MCHUNGAJI ASILIMU | ASIMULIA MAGUMU ALIYOPITIA | NILIKUA MUISILAMU NIKABATIZWA | NIMEWAPOTEZA WENGI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 464

  • @donaldmpagaze9803
    @donaldmpagaze9803 Рік тому +9

    Mungu ni mwema na akuongoze uwe na amani kwa maamuzi yako ukweli utabaki kuwa ukweli na naamini Mungu anakuona na anakusikia nakutakia safari njema

  • @shamzone388
    @shamzone388 Рік тому +9

    Taqbir
    Allah akbar...
    Mungu akuzidishie iman ktk dini ya haki ya kiislam...

  • @hassandinhoosmail6378
    @hassandinhoosmail6378 Рік тому +8

    Allahu Akbar. May Allmighty Allah SW. Protect you Brother Ashraf.🙏❤️

  • @beduikubwa189
    @beduikubwa189 Рік тому +6

    Alhamdu lillha walaa haula walaa quwwata illa billha allha authibitishe moyo wako katika uwisilim na akuongoze na akupe elimu na faham na yaqini aamin

  • @mdoekibai3991
    @mdoekibai3991 Рік тому +5

    Shekhe muhamed nilikuwa nakuona muumini wa kawaida kumbe unavyombo vya maana Allah akuzidishie inshallah

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Рік тому +7

    Ukimsikiliza vzr huyu jamaa UNAPATA kitu Fulani kwamba alipobatizwa aliambiwa amekua kiumbe kipya, lkn Leo amesema anarudi kwenye Imani yake ya zamani maana ndugu zake wazazi wake wote wanaimani ileile, akasema dini ina lugha moja.kitabu kimoja,na namna moja ya ibada, lkn akasema ukristo unakua Sana kwaajili ya umoja wao, nadhani hakua na Neno la KUTOSHA kujazia maelezo kwamba YESU amesema waliomwamini wanatembea nuruni ,na kwamba aendae nuruni aiona njia kwahio umoja upo maana wako nuruni.pia hajasema alikua Mchungaji kanisa lipi mkoa upi wilaya gani Kijiji kipi. Pia wachungaji huwa wanamhubiri YESU lkn huyu asema alikua akihubiri ukristo kwenye MAKANISA Yote Tanzania ,Yani Roma,KKKT Anglikan,movovian,Assemblies of God ,pentecoste ,AIC.Menonite ,Ephatha,Ufufuo na uzima, kanisa la Kristo Nk nk nk

  • @hamisimkima117
    @hamisimkima117 Рік тому +13

    😭😭😭😭😭😭😭☝🏿🤲🏿🙏🏿 Allah Akupe Mwisho mwema

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 Рік тому +6

    Allaahu akbar, Allaahu Akbar! Maa shaa Allaah

  • @mrok284
    @mrok284 2 роки тому +20

    Allah atuongoze sote . Atuepushe na ubabaifu wa Imani. Tumekuwa waislamu na Allah atufeshe tukiwa waislamu. Amin

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Рік тому +4

    Waisilamu tusomeni tusikurupuke tukafanya uisilam km vyama vya siasa au imani nyenginezo. Leo upo huku kesho upo kule....Tunajua hukmu ya ritadi anaporudi kwenye uisilam, Allah amkubalie toba yake, amuhuishe, amfishe na amfufue hali ya kua muisilam, amiin.

    • @samxx411
      @samxx411 Рік тому

      Wallahi baadhi ya watu wanamtania Mungu, wanadhani Mungu ni kiumbe cha kutaniwataniwa. Mtu anamuhofu Simba, Kiongozi hata shetani wakati ukubwa wa Mungu hakuna chochote chenye uwezo wa kuufikia. Mungu atuongoe

    • @saidgana3047
      @saidgana3047 Рік тому

      Inshaallah

    • @rukiasubeti4055
      @rukiasubeti4055 Місяць тому

      ​@@samxx411omo ombi

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 2 роки тому +12

    MashaAllah tabarakallah welcome back brother to the our dinil hakki Allah akuhifadhi na akusamehe ulipoteleza

  • @peternjelutv1273
    @peternjelutv1273 Рік тому +3

    Neema bado ipo kijana rudi kwa YESU, Kwahiyo kilicho kurudisha ni kwa sababu ndugu walikutenga ulikuwa bado auja okoka wewe, Wokovu au kumfwata Yesu nikukubali kutengwa na ndugu jamaa au marafiki ambao watainuka kinyume na Imani yako.

