majibu mazuri hawa ni wachawi hawa nuksiii sana hawa waandish wetu
Kuna wasanii wengi wakubwa ukiskiza interview zao utaona kbsa namna wanavyojibu maswali na kuzngumza kuna vile wanakosa flow nzuri y kujibu maswali.. Dogo anaflow nzuri sana y kuzungumza n kujibu maswali. Nimemskiza kw makini sana yani.. hongera zakee 👏👏👏
Kijana unajua kujibu vizuri Kwa ufass huna unafiki mungu akutanguli Kwa mambo yote unayo ya fanya Tena mazuri Skype baraka tele usije kuja kujisahau pesa mbele majibu mkAto
Kumbuka nakukabidhi dogo huyo msaidie asitengane na madancers wewe chukua uongozi hapo ucwe kama wakina fulani wenye roho kubwa watakuja kujifanya wameokota kumbemaokoto ndio lengo lao niletee kima hao niwa panguse
Huyu brother atafika mbali sana Ana akili na hekima ya kuongea ❤️🔥 It seems like Misso misondo anawakubali WCB Mana ile mix ya honey beat lake ni 🔥🙌🏿🤣🤣🤣
Nnacho Kushauri Dogo Hata Kama Umekuja Mjini Usije Ukawatenga Wale Jamaa Wa Makoti Machafu Wale Ndiyo Wamefanya Uonekana na Kujulikana Zaidi Ile Staili Ndiyo Itakutoa Kimaisha Zaidi
Nmependa namna anavojibu mwaswali ya wanafiki wanaojiita watangazaji wana maswali ya kimtego na Kuchonganisha watu ila dogo anazani atakuwa ashapewa darasa la namna ya kukwepa maswali la kinafiki.
Dogo upo fresh kwa kujibu maswali awo jamaa awajui wanacho kuuliza zaidi ya maswali ya mitego na kukuchonganisha na wenzio ❤
❤
Waandishi hawana maswali wanauliza uzushi ili kutengeneza tofauti .. hongera dogo kwa majibu mazuri hawa ni wachawi hawa nuksiii sana hawa waandish wetu
Uyu mwandishi msenge kinoma yani
Cdhani Kama anamarinda
@@jonijomk3107😂😂😂😂 dah we jamaa
Dogo anajua sana mungu amzidishie
Big up san Kwanza unajitambua san god bless you
Doctor kumbuka nakukubali sana umeongea point. Hila tambua huyo ni km mwanao hakikisha hasitoke nje ya reli. Aka feli.
Hongera nimependa majibu yako unajibu kimakini Sana big up💪💪
Huyu jamaa ni mutu muzima anajuwa jibu🎉
Mungu akiamua kukupa anakupa Kwa wakati sasa ni wakati wao Kwa Sasa .
mungu hamtupi mjawake kila jambo nawakati wake ongera sana
Uko vizur broo kazi yako na ray ni nzuri sana hongera
l
Vijana Naon Wamekuja Kihukwel Kikubw Wapamban Na Wasilew Sifa🎉🎉🎉🎉
Miso Missondo Wametikisa Mji Kweli Kikubw Wafany Kazi Iliyowaleta Mjini Wasilew Sifa Mungu Awatanguliye Kweny Safar Yaho🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Miso nakuelewa sana kuwa makini na waandishi hao watakugombanisha na watu
Unyamaa Yani zaidimsee..miso on top
Kuna wasanii wengi wakubwa ukiskiza interview zao utaona kbsa namna wanavyojibu maswali na kuzngumza kuna vile wanakosa flow nzuri y kujibu maswali.. Dogo anaflow nzuri sana y kuzungumza n kujibu maswali. Nimemskiza kw makini sana yani.. hongera zakee 👏👏👏
Uyu ndio misso misondo tunamkubali sana kwetu msumbiji kuzidi
Kweli waandishi wa habari hawana mamb yakuuliza wanachonganish watu tu hawa
Kijana unajua kujibu vizuri Kwa ufass huna unafiki mungu akutanguli Kwa mambo yote unayo ya fanya Tena mazuri Skype baraka tele usije kuja kujisahau pesa mbele majibu mkAto
Dogo anajua ninamkubali sana ,Mungu amsaidie atimize malengo yake
Miso misondo🔥🔥🔥unaitisha saana dogo
Jamaa yupo active sana kichwan
Maswali gan nyie uyo dogo ana fight afike mbali.
Kweli dogo Yuko makini sana mungu ampiganie sana maana wanga ni wengi ❤
Safi sana ,kilichobaki upate muda wa kutumia mixa za kisasa zaidi ya laptop unazotumia
Ukimpa mashine huyo unamfelisha. Aendelee kutumia laptop yake. 😂
Dj yupo VIZUR maswali ya kuleta mgongano unayakataa vizuri..Huna baya keep it up
Kweli maan kuna dj collaz ndo father wenu kusin yoteeee..
Huyo collaz labda mkongwe tu
Nimeona ngoma zake video kama nne tofauti hatii mguu hapa
I real appreciate misondo
#The home drum#🤝😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Mwandishi msenge kinoma yani
Mbna mtangazaji maswal yako ya kinafiki kwel...mbn mchanganishi....umemzoea meneja wew...ujibiwe Mpka upaliwe na mate...
