ASKARI ALIEKATAA RUSHWA YA MILIONI 10 APEWA MILIONI MOJA NA IGP, MWINGINE AFUKUZWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 168

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 4 роки тому +19

    Mungu atampa zawadi zaidi ya milioni kumi.

  • @jawaziissa8213
    @jawaziissa8213 4 роки тому +51

    Kwa hiyo inakuwa kapata Hasara ya Mil. 9.

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 4 роки тому +23

    Kuna watu wana Mapenzi na nchi yao.!! MABWEGE watamuona Fala. Ningekuwa tajiri ningemuongezea Zawadi.

    • @nsiamassawe3075
      @nsiamassawe3075 4 роки тому +1

      Aloyce Kiwia
      Hajapata hasara, uzalendo una heshima na amepanda cheo pia amejenga uaminifu mkubwa. alichotengeneza hapo ni zaidi ya milioni 10

    • @iffahbahet1499
      @iffahbahet1499 4 роки тому +2

      Hayajakukuta Wewe usiongee😂😂

    • @alisenipeter4307
      @alisenipeter4307 4 роки тому +1

      Safi Sana hii ndio heshima Mungu akupe moyo wauzalendo Kama huo balikiwa Sana

  • @aginesisayakomba5685
    @aginesisayakomba5685 4 роки тому +6

    Chanda chema huvikwa Pete hongera sana afande

  • @mohamedbushoberwa9418
    @mohamedbushoberwa9418 4 роки тому +17

    milion moja ya kupewa kwa heshima ni bora kuliko milioni kumi

    • @musajanlamusajanla4617
      @musajanlamusajanla4617 4 роки тому +1

      Kabix

    • @justooluoch2468
      @justooluoch2468 4 роки тому +1

      @@musajanlamusajanla4617 hiyo in kweli kabisa, hela ambazo hazina laana ni bora hatakama ni kidogo,Mimi ni Mkenya na tazama nikiwa Niarobi

    • @yusufkechbow8153
      @yusufkechbow8153 4 роки тому

      Acha ujinga wewe... Ela ela tu.... Ela ya heshima ndio hela gani?..
      Hio million 1 anaweza Asipate hata boda boda mbovu, hizo Milion 10 angepata Carina yake Au Rav 4 Yake safi
      Bora hio million 10 wangefumba macho wakampa tu kamanda, sidhan kama atarudia hilo kosa

    • @emmanuelbonifase1114
      @emmanuelbonifase1114 4 роки тому

      Inakuja milioni moja na cheoo

  • @saidmsuya9420
    @saidmsuya9420 4 роки тому +4

    Dahh nimekumbuka kambi ya new line miaka hiyo tulikikua tukiishi kweli maisha yana songa umeme ulikua bure maji bure nyumba bure huku mtaani sasa

  • @weremawangwe6922
    @weremawangwe6922 4 роки тому +4

    Huyu kwa uwadilifu wake mungu kamketisha pamoja na wakuu da ni fulaha sana make hata mshahara utapanda

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 4 роки тому +8

    WaTanzania ni wagumu kuelewa angepokea million 10 wangegawana na mwenzie mil5 tano kila mmoja kaikacha million 4 kapanda cheo pia mshahara umeongezeka kubwazaid Imani imezidi kuongezeka jeshini ambayo ni kitu kikubwa mno zaid ya million 10 kupanga ni kuchaguaa

    • @jawaziissa8213
      @jawaziissa8213 4 роки тому +2

      Kitu kibaya ni kuwa Imani hailiwi.

    • @hemedhamis1652
      @hemedhamis1652 4 роки тому +1

      Hahahaaa

    • @eriqemarson2362
      @eriqemarson2362 4 роки тому +2

      Inahitaji IQ kubwa sana kulielewa hili jambo hapa ulilolizungumza....