    • @monicajohn9672
      @monicajohn9672 Рік тому +2

      Tumsamehe hajui atendalo, nina imani kuna ck atarudi kwa Yesu. Yesu aliwaambia akina Simon waache vyote walivyonavyo na wamfuate yy, ss yy anazungumzia ndg ck ya hukumu atakwenda nao?

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 Рік тому

      @@monicajohn9672 musome bibilia muelewe na nyinyi mwenzenu kashaelewa bibilia na ndo mana akasilimu alijua yesu ni mtume sio mungu yesu alitangaza aabudiwe mungu mmoja watu waswali na kumsujudia mungu mmoja nyie munaabudu yeye kwani mandiko hamyaoni na mkiyaona mutaslimu tu inshallah mungu awaongoze

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Рік тому +7

    Kimsingi wewe hujawahi kuwa mkristo maana hata katika mazungumzo yako hufanani na Kristo,,,, naona umeamua kurudi upande ulioona kwako ni sahihi nenda mwana kwenda tuachie Yesu Kristo wetu maana YEYE NI NJIA KWELI NA UZIMA,, NA MTU HAWEZI KUFIKA MBINGUNI BILA YESU KRISTO.....

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 Рік тому

      Mwenyezimungu akuongoze njia sahihi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Рік тому

      Sijakuelewa vizuri Teddy maana yake huwezi kufika mbinguni bila kupitiya kwa Yesu ili ufike kwa Yesu? Nifafanuliye vizuri

    • @mussamsanu1544
      @mussamsanu1544 Рік тому

      Ni sawa Yesu ni njia huwezi kwenda mbinguni mpaka upitie kwake. Lakini ni wanani hao ambao hawawezi kwenda mbinguni mpaka apitie kwa Yesu. Yesu anatoa jibu anasema "Sikutumwa ila kwa kondoo wa nyumba ya Israel waliopotea." MATHAYO 15 : 24. Kwa hiyo ndugu usijifarague bure. Ni kawaida yenu kukataa pale anapotokea mkristo àkasilimu, ila mnapowarita waislamu wa kupanga. Huyo alikuwa mkristo hilo halinashaka hata kidogo.Hao akina Mwaipopo hawakuwa wakristo mnona hamkanushi? Acheni porojo mtaangamia bila ya sababu.

    • @Nily-kz3db
      @Nily-kz3db 3 місяці тому

      Yesu N Njia Mt2 Haend Kw Baba Ilaa Kuptia Mm Yesu ,mbn Unanfcha hapa, Ndugu Yet2,Yesu Mtume Ana Mungu wake,tunashngaa mnatangaza Kua Yesu Mungu,Sasa Kuna Mungu wawil nyie wakrsto

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Рік тому +5

    Majini yamekuzidi na njaa zimekuzidi umeshindwa kuyadhibiti Majini na Familia ukaona urudi kutumikia Majini pole sana

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      MAPUNDA WEWE NI KONDOO WA VATICAN.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Рік тому

      Njaa itokee wapi wakati alikuwa kanisani mahali penye pesa....huku kwetu hakunaga pesa bali kaijua HAKI na ndiyo aliyoirudia baada ya kuijua KWELI @ Charles

    • @Motheking-ps2tl
      @Motheking-ps2tl 2 місяці тому

      Yesu aliongea na majini uso kwa uso. Marko 5:9

  • @Antipasmsabaha123
    @Antipasmsabaha123 Рік тому +4

    Huyo ni njaa ndo inampeleka huko na kuona , we muna mujua ayubu alipataka mateso gani? Hata mu badirishe majina sio moyo, na huko Kija na muna munulia gari mbili imoja inagonga moter ingine ajali kisha hapo ataenda kwa dini gani? Ndo wale doctor mwaka alisema hivyo munaona mpya kabisa.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 роки тому +14

    Allah awarudishe wote walio potea

  • @mohammedsaleh7241
    @mohammedsaleh7241 Рік тому +4

    Alhamdulillah mungu awafanyie wepes na wengine wapate kuijuwa dini ya haki

  • @aishambega4118
    @aishambega4118 Рік тому +5

    Alhamdulilahi Allah Karim naomba na mimi na sisi wote waja wa Allah atuongoze kwenye uislamu njia ya haki na ya kweli naomba na kizazi changu pia kielekee kwenye haki inshaallaah

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Рік тому +4

    ALLAH kasema "thumma kafaru thumma tabu" ulikufu na umetubu. Tunamuomba ALLAH akusamehe madhambi yako.

