Yohana 18:3-7 "Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti"
Mi Magdalena kazmil mkazi washinyanga kahama napenda kumtumikia mungu lakini nyota yakazi imefungwa, uchumi, na afya ya watoto na ndoa naomba mungu anisaidie Sina hata ada za watoto.
31:46 this pastor is right; women have very strong and big hearts you can call her anything and she wont freak but call a man a dog then you will know. we thank God for our mothers
Am from Kenya currently in Dubai am looking job but sijawai bahatika kupata kazi inaenda mwezi 9 sasa pila niombee tafadhali mungu anipalipaliki na kazi yeyote
Hiyo habali ya pete niliwai kuisikia ila nilikua najua ni hadisi tu. Kumbe ni jambo lilifika? Hongela Pastor. Unipatie na mimi adress yako na mimi nifike kwako
I'm Pauline from Kenya, working in Saudi Arabia as house girl I m Soo blessed.... Pray for me tooo npate amani kati yangu na my madam
Hello Pauline uko na shida gani na madam , Uko Saudi Arabia upande gani nikusaidie ....mim nko Saudi Arabia pia
@@ramyramy3455 hi too, nko jedah. Ni chuki na kelele za mara Kwa mara
Watching you from Kenya.we welcome you man of GOD to our nation Kenya.wachawi kibao apa...
hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah yesu kuwa mbele yangu
Powerful massage .... jamani yesu enda mbele yangu much love from Kenya mtumishi
Kazi Mzuri mtumxhi wa Mungu naomba hiyo neema na mm niifanye kazi ya Mungu
Ameeen 🙏🙏🙏 Yesu nenda mbele yangu unajua aja ya moyo wangu ..... Nambarikiwa kutoka kenya
mchungaji YESU Kristo akubariki...haki ushuda huu umenipeleka viwango vingine ktk kumwamini Mungu
Yessss!,huu ni Ubabe wa Ki YESU aliye juu yetu ni mkuu kuliko wawo
Ameen 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 halaleluya barikiwa mtumishi napenda ubabe wa YESU KRISTO 🙏 🙏
Amen mtumishi kuwa ndan ya raha sana, nabarikiwa na shuhuda zako mtumishi, Mungu aendelee kukutumia zaid na zaid
Pastor umenikumbusha mbali sana weldone Yesu ni kiboko ya wachawi
Nimefurahi Sana kweli yesu aliepasua Ngoma ya madogori akafanye muujiza kwangu
Hakika huu ushuhuda umeni bariki sana na umeongeza kitu katika maisha yangu kweli yesu kristo ni bwana wa maisha yangu. Ubarikiwe sana mtumishi
I am so blessed and it is my first time I tap this anointing in Jesus Christ Name Amen Amen Amen
Mungu akubariki
Oooh haleluya nampenda sana huyu YESU vita yake hakuna aliye shinda Oooh haleluya YESU KRISTO ni BWANA na MFALME
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Ubarikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu Nikodem Nimekukumbuka Sana.
Eee Yesu naomba utende muujiza ktkt ya familia yangu ili niendelee kukujua wewe na niwe mbabe aliyejaa nguvu ya Yesu
Nakupenda Yesu nakupenda Yesu nakupenda Yesu ❤❤❤
Yesu akutunze mtumishi wa mungu injili ipenye Kwa Kila masikio Kila mwenye pumzi
Hongera Sana mtumishi umekuwa kichaa wa Yesu...haleluya! Haleluyaa..hakika Kuna njia nyingi za kumtumikia MUNGU
Yesu nenda mbele yangu, nakuomba
Nimeyapenda sana mahubiri yako mtumishi ubarikiwe sana nimekupenda bure mtumishi wa Mungu
🇰🇪 Niko Mombasa Kenya,Asifiwe yesu kristo!
Amina fridah
Jesus Christ is 🔥🔥🔥 forever to is beloved ones never deserpoint us❤ hallelujah 🙏❤ . Keep fire burning yes yes I like it pastor Naomi.
Ubarikiwe sana mtumishi 🎉🎉 namhitaji huyu yesu ulie nae.
Praise God man of God pliz nnaomba kuongea nawe ,nimepitia changamoto mingi nnatoka kenya
Amen nimebarikiwa sana, barikiwa Mteule!
Mchungaji wangu nakupenda Sana mpendwa wangu hongera sana kwa huduma hii nzuri
Nisaidie no zake Nina shida nae
Mchungaji,Mungu akubali kwa ushuhuda huu.nakuomba ushuhuda ulioebdelea baada ya huu ushuhuda wa siku hii
Am jael from kenya nilikuwa nimeaply mambo na Saudi Naomba uniombee milangoi funguke na mungu akubariki
UBARIKIWE SANA babayangu mchungaji nakuelewa San nimejifunza mengi kutoka kwako hata hukunniliko najivunia San kuwa na Yesu wetu
Nisaidie no za huyu mtumishi naomba
God bless you pastor for this powerful message 🙏
⁷⁷⁶⁷yyy you ⁷😮 ya ç
Yohana 18:3-7
"Basi Yuda, akiisha kupokea kikosi cha askari na watumishi waliotoka kwa wakuu wa makuhani na Mafarisayo, akaenda huko na taa na mienge na silaha. Basi Yesu, hali akijua yote yatakayompata, akatokea, akawaambia, Ni nani mnayemtafuta? Wao wakamjibu, Ni Yesu Mnazareti. Yesu akawaambia, Ni mimi. Yuda naye aliyemsaliti alikuwa amesimama pamoja nao. Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini. Basi akawauliza tena, Mnamtafuta nani? Wakasema, Yesu Mnazareti"
Amen
Fireeeeeee! Wapigwe hao kwa jina la Yesu
Amen 🙏
Mi Magdalena kazmil mkazi washinyanga kahama napenda kumtumikia mungu lakini nyota yakazi imefungwa, uchumi, na afya ya watoto na ndoa naomba mungu anisaidie Sina hata ada za watoto.