Timu COLLA like hapa..
MAJIBU MAZUR
Anajibu vizur kiutu uzima 🤣
Nawapenda sana wasanii wakale,wasasa ni pumba mchele tuliupika na tunazidi kuhuchehuwa.Big up sana bongo za kitanbo.
Misso nakukubali sana ushatoboa tyr❤❤❤🎉🎉🎉
Miso yoko powa sana
Dj ally b anapiga miluzi kama anaitwa mbwa 😂😂nmecheka
Miso misondo anaakili saana kwahyo kazi yake hajakurupuka na mkubali saana, good answers bless saanaaa🙏🙏🙏
Kuna sangula kali Sanaa big up misondo🎉
Happiness sangula ya wapi?
Mwandishi kuwa makini na maswali yako please🙏 husimchonganishe mtoto wawatu haonekanike mbaya kwa ajili yako
Waandishi wasio jielewa nn kazi zao
kweli kabisa waandishi sio watu wazuri maswali yakichonganishi ila nimempenda dogo anajishusha sana
Ety nyimbo nyimbo anatoa na rayvanny ana muweka harmonize hii media
Nimekupenda binafsi unavyojibu maswali vizuri kwakujiamini hongera hiki ni kipindi chako cha kutrend.
Umepigaje apo?????
miso misondo unatisha sana
Take care bro
Miso majibu yako nondo nimekubali❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Waandish wengi mnamaswal ya hovyo maswal gan ayo
Safi
Nimekubali kbx miso misondo
Hawa waandishi wetu ukijibu maswali bila akili unaweza kujikuta unajiingiza kwenye mtego pasipo kujua
Dk kumbuka angalia asipotezwe au kuchukuliwa nyota yake kamasonder tz
Dogo anajibu vizuri sana
Majibu yako yako powa sana kijna
Dogo aisee mungu akupiganie ❤❤
Umetisha san dj miso
Awo wadishii sasa
4:52 4:54
Yupo vzr sana vabe tu noma
Kumbuka nakukabidhi dogo huyo msaidie asitengane na madancers wewe chukua uongozi hapo ucwe kama wakina fulani wenye roho kubwa watakuja kujifanya wameokota kumbemaokoto ndio lengo lao niletee kima hao niwa panguse
Umeuwa
Respect
Miso missondo nimekubali
🔥🔥🔥🔥🔥🥂🔥🙄🔥
Noma sana
❤
Huyo jamaa yupo safi hajikwezi, aendelee kuwa mbunifu atafkia malengo asio yatarajia
Ok, ahsante
Huyu brother atafika mbali sana
Ana akili na hekima ya kuongea ❤️🔥
It seems like Misso misondo anawakubali WCB
Mana ile mix ya honey beat lake ni 🔥🙌🏿🤣🤣🤣
Yani umejibu vizuri sana
nyie ni wasenge mnasema alicho kifanya harmonize kwa miso misondo afu kwenye video hamna chochote qmmke
Kwel dogo anaweza anayekataakatae sema watanzania unafiki bahali.
Dogo anajua kujibu maswali ya mtego
❤❤❤❤❤
Mwandishi Rudi shule ukasome Bado sana hujajua kumhoji mtu ww ni mgombanishi.
Watu wakusini bendela tumekukadhi wew kwahyo watembezee bendela mpaka mwisho
kwan missomisondo n msanii..?
Hongera sana dogo
Miso misondo nitakupa dada
Miniliwapenda toka nilipowaona sikuyakwaza
Niliwakubal tangu nilipoona video yao ya Kwanza mtandaon Sanaa n ubunifu
Nnacho Kushauri Dogo Hata Kama Umekuja Mjini Usije Ukawatenga Wale Jamaa Wa Makoti Machafu Wale Ndiyo Wamefanya Uonekana na Kujulikana Zaidi Ile Staili Ndiyo Itakutoa Kimaisha Zaidi
Ila usije tu ukam.... Mtoto a watu 😅😅😅
Kila kitu nimuda ivyo kazi kazi familia
Brother good game
Kusin rahaaa
Hawa waandishi kavu kweli uchonganishi tu
Nimependa majibu yako misomissondo
Safi sana vijana mpo vizuri
Dg anaweza mashine ya kaz
Asante Dr Kumbuka❤❤
Nmependa namna anavojibu mwaswali ya wanafiki wanaojiita watangazaji wana maswali ya kimtego na Kuchonganisha watu ila dogo anazani atakuwa ashapewa darasa la namna ya kukwepa maswali la kinafiki.
✌️👍👊.
Mimi napeda sasana misisodo asiashe
Ongera sana tupo nyuma Yako
Yupovzr
Good young man
muandishi maswali ya kinfki
Yan waandish wa habari ni wanafiki
Hatar
Ata mm hawajamaa siwaelewi
Sad sanaa
God God
Watoto wa ntwara wanafujoo😅
Umefunga mwaka kijana
Waandishi mnazingua saana
Pia hat huyu Alie andika hajazingatia matamsh ya uhandish wake Head line harmonize maelez tofaut