Acha ujinga wewe... Ela ela tu.... Ela ya heshima ndio hela gani?.. Hio million 1 anaweza Asipate hata boda boda mbovu, hizo Milion 10 angepata Carina yake Au Rav 4 Yake safi Bora hio million 10 wangefumba macho wakampa tu kamanda, sidhan kama atarudia hilo kosa
WaTanzania ni wagumu kuelewa angepokea million 10 wangegawana na mwenzie mil5 tano kila mmoja kaikacha million 4 kapanda cheo pia mshahara umeongezeka kubwazaid Imani imezidi kuongezeka jeshini ambayo ni kitu kikubwa mno zaid ya million 10 kupanga ni kuchaguaa
Yaani hongera sana kwa nidhamu uliyofanya ila ingekuwa ni mimi ningeipokea na kazi nafanya vinzuri tuu naangalia haki iko wapi maana sijamwomba mtu anipe hela
Hongera sana, pesa umepewa na cheo umepandiahwa . Hata kama ni kidogo lakini saa hii watajua cheo ni dhamana. Sitapokea wala kutoa rushwa. Je mumesahau kanuni?
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Huyu afande hakutarajia kupewa hela kama zawadi, kwahivyo mil. 1 si hasara kwake, Mimi nime furahishwa sana na tendo lake LA kukataa rushwa, kizazi chake kitabarikiwa zaidi maana rushwa kati ya watu wawili huaathiri wanainchi kadhaa. Love from Nairobi.
Uchukue m10 kwa ajili ya kudhulumu bado hizo fedha hazinge msaidia chochote zinge ishia tu njiani. Na bado kwa Mungu moto unakusubiri. Kula vya halali na Mungu atakuzidishia. Sasa hivi huyu afande atapata hizo 10m kupitia cheo chake kwa jasho lake. Kweli Magu husema mtangulize Mungu
Kisaikolojia Hizi Msg Ndio Kipimo cha Kujua Watanzania Wanaopenda Rushwa Tunashauri Watu Wapewe Elimu ya Athari za Rushwa ili Watu Wasiendelee Kuteseka Jela Japo Wanapata Misamaha ya Raisi ila Watoa Rushwa Jmn Hadi Mapolisi Wanashiriki Tz Hii Nchi MUNGU Atusaidie...
Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo
Hayo ni maigizo tu,aliyetoa mbona sina taarifa yake?ye simkosaji hukumu ya kutoa rushwa inasemaje,na angesema amekula ngapi ili atubu na makosa mengine yoote au mnaonaje jamani
Huyo ashakuwa mzee ni sawa tuu awe na kitambi sababu hakuna kazi ngumu itakayomshughulisha huwezi kumuona akikimbizana na mwizi hizo zote ni kazi za askari wadogo. Ndio maana unaona wazee wengi ndio wenye vitambi ashakuwa boss huyo hana shida
Ni jambo la kijasiri sana kwa huyu askari, unajua maana ya zawadi! Zawadi sio mafao, kukataa kupokea rushwa ni moja viapo anavyoapa askari ama mtumishi yoyote wa umma, kwa hiyo askari huyo alitimiza kiapo chake kwa vitendo. Pamoja na kudhani kuwa amepewa kiasi kidogo sana, askari huyo amejijengea imani kubwa katika jamii, pia rank aliyopandishwa kwake ina manufaa ya muda mrefu katika maisha yake. Kwa hiyo binafsi nampongeza sana cha kukataa rushwa na pia nampongeza afande IGP kwa kutambua mchango na ujasiri mkubwa wa huyo askari kisha kumpongeza na kumzawadia zawadi mbalimbali pia kumpandisha cheo. Kama angechukua hiyo rushwa haki za wengine zingeishia hapo.
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Kwendraaaaa! Uonevu tu kwa huyo mliemfukuza kazi! Hakuna askari asiyekula rushwa ila mmemuonea tu ila ......time will tell! Halafu na huyo kamanda simpendi jamani acheni tuu! Aachane na polisi aende kwenye siasa
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo
irony anastahili hatutembeleee kenya ili hajue kuchukua hongo .kwanza millioni kumi unakataaa aje alafu kisha baadaye anapewa millioni moja si hyo n hasara wadau
Mungu atampa zawadi zaidi ya milioni kumi.
Kabisa
Kwa hiyo inakuwa kapata Hasara ya Mil. 9.
