FUMAU MSHAIRI - NAUMWA ( OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • ARTIST - FUMAU MSHAIRI
    SHAIRI-NAUMWA
    SHOT BY @HANS_ABDALAHAH
    DIRECTOR @BRAIN_UJAZO
    ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI

КОМЕНТАРІ • 239

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 8 місяців тому +59

    Haya ndio mapinduzi ya sanaa iliyodharaulika na kuona imepitwa wakati. Hongera kwa kutupa burudani sisi wapenzi wa tenzi na mashairi.

  • @Teacher_Hassan_Lemunje
    @Teacher_Hassan_Lemunje 23 дні тому +3

    Sanaa nzuri ila kule kwenye Mpira utapoteza fanbase

  • @paulnalami6
    @paulnalami6 Місяць тому +5

    Kipaji kikubwa Mungu amekupa.. Kazi safi

  • @ashahussein6573
    @ashahussein6573 15 годин тому

    Allah akuzidishie my roal model natamani kuwa kama wewe Nina kipaji ila sina pakukiendeleza

  • @mchumawilfred6529
    @mchumawilfred6529 8 днів тому

    Endelea na tungo upo vizuri dogo achana na kule kwa nyuma mwiko ujeko msimbazi

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 27 днів тому +2

    Chunga usiingie kwa nyimbo.

  • @GodMgeni
    @GodMgeni 8 місяців тому +13

    Wananchi Kila Kona tunaupiga mwingi .wapite mbali

  • @MohamedhusseinHassan-xu4fv
    @MohamedhusseinHassan-xu4fv 2 місяці тому +2

    Penda snaa ww mungu akubarki snaa tna snaa na akulnde kwa wabya inshallah amen nakupnda famau

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 8 місяців тому +8

    ILA HUYO MTT NI MZUIRI HEBU FUMAU FANYA KWELI AWE NDIO MAMA YETU HUYO

  • @abdulsattar8580
    @abdulsattar8580 8 місяців тому +12

    😢😢😢Mungu Azidishe juhud zako sie weng Weeh Ndo rol model we2 Kaka

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 3 місяці тому +1

    Masha Allah tabaraka Allah nimeipenda hili shairi je mtu akitaka kuimbia waeza 😂❤❤❤

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 7 місяців тому +4

    MAASHAALLAH HAKIKA HIZI NDIZO LADHA HALISI ZA PWANI NA KIELELEZO CHA KIFASIHI YA MSWAHILI, KIELELEZO CHA USTAARABU WA MTANZANIA TULICHOKIKOSA KWA MUDA MREFU... HATIMAYE MWISHO WA VIGODORO, VISINGENGE.... NA MARUSHA ROHO YANAYOHARIBU MILA NA TAMADUNI ZETU NCHINI TANZANIA UMEFIKA.

  • @madammubiruhamsin5205
    @madammubiruhamsin5205 8 місяців тому +5

    kipaji kikubwa sana hiki hongera sana

  • @AbdulMuhudhar
    @AbdulMuhudhar 3 місяці тому +2

    Good President MWINYI, weldan !

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 Місяць тому

    MashaAllah
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪+254🇰🇪

  • @taslimpluscargo6753
    @taslimpluscargo6753 7 місяців тому +8

    Huyu serikali wanatakiwa kumpa ulinzi watu wasije wakamdhuru,ni talent muhimu sana kwa taifa hasa ktk ishu ya kukuza kiswahili...jamaa ni hatar na ana super intelligence and very high thinking and creative

