😭😭😭😢😢😢😢😢😢Jamani nakumbuka siku hiyo naamka saa moja asubui nasikia nyimbo ya remi kifo hakina hiruma radio zote na tv zinaimba wimbo moja nilijisikia kuogopa kutoka nje 😭😭😢nikaona watu wanalia kuwa kanumba kafaliki kwanza sikuamini niliishiwa nguvu sana #kanumba pumzika kwaamani boy one day tutaonana inshallah
Yani mm toka akufe sijui nguvu ya kuwatch movie za kibongo ilienda wapi ilipotea kabisa na mpaka sai si mambo yangu emagine🥺tumepoteza mtu muhimu sana RIP KANUMBA😭
rest in peuce my kaka nakumbuka ilikuwa siku ya j.mos saa 1:00 asubuhi nilikuwa kazini ndo nikapata hizi habari dah siku hiyo sijakula hata kitu nilishinda na mawazo sn dah kanumba wetu kukusahau itakuwa ngumu 😢😢
I will never forget that day. Ilikuwa Jmos nilikuwa na kipindi class lkn ghafla mwisho wa kipindi mwl akasema "Kwaherini, Rest in peace Kanumba". Tulishtuka darasa zima kila mtu na hatukuamini.
Daaahhh nimesikiliza hii makala nikahisi km ndoto tu yaani kiukweli sometimes ukikaa bado unahisi labda ipo siku atarudi lkn ndo ivyo tena atuna budi kukubaliana na ukweli uliopo, R.I.P KANUMBA
R.I.P Kanumba,muda mwingi nawazaga sana nasema ungekuwa hata na mtoto angepunguza hata machungu kidogo kwa mama yako lkn ndio hakuna aijuae siku yake ya mwisho.R.I.P jaman Kanumba mi sijui hata nisemeje jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
jamani hakuna msanii wa bongo muvi nilinayempenda kama kanumba na nitampenda milele, kiukweli niliumia sana nililia sana na bd nazidi kuumia kila nikiangalia muvi zake jamaniiii duuuuuuh!!!!! r i p # kanumba# mungu akunguzie adhabu ya kaburi
R.I.P king Kanumba kwl, kanumba alikuwa shujaa wa aina peke yake , kanumba ataendelea kuwa ndani ya myoyo yetu siku zote ,kiukwl nahisi angekuwa katika uhai leo kungekuwa na mabadiliko makubwa sana katika tasinia ya Bongo movie ...rest in peace kaka kanumba
N moja ya star niliekuwa namkubali saaana ,n.a. nilipanga one day nikijamaliza kidato cha 4 nikienda Dar es salaam lazima nimpate hata kwapicha tu 'yan sikuamin hiyo siku kusikia habar za kifochake nilikuwa nimelala nakumbk ilikuwa asabuh mida saa12 alikuja dogo kuniamsha kwa speed rose rose kanumba kafariki oonh my God what nilijua n matani sikuamini kusikia masikio yangu macho yangu niliumia saan
Kizuri daima hakidumu. We loosen but we will gain. The trip of him (go without return) is begin of new offspring #Gabo zigamba is not like him but he try to be as him. Rest in peace The Greater
Sometimes aya mambo yakukumbushiya yaliyo pita Bro Sky I don't like it because I can continue to hate uyu mdada #ElizabethMichaelLulu because I was a support Damu wa Bro #Kanumba ila sote ndo safari yetu kwamaana akuda mwanaam atakaye ishi milele hapa chini ya juwa, Roh ya marehem ilazwe maali pema amina #R.I.P My Legend Kanumba bado tunakukumbuka mno 😭😭😭😭 Be blessed #SnS +1👏👏👏
