BLACK DAY |6|

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 215

  • @SophiaDenalwa-sx7yu
    @SophiaDenalwa-sx7yu 5 днів тому +14

    Wenye tunapenda mavazi ya hawa tkutan e apa maua kwa hawaa❤

  • @Yasinyash-n9e
    @Yasinyash-n9e 5 днів тому +9

    Jamani mzidole uko vizuri pokea 🎉🎉🎉 yako

  • @robsonroby
    @robsonroby 4 дні тому +5

    Kwa sasa hawa ndio mwigizaji bora wakike hapa Tanzania no more

  • @leonardmadinda1439
    @leonardmadinda1439 4 дні тому +4

    Kuna huyu dada wa kuitwa Hawa,mie mwenzenu ananikosha sana ❤️❤️❤️❤️❤️ yan nmempenda bure

  • @KudraTimbako
    @KudraTimbako 4 дні тому +7

    Aliefurahia hawa alivyokuwa akimuuliza maswali mzidole na kujibiwa ufasaha kama mimi anipe like yake

  • @LilianJuma-q6y
    @LilianJuma-q6y 5 днів тому +4

    Anaitwa mzidole Mzee wa viuno mgando, watu kecha nawasha gari kateleza ❤❤❤ hawa nakupenda unavyo jistiri chukua maua yako

  • @machozimukucha
    @machozimukucha 4 дні тому +4

    ILA mzidole utafika mbali sn hongera sna Nawapenda nyote kwakazi munazozifanya❤❤❤🎉🎉🎉💯💯🔥🔥👌❤️

  • @CynthiaMathaga
    @CynthiaMathaga 5 днів тому +4

    Kazi nzuri sana ,nawapenda sana from kenya❤❤❤

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 5 днів тому +6

    Ila hawa umenifurahisha sanaa ulipomjibu mumeo kwa ujasiri alafu hapo ety huyu n dalali 😂😂😂 kakoso kazi unayo kaka

  • @AbdisamidHussein
    @AbdisamidHussein 4 дні тому +1

    Super genious director kakoso salaam kutoka simalia one love bro🎉

  • @JonathanBrightonMinja
    @JonathanBrightonMinja 5 днів тому +5

    😂Kakoso mambo yanaenda kuwa magumu sasa acha inyeshe tuone panapovuja hongeren kwa kazi nzur 🎉🎉🎉🎉

  • @HASHMANTZ7
    @HASHMANTZ7 5 днів тому +11

    mashallah hawa kwa kujistiri allah akusimamie

    • @Pasicke
      @Pasicke 5 днів тому

      ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 5 днів тому +6

    Hawa mwanamke na nusu tungekuwa wanawake tuna misimamo kama hii alipojibu Hawa yaani wanaume wangekua na heshima ktk ndoa zao Hawa🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 5 днів тому +3

    Kakoso uyo unaitwa ni mucezo wa ndani😂😂😂safaiiyi kimekuramba mkeo kaishajuwa kilakitu yani basi imekula kwako naucawi wako😂😂😂

  • @AthumanMiraj
    @AthumanMiraj 5 днів тому +18

    Gonga like kwa super genius yan ball imeixh nae kaachia kitu pia gonga like kwaajil ya goli la seleman bwezi 😂😂alilo mtungua Diara leo 😂😂

    • @AthumanMiraj
      @AthumanMiraj 5 днів тому +2

      @Tina-xr9lr hhhh noma gol moj la ken gold limebeba magor yot ya yanga 😂

  • @frankmwaikambo9784
    @frankmwaikambo9784 5 днів тому +10

    Kudadadeki hakuna mimba tenaa😂😂😂😂

  • @RebeccaMwakabuku
    @RebeccaMwakabuku 5 днів тому +3

    Nikiona tu picha ya mzidole kwenye move napata hamu ya kuangalia hiyo move nakuelewa sana mzidole🎉🎉🎉🎉❤