  • @FatumaAmina
    @FatumaAmina 8 місяців тому +5

    Mashallah ila nilishituka sana uko vizuri kaka

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 7 місяців тому +8

    Mashaa Allah, ,wananchi tumpe sapot kijana wetu❤❤❤

  • @ZabibusuphianialisuphianiAlly
    @ZabibusuphianialisuphianiAlly 13 днів тому

    Mashaallah sauti tamu wallah congratulations 🎉❤❤❤❤❤

  • @MariamMlawa-u4q
    @MariamMlawa-u4q 24 дні тому

    Unyama sana kaka

  • @kambisalehe-v8r
    @kambisalehe-v8r Місяць тому

    ushafeli

  • @fumau_mshairi
    @fumau_mshairi  8 місяців тому +36

    Nakukaribisha Kutazama Video Yangu Mpya
    ua-cam.com/video/Ebqk74cuyK8/v-deo.htmlsi=vgFmE4sGS4PN5AVK
    ARTIST - FUMAU MSHAIRI
    SHAIRI-NAUMWA
    SHOT BY @HANS_ABDLAHAH
    DIRECTOR @BRAIN_UJAZO
    ASSISTANT DIRECTOR @DOLPHIN_MSHISHI

  • @Muhsini-s5d
    @Muhsini-s5d 8 місяців тому +6

    Amenifanya nirudie tena fani yangu ya utunzi wa tenzi na mashairi

    • @SanguyaKeiya
      @SanguyaKeiya 8 місяців тому +1

      Please keep doing 🙏

  • @saudakitimla2352
    @saudakitimla2352 6 місяців тому +1

    Anh Mashallahhhhhh tenz ndo hizi buana

  • @MamaRasool-bs6im
    @MamaRasool-bs6im 5 місяців тому +1

    Hongera kaka hili shair zur mno

  • @TouristTynah
    @TouristTynah Місяць тому

    Hii mbio inaamaana kubwa sana kwangu

  • @AliMdau
    @AliMdau Місяць тому

    Kaz mzur xana kaka

  • @AbdulazizKarabu
    @AbdulazizKarabu 6 місяців тому +2

    Congratulations mshairi waeza mungu akizidishie

  • @HamisiHassan-j5k
    @HamisiHassan-j5k 8 місяців тому +1

    Kibamba family kaka unajua Allah akuongozee

  • @allymaranya
    @allymaranya 8 місяців тому +3

    Nmkufatampka hukuuuuuuu
    Imenichm hatr kaka wajua😢

  • @jumamohamed3168
    @jumamohamed3168 5 місяців тому +1

    Shairi limenifanya moyo wangu upate utulivu .

  • @issamushi6389
    @issamushi6389 Місяць тому

    Mmhhh hyu jamaa mkali

  • @RehemaSeif-s1i
    @RehemaSeif-s1i 8 місяців тому +1

    Atokei noma sana

  • @VenanceBilakupenda
    @VenanceBilakupenda 8 місяців тому +4

    Kazi nzuri

  • @eligahafandi2092
    @eligahafandi2092 8 місяців тому +1

    Mpenzi wa utunzi huu,natokea pwani ya Kenya

  • @bonniventuresylivester3133
    @bonniventuresylivester3133 8 місяців тому +3

    Mwananchi una hatariii

  • @WahidaKombo-w4o
    @WahidaKombo-w4o 8 місяців тому +1

    Hongera sana nilishtuka nilidhani unaumwa kweli nakupenda kwa kazi yako hii noma bro

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 8 місяців тому +5

    Umeua mwamba

  • @AshaChilumba-f1l
    @AshaChilumba-f1l Місяць тому

    Mashallhaa❤

  • @AlenJastine
    @AlenJastine 8 місяців тому +1

    Kweli ww jini Mahabaaaa😊

  • @harujimajali7240
    @harujimajali7240 8 місяців тому +2

    Walumbi tumeibeba hii kaka🎉

  • @mutwali166
    @mutwali166 8 місяців тому +1

    ❤umeua rafiki yangu

  • @PeterNdondo
    @PeterNdondo 8 місяців тому +5

    Pambana ata nimeipenda stahili hii

  • @HadijaShamte-g4x
    @HadijaShamte-g4x 3 місяці тому

    Napend xana mashair especially yako

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 8 місяців тому +1

    Ubufu wa sanaa huu
    Kongolee sanaaaa Allah akupe afya njema, azidi kukupa misamita ya vina zaidiiiii

