❤❤oyooo Edna wetu hewani jamani njooni ote tulio miss pita likes tuendelee na🔥🔥💪wa Roma kitubua naelim kwawingi Lucas Asante Sana tunakupenda Sana mpendwa wetu mungu niwema tutaitimisha pamoja🌹🌹🏃
❤❤❤❤Yani Edna nitamu mnoo MashaAllah Anko Lucasi Ahasante sana Kwa mwendelezo wa Edna Mambo nimoto naic rufii ndio mtoto wa bi wema natamani. Edna amchukuwe rufii akakae nae nyumbani kwake❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Jamani huyu roma ananisikitisha sana jamani yaani sijui kwanini anafanya hivi kwa edna tulikua tukisema Ed Wa x kwa ankojy mpenda wanawake daaah Roma kazidi jamani lo
Sasa huyu Neema Luwazo ndo nini mtu mkubwa bule eti kuonea wivu Edna kwakubebwa na Roma nawakati yeye nimuchepuko tu jamani amakweli Roma anaro kwahiyo michepuko yake maana mimi nilisema lazima itauwana wao kwa wao kwakutaka kira mtu kubakia na Roma,eeeeeeh dunia simama nishuke mie😂😂😂😂😂
Hivi hawa wanawake wanataka kumutoa Roho Edna sasa Rachael ndo nini tena kusaidiwa tu na Roma anataka kufanya nini tena khaaaa Lazima Edna akaze moyo maana naona michepuko inaongeze kwamwendo kasi😢😢😢😢😢😢
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣hata wakiongezeka kwa kasi ya 6G bado malkia ni mmoja tu, maana anaongea ukweli mtupu kuwa hawezi kuwa na mke zaidi ya mmoja na hawezi kubadili tabia wala kumwacha Edna🤣🤣🤣
Sas ww recho umalay uwo sas ndo nn yaan wanawke wa humu wakisaidiw tu na roma wnatk wampe kitumbua na ndo wanakuw washampnda wnakera kma nn wnajal hisia zao tu cyo za edina😡😡😡
Muzehe muzima Neema Luwazo eti anataka kutolewa out khaaaaa Team Edna kazi tunayo maana michepuko imesha anza minuno kwa mwamba Roma na wivu kwa dada yetu Edna 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 lazima aone wivu,siunajua alikuwa anatafuta hela kwa mstaafu Kigombola,sasa ndiyo ameshazipata anatafuta mapenzi sasa kwa kijana ndiyo anapagawa sasa🤣🤣🤣
Jamani roma ni mchafu sana hachagui hata wakulmla uchi wake haunek aibu anamzalilisha edina bola edina aendelee kumkazia tu bola angeenda kuchukulia mbali kuliko wafanyakazi wa mke wake
Mpaka tunakaribia kuwehika kwa kumsubiria Edna😀🤣🤣🌹🌹🌹🙏
Yaan Mimi ndio siangalii kitu kingine nasubiria tu Edna naona simulizi zingine hazinikoshi😅😅sijui ndio nishaanza kuwehuka😂
Mimi kama Mimi nachukua mfano wa Edna ❤❤❤big up to her
Nimewai na mm leo🎉🎉🎉❤❤❤❤
😂😂😂haya kulikoni michepuko imeanza kuhurumiwa jmn niliwaambia hawatafua dafu kwa Edna tuendelee kuskiza tujue yanayojiri humu ndani like zenu wapenzi wangu nawapenda xn ❤❤❤
Kama wee mwananchi gonga like Leo hatupoi mpak kielewa 💚💚🖤🖤💛💛
Hengela kaka.tuko pamoja na simulizi yetu pendwa❤❤❤❤❤❤
Aminiiiiiii Asant kwadua 🇧🇮wadau Leo vipi mumekosa usafiri?😁😁😁😁😁😁🫂nawapenda ntakuja badae lakini Baba Lukasi Roma anazidi jamani yangu🦻🦻🦻
wa kwanza jaman naomba like zangu
Ayiiii wakwanza miee 40 🎉🎉🎉
Edna jamani tutakonda mana Siyo kwakusubilia huku
Jamn nime wai ak mnipe like
Waooo, kweli Roma anajua kuchaguliwana vyuma vya nguvu 😂😂😂😂😂😂
Hii ni ps kal
@@TeklaNdekeja 😂😂 kabisa😂😂 inawachanganya wadada na wamama hadi sio poa🤣🤣
Naona kitu icho Edna ngoja tuskilize
Finally Edna ndio huyoooo shukran kaka Lucas ❤❤❤❤
Kaka lucas lumbasi may allah bless you we are really enjoying 🎉🎉
Wa Kwanzaa aaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Naielewa sana hii store 😊😊😊😊
❤❤oyooo Edna wetu hewani jamani njooni ote tulio miss pita likes tuendelee na🔥🔥💪wa Roma kitubua naelim kwawingi Lucas Asante Sana tunakupenda Sana mpendwa wetu mungu niwema tutaitimisha pamoja🌹🌹🏃