    • @Mzidole
      @Mzidole 5 днів тому

      Waoooooh 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 thanks

  • @ramahnzaih2393
    @ramahnzaih2393 5 днів тому +6

    Wakwanza leo allihamdhulillah 🎉..alaf kazi nzuri Kakoso kazi inatoka kufuatana vizuri hongera saaana mkuuu🎉🎉🎉

  • @HawaBedui
    @HawaBedui 5 днів тому +4

    Mzidole mzidole wapelekee 🔥🔥 hao wanga tuko pamoja na ww mpka uwakomeshe half huyo mganga wa mchongo ❤❤

  • @joufflyngmutangaza306
    @joufflyngmutangaza306 4 дні тому +1

    Vraiment courage 🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩

  • @ramlasuleiman
    @ramlasuleiman День тому +1

    Hawa mashallah ♥️..hongera sana zidi kujistiri wapendeza hatari🎉..❤from kenya

  • @Shukuru2535
    @Shukuru2535 5 днів тому +9

    Muzidole kunabiti anakupenda amesema hawezi kuishi bila wewe,kwa kweli tunapenda unavyo cheza karata zako

    • @Mzidole
      @Mzidole 5 днів тому

      🎉🎉🎉🎉 thanks 😂

  • @FeisalyYasin
    @FeisalyYasin 5 днів тому +10

    Apa kuna Vita kali sana ya Msisi wa msisile na Mzidole wawa Zidole yote Tanga moja 😂😂😂

  • @MaryamMubarak-lw8kw
    @MaryamMubarak-lw8kw 4 дні тому +3

    Maskini Hawa na Mwasi yaan Mzee Msisi😢😢😢😢

  • @ZuuhLugoda
    @ZuuhLugoda 5 днів тому +7

    😅😅😅 ya leo kali kakosa kapigwaa zauso et haamini unasemaje wewe

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 5 днів тому +11

    Unga, Unga unga mwana hii nimeipanda Sana ❤❤
    Team Mzidole tujuane

  • @Hellen-ch5zs
    @Hellen-ch5zs 5 днів тому +3

    Mzidole unaongeza radha ya kuangalia kweli pokea maua❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MnambengaJr
    @MnambengaJr 5 днів тому +4

    Heshima kwako kakoso from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @DokaSwamwel
    @DokaSwamwel 4 дні тому +2

    Big up sana🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @deamber775
    @deamber775 5 днів тому +7

    Mungu atubariki sote atuongezee kipato ili kila mmoja awe wa kwanza kusapoti vipaji vyetu sema Ameen🙏

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv 5 днів тому +3

    Sasa kakoso ndie mchawi mbona mganga unasema ati ni Hawa.hawa chukua maua ❤❤❤❤❤❤ya kutunza sili usisae tena watakula

  • @Msaniitz
    @Msaniitz 5 днів тому +4

    Mzidole Kakangu mkubwa naomba nikulize ivi kwa uhalisia wako uko ivi Kwa kusaidia watu au Ni movie tu Sina ubaya kakangu nimekuliza tu 🙏🙏🙏🙏ju Yaani kaka kila movie naipenda ju yako kwa vile unasaidia watu ❤❤❤🌹🌹🌹

    • @Mzidole
      @Mzidole 5 днів тому

      Yeah kiuhalisia huo ND moyo wng ulivy kaka usjl hupaswi kuomba samahan siku zote mtu mwenye kutaka kujifunza Huwa ni mtu Bora San 🎉🎉🎉

    • @Msaniitz
      @Msaniitz 4 дні тому

      @Mzidole wow🌹💓🫂yaani kaka nakuombea kwa mungu akusaidie uishi maisha marefu ili uendelee kusaisdia watu maana ni wachache sana wenye roho nzuri kama y kwako,ukiendelea na huo roho Basi mungu atakupa kila kitu utakacho mwomba maana una roho safi na moyo wa kusaidia wenzako