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 4 роки тому

      @@jawaziissa8213 kweli kabisa ila inaleta ugali maharage ukitaka ikiongezeka sana huleta wali kukuu #kupanga_ni_kuchaguaaa

    • @salymkitumbika8644
      @salymkitumbika8644 4 роки тому

      @@eriqemarson2362 kabisa wenye fikra za kula kulala hawawezi elewaaa

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 11 місяців тому

    Yaani hongera sana kwa nidhamu uliyofanya ila ingekuwa ni mimi ningeipokea na kazi nafanya vinzuri tuu naangalia haki iko wapi maana sijamwomba mtu anipe hela

  • @georgeisdoryisdory6989
    @georgeisdoryisdory6989 4 роки тому +3

    Wazarendo bado wapo wenye spirit ya viapo na nchi bado wapo
    Safi Sana huyu ndie alie timiza ahadi ya kiapo Chake😀🙏🙏🙏

    • @aginesisayakomba5685
      @aginesisayakomba5685 4 роки тому

      Amekunywa maji ya bendera afande inahitaji ujasiri sana binafsi namppngeza sana

  • @daudijohn609
    @daudijohn609 4 роки тому +10

    Hapo na cheo juu na cheo kikipanda na mkwanja unapanda

  • @erad-tv5001
    @erad-tv5001 4 роки тому +3

    Heli M.1 ya Harali na heshima kuliko M.10 za Udhalimu

  • @jasonbahath6570
    @jasonbahath6570 4 роки тому +2

    Kapata faida Sana Kwan alikuwa sugent,,kapandishwa mpaka staff station sugent mshahara mkubwa

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 4 роки тому +6

    Million 1 inazidi mshahara wake 😎au nimesikia vibaya

  • @delorisdaniel194
    @delorisdaniel194 4 роки тому

    Hongera sana, pesa umepewa na cheo umepandiahwa . Hata kama ni kidogo lakini saa hii watajua cheo ni dhamana. Sitapokea wala kutoa rushwa. Je mumesahau kanuni?

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +8

    Comments zingine ni za kijinga. Eti kapata hasara ya 9m

    • @karimabdul3928
      @karimabdul3928 4 роки тому

      Msilaumu huyo kunawatu hawapendi haki

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 4 роки тому

      Hapo sasa, siwamezoea kula vya halamu hao

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +9

    Kitambi meneja hahahah,asikar tumbo lote hilo

    • @salumhamad1360
      @salumhamad1360 4 роки тому

      msangi msangi hahahahaa noma kweliiiiiiii kamanda kitambi hichoooo

    • @ashuashu3843
      @ashuashu3843 4 роки тому

      Msangi

    • @africa7479
      @africa7479 4 роки тому

      Ashu Ashu nambieee

  • @leticiandiyo1384
    @leticiandiyo1384 4 роки тому +7

    Hajapoteza bahati kama alivyokataa na akajulikani na je angekubali si angekua hana kazi kabisa kapandishwa cheo na zawadi juu

  • @maximillianmayani5119
    @maximillianmayani5119 2 роки тому

    Hongera kamanda ila afande RPC mhhh kitambi hicho

  • @tanzanianchiyangutaifalang8376
    @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 роки тому +8

    Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.

  • @kelvinbamuhiga2027
    @kelvinbamuhiga2027 4 роки тому +3

    Hongera we ni mfano wa kuigwa

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 4 роки тому +2

    Duh!polisi mshahara wao hauzidi million ,Noma Sana basi hapo Rushwa kuisha ni tabu Sana .

  • @mageuzimwampamba2855
    @mageuzimwampamba2855 4 роки тому +1

    Naipongeza serikali kwa ilichokifanya... Ni vizuri sana kuwapa pongezi wale wanaofanya mambo yenye tija ktk taifa hii Inaleta Motisha

  • @nohatredbutlove5786
    @nohatredbutlove5786 4 роки тому +2

    Usipoangalia unaweza kufa maskini🤣🤣🤣

  • @justooluoch2468
    @justooluoch2468 4 роки тому

    Huyu afande hakutarajia kupewa hela kama zawadi, kwahivyo mil. 1 si hasara kwake, Mimi nime furahishwa sana na tendo lake LA kukataa rushwa, kizazi chake kitabarikiwa zaidi maana rushwa kati ya watu wawili huaathiri wanainchi kadhaa. Love from Nairobi.