  • @soudshanani5847
    @soudshanani5847 Рік тому +14

    "utawaona watu wana ingia dini ya mwenyezimungu makundi kwa makundi"Quran ilishamaliz yote hya Allah azid kuwapa sahal waja wake walio poteaaa

  • @godphreypriest9714
    @godphreypriest9714 Рік тому +6

    Luuka 22:48 Yesu akamwambia Yuda,wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
    Ulivyomkana leo mbele ya wanadamu uwe na hakika Mwana wa Adamu takukana mbele ya malaika zake siku ya Hukumu ile kuu
    Dini(al-mustaqim)..ndiyo inakufanya uache WOKOVU(Uzima wa milele)?
    Ayubu 4:6Je!Dini yako siyo mataraja yako,Na matumaini yako sio huo uelekevu wa njia zako?
    1Yohana 2:19 Walitoka kwetu,lakini hawakuwa wa kwetu,Maana kama wangalikuwa wa kwetu,wangalikaa pamoja nasi.Lakini walitoka kwetu ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.
    1Petro 2:20-22 Kwa maana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua BWANA NA MWOKOZI YESU KRISTO,kama wakinaswa tena na kushindwa,hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza.Maana ingekuwa heri kwao kama wasingalijua njia ya haki,kuliko kuijua,kisha kuicha ile amri takatifu walitopewa.Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli.MBWA AMEYARUDIA MATAPIKO YAKE MWENYEWE,NA NGURUWE ALIYEOSHWA AMERUDIA KUGAA-AA MATOPENI.
    Sahihi Muslim vol 4,Hadith no 2267 Allah ndiye atiaye tamaa mbaya mbaya,uongo,uasherati katika nafsi za watu kila mmoja humkadiria kwa kipimo chake
    Qrn 3:54 Wamakaruu wamakaraa ailah,walah kaitor makiriina

  • @georgenkaya905
    @georgenkaya905 Рік тому +20

    Msidanganyike huyu hajawahi kuwa mchungaji alikiwa mwinjilisti na ameondolewa kazini kutokana na tabia zake zisizoridhisha asiwadanganye kupata umaarufu akumbuke Mungu hadhihakiwi

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l Рік тому +2

      Umenena😄

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Рік тому +3

      Hakuna mchungaji hapo huyu uzinzi ndio umemtoa huko tabia za Waislam ni kuoa Wanawake wenye umri kama Mama zao na Vitoto vidogo ambavyo havijitambui na ukute bado kinatakiwa kusoma lakini wanawakatisha masomo na Kuoa wanawake wengiwengi yote hayo Mtume wao kafanya eti na wao wanaiga huo upuuzi sijui akili za hawa watu zikoje

    • @shamzone388
      @shamzone388 Рік тому +2

      @@charlesmapunda5905 wewe una dini yako na yeye ana dini yake...
      Kwa hiyo tulia tu

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Рік тому +3

      @@shamzone388 Tutulie ili azidi kuongea uzushi huyo muongo alikwenda kujifunza Biblia ili aje kutumika kwa upotoshaji na wasio.jua kabisa Biblia basi kila atakalo sema waislam lazima wamkubalie maana hawana upeo wa kuyajua maandiko kiroho

    • @amijeyjeymiwani7466
      @amijeyjeymiwani7466 Рік тому +1

      hujui ulisemalo bora ukaekimya

  • @imanimaseta8172
    @imanimaseta8172 Рік тому +6

    Huyo hakuwa Mchungaji muulizen vizur ,azijikweze.