ᴮᵃⁿᵃ weee😅😅😅
@@Kellyperry947 rose kifaa hicho
@@TeklaNdekeja ˢᵉᵐᵃ ʲᵒᵐᵇᵒ😋😋😋🤣
Sawa ila hamfikii. Edina kwani uzuri. Wa mtu ni tabia ninamkubali sana Edna
Ndio Edna nizaid kwanza ajieshim sana
❤❤❤kweli kabisa anko lucas usemayo maana ss wa saudia mahusiano hayadumu kwa sababu hiyo
Lucas mk2choka hata 2kwepo mnatoka nnje😂😂😂
Lucas am not feeling well bro but tuko pamoja ❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤Yani Edna nitamu mnoo MashaAllah Anko Lucasi Ahasante sana Kwa mwendelezo wa Edna Mambo nimoto naic rufii ndio mtoto wa bi wema natamani. Edna amchukuwe rufii akakae nae nyumbani kwake❤❤❤🇴🇲🇴🇲
Rose kafnyje tena uwii😀😀😀🙏🙏😍🔥🥰😘
Nice simulizi kaka lukasi
Kaka lucas sio kweli kusema roma hafurukut ilehali anauzi kl saa anakera sana huyo mtu wako mwambie ajilekebshe lasivo nyoka hatalamba unga sku zote😂
Wapili jamani team Roma likes zenu 🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Jamani huyu roma ananisikitisha sana jamani yaani sijui kwanini anafanya hivi kwa edna tulikua tukisema Ed Wa x kwa ankojy mpenda wanawake daaah Roma kazidi jamani lo
Kaka lucas t uletee na picha ya sophia alivyo mrembo kama edna 🥰🥰
Sjakuelewa jaman naomba like zenu
Rose rose rose kafany nn tena jmn kaachwa au🤣🤣🤣🤣🤣
Mmh rechol anataka kuonja utamu wa roma je roma atakubali kweli
Hawa wanawake sijuwi wanashunda ngani yani mtu akepewa nsanda basi mpaka ampe kitumbua
cjachelewa sana wadau
Kweli edina anakazi unafikili loma atamuacha ila uvumilivu unamwisho
Huyu Neema liwazo, ni mtu mzima ovyooo
🤣🤣🤣 hilo ni kubwa jinga,Liambie hilo lisijisahaulishe Bure 😂😂😂😂
Tuseme hii Edna ni Season 1 Episode 40 maana c kwa Raha hizi... Season 2 ithakuwa moto😂
Kaka Lucas tunaomba picha ya Roma
Mboga zumaridi ndani ya Edina 😂😂
Wow rose beautiful kuliko doris
Uwiiiiii na roseee ni kisuuuu kaka lukaa
Acha michepuko ianze kujichuja kwani hata wao wamemganda Roma mnoo
Namba ya michepuko yaongezeka😢😢😢😢😢
@@SarahKwekwe-dt9zx na bado,hata Eddie wa kwenye X haoni ndani kwa Roma ingawa Roma anaviruka vitumbua vingine🤣🤣🤣
Nimwkuombea usiku kucha usifikirie na leo kuacha kuachia roma
Kuwahitu kunipa like ahaaa🤣🤣🤣
Wa 17 like zngu jmn tumesbr mpk.nakata tamaa🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanz ❤❤❤😂🎉🎉🎉😢
❤❤👏
Umepunguza Lisa 😊🎉🎉🎉❤
❤❤❤Wawooo
Kaka Luka napenda Roma anavyokuw anamuita Edna dah ingekuwa mm hata nahasira nikiitwa tyu hvyo ooooohh bby wife naenjoy
😂😂😂😂 hasira zinaisha ghafla
@@Eldaheliya-zl5to au n mm tu jaman
Nice anampenda2❤ ila ankela si kidogo
😂😂
@@ChristianElias-u2j 🤣🤣🤣babywife ndiyo very special, wewe yeye anatikisa ubongo wa mfalme Pluto hadi anajipanga akitaka kumbembeleza🤣🤣🤣🤣🤣
Mhhm 😂😂😂😂😂 jamani hii zawadi ya Roma sijui vipi jamani 🤣🤣🤣 khaaa na haya maamuzi ya mfalme 😂😂
Twende nalo hadi mwisho❤❤❤🎉🎉🎉
🤣🤣afande KWEKA 😅😅
Lucas leo umetupunja😢
Sasa huyu Neema Luwazo ndo nini mtu mkubwa bule eti kuonea wivu Edna kwakubebwa na Roma nawakati yeye nimuchepuko tu jamani amakweli Roma anaro kwahiyo michepuko yake maana mimi nilisema lazima itauwana wao kwa wao kwakutaka kira mtu kubakia na Roma,eeeeeeh dunia simama nishuke mie😂😂😂😂😂
Wanajisahau😂😂😂😂pole kwao
@@MariahMariahmambo yani sijuwi kwanini wanataka kumuweka Edna roho juju kira wakati😢😢
Rose mrembo hata Doris hamfikii
Umeonae kwel kwa michepuko hyo ps
Jmny❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