  • @saidikomba3120
    @saidikomba3120 5 днів тому +14

    Mzidole kaka nakukubali sana kaka tuko pamoja

  • @Tina-xr9lr
    @Tina-xr9lr 5 днів тому +7

    Jaman muwe mnatoa hata vipande viwili maana inogile😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @mwabehainali529
    @mwabehainali529 5 днів тому +5

    Naomba like from saudi Arabia ...lock in

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 5 днів тому +74

    🌹❤ *Kwa mara yangu ya kwanza naombeni tumpe HAWA like kwakupenda kuvaa stara kwenye Tamthilia mbali mbali* ❤

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 5 днів тому +2

    Sina la kusema kaka Kakoso, zaidi ya kukupongeza. You're super brand big up.

  • @Kasongo-s5v
    @Kasongo-s5v 5 днів тому +2

    Muvi kali❤️❤️❤️❤️🇨🇩🇨🇩 mungu akubariki sana Kaka wg kakoso 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳💋🌹

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 5 днів тому +4

    Ongezea dakika angalau zifike 20 ama 30 mkuu Kakoso

  • @ciah7185
    @ciah7185 5 днів тому +4

    Hawa bo, na kakoso kikombe 🤣🤣🤣ani mwasi umeniweza kwa kweli aaaah… si kwa majina ayo

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 5 днів тому +4

    ❤❤❤🎉🎉🎉 Kakoso,Hawa, mzidole n entire team

  • @saidikomba3120
    @saidikomba3120 5 днів тому +5

    Saidi komba mwenyewe nipo apa mwanzo mwisho

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 5 днів тому +3

    😂😂😂😂😂😂Kakoso msimamo wote kujifanya mkali humu kumbe unakaa kwenye nyumba ya mke wako 😂😂😂😂😂😂

    • @youngcheftheblessing239
      @youngcheftheblessing239 5 днів тому

      ila mzidole anajiona kama hii series yakwake vile 😂😂😂😂😂😂

  • @nadyagribusiness5960
    @nadyagribusiness5960 5 днів тому +3

    Kakoso mpe hiyo sehemu ya uchawi mpe Sengo

  • @SukhairaZaiytun
    @SukhairaZaiytun 5 днів тому +6

    Chawa wa mwasi shazna unakuponzaga lkn unakufa kufa kwa ajili yake🎉

  • @mchinaVEVO1
    @mchinaVEVO1 5 днів тому +1

    Napenda san uandishi wako kakoso one day yes mangu akubaliki🙏

  • @abalkaram786
    @abalkaram786 5 днів тому +1

    @all
    Mzidole Ni habari Nene sana big up broo. Una acti safi sana.

  • @YasiniselemanSelemani
    @YasiniselemanSelemani 5 днів тому +5

    Nakubal kaz nzuli san

  • @hansbertmkonji8677
    @hansbertmkonji8677 5 днів тому +1

    Mzidole my favourite actor kwakweli. Anafanya kazi ipasavyo

  • @ZuuhLugoda
    @ZuuhLugoda 5 днів тому +4

    Haya na leo tena sijachelewa sana jamanii

  • @BERYLCHERO
    @BERYLCHERO 5 днів тому +3

    ❤❤❤ much loove mzidole

  • @RoshiniNuriaty
    @RoshiniNuriaty 5 днів тому +2

    Hawa mzuri❤❤❤❤

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 4 дні тому +1

    Mzidole nakupenda ❤ mmmh huwa unaficuwa Siri za wacawi

  • @abalkaram786
    @abalkaram786 5 днів тому +1

    @all
    Mzidole Good actors
    Mzidole kipaji icho cha mzidole kimekufaa kabisa, Kimekufaa sana
    Kipaji cha mzidole kuwa muokozi wa siri na style zake ni Safi sana ni Good Actors. Namkubali sana Mzidole. Big up mzidole more fire