  • @ezekielleonidas5798
    @ezekielleonidas5798 Рік тому +4

    Siamini kama mtu aliyepokea Roho mtakatifu anaweza akawa mwisilam maana ametiwa muhuri hata ameshapita kutoka mautini kuingia uzimani na ametiwa muhuri hawezi kurudi dhambini waefeso 4:30

    • @odingamalambilo9070
      @odingamalambilo9070 Рік тому +1

      Yohana 3:17, Huwezi kumpokea Yesu ukarudi nyuma , maana Yesu mfuatilie hajawahi kishindana

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Рік тому

      Kama unakataa mtafute youtube

  • @benedictntilla6943
    @benedictntilla6943 Рік тому +2

    Kumbe ameondolewa kwa sababu ya maovu yake sasa kwa akili yake anadhani anawakomoa wakristo kumbe waumini ambao alikuwa nao wanamuona pole sana.

  • @innocentmorice1690
    @innocentmorice1690 Рік тому +3

    HUYU JAMAA NIMSANII
    SIYO MCHUNGAJI WALA
    ALIKUWA MIINJILISTI KEKEI TI AKAFUKUZWA ASI DANGANYE KUWA ALIKUWA MCHUNGAJI
    KAFILISIKA HUYO

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Рік тому +3

    HAINA SHIDA ULIKUWA DINI AWALI NA UMERUDI DINI, HONGERA SANA KWA KURUDI KWENYE DINI...SISI YESU KRISTO MWANA WA MUNGU NDIYE KILA KITU KWA MAISHA YETU HAPA DUNIANI NA BAADAYE, HUKUFSNIKIWA KUMUONA HIVYO HUJAWAHI KUMJUA, RUDI GIZANI KWENU NA USIRUDI TENA....

    • @prophetislael5265
      @prophetislael5265 Рік тому +1

      Usichukie mtumish kumbukumbu 30=19
      Mungu katupa kuchagua muache achague mwenyewe

    • @mathayomwashambwa1238
      @mathayomwashambwa1238 Рік тому

      @@prophetislael5265 UNAJUA KUINGIA DHEHEBU AU DINI YA KIKRISTO WATU HUDHANI WAMEKUTANA NA KRISTO, HUYU KIU YAKE HAIJAWAHI KUONANA NA KRISTO NA KUFUNULIWA ILE MITO MIKUU YA MAJI...WALA SIJAKASIRIKA, ILA UNAJUA TU KUWA KUNA SIRI KUBWA KATI YA MTU KUKUTANA NA BW. NA KUPATA TOFAUTI YA KULE ALIKUWA NA UPYA AUPATAO...HII NI CHANGAMOTO KWETU...

    • @ezekielleonidas5798
      @ezekielleonidas5798 Рік тому +1

      Hakika

    • @janemujuni764
      @janemujuni764 Рік тому +1

      Hakuna kilichoharibika,huyo hakumfuata YESU KRISTO alifuata dini na ameirudia dini,

    • @aizackmaiko487
      @aizackmaiko487 Рік тому

      kweli kuchanganyikiwa,sio mbaka uokote makopo,,utavuna

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Рік тому +5

    Pole kwa yaliyo kukuta nafasi ipo kwa YESU

  • @husseinmohamedjama6316
    @husseinmohamedjama6316 2 роки тому +3

    Ma sha allah tabarakallah
    Karibu ktk Uislamu tena Allah akudumishe ktk Uislamu wewe na sisi sote atufishe hali ya kuwa ni Waislamu.
    Kama kuna namba ya M pesa tunaomba tuchangie sadaka ya Msikiti Barakallahu fii kum

    • @BABDEOMILADU
      @BABDEOMILADU  2 роки тому

      Namba yake ipo hapo kwenye video inapita, au mwsho huko kaitaja

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Рік тому

      Na amfufue muisilam, amiin.

  • @bauchatv5008
    @bauchatv5008 2 роки тому +4

    Mashallah mashallah mashallah Allah amuongoze KATIKA inami Inshallah

  • @shakila3982
    @shakila3982 Рік тому +3

    Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunitoa katika ukafir

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Рік тому +3

    🇹🇿Maashallah karib waislamu sote ndg wala usihofu🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @user-zt6re1dr5f
    @user-zt6re1dr5f 8 місяців тому +1

    Takbiiiiiiiiir,Allahu Akbaru

  • @bonifacemlinda7196
    @bonifacemlinda7196 Рік тому +3

    Ukirsto ni imani iliyo sahihi na kweli na haulazimishi watu wamfate yesu kwa nguvu bali kwa hiari na kumwamini yeye.