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 роки тому +4

    Safi Costebo

  • @jasoniplan2521
    @jasoniplan2521 4 роки тому +3

    Dah kwl watu wananguvu kakataaa milion 10 kapewa 1

  • @mako331
    @mako331 4 роки тому +1

    Kapanda cheo pamoja na milioni moja tu, big up

  • @bennychawala2776
    @bennychawala2776 4 роки тому +1

    Hongera sn

  • @whitesolwa5133
    @whitesolwa5133 4 роки тому

    Safi Sana amempendeza mungu nawanadamu pia mwaminifu safi

  • @lusajovilindila8680
    @lusajovilindila8680 4 роки тому +3

    Asante sana

  • @charlesmataba8344
    @charlesmataba8344 4 роки тому +2

    NAKUMBUKA 824KJ ,.....HUO NDYO UZALENDO....LAZIMA HESHIMA NA NIDHAMU IWE JUUU,THIS IS A NEW TANZANIA WE CAN, WE WILL, WE MUST!!

  • @valerianmakanda4269
    @valerianmakanda4269 4 роки тому

    Kapandishwa cheo uyoo m.mungu aendelee kuwafany waepukane na majalibu amen

  • @jacobmakono389
    @jacobmakono389 4 роки тому +2

    ..hiyo ni motisha tu..siyo compensation,.. Tunafurahi amekataa rushwa

  • @kuryaboytv3426
    @kuryaboytv3426 4 роки тому +2

    Kapata hasara kubwa......!! Mpaka na Dhambi kapata

  • @samwelrobert6319
    @samwelrobert6319 4 роки тому +6

    Umenenepa sana wana mwanza tumekumiss

  • @lucasshilagwa1342
    @lucasshilagwa1342 4 роки тому +1

    Safi sana .

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 4 роки тому +1

    kudos

  • @farajirashidi8186
    @farajirashidi8186 4 роки тому +2

    afande n mm nimeacha rusha ya ahilling milion mia kwaio nileteee millin mbili zaangu

  • @mwamba2875
    @mwamba2875 4 роки тому +9

    Kama umeona askar anepoteza bahati like hapa😁😁

  • @moshialois5499
    @moshialois5499 4 роки тому +1

    Milion zinazidi mshaharaaaaaaaaahhhh mamaaaaaaaaahhhh tena sn kasema means mbali

  • @snawtasnota6708
    @snawtasnota6708 4 роки тому +1

    Hiyo afande alijua ni setup ndomana kakataa hakuna anaekataa hela kwa mshahara wa kiTanzania

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 4 роки тому +2

    Ndo maana rushwa haiishi kama msharaha haufiki 1ml jamani kazi wanafanya kubwa wapewe mishahara mikubwa.

  • @edsoniminani7061
    @edsoniminani7061 4 роки тому +1

    Duuuuhhh kwahiyo hawo wote hajafanya Vizuri maana yakee

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому

    Uchukue m10 kwa ajili ya kudhulumu bado hizo fedha hazinge msaidia chochote zinge ishia tu njiani. Na bado kwa Mungu moto unakusubiri. Kula vya halali na Mungu atakuzidishia. Sasa hivi huyu afande atapata hizo 10m kupitia cheo chake kwa jasho lake. Kweli Magu husema mtangulize Mungu

  • @jimmymberesero7350
    @jimmymberesero7350 4 роки тому

    Kisaikolojia Hizi Msg Ndio Kipimo cha Kujua Watanzania Wanaopenda Rushwa Tunashauri Watu Wapewe Elimu ya Athari za Rushwa ili Watu Wasiendelee Kuteseka Jela Japo Wanapata Misamaha ya Raisi ila Watoa Rushwa Jmn Hadi Mapolisi Wanashiriki Tz Hii Nchi MUNGU Atusaidie...

  • @Ba63828
    @Ba63828 4 роки тому +1

    HONGERA SANA KIJANA ILA CHEO AONGEZEWE

  • @jrm9448
    @jrm9448 4 роки тому

    Opportunity Cost.......

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 4 роки тому +3

    haahahaahaaaa si angechukua hyo 10 ona sasa apewa moja khaa

  • @luciuskibaasa28
    @luciuskibaasa28 4 роки тому +2

    Seriously..... 1m only????