    • @Mzidole
      @Mzidole 5 днів тому

      🎉🎉🎉🎉 thanks brother 🙏

  • @ZawadiNelson
    @ZawadiNelson 5 днів тому +1

    Hapo kakoso na hawa mmetupiga hakunaga kijiti cha miaka sita ni mitatu au mitano ila jokes tu Hahaha big up super genius director😂😂😂😂😂

    • @ZariaRamadhani
      @ZariaRamadhani 4 дні тому

      Atakuwa anaweka vya miaka mitatu mitatu viwili

  • @ImmanuelAidan
    @ImmanuelAidan 5 днів тому +3

    hawa mwanamke anae jiheshimu

  • @mnyampaa_kisasa
    @mnyampaa_kisasa 5 днів тому +1

    MZIDOLE MZIDOLE MZIDOLE 😅😅😅hatare sana mzidole wa wazidole kakutana na MSISI WA MSISIRI TANGAAA

  • @SophiaAbdallah-n3w
    @SophiaAbdallah-n3w 4 дні тому +2

    Mzidole siwez ishi bila wew❤❤

    • @Mzidole
      @Mzidole 4 дні тому +1

      😂😂😂❤

  • @Nojabz
    @Nojabz 5 днів тому +1

    Asanteni sana kwa kitu kizitoo 🎉🎉 from drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @RehemaSaid-r4h
    @RehemaSaid-r4h 5 днів тому +4

    Waoooo Asanteni❤❤❤❤kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwagadiJamilaAbdalla
    @MwagadiJamilaAbdalla 5 днів тому +2

    Dole Awaa nimeipenda iyo

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 5 днів тому +1

    Good nice one story brother kakoso 🎉🎉🎉🎉

  • @MarcelinbbmBirindwa
    @MarcelinbbmBirindwa 5 днів тому +3

    Nimekuwa wa 29 na wakwanza leo from DRC 🇨🇩 congo 🎉🎉

  • @OengaMildred
    @OengaMildred 5 днів тому +6

    Mzidole jmniiii 🌹 I'm waiting for you 🙏

  • @ChausikuAli
    @ChausikuAli 5 днів тому +2

    Mzidole uko vizur chukua❤❤❤❤ zako

  • @OmanOman-hj7tv
    @OmanOman-hj7tv 5 днів тому +2

    😂😂😂😂😂sa itakuaje hawa umeweka kijiti

  • @WilbadiJohn-p8c
    @WilbadiJohn-p8c 5 днів тому +1

    Kaz nzuri xana karb babati

  • @HamisiMachinda
    @HamisiMachinda 5 днів тому +1

    Mzidole kazi nzul sana 🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂

  • @BERYLCHERO
    @BERYLCHERO 5 днів тому +2

    Mzidole uko fsurii brazaa😂😂

  • @rehemamutua44
    @rehemamutua44 5 днів тому +1

    😂😂😂makubwa mimba ibebwe miez 9 bila kukua wacha wee mzee msisiri😂😂😂

  • @ckunique7397
    @ckunique7397 5 днів тому +4

    Watoto wa kasongo vipi mpo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂

    • @Gloriazawad
      @Gloriazawad 5 днів тому +1

      Tupo 😂tunalal humu tukiamka humu 😅😂😅😅😅

    • @HassanHassan-ix7cj
      @HassanHassan-ix7cj 5 днів тому +1

      Tuta Anza maandamano hapa ndani kama hawata ongeza time 😂😂
      Tialala😂 Tibim😂

  • @alexkalama4278
    @alexkalama4278 5 днів тому +5

    Kazi safi 💥💥💥

  • @UrbanMunyalo
    @UrbanMunyalo 5 днів тому +7

    Wangapi wamegundua huyo mganga n fake kaa Mimi ...gonga like tukisonga 😂😂😂

    • @geraldndosi2083
      @geraldndosi2083 5 днів тому

      😂😂😂mganga na mchawi ni majina tuu wametofautiana huwa wanalindana😂

  • @HawaHussein-y6v
    @HawaHussein-y6v 4 дні тому

    Aise kazi nzuri sanaa vijana mkaze buti ili tupate vitu vizir dada hawa unanifurahisha sana