  • @deusaron7951
    @deusaron7951 Рік тому +4

    Msichukie ndugu zetu siku zote haki inashinda uislam ni dini ya haki .hakika kauli ya Allah cku zote inashinda sasa watu wanaingia ktka dini yake makund kwa makundi

    • @humphreymsengi6686
      @humphreymsengi6686 Рік тому +1

      Ni andiko lipi katika dini yoyote ile inayosema dini ya Mungu ni dini fulani?

  • @mariamhamad4171
    @mariamhamad4171 Рік тому

    Bismillah mashaallah yaallah msameh mjawakohuyu naumjaalie mwishouliomwema umpejannat Firdaus aamin

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 Рік тому +5

    Kweri Mungu ni mkubwa ,unachokitafuta utakipata wewe mdhalilishe YESU . Tuna kuomba husimdhalilishe YESU wewe Rudi na endelea na mambo yako hatujui ulikwenda Ukiristo kupeleleza au .Tunakutakia mema na husimdhalilishe YESU.Guts

    • @yohana1242
      @yohana1242 Рік тому

      Atamzalilishaje yesu sas🤣kweli wakristo mumepotea kweli na mioyo yenu ilivo migumu yesu ni nabii wa mungu waslam sote tunamkubal yesu ni mtume wa mungu kma alivo mtume wetu Mohamad na ndo mtume wa mwisho yesu alitangulia tu kabla yake na mitume wengine walokuj mwanzo

    • @yohana1242
      @yohana1242 Рік тому

      Hamtaki kuisom tatizo Quran nyinyi wakristo ndo mana mnapotea

    • @abdallahmbunda8789
      @abdallahmbunda8789 Рік тому

      Uelewa kitu muhimu sana unamwambia mtu njaa imemkimbiza ukristo kuna njaa pia unaandika kamkimbia yesu kivipi wakati waislamu wanamfuata kwa haki matendo hata sala zote alizokua anasali yesu ndio waislam pamoja na matendo ya yesu yote changia unachokijua kama hujui uliza linj yesu aliingia kanisani?•

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Рік тому +4

    MASHA ALLAH

  • @tanga_father
    @tanga_father Рік тому +1

    Utabili uliotabiliwa kwenye vitabu umekamilika, watatokea manabii wa uongo, hongera ndugu kumfuata mwenyez mungu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Рік тому +5

    Yesu asifiweeeeee

  • @danielerio5615
    @danielerio5615 Рік тому +2

    Kawaida mtu anakua na majina matatu mbona umesema mawili tu wewe niwa mchongo humpati mtu apa

  • @AbdalaRamadhani-by6bt
    @AbdalaRamadhani-by6bt Місяць тому

    Polesaanaa kwa upotevu uliopitia Allah akuongoze katika haki iindio dini ya haki

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Рік тому +2

    😭😭😭😭😭😭😭Allah akutangulie kuyarekebisha yote na kuwarudisha dini ya haki na sote tuwe na mwisho mwema allahumma ameen 🤲🤲🤲🤲☝💪

    • @AliMahmoud-tj2jb
      @AliMahmoud-tj2jb Рік тому

      Ww nafsi yako naona haijatulia inaelekea una tamaa ya kimaisha,lakini m.mungu atakuongoza njia iliyo nyooka

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Рік тому +12

    Yesu amesema uki nikana na mimi nakukana siku ya mwisho.

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 Рік тому +2

      Wewe sisi kwaza ndio tunampenda Issa bin maryam ni mtume wetu pia

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 Рік тому +1

      Wee ndie unmkana yes s hyu shkh Alie jisalimisha kwa Allah

    • @shakila3982
      @shakila3982 Рік тому +1

      Jesus is our prophet, and we love him,

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 Рік тому

      @@shakila3982 we yes ni muyahud wa islair c kwa wote

    • @hassanhhh8651
      @hassanhhh8651 Рік тому

      Huyo huyo yesu atakuja kumiambia falaa talumun walumun anfusahumu wala musinilaumuni mimi bali zilaumuni nafsi zenu

  • @bonifacemlinda7196
    @bonifacemlinda7196 Рік тому

    Mmoja akimkataa yesu maelfu ya watu wahitaji wanakimbilia kwake maana yeye uwarehem wote wamtafutao pasipo kuchungulia dini zao . Maana yesu hana dini maana ahitaji mioyo ya watu itakasike na kuacha maovu.