Sintokaa nisahau nilikuja dar kutokea arusha wiki moja kabla ya kanumba kufariki,nilikuwa na rafiki yangu mmoja mkenya aitwaye Daisy.Nilimuambia rafiki yangu mi napenda sana kuigiza lkn ntampataje Kanumba?.Baada ya hapo nikaanza kutafuta office zake na kuagiziwa kuwa zipo sinza meeda.Baada ya kufika sinza meeda nilijiuliza ntaingiaje hapa kwenye hii office lkn badala yake nikaenda kwa mama mmoja pemben ya office ya Kanumba aliyekuwa na duka la boutique,nikamuelezea akaniambia we nenda tuu usiogope Kanumba hana shida.Baada ya muda kidogo tukamuona Kanumba kaja pale ofisini kwake na gari ndogo nyeupe akiwa kaongozana na mdogo wake (Seth Bosco) huku Kanumba akiwa kabeba laptop mkononi mwake na aliyeniambia kuwa yule ni mdogo wake alikuwa ni yule dada wa duka la boutique.Kiukweli nlipomuona Kanumba nilihisi kama kupiga kelele yaani sijui hata cha kusema.Nilimuaga yule dada na kwenda ofisini kwa Kanumba baada ya kufika nilikutana na secretary wake ambaye nilimuelezea kilichonipeleka ndan ya ofisi hiyo,akaniambia kumuona Kanumba ni ngumu kwa muda huo ila ngoja ampigie cm.Basi akampigia Kanumba akamuuliza secretary nina shida gan akamuelezea,Kanumba akamjibu akamwambia mwambie aandike barua na aambatanishe na passport size 3.Basi hata sikupoteza muda nikaenda startionery ya jiran nikapiga passport size na kuandika barua baada ya pale nikarudi kwa yule secretary na kumpatia,muda ninaompatia na Kanumba akatokea ndani ya ofisi akiwa anaelekea kwenye gari akauliza ndio mimi ninayehitaji kumuona mi nikajibu haraka kabla ya secretary kwa kusema Ndio kaka,akasema sawa.Akaniambia njoo ofisini jumatatu nikamjibu sawa.Yaani siku 3 mbele nikasikia kafa nikahisi kama kupatwa shock nikajiuliza kwani ni Kanumba huyu niliyemuona juzi au kuna Kanumba mwingine,sikuamini mpaka siku niliyofika sinza asubuh na kukuta umati wa watu umejaa nje ya nyumba yake ambapo sahv kuna kanisa,yaani kwa ujumla nilipatwa na tumbo la kuhara lkn sikuhara yaan nilihisi kama sio kweli.Mpaka leo siamini kama Kanumba kafa mi nahisi bado yupo hai.Mapenzi ya Mungu yatimie hakuna awezaye kuyapinga,R.I.P Kanumba , jembe la filamu na umeondoka na bongo movie yako baba,😭😭😭
jamani hakuna msanii wa bongo muvi nilinayempenda kama kanumba na nitampenda milele, kiukweli niliumia sana nililia sana na bd nazidi kuumia kila nikiangalia muvi zake jamaniiii duuuuuuh!!!!! r i p # kanumba# mungu akunguzie adhabu ya kaburi
Rip Kanumba @skytanzania 🙌🙌🙌
Aminia sana bro
😭😭😭😢😢😢😢😢😢Jamani nakumbuka siku hiyo naamka saa moja asubui nasikia nyimbo ya remi kifo hakina hiruma radio zote na tv zinaimba wimbo moja nilijisikia kuogopa kutoka nje 😭😭😢nikaona watu wanalia kuwa kanumba kafaliki kwanza sikuamini niliishiwa nguvu sana #kanumba pumzika kwaamani boy one day tutaonana inshallah
R. I. P kanumba,,, nani anafikiri kua hamu yake ya kuangalia bongo movie ilipungua alipokufa kanumba?
Tuko wengi sana, mm hadi sasa sijawahi kutizama au kufikiria kutizama filamu za kibongo tena
Mm bado naangalia filamu zake!!!!;
Yani mm toka akufe sijui nguvu ya kuwatch movie za kibongo ilienda wapi ilipotea kabisa na mpaka sai si mambo yangu emagine🥺tumepoteza mtu muhimu sana RIP KANUMBA😭
Wakwanza ku-like wakwanza ku-comment dah r.i.p kaka kanumba tutakukumbuka daima
Rahima S achante
My kipenzi bibi pia mwaka tokea aniondokee ktk macho yng ila ndo kazi ya Mungu haina makosa Mw.Mungu amlaze mahali pema peponi na wote pa1 ameen
rest in peuce my kaka nakumbuka ilikuwa siku ya j.mos saa 1:00 asubuhi nilikuwa kazini ndo nikapata hizi habari dah siku hiyo sijakula hata kitu nilishinda na mawazo sn dah kanumba wetu kukusahau itakuwa ngumu 😢😢
I will never forget that day. Ilikuwa Jmos nilikuwa na kipindi class lkn ghafla mwisho wa kipindi mwl akasema "Kwaherini, Rest in peace Kanumba". Tulishtuka darasa zima kila mtu na hatukuamini.