Amen 👏👏👏God bless you pastor 👏👏 that's the presence of God, acha Mungu azdi kukuinua juu, 🙏🏾
Ujumbe mzuri sana mchungaji... karibu Kenya
Amen Amen, Asante Mtumishi kwa ushuhuda huu umenijenga Sana,naomba unikumbuke nimeomba Mungu Sana ili nipate ndoa, nikumbuke ili nipate ubavu wangu.
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏 fast day and fast time am blessed and I feel anointing, man of God be blessed
Amen amen napokea kwa jina la yesu
Amen wapigwe na radi wachawi wote
Nakubari barikiwa mtu wa Mungu nimeipenda hiyo
Yesu nenda mbele yangu, Mungu akutunze Mtumishi
Barikiwa mchungaji..moyoni mwangu nina furaha Sana kwa mahubili yako
Pls nisaidie no za huyu mtumishi
Ubarikiwe sana mchungaji
Amen sana mtumishi naomba namba Yako mchungaj
Ameeen, mchungaji Mungu akubariki sana.
Hallelujah ❤Thank you Jesus
So powerful am so blessed man of God be blessed too more and more
Asante Bwana Yesu kwa nguvu zako za kipekee.
31:46 this pastor is right; women have very strong and big hearts you can call her anything and she wont freak but call a man a dog then you will know. we thank God for our mothers
Amen Mungu akitangulia hakuna jambo linatushinda
Hii imebariki Sana...MChungaji uinuliwe Zaidi
Baba nakusikiliza nipo hapa kagera karagwe kayanga.amakweli waliomjua mungu wanayo faraja
Amen amen nyumbayangu haitaguswa na wachawi
Yesu uinuliwe haleluya haleluya
Glory to God Jesus bless me Be blessed Paster
This is so powerful,... Amen be Blessed... I love the power of God
Amen mutumishi wa mungu karibu kenya 🇰🇪 🙏
Am from Kenya currently in Dubai am looking job but sijawai bahatika kupata kazi inaenda mwezi 9 sasa pila niombee tafadhali mungu anipalipaliki na kazi yeyote
Bwana yesu nitangulie katika shida zangu zote
Hakika yesu ni mzuri sana
Haleluya haleluya yesu nenda mbele yangu 🙏
Kwenda pangani you have be so annointed asante Yesu
Amina
Amen mchungaji mungu abaki kuwa mungu,,🙏🙏
Amina yesu safisha njia yangu
Matendo makuu ya Mungu ni 🔥
Mtu wa mungu tunamhitaji huku kwetu same mashariki
Nenda mbele yangu Yesu mwana wa Mungu.
Yesu tangulia mbele yangu
Yesu awe radi yangu
Praise the almighty God. Servant of the living God please pray for me. I'm sick I have stroke. I can't write,I can't cook. Niombee
I'm called Loise I'm the one who is requesting you to pray for me having stroke.. pray for me please. Jina Loise W. Kariuki
Yesu nenda mbele yangu ameeen
Amen powerfully jamani Yesu ni mzuri
Jamani wapendwa mwemye no za huyu mtumishi naziomba
Ubarikiwe chombo Cha Bwana injili imenona haswa
Wooo ,Iko sawa from kenya
Mchungaji yesu WAKO namwamini namwitaji SANAA. Nimekuwa nikimtafuta SANAA. Ila nimeambulia vingine. Yamkini huyo atakuwa ndiyo
Baba nitendee wewe ni Mungu wa wajane miyujiza unatenda karibu kenya
Yesu Tosha ❤
Eee Yesu karibu kwangu ukatende muujiza ndan ya familia yangu
Ameeeeeeeeeeee yesu wewe ni mzuri sana
Hiyo habali ya pete niliwai kuisikia ila nilikua najua ni hadisi tu. Kumbe ni jambo lilifika? Hongela Pastor. Unipatie na mimi adress yako na mimi nifike kwako
Amen..yesu enda mbele yangu
Yeesss 🔥🔥🔥🔥🔥
Yupo Yehova Ubarikiwe
Mungu aende mbele yangu
Hallelujah, Bwana nenda mbele yangu wanaonichezea ni wengi
Aaaaaamen Yesu
Nipo Egypt Sema Mtumishi
Hakuna yawzekanaaaaaaa Mungu atukuzwe . Ameeen.
Yesu enda mbele yangu
Even if I'm glory be to God the powerful word I need this man of God
Welcome to Kenya. Mtumishi.
Mutumishi mungu akubariki sana
Yesu wetu ni mkuu sanaaaa!!
Mtumishi wa mungu niombee madeni yaishe yamenichokesha
Jamani karibu kenya 🇰🇪 mtumishi huwa unanibariki sana.
Welcome to Kenya 🇰🇪 mtumishi wa Mungu.
Uchawi zote zishindwe katika jina la yesu
ako karibu
Very true Sir,speak it once more
Mungu nimwema sana
Yesu nenda mbele yangu kuna watu wanacheza namim wasifanikiwe
Triza mweng'e Watching from Saudi Arabia
Karibu mombasa
Sawa kabisa YESU hapingiki na kitu chochote
Mungu nipe furaha yangu kaktika ndoa yangu