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Рік тому +2

    Sula tu inaonekana ulikua mzinzi na umeasilika sula inaonesha huwezi kuwa mchungaji kabisa wewe ni mzinzi unaonekana umehalibu mabinti wengi sana na malipo yapo hapahapa na usije ukawamaliza mabinti wakiislam huko wawe macho

  • @christinambwilo8101
    @christinambwilo8101 Рік тому +3

    Mungu akusamehe

    • @selemanimartin1081
      @selemanimartin1081 Рік тому

      Jiombee nafsi yako, yeye amesharudi ktk njia iliyo nyooka: utajuta siku hiyo usipo badilika kuwa Muislam

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Рік тому +3

    Asalam alykum www karibu tena kwenye dini yahaki nakutoka kwenye giza

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Рік тому +1

    ALLAH AKUSAMEHE
    NA AKUPE ELM YENYE MANUFAA

  • @januarynicholas8088
    @januarynicholas8088 Рік тому +1

    Mbona nikawaida mimi nampenda Yesu wangu nasitamwasha

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 Рік тому +1

      Sasa inatuhusu Nini

    • @salumsodangu1372
      @salumsodangu1372 Рік тому

      Hata waislam wanampenda yesu Sana Tena Sana Zaid ya nyinyi ambao mnamzushia kua mungu, mwanawa mungu,kafa msalaban,mala kafufuka na mengine mengi mfano wa hayo .

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому +2

    Takbir!!!!

  • @BenjaminHenry
    @BenjaminHenry Рік тому +2

    Pole sana ndugu yangu.

  • @yakobomkristo872
    @yakobomkristo872 Рік тому +3

    Ukimaliza Kurudi Nyumbani 👉 Rudi Mjini Kama Mzee Taarabu 😂😂😂🤸🤸🤸

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Рік тому

      Yesu kasema ukinikana na mimi nitakukana siku ya kiama

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Місяць тому

    You are well come brother may Allah bless you Ameen🤲

  • @hanifadarwesh4851
    @hanifadarwesh4851 Рік тому

    Assalam alaykum karibu akhy.Kila mwanaadamu nimkosa nambora wamakosa nimwenyekutubia tunamuomba Allah akupeistiqama yakumuamini yeye na atupe mwisho mwema. Simama kwenye haki hutojuta.

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 2 роки тому +2

    Takibiiiiiiiiiiiiiir anlahu akbaru

  • @joank7929
    @joank7929 Рік тому +2

    Cha giza ni cha giza, cha nuru ni cha nuru. Hivi kwanini watu wanatumia nguvu nyingi kuongelea imani za wengine vibaya?🙄🙄 Nafikiri kama una uhakika wa kile unachoamini, basi tumia muda wako na nguvu zako kumkaribia Mungu wako. PERIOD.

    • @mariamsindano1953
      @mariamsindano1953 Рік тому

      Ni kweli kabisa unachosema,

    • @daniellaiser4672
      @daniellaiser4672 Рік тому

      Hawana cha kuhubiri kwenye dini yao.huyu ni agent wa shetani na alipoenda ukristo kama ni kweli alienda kudadisi na kama ni kweli Yesu atamkana mchana kweupe

  • @angelnyinge4139
    @angelnyinge4139 Рік тому +5

    MWANZONI NILIPOSOMA KICHWA NILICHANGANYIKIWA SIO UTANI. ILA NILIPOSIKIA TENA KUWA ALIKUWA MUISLAM aii! hainipi shida ameona kuwa kwa YESU wetu hakuna mchezo kwa hiyo kumemshinda kaona bora arudi kwao. UKIJA KWA YESU KWA KUJARIBU LAZIMA URUDI RIVASI ULIKOTOKA. Chezea JESUS wewe

  • @oman7710
    @oman7710 Рік тому +2

    Masha Allah

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl 2 місяці тому

    Kiukweli kama ni kuabudu mungu ni kuwa mwislam. Kama ni utajiri waaraka na kuabudiwa asiekuwa mungu ni kuwa mkristo.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Рік тому +2

    Mashaallah

  • @Yesunimwokozi1
    @Yesunimwokozi1 11 місяців тому

    Umeijua kwel..na sasa umepotea tena... YESU ATAKURUDISHA KWAKE TU

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Рік тому +2

    Mashallah Allah ❤❤

  • @aaSs-yf8oq
    @aaSs-yf8oq Рік тому +3

    Yesu ni Mungu na ni njia kweli na uzma ya kufika mbinguni.