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 7 місяців тому +3

    wewe ni wetu lazima tukusapot

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 2 місяці тому

    Like kwa dada wa mama mautanga kwa kufurusha mwenye nyumba

  • @GhaniaNassor
    @GhaniaNassor 8 місяців тому +3

    Umewezaa maashaallah

  • @abuuswabr1781
    @abuuswabr1781 8 місяців тому +4

    Kazi murua ♥️♥️♥️♥️

  • @AAs-qw7fs
    @AAs-qw7fs 8 місяців тому +1

    ❤❤❤ nimependa jmn kz nzur broo Mungu akufanyie wepesi katika kz zako

  • @SalimSeif-hw7rb
    @SalimSeif-hw7rb 8 місяців тому +2

    Uko poa sana

  • @JeremiaJohnsonmkane
    @JeremiaJohnsonmkane 8 місяців тому +1

    Umekaha vizur kwakwel

  • @NordeenGharib
    @NordeenGharib 8 місяців тому +1

    @fumau mashairi maa sha allah

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585 8 місяців тому +1

    Ongera sana kwa kipaji na sanaa nzuri

  • @ShajuMusic
    @ShajuMusic 8 місяців тому +3

    Noma sana 🔥🙌💐

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 7 місяців тому +1

    Famau unaupiga mwingi bro ongera zako ❤❤ Nkupnda tu bure kutoka 🇰🇪🇰🇪

  • @RamadhaniHaji-wn3dd
    @RamadhaniHaji-wn3dd 8 місяців тому

    Bravo. Umeweza sana hii Mr Fumau mshair

  • @maulidiisihaka852
    @maulidiisihaka852 8 місяців тому +1

    Mwamba 🎉

  • @AfriHerbal
    @AfriHerbal 8 місяців тому +1

    Kaz nzr

  • @HappynessLimo
    @HappynessLimo 6 місяців тому

    Nakupenda nioe bure tu

  • @AbdalaHamadi-v3k
    @AbdalaHamadi-v3k 8 місяців тому +1

    Nzur

  • @reganchacha1205
    @reganchacha1205 3 місяці тому

    Tamu sana

  • @ShamsaTwaha-zo7vs
    @ShamsaTwaha-zo7vs 6 місяців тому

    Hkk we mrangi umetisha sana

  • @AyubuJuma-b2x
    @AyubuJuma-b2x 6 місяців тому

    Asante sana mungu akupe ihsaani na afya tele

  • @bakaribakari9694
    @bakaribakari9694 8 місяців тому +2

    Tuachanee na Shari tuzungumziee Huyu video queen 👸 kwanzaaa oyaaaaaaaa weeeee

  • @Joseph-57
    @Joseph-57 8 місяців тому +1

    Keep it up brother 💪

  • @AminaAmina1-jp6vr
    @AminaAmina1-jp6vr 2 місяці тому

    Mapenzi shikaamoo❤❤

  • @ElizabethZacharia-o3j
    @ElizabethZacharia-o3j 6 місяців тому

    mwenyezimungu akufungulie lkilanjia iliofungwa kakaangu❤❤❤

  • @bornventurenatembeya9744
    @bornventurenatembeya9744 8 місяців тому

    Hongera kaka fumau. Napenda ughani wako kwa mno

  • @HusseniHassan
    @HusseniHassan 7 місяців тому

    namkubali sana juhudi nakipaji chako natamani siku napanda uringoni wewe uwe hamasa yangu mpinzani aogope

  • @FucianeBulemo-nd4wc
    @FucianeBulemo-nd4wc 7 місяців тому +3

    Kwa hiki kizazi kukuelewa ni vigum ,ila qaswida pia inakufaa

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi 6 місяців тому

    Mwananchi umetisha sana

  • @SalumKiroba
    @SalumKiroba 5 місяців тому

    Nahc nimetumbukia ktk kisima Cha mahabbbat, naona navyojifia nawe ndo Wang msaadddat, sekunde zimeshasalia nife Kwa yako mawadddat
    ... Hii ingekuwa poa sana...