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 роки тому +1

      Kupanda cheo ni zaidi ya 1 M

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 роки тому +1

      Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo

  • @yasinmasanja5912
    @yasinmasanja5912 4 роки тому

    Mke wake kweli atampokea vzuti maana amepiga za kutoa sio kujumlisha.labda

  • @mohammedsalum6376
    @mohammedsalum6376 4 роки тому

    Bola milioni 1 yahalali kuliko milioni 10 yalawama

  • @silaszayumba7608
    @silaszayumba7608 4 роки тому +1

    Hayo ni maigizo tu,aliyetoa mbona sina taarifa yake?ye simkosaji hukumu ya kutoa rushwa inasemaje,na angesema amekula ngapi ili atubu na makosa mengine yoote au mnaonaje jamani

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 роки тому

      Sasa ndugu yang wewe ni TAKUKURU mpaka wakuelee taarifa 😂

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +1

    Nawew meshaki saiv itaitwa afande hahahaha

  • @yusuphhb7694
    @yusuphhb7694 4 роки тому +2

    Huu ni ujinga sasa. Mil10 unakataa afu unakubali mil1 .niugonjwa wa akili au kujikomba

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +1

    Jamni paulo pole

  • @johnmwaluko851
    @johnmwaluko851 4 роки тому +1

    Wekeni picha ya paulo

  • @bepalilogathbepali9547
    @bepalilogathbepali9547 4 роки тому +1

    Nzur hio uzarendo kwanza

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 4 роки тому +1

    Hasar ya kujitakia

  • @bakarimashi8711
    @bakarimashi8711 4 роки тому

    Daaah kwahiyo kapata hasara milion 9...😂

  • @ramadhanyusuph2324
    @ramadhanyusuph2324 4 роки тому +2

    Hahahaha napitazangu tu

  • @jeannetteholbrook6958
    @jeannetteholbrook6958 4 роки тому +1

    Milioni 1 ndio nini

  • @neemapascal2852
    @neemapascal2852 4 роки тому +2

    Hivi askari anakuwaje na kitambi?

    • @petermanda5910
      @petermanda5910 4 роки тому +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @chauchauakter9428
      @chauchauakter9428 4 роки тому

      😂😂😂

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 роки тому

      Huyo ashakuwa mzee ni sawa tuu awe na kitambi sababu hakuna kazi ngumu itakayomshughulisha huwezi kumuona akikimbizana na mwizi hizo zote ni kazi za askari wadogo. Ndio maana unaona wazee wengi ndio wenye vitambi ashakuwa boss huyo hana shida

    • @chauchauakter9428
      @chauchauakter9428 4 роки тому

      @@rusakanyohenry6932 r

    • @elishaworkout6116
      @elishaworkout6116 4 роки тому

      Si analala kwake

  • @wazirimakua8769
    @wazirimakua8769 4 роки тому +3

    Ni jambo la kijasiri sana kwa huyu askari, unajua maana ya zawadi! Zawadi sio mafao, kukataa kupokea rushwa ni moja viapo anavyoapa askari ama mtumishi yoyote wa umma, kwa hiyo askari huyo alitimiza kiapo chake kwa vitendo. Pamoja na kudhani kuwa amepewa kiasi kidogo sana, askari huyo amejijengea imani kubwa katika jamii, pia rank aliyopandishwa kwake ina manufaa ya muda mrefu katika maisha yake. Kwa hiyo binafsi nampongeza sana cha kukataa rushwa na pia nampongeza afande IGP kwa kutambua mchango na ujasiri mkubwa wa huyo askari kisha kumpongeza na kumzawadia zawadi mbalimbali pia kumpandisha cheo. Kama angechukua hiyo rushwa haki za wengine zingeishia hapo.

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 4 роки тому +1

    Bado barabarani mhuu!.

  • @nisilesanga3602
    @nisilesanga3602 4 роки тому

    Nakupongeza afande kwa uzalendo kama wa raisi magufuli

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 4 роки тому

    Aliyefukuzwa nampa pole sana!! Aje kilombero sokoni huku tupige kazi!! Huku tunakula kwa jasho tena lile la chumvi....

  • @mbarakmuhidin7023
    @mbarakmuhidin7023 4 роки тому +1

    Zinazidi mshahara wake dah!

  • @hashimumkunda6501
    @hashimumkunda6501 4 роки тому +1

    Polishi, rusha.

  • @wemapaschal2325
    @wemapaschal2325 4 роки тому

    Jpm huyo ndio anafaa kuwa bosi wa takukuru

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 роки тому

    Ameongezewa ugali . Mbavu iyo. Ni

  • @zenj1986
    @zenj1986 4 роки тому +2

    Si bora angelipewa hizo mil 10 Ambazo alikataa.!!!

    • @tanzanianchiyangutaifalang8376
      @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 роки тому

      Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.

    • @ramadhanyusuph2324
      @ramadhanyusuph2324 4 роки тому

      Hahahaha kweli

    • @rahelmasiga1503
      @rahelmasiga1503 4 роки тому

      Usiipangie serikali kapandishwa cheo na mshahara umepanda hiyo ml kumi inakwisha ndani ya siku mbili tu hicho walichokifanya ni zaidi ya ml kumi

    • @hamidahamida1473
      @hamidahamida1473 4 роки тому

      Subhanalha..chahalamu.hakiliki.borakakataaa.cku.zoooote.tumuombe.Mungu.vyahalali..na.atunusulishe.na.halam.nyie.dini.gani.

  • @kibabuinsta7308
    @kibabuinsta7308 4 роки тому +2

    Kwendraaaaa! Uonevu tu kwa huyo mliemfukuza kazi! Hakuna askari asiyekula rushwa ila mmemuonea tu ila ......time will tell! Halafu na huyo kamanda simpendi jamani acheni tuu! Aachane na polisi aende kwenye siasa

    • @ernestmateo6967
      @ernestmateo6967 4 роки тому +1

      Aisee mbona hana uchang'amfu alijua atapewa zaidi au

    • @aronathanas4997
      @aronathanas4997 4 роки тому

      Big up afande wetu. Umetisha saana

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 роки тому +1

      Ulivyoandika tuu ilionyesha wazi unachuki binafsi. Unazungumzia uonevu kama vile wewe muhisika😂😂😂😂

    • @samweli1633
      @samweli1633 4 роки тому

      Kibabu Insta a

    • @samweli1633
      @samweli1633 4 роки тому

      Kibabu Insta mambo

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +1

    Pumbavu mkubwa huyu afande, nchi yenyewe iyi anakataa milioni 10... Subutu..

  • @islampodoski8692
    @islampodoski8692 4 роки тому +3

    Boya kweli huyu

    • @tanzanianchiyangutaifalang8376
      @tanzanianchiyangutaifalang8376 4 роки тому

      Bora kipi! Million 10 ufukuzwe kazi, na ufungwe! Au million 1 , uendelee kubaki kazini na upandishwe cheo na mshahara? Mwenzie aliyetaka hizo million 10 tayari ameshafukuzwa kazi, sijui alipokea au hakupokea hiyo million 10, atajua yeye mwenyewe.

    • @radhiaoman2454
      @radhiaoman2454 4 роки тому

      Bora kidogo cha halali kuliko kikubwa cha haramu

    • @ellenatilio5666
      @ellenatilio5666 4 роки тому

      😂😂😂😂 weeeee

    • @aloycekiwia8613
      @aloycekiwia8613 4 роки тому

      Alafu eti jina lako ni Islam. Dah.!!??🤔

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 4 роки тому +1

    NA WEWE MWENYEWE UMESHIBA MAPESA MBONA KWA RUSHWA NYINGI DUU MILIONI MOJA NI NINI KWA ATASAMAKI HUMPATI

    • @alumonkisinda4574
      @alumonkisinda4574 4 роки тому

      Yaani mi mtu anayeitwa police simkubali hata kidogo wamejaa tamaa na uonevu

  • @Cryptocurrency_Tanzania
    @Cryptocurrency_Tanzania 4 роки тому +1

    Huyo ni bwege.....Unakataa almas unapewa chuma...

    • @rusakanyohenry6932
      @rusakanyohenry6932 4 роки тому +1

      Alichotengeneza ni kikubwa kuliko hiyo milioni 10, ikumbukwe angepokea huenda angeachishwa kazi hivyo angekosa penseni yake ambayo ni pesa nyingi sana kwa cheo chake hivo hakuna shida hapo

    • @Cryptocurrency_Tanzania
      @Cryptocurrency_Tanzania 4 роки тому

      @@rusakanyohenry6932 shukhurani ndugu yangu kwa logic kubwa iliyofnya nione nimeandika ujinga....

  • @mesharcktinega8624
    @mesharcktinega8624 4 роки тому

    irony anastahili hatutembeleee kenya ili hajue kuchukua hongo .kwanza millioni kumi unakataaa aje alafu kisha baadaye anapewa millioni moja si hyo n hasara wadau