    • @sulemanisaidi9975
      @sulemanisaidi9975 Рік тому +3

      Hujielewi wewe tokalini binadam akawa mungu

    • @selemanimartin1081
      @selemanimartin1081 Рік тому

      Mental retardation.

    • @mudiali4506
      @mudiali4506 Рік тому +1

      Yesu awe Mungu awe mtoto. Vip wee Inakuaje. Hlaf huyo yesu Mungu atahiriwe sjui hapo elewa wako una matatizo

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Рік тому +4

    Njaa ni mbaya jamani.

  • @aliali-wc3sg
    @aliali-wc3sg 2 роки тому +2

    Mashallah

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Рік тому +5

    Kama wewe ni mtoto wa giza nenda kwenye giza, kama wewe ni mtoto wa Nuru Yesu anakuita tena njoo atakusamehe na atasahau maovu yako yote YESU ni BWANA

    • @babauna3458
      @babauna3458 Рік тому

      Wewe kafiri endelea kuabudu kiumbe yesu.

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 Рік тому +3

      @@babauna3458 Yesu ni Mungu milele yote ndiye Bwana na mwokozi wa maisha yetu binadam wote

    • @digitaldevelopers932
      @digitaldevelopers932 Рік тому

      @@odhiaodhia9898 Lete andiko linalosema yesu ni Mungu. Analoongea mwenyewe, na si la wahadithiaji.

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Рік тому +1

    Waislamu tunapigwa Sana tunadanganywa huyu ni mchungaji wa kanisa Gani ,,? Tunapigwa hapa huu ujanja unja ni shida

  • @shekhamuhham9044
    @shekhamuhham9044 Рік тому

    Mashallah Barakallah fiika

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Рік тому +3

    Huyo hajaokoka

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Рік тому +2

    Kutengwa na ndugu ndio kumesababisha umuache YESU? Ninachoona hukupata mafundisho sahihi

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Рік тому

    Bwana Yesu bado ni mwokozi tuuuuu Kwa wt watakao mwamin.i

  • @ShebaniNyando-d3u
    @ShebaniNyando-d3u 29 днів тому

    Allahu Akbar

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 Рік тому +1

    SubhanAllah

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 Рік тому +2

    Ma shàa Allah Mungu akuongoze in shàa Allah

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 Рік тому +2

    Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah Ma Shaa Allah

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Рік тому +3

    Kaka sitaki kusema sana ila nakuomba kuwa makini maana huenda ikakuletea shida
    Lakini pia siku hizi tumekua na waumini wa mihemko ambao hawataki kujifunza ukweli
    Kwa maneno Yako unaonekana ulikua pandikizi ulipelekwa kule Ili ukitoka uvuruge amani ya kabisa ila hata hapo patakushinda

  • @wardw3022
    @wardw3022 Рік тому +1

    Allah Akbar

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 Рік тому

    Neno la mungu linasema.mwenye dhambi mmoja atubupo maraika.wote.mbinguni wanashangilia. . mshangilieni huyo kondoo.aliyepotea amerudi zizini. Injili ya yesu.iko wazi kabisa.kwenu wote. Ukweli ukowazi .dhamani ya yesu.juu ya ulimwengu ni.kubwa mno. Kilamtu anatakiwa kuijua dhamani.hiyo awesalama. Yohana 14:6. Yohana 17;1.. 4. Manenohaya. Yananguvu sana anayesoma atafakari. Yesu.akimbiliki pole. Mchungaji bora ungerudi na kunyamaza.kimya. Sasa umekuwa sauri. Numa yako yuko yesu ukotayari kuficha ukweli

  • @rahmasoliman489
    @rahmasoliman489 Рік тому +1

    Maashaallah

  • @brasolebasoto2434
    @brasolebasoto2434 Рік тому +4

    Mnajua sana kuigizaaaa

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Рік тому +1

    Hizi ni dalili za Qiyama Allah amesema katika Qur-an tukufu
    Utawaona wakiingia katika dini ya hakki makundi kwa makundi ALLAAHU AKBAR