*Kweli Tuonge Tu Akuna Aliefunja Record Ya Kanumba Na Hakuna Atakae Pita Record Yake Nasema Tena Mzee Kanumba Ni Mwamba Sana Almaaruf Touch&Go*
Kaka aliniuma huyu
😭😭😭 Still love him💔💔💔
moyo wangu unauma Sana tena Sana mwanga wamilele umwanganzie ee bwana
Kaka kanumba 😥😥😥naumia sana jamani nyota mungu nimuweza
Lala salama kaka Dunia njia
Daaahhh nimesikiliza hii makala nikahisi km ndoto tu yaani kiukweli sometimes ukikaa bado unahisi labda ipo siku atarudi lkn ndo ivyo tena atuna budi kukubaliana na ukweli uliopo, R.I.P KANUMBA
R.I.P Kanumba,muda mwingi nawazaga sana nasema ungekuwa hata na mtoto angepunguza hata machungu kidogo kwa mama yako lkn ndio hakuna aijuae siku yake ya mwisho.R.I.P jaman Kanumba mi sijui hata nisemeje jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Dah!!! Mi cna hata chakusema,machoz yananitoka tu jamani
jamani hakuna msanii wa bongo muvi nilinayempenda kama kanumba na nitampenda milele, kiukweli niliumia sana nililia sana na bd nazidi kuumia kila nikiangalia muvi zake jamaniiii duuuuuuh!!!!! r i p # kanumba# mungu akunguzie adhabu ya kaburi
*Wakubali Wakatae Kanumba Amefariki Na Sanaa Yake Amezikwa Na Kiwanda Cha Filamu*
Muandaaji wa makala upo vzr
inaniuma sana siezi sahau
Rip legend umekufa na bongo movie yako tutazidi kukukumbuka
R.I.P kanumba mungu akurinde, akusamehe Na kukuongoza katk Safar yako
R.I.P king Kanumba kwl, kanumba alikuwa shujaa wa aina peke yake , kanumba ataendelea kuwa ndani ya myoyo yetu siku zote ,kiukwl nahisi angekuwa katika uhai leo kungekuwa na mabadiliko makubwa sana katika tasinia ya Bongo movie ...rest in peace kaka kanumba
Mungu ampumzishe kwa amani.
Kamwe hatutamsahau Kanumba.
R.I.P steve kanumba hakika tutakukumbuka daima😢😢😢😢😢😢
mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
N moja ya star niliekuwa namkubali saaana ,n.a. nilipanga one day nikijamaliza kidato cha 4 nikienda Dar es salaam lazima nimpate hata kwapicha tu 'yan sikuamin hiyo siku kusikia habar za kifochake nilikuwa nimelala nakumbk ilikuwa asabuh mida saa12 alikuja dogo kuniamsha kwa speed rose rose kanumba kafariki oonh my God what nilijua n matani sikuamini kusikia masikio yangu macho yangu niliumia saan
Kizuri daima hakidumu.
We loosen but we will gain. The trip of him (go without return) is begin of new offspring #Gabo zigamba is not like him but he try to be as him.
Rest in peace The Greater
Roho inauma san mungu akurehem
R.l.P njia yetu ni moja aijarishi umekufa kufaje🙏🙏
Daaa 😢😢😢inauma sana jamani
Saut mweee dada Wema
Sometimes aya mambo yakukumbushiya yaliyo pita Bro Sky I don't like it because I can continue to hate uyu mdada #ElizabethMichaelLulu because I was a support Damu wa Bro #Kanumba ila sote ndo safari yetu kwamaana akuda mwanaam atakaye ishi milele hapa chini ya juwa, Roh ya marehem ilazwe maali pema amina #R.I.P My Legend Kanumba bado tunakukumbuka mno 😭😭😭😭 Be blessed #SnS +1👏👏👏
Rest In Peace #Kanumba, tutakukumbuka Daima, sote tunapita hapa duniani, tukumbuke kutenda yampendezayo mwenyezi MUNGU.
daaaa stokusahau kamwe mzee
Not only tz i think it's the whole east Africa it was so painful😭😭😭
Mungu amlaze pema peponi
R.I.P bor it was really sad may Allah continua strengthening his mum ,😭😭😭we still remembering u
Nikiona pc tu machozi yananitoka Mungu amlaze mahali pema 😢😢
Basi kiukweli lulu hakumuuwa kanumba mbali alishuhudia kifo cha kanumba.