  • @Mainatongwe
    @Mainatongwe 4 дні тому

    Tulio furahi kumuona mr kawaida tujuane nampenda sana mr kawaida ❤🎉🎉🎉🎉

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 5 днів тому +1

    Manina hakuna mimba for the next 6 years 😂😂😂😂

  • @ValentineChepkemboi-jt7it
    @ValentineChepkemboi-jt7it 5 днів тому +1

    Kazi nzuri kakoso

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 5 днів тому +2

    Huyu mganga ni mshenzi sana, ila Mzee msisili

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo 5 днів тому +4

    Unae angalia ukiwa kitandani hi😂😂❤

  • @BabamdogoChris
    @BabamdogoChris 5 днів тому +1

    Naomba like za kakoso jamen

  • @ZeinabMohammad-t2z
    @ZeinabMohammad-t2z 5 днів тому +1

    Movie nzur sn ❤❤❤❤

  • @KhamisMcha-v6e
    @KhamisMcha-v6e 5 днів тому +3

    Nakukubali Sana mzidole

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 5 днів тому +3

    Sucesso para sempre Mzidole by Boy from Palma Moz 🇲🇿🇲🇿

  • @KalamaKacheracheal
    @KalamaKacheracheal 5 днів тому +1

    Kali hii wananguu🎉🎉🎉❤

  • @vestinehacingingo5351
    @vestinehacingingo5351 5 днів тому +2

    Tunaomba Black Day tolewe Ep mbili mbili kwa week angalau kidogo tuta lizika au munasemaje wenzangu

  • @VumiliaOmary
    @VumiliaOmary 5 днів тому +1

    Kaka kakoso kimekuramba kijiti cha miak 6 eti unasemaje wewe 😂

  • @mathewmlala6290
    @mathewmlala6290 4 дні тому +2

    Mwasi umepigwa tanga la macho

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 5 днів тому +1

    Karibu sana Naarabuk 😎😎😎❤️❤️❤️

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld 5 днів тому +1

    Mm nampenda mzidole ❤❤

    • @Mzidole
      @Mzidole 5 днів тому

      Jmniiii jmniiii 🎉🎉

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v 5 днів тому +1

    Maua kwa hawa jameni🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ChausikuAli
    @ChausikuAli 5 днів тому +1

    Zungu nae mmbeaa😂😂😂😂

  • @beautifulafrica6886
    @beautifulafrica6886 5 днів тому +1

    hakuna mimba tena 😅😂😅😂😅😂😅

  • @OmanOman-hj7tv
    @OmanOman-hj7tv 5 днів тому +1

    Duh nimechelewa wa 114 nafunga mlango 😊

  • @MagesaNdelembi
    @MagesaNdelembi 4 дні тому +1

    mganga safi sana tumejifunza kitu apo

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 5 днів тому +2

    16:26 maskin hawa anasingiziwa😢

  • @MandelaMwangome-q1b
    @MandelaMwangome-q1b 5 днів тому +3

    Nami nimechelewa ilah leo musiniache 🎉🎉🎉🎉

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 5 днів тому +1

    😂😂😂😂Kumbe kakoso marioo 😂😂😂😂nmechekaaaaa

  • @IgnaseTalaboe
    @IgnaseTalaboe 4 дні тому +1

    Safi sana mzidole

  • @BamilaB
    @BamilaB 5 днів тому

    Kazi nzuri sana ❤❤

  • @AbdallahChaka-l3k
    @AbdallahChaka-l3k 4 дні тому

    Big up mzidole 🎉🎉🎉 hayo am from kenya 🇰🇪