  • @mohammedokwisya3291
    @mohammedokwisya3291 8 місяців тому +1

    Kongole our mentor

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 3 місяці тому

    This ❤❤❤❤❤❤❤ is great leader walllah.kpe it up.dr hussein mwinyi ❤❤❤❤❤❤❤. Mashallah ijenge znz weka legacy yako itakumbukwa milele ❤. Na in shaa Allah kwa uwezo wa Alllah ukimaliza 2030...uhai na uzima nuweke mtu wa kufata nyayo zako❤❤❤❤❤

  • @MussamuidineMuidine-oi6oc
    @MussamuidineMuidine-oi6oc 29 днів тому

    Masha Allah from mozambique 🇲🇿

  • @athmanywaomary3204
    @athmanywaomary3204 4 місяці тому +1

    Ma sha Allah kaka! ❤❤❤

  • @DecyAugust
    @DecyAugust 8 місяців тому +1

    Kali

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda 2 місяці тому

    Mashaallah uko vizuri fumau

  • @naimamagwala1368
    @naimamagwala1368 8 місяців тому

    Big up Broo ila umetushtuwa the Mwalimu Nyerere

  • @FatmaAbdulhalim
    @FatmaAbdulhalim 7 місяців тому

    Daaaah umenishitua mbrooo kumbe mapenziii hongera

  • @Thomasonlinetv
    @Thomasonlinetv Місяць тому

    MH MBOSSO ANA JUA SANA

  • @musambogamboga4259
    @musambogamboga4259 4 місяці тому

    Umeinyanyua Sanaa ya ushairi wallah

  • @abdulhatupoi5574
    @abdulhatupoi5574 8 місяців тому +1

    Pole sana kaka😂

  • @binkumbesa4181
    @binkumbesa4181 8 місяців тому

    Duh ni kweli, kila kitu kinaweza kukutoa ukisimamia ubunifu na kuchapa kazi. Mdogo mdogo jamaa anasonga mbele na Mashairi. Hongera sana

  • @Salima-nz1qd
    @Salima-nz1qd 6 місяців тому

    ❤penda sana KAZI nzuri broo,

  • @ZakiruMwamba
    @ZakiruMwamba 8 місяців тому +1

    Good job

  • @isaacwandera9002
    @isaacwandera9002 6 місяців тому

    Kazi safi sana. Taking ushairi to another level

  • @Eliza-cp1mb
    @Eliza-cp1mb 6 місяців тому

    Mungu akuzidishie uzima

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 6 місяців тому

    Nimeipendaaa iyooko

  • @kulwabundala359
    @kulwabundala359 5 місяців тому

    Woow

  • @PaulinKalekezi
    @PaulinKalekezi 7 місяців тому

    Hongera xana kijana fumau kazi nzuri xana.

  • @FatyCute-c4w
    @FatyCute-c4w 6 місяців тому

    unaimba vizur San

  • @muleereuben5197
    @muleereuben5197 8 місяців тому +1

    😢noma aiseeee fumau

  • @Salima-nz1qd
    @Salima-nz1qd 6 місяців тому

    Nimeikubali iyoo😍🥰🥳🔥

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 8 місяців тому +1

    Mashaalah ya salam ya salam

  • @AnuariMwago
    @AnuariMwago 8 місяців тому

    nakubali kk kazi nzuri🎉

  • @Badotukoproduction
    @Badotukoproduction Місяць тому

    Hongera❤❤❤❤❤❤

  • @nyenyeonlinetv9543
    @nyenyeonlinetv9543 5 місяців тому

    CONGRATULATIINS FUMAU Nisipo kupa like&subscribe sifanyi poa wallahi.

  • @jmstudio1157
    @jmstudio1157 8 місяців тому

    nemeielewa kinomanoma fumau🔥🔥🔥