Pumzika kwa Amani Peter tunamshukuru MUNGU kwa ajili ya maisha yako yenye shuhuda nzuri mnoo.. hakika ulikuwa mtumishi mzuri mbele za MUNGU.. pumzika kwa Amani ndugu yangu🙏🏽
R.I.P brother Peter Genya. Moyo wangu unamaumivu makali sanaaaa... Naomba Mungu nimalize mwisho uliomzuri ili nikakuone kwenye vazi jipya. Nakumbuka mengi uliyonifunza ukiwa nyumbani. Umetufunza na kutulea kwa neno, ukali pia. Byeee kaka byee byeee uwiiii.... Machozi yanatiririka kama maji. bado tunakupenda mbonaaa!!!
Poleni sana majumba sita kwakilio hicho nilikua namupenda sana muchungaji Peter lakini alichoamua mungu hatuwezi kuzuwia kinanacho tufulahisha zaidi mungu hakosei hutenda lilo sawa siku zote yeye nimwenye haki
Brather Peter Mungu akupokeye kwa Furaha tele na vingelengele nime faata ushuuda wako ume pinga vita visuri nina tamani sana nikuwe sujaa kama wewe ili nimuone Mungu pole sana kwa family yote Mungu awatiye