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Рік тому +2

    MashaAllah

  • @issaidi
    @issaidi Рік тому +1

    Masha’Allah

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 3 місяці тому

    Wakristo tuendelee kuamini makka yenyewe wamevamiwa na manzige laana ya mwenyezi Mungu inawapata kwa kuabudu mwezi lkn bado hawaamini ipo siku

  • @josephmanyambania5404
    @josephmanyambania5404 Рік тому +1

    Afadhali amerudi alikotoka. Hao wapo wengi jihadharini sana nao.

  • @shadrackwilfred2606
    @shadrackwilfred2606 Рік тому +3

    *Yesu ni Mungu Wa Wote* acheni kuamini Uongo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Рік тому +1

    ASHRAF NAKUNASIHI KUSOMA,UISILAM NI DINI YA ILM

  • @halimadeulle3286
    @halimadeulle3286 Рік тому +2

    Ushaipata fursa ya kuozesha c ulikua unataka kuzka kazke

    • @allymuhamed7295
      @allymuhamed7295 Рік тому

      Mbona jina lako na kinywa chako ni tofauti sana wewe Halima. 😒 acha udhali wa hovio.

  • @user-xd5op9nn5c
    @user-xd5op9nn5c Рік тому

    Unakumbuka ulichonifanyia Mungu anakuona kwakwel

  • @dusabearafatrwigema9248
    @dusabearafatrwigema9248 Рік тому

    Allah akbar

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 Рік тому +1

    Sasa kwani ulilogwa had ukaritad, au ni kwa ajili ya njaa.

  • @sophiajuma6798
    @sophiajuma6798 Рік тому +1

    ALLAHU Akbar

  • @hiarijuma2684
    @hiarijuma2684 Рік тому

    KAMA KWELI. TUMIA JINA ULIOPEWA NA MZEE WAKO

  • @lawimichaelwerewere7619
    @lawimichaelwerewere7619 Рік тому

    Tapeli tu akuna kitu apo endelea na utapeli Yesu atakujibu

  • @bonifacemlinda7196
    @bonifacemlinda7196 Рік тому

    Wewe ndugu kwa yesu hakuna ubabaishaji wala unafiki madam umetoka mwenyewe. Yesu yeye ni yule yule hageuzwi na maneno yako kuwa mengi

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Рік тому +1

    Siku ya hukumu tutajionea maajabu mengi.Mungu tusamehe .mahangaiko ni mengi mno.Binadamu sisi looh😳

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 Рік тому +1

    Unatuchanganya yu

  • @theopistangwaulanga4894
    @theopistangwaulanga4894 Рік тому +3

    Kwanza nashauri mbadirishe hiyo title maana hakuwa mchungaji, aliyeandika abadirishe tafadhali maana mnatukanisha wachungaji wetu hakuna mchungaji wahivyo kwakweli

    • @mohamedishemtuhu8305
      @mohamedishemtuhu8305 Рік тому +1

      Hivi ww unaosema hakuna mchungaji waivo kwani niwangapi waloslimu au ww hujui kua dini anaoitambua mungu niuislam?

    • @mohamedishemtuhu8305
      @mohamedishemtuhu8305 Рік тому +1

      Ukristo nibiashara tu

    • @samxx411
      @samxx411 Рік тому

      Kwani akiwa mchungaji ndo itakuwa nini? Mtakufa au, huyu tufanye sie mchungaji ni mtu tu wa kawaida, katika uislamu mbora ni yule anaemcha Mungu huyo ndie Bora sio nani Wala nani na hata sheikh akiingia katika ukristo anakuwa kafiri tu ila tutamsihi na kumuonya huo ndio uislamu

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Рік тому

      Mzee Nanilii Aliacha Taarabu Akajikita Huko Alafu Alipata Nini?! Sanasana Alirudi Mjini😂😂😂🏃

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Рік тому

      @@yakobomkristo872 UNASEMA ALIKUWA TAARAB HALAFU AKIJIKITA HUKU KWANI TAARAB NI DINI YAKE????

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 Рік тому +1

    Yani kwann watu mnapenda kuchezea dini ya Allah mmh