😂😂😂mheshimiwa Senga anaongozwa na hasira na kuwa kama mpumbavu bila kuwaza mambo ya msingi 😂😂😂
Na sasa ameona umuhimu wa Roma nawakati yeye yupo kwenye vikao visivyo na maana😂😂😂😂
Hivi hawa wanawake wanataka kumutoa Roho Edna sasa Rachael ndo nini tena kusaidiwa tu na Roma anataka kufanya nini tena khaaaa Lazima Edna akaze moyo maana naona michepuko inaongeze kwamwendo kasi😢😢😢😢😢😢
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣🤣hata wakiongezeka kwa kasi ya 6G bado malkia ni mmoja tu, maana anaongea ukweli mtupu kuwa hawezi kuwa na mke zaidi ya mmoja na hawezi kubadili tabia wala kumwacha Edna🤣🤣🤣
@@avelinabaluhya2804 mimi nashangaa jinsi wanavyo jiachia kisa wamesaidiwa inakera sana
Leo nimewai kidogo
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Asante kaka Lucas ❤
🎉
❤❤❤❤❤
Lucas umetisha mno hata mi naamini Hilo fimbo ya mbali haiui nyoka
Sas ww recho umalay uwo sas ndo nn yaan wanawke wa humu wakisaidiw tu na roma wnatk wampe kitumbua na ndo wanakuw washampnda wnakera kma nn wnajal hisia zao tu cyo za edina😡😡😡
Rais SENGA alimkataa mtoto wake Roma, Bali atakuja kumkbal mda s mref
Hata hapo kishaonekana kubwa jinga mbele ya watu na babake
👏💪🤣🤣
hata nami mnipe likes plz❤
Hizi hapa na🌷🌹❤️
@@TeklaNdekeja asante 🙏 dear
Muzehe muzima Neema Luwazo eti anataka kutolewa out khaaaaa Team Edna kazi tunayo maana michepuko imesha anza minuno kwa mwamba Roma na wivu kwa dada yetu Edna 😂😂😂😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 lazima aone wivu,siunajua alikuwa anatafuta hela kwa mstaafu Kigombola,sasa ndiyo ameshazipata anatafuta mapenzi sasa kwa kijana ndiyo anapagawa sasa🤣🤣🤣
@@avelinabaluhya2804 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nahizo wivu zake sasa kama binti vile
@@Evelynmoreen3655 🤣🤣kipofu kauona mwezi 😂😂 ameijua tamu sasa kwa Kigombola hakuionja ya hivyo🤣🤣🤣pole yake anadhalilika mkubwa mzima🤣🤣
@@avelinabaluhya2804 mi naona mwisho wa siku waha michepuko watakuja kuuwana wao kwa wao mi yangu macho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mnaweza sema roma nimalaya lkn wanawake wenyewe wanajileta kwa roma na wanaume kukataa kutumbua sirahisi sana maana hao hisia zao ziko rahisi sana
Rose kafanyaje Jaman
❤❤❤❤🎉
Edna.uko.na.kazi.mwaya😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
Muanatuchanganya sana
Wow 😳❤❤❤❤❤❤
Rose kafanya nn
cha chelewa bana
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉❤
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kumbe ulikosea Rose badala ya Recho
🤣🤣hapo kwa ZUMARIDI nimecheka kama mjinga 😃😃😃
Umecheka kama mm jamani nikasema sasa zinazidi katoka wapi tena
@@Eldaheliya-zl5to 🤣🤣Yani huy Lucas ngoja utasikia MWAMPOSA 😃😃
@@ZenaidaDaniel-r9d 🤣🤣🤣🤣🤣 aah Zumaridi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@avelinabaluhya2804 🤣🤣Yani huyu Lucas 😅😅😅
Rose kimemkuta nini tena,ila Roma bhn ok nami ntapanda baiki na 😊
Rose ni mremb jamn
Sana❤
Asante lucas roma
Mmmh hapoi
Present sir
Edna watafanya harusi lini
Bismillah kumekucha❤ Mapenzi ya mbali tuna zimiyana sim😂😂😂
Hiii kitu tamu ala rooma michepuko 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Jamani roma ni mchafu sana hachagui hata wakulmla uchi wake haunek aibu anamzalilisha edina bola edina aendelee kumkazia tu bola angeenda kuchukulia mbali kuliko wafanyakazi wa mke wake
Jaman mm napenda hela 😂😂
Bismillah❤ Minah baby yake roman
Hiiyaleokali vampa ametisha adinaogopa kulala
Nimewai na mm leo🎉🎉🎉❤❤❤❤
❤❤❤
🥰🥰🥰
❤❤❤❤
❤❤❤