Pumuzika kwa amani kanamba😭😭
Angekuwepo kanumba angeitangaza inje filamu ya tz r I p
Sintokaa nisahau nilikuja dar kutokea arusha wiki moja kabla ya kanumba kufariki,nilikuwa na rafiki yangu mmoja mkenya aitwaye Daisy.Nilimuambia rafiki yangu mi napenda sana kuigiza lkn ntampataje Kanumba?.Baada ya hapo nikaanza kutafuta office zake na kuagiziwa kuwa zipo sinza meeda.Baada ya kufika sinza meeda nilijiuliza ntaingiaje hapa kwenye hii office lkn badala yake nikaenda kwa mama mmoja pemben ya office ya Kanumba aliyekuwa na duka la boutique,nikamuelezea akaniambia we nenda tuu usiogope Kanumba hana shida.Baada ya muda kidogo tukamuona Kanumba kaja pale ofisini kwake na gari ndogo nyeupe akiwa kaongozana na mdogo wake (Seth Bosco) huku Kanumba akiwa kabeba laptop mkononi mwake na aliyeniambia kuwa yule ni mdogo wake alikuwa ni yule dada wa duka la boutique.Kiukweli nlipomuona Kanumba nilihisi kama kupiga kelele yaani sijui hata cha kusema.Nilimuaga yule dada na kwenda ofisini kwa Kanumba baada ya kufika nilikutana na secretary wake ambaye nilimuelezea kilichonipeleka ndan ya ofisi hiyo,akaniambia kumuona Kanumba ni ngumu kwa muda huo ila ngoja ampigie cm.Basi akampigia Kanumba akamuuliza secretary nina shida gan akamuelezea,Kanumba akamjibu akamwambia mwambie aandike barua na aambatanishe na passport size 3.Basi hata sikupoteza muda nikaenda startionery ya jiran nikapiga passport size na kuandika barua baada ya pale nikarudi kwa yule secretary na kumpatia,muda ninaompatia na Kanumba akatokea ndani ya ofisi akiwa anaelekea kwenye gari akauliza ndio mimi ninayehitaji kumuona mi nikajibu haraka kabla ya secretary kwa kusema Ndio kaka,akasema sawa.Akaniambia njoo ofisini jumatatu nikamjibu sawa.Yaani siku 3 mbele nikasikia kafa nikahisi kama kupatwa shock nikajiuliza kwani ni Kanumba huyu niliyemuona juzi au kuna Kanumba mwingine,sikuamini mpaka siku niliyofika sinza asubuh na kukuta umati wa watu umejaa nje ya nyumba yake ambapo sahv kuna kanisa,yaani kwa ujumla nilipatwa na tumbo la kuhara lkn sikuhara yaan nilihisi kama sio kweli.Mpaka leo siamini kama Kanumba kafa mi nahisi bado yupo hai.Mapenzi ya Mungu yatimie hakuna awezaye kuyapinga,R.I.P Kanumba , jembe la filamu na umeondoka na bongo movie yako baba,😭😭😭
+Monica Obasi Asante sana kwa story hii
rip kanumba
Rip dahhh 😥😥😥😥😥😱😱😱😱😱😱🙆
kwa kweli inauma utadhani ndoto kweli
R.I.P. kanumba
R.i.p brother kanumba mungu akulinde naahili pema peponi
R.I.P kanumba we miss u so much..
R.I.P kanumba hatuto kusahau ❤️
Rest in paradise hero
Pumnzika salama kanumba
1st
Kiukweli katuachia majonzi mazito sana
RIP kanumba😢😢
Hii ni Adam kanumba vs Hawa elizabeth yani mtoto kala tunda la nyoka mwenye sumu kali. Usije ukamuua Ma jey wewe ...muuaji hajui hukumu
Inauma sana 😭R.I.P.
Duh moyo wajaa nabutwa hadi milele
R.P Mr Steven kanumba hatuto kusahau
Innalilah wainailah rajuun
Ameen
R.I.P..we loved you
Dah r.i.p kanumba tutakukumbuk daima
miss you kanumba😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
ASANTE KAKA KWA HABAR KAKA
Rip😇🙏
Pumzika kwa Aman
RIP dear 😭
Rip kanumba
Continue resting in peace Kanumba ..
RIP kanumba
R.I.P Kanumba!
R.i.p. Steve kanumba
Rip bro
Siku yaka kanumba sito kuja kuisa hau nili umwa sana nilipo hatonae tena r.l.p
yusuf almamari aca my mimi naishi burundi yani tumeingiliwaga na baridi inci nzima ilikuwa nikiliyo😢😢😢😢
R.I.P STEVEN KANUMBA
Pumzika kwa aman knmba
R.I.P Kanumba the Greater
😢😢😢😢😢
R. I. P kanumba
Rest in peace the Great Kanumba
tumemc. 😫😫😫😫
amen
Rest In Peace R.I.P
RlP Kanumba
R I P broo utakumbukwa milele daima kaka
Kweli
rest in peace kanumba
R.I.P KNMBA
r.i.p
Rest in peace ✌
😤😤😤
Rip
R.I.P
rest in peace
R.I.p the great
R I p
R.I.P.😭😭😭😭😭😭😢😢😢
mungu akupunguzie adhabu ya karibu kanumba
jamani hakuna msanii wa bongo muvi nilinayempenda kama kanumba na nitampenda milele, kiukweli niliumia sana nililia sana na bd nazidi kuumia kila nikiangalia muvi zake jamaniiii duuuuuuh!!!!! r i p # kanumba# mungu akunguzie adhabu ya kaburi
R.I.P the great
Millard Repoter , together we can 👍
R.i.p
R. I. P kanumba
Rest in peace kanumba
R.I.P
Rip