Jawazi Issa 😂😂😂😂😂😂😊😁😁
😂😂😂
😃😃😃
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa dah
Hahahahahahahaha
Kuna watu wana Mapenzi na nchi yao.!! MABWEGE watamuona Fala. Ningekuwa tajiri ningemuongezea Zawadi.
Aloyce Kiwia
Hajapata hasara, uzalendo una heshima na amepanda cheo pia amejenga uaminifu mkubwa. alichotengeneza hapo ni zaidi ya milioni 10
Hayajakukuta Wewe usiongee😂😂
Safi Sana hii ndio heshima Mungu akupe moyo wauzalendo Kama huo balikiwa Sana
Chanda chema huvikwa Pete hongera sana afande
milion moja ya kupewa kwa heshima ni bora kuliko milioni kumi
Kabix
@@musajanlamusajanla4617 hiyo in kweli kabisa, hela ambazo hazina laana ni bora hatakama ni kidogo,Mimi ni Mkenya na tazama nikiwa Niarobi
Acha ujinga wewe... Ela ela tu.... Ela ya heshima ndio hela gani?..
Hio million 1 anaweza Asipate hata boda boda mbovu, hizo Milion 10 angepata Carina yake Au Rav 4 Yake safi
Bora hio million 10 wangefumba macho wakampa tu kamanda, sidhan kama atarudia hilo kosa
Inakuja milioni moja na cheoo
Dahh nimekumbuka kambi ya new line miaka hiyo tulikikua tukiishi kweli maisha yana songa umeme ulikua bure maji bure nyumba bure huku mtaani sasa
Huyu kwa uwadilifu wake mungu kamketisha pamoja na wakuu da ni fulaha sana make hata mshahara utapanda
WaTanzania ni wagumu kuelewa angepokea million 10 wangegawana na mwenzie mil5 tano kila mmoja kaikacha million 4 kapanda cheo pia mshahara umeongezeka kubwazaid Imani imezidi kuongezeka jeshini ambayo ni kitu kikubwa mno zaid ya million 10 kupanga ni kuchaguaa
Kitu kibaya ni kuwa Imani hailiwi.
Hahahaaa
Inahitaji IQ kubwa sana kulielewa hili jambo hapa ulilolizungumza....
@@jawaziissa8213 kweli kabisa ila inaleta ugali maharage ukitaka ikiongezeka sana huleta wali kukuu #kupanga_ni_kuchaguaaa
@@eriqemarson2362 kabisa wenye fikra za kula kulala hawawezi elewaaa
Yaani hongera sana kwa nidhamu uliyofanya ila ingekuwa ni mimi ningeipokea na kazi nafanya vinzuri tuu naangalia haki iko wapi maana sijamwomba mtu anipe hela
Wazarendo bado wapo wenye spirit ya viapo na nchi bado wapo
Safi Sana huyu ndie alie timiza ahadi ya kiapo Chake😀🙏🙏🙏
Amekunywa maji ya bendera afande inahitaji ujasiri sana binafsi namppngeza sana
Hapo na cheo juu na cheo kikipanda na mkwanja unapanda
Heli M.1 ya Harali na heshima kuliko M.10 za Udhalimu
Naam, na cheo kupandishwa
Kapata faida Sana Kwan alikuwa sugent,,kapandishwa mpaka staff station sugent mshahara mkubwa
Million 1 inazidi mshahara wake 😎au nimesikia vibaya
Ndio inazidi mshahala wake
@@ramadhanyusuph2324 how
Nusura Kajubu 1
Hongera sana, pesa umepewa na cheo umepandiahwa . Hata kama ni kidogo lakini saa hii watajua cheo ni dhamana. Sitapokea wala kutoa rushwa. Je mumesahau kanuni?
Comments zingine ni za kijinga. Eti kapata hasara ya 9m
Msilaumu huyo kunawatu hawapendi haki
Hapo sasa, siwamezoea kula vya halamu hao
Kitambi meneja hahahah,asikar tumbo lote hilo
msangi msangi hahahahaa noma kweliiiiiiii kamanda kitambi hichoooo
Msangi
Ashu Ashu nambieee
Hajapoteza bahati kama alivyokataa na akajulikani na je angekubali si angekua hana kazi kabisa kapandishwa cheo na zawadi juu
Leticia Ndiyo 😗
Hongera kamanda ila afande RPC mhhh kitambi hicho
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Kama walikuwa wawili aliepata cheo alichoma utambi kwa kiongozi wao .
Uyo aliefukuzwa alikuwa anamshawishi uyu alipandishwa cheo achukuwe iyo ela wagawane amekataa ndiyo maana kapewa zawad.
Kachomewa Na mwenzake
@@africanmandetraveler2847 Ndio vizuri maana walizoea enzi zile za JK.
Hongera we ni mfano wa kuigwa
Duh!polisi mshahara wao hauzidi million ,Noma Sana basi hapo Rushwa kuisha ni tabu Sana .
Naipongeza serikali kwa ilichokifanya... Ni vizuri sana kuwapa pongezi wale wanaofanya mambo yenye tija ktk taifa hii Inaleta Motisha
Usipoangalia unaweza kufa maskini🤣🤣🤣
Huyu afande hakutarajia kupewa hela kama zawadi, kwahivyo mil. 1 si hasara kwake, Mimi nime furahishwa sana na tendo lake LA kukataa rushwa, kizazi chake kitabarikiwa zaidi maana rushwa kati ya watu wawili huaathiri wanainchi kadhaa. Love from Nairobi.
Safi Costebo
Dah kwl watu wananguvu kakataaa milion 10 kapewa 1
Kapanda cheo pamoja na milioni moja tu, big up
Hongera sn
Safi Sana amempendeza mungu nawanadamu pia mwaminifu safi
Asante sana
NAKUMBUKA 824KJ ,.....HUO NDYO UZALENDO....LAZIMA HESHIMA NA NIDHAMU IWE JUUU,THIS IS A NEW TANZANIA WE CAN, WE WILL, WE MUST!!
Ulikuwa hapo mwaka gani ?.
Jofrey Muhando 2016.....under Mr RCM kitundu,,,,,,
Kapandishwa cheo uyoo m.mungu aendelee kuwafany waepukane na majalibu amen
..hiyo ni motisha tu..siyo compensation,.. Tunafurahi amekataa rushwa
Kapata hasara kubwa......!! Mpaka na Dhambi kapata
Umenenepa sana wana mwanza tumekumiss
Samwel Robert ok
Safi sana .
kudos
afande n mm nimeacha rusha ya ahilling milion mia kwaio nileteee millin mbili zaangu
Kama umeona askar anepoteza bahati like hapa😁😁
Milion zinazidi mshaharaaaaaaaaahhhh mamaaaaaaaaahhhh tena sn kasema means mbali
Hiyo afande alijua ni setup ndomana kakataa hakuna anaekataa hela kwa mshahara wa kiTanzania
Ndo maana rushwa haiishi kama msharaha haufiki 1ml jamani kazi wanafanya kubwa wapewe mishahara mikubwa.
Duuuuhhh kwahiyo hawo wote hajafanya Vizuri maana yakee
Uchukue m10 kwa ajili ya kudhulumu bado hizo fedha hazinge msaidia chochote zinge ishia tu njiani. Na bado kwa Mungu moto unakusubiri. Kula vya halali na Mungu atakuzidishia. Sasa hivi huyu afande atapata hizo 10m kupitia cheo chake kwa jasho lake. Kweli Magu husema mtangulize Mungu
Kisaikolojia Hizi Msg Ndio Kipimo cha Kujua Watanzania Wanaopenda Rushwa Tunashauri Watu Wapewe Elimu ya Athari za Rushwa ili Watu Wasiendelee Kuteseka Jela Japo Wanapata Misamaha ya Raisi ila Watoa Rushwa Jmn Hadi Mapolisi Wanashiriki Tz Hii Nchi MUNGU Atusaidie...
HONGERA SANA KIJANA ILA CHEO AONGEZEWE
Opportunity Cost.......
haahahaahaaaa si angechukua hyo 10 ona sasa apewa moja khaa
Seriously..... 1m only????
Kupanda cheo ni zaidi ya 1 M
Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo
Mke wake kweli atampokea vzuti maana amepiga za kutoa sio kujumlisha.labda
Bola milioni 1 yahalali kuliko milioni 10 yalawama
Hayo ni maigizo tu,aliyetoa mbona sina taarifa yake?ye simkosaji hukumu ya kutoa rushwa inasemaje,na angesema amekula ngapi ili atubu na makosa mengine yoote au mnaonaje jamani
Sasa ndugu yang wewe ni TAKUKURU mpaka wakuelee taarifa 😂
Nawew meshaki saiv itaitwa afande hahahaha
Huu ni ujinga sasa. Mil10 unakataa afu unakubali mil1 .niugonjwa wa akili au kujikomba
Vipi angekubali ikajulikana nabla hata ajachukua
Unaonekana unapenda sana rushwa wewe
Jamni paulo pole
Wekeni picha ya paulo
Nzur hio uzarendo kwanza
Hasar ya kujitakia
Daaah kwahiyo kapata hasara milion 9...😂
Hahahaha napitazangu tu
Bora
Milioni 1 ndio nini
Hivi askari anakuwaje na kitambi?
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Huyo ashakuwa mzee ni sawa tuu awe na kitambi sababu hakuna kazi ngumu itakayomshughulisha huwezi kumuona akikimbizana na mwizi hizo zote ni kazi za askari wadogo. Ndio maana unaona wazee wengi ndio wenye vitambi ashakuwa boss huyo hana shida
@@rusakanyohenry6932 r
Si analala kwake
Ni jambo la kijasiri sana kwa huyu askari, unajua maana ya zawadi! Zawadi sio mafao, kukataa kupokea rushwa ni moja viapo anavyoapa askari ama mtumishi yoyote wa umma, kwa hiyo askari huyo alitimiza kiapo chake kwa vitendo. Pamoja na kudhani kuwa amepewa kiasi kidogo sana, askari huyo amejijengea imani kubwa katika jamii, pia rank aliyopandishwa kwake ina manufaa ya muda mrefu katika maisha yake. Kwa hiyo binafsi nampongeza sana cha kukataa rushwa na pia nampongeza afande IGP kwa kutambua mchango na ujasiri mkubwa wa huyo askari kisha kumpongeza na kumzawadia zawadi mbalimbali pia kumpandisha cheo. Kama angechukua hiyo rushwa haki za wengine zingeishia hapo.
Waziri Makua.... umesema vema sana ndugu!
Bado barabarani mhuu!.
Nakupongeza afande kwa uzalendo kama wa raisi magufuli
Aliyefukuzwa nampa pole sana!! Aje kilombero sokoni huku tupige kazi!! Huku tunakula kwa jasho tena lile la chumvi....
Kazi gani huko mkuu ..tuambiane fursa
Cassy August Mambo ya mavibega mkuu 😢
Zinazidi mshahara wake dah!
Polishi, rusha.
Jpm huyo ndio anafaa kuwa bosi wa takukuru
Ameongezewa ugali . Mbavu iyo. Ni
Si bora angelipewa hizo mil 10 Ambazo alikataa.!!!
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Hahahaha kweli
Usiipangie serikali kapandishwa cheo na mshahara umepanda hiyo ml kumi inakwisha ndani ya siku mbili tu hicho walichokifanya ni zaidi ya ml kumi
Subhanalha..chahalamu.hakiliki.borakakataaa.cku.zoooote.tumuombe.Mungu.vyahalali..na.atunusulishe.na.halam.nyie.dini.gani.
Kwendraaaaa! Uonevu tu kwa huyo mliemfukuza kazi! Hakuna askari asiyekula rushwa ila mmemuonea tu ila ......time will tell! Halafu na huyo kamanda simpendi jamani acheni tuu! Aachane na polisi aende kwenye siasa
Aisee mbona hana uchang'amfu alijua atapewa zaidi au
Big up afande wetu. Umetisha saana
Ulivyoandika tuu ilionyesha wazi unachuki binafsi. Unazungumzia uonevu kama vile wewe muhisika😂😂😂😂
Kibabu Insta a
Kibabu Insta mambo
Pumbavu mkubwa huyu afande, nchi yenyewe iyi anakataa milioni 10... Subutu..
Mm mgeni
Boya kweli huyu
Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.
Bora kidogo cha halali kuliko kikubwa cha haramu
😂😂😂😂 weeeee
Alafu eti jina lako ni Islam. Dah.!!??🤔
NA WEWE MWENYEWE UMESHIBA MAPESA MBONA KWA RUSHWA NYINGI DUU MILIONI MOJA NI NINI KWA ATASAMAKI HUMPATI
Yaani mi mtu anayeitwa police simkubali hata kidogo wamejaa tamaa na uonevu
Huyo ni bwege.....Unakataa almas unapewa chuma...
Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo
@@rusakanyohenry6932 shukhurani ndugu yangu kwa logic kubwa iliyofnya nione nimeandika ujinga....
irony anastahili hatutembeleee kenya ili hajue kuchukua hongo .kwanza millioni kumi unakataaa aje alafu kisha baadaye anapewa millioni moja si hyo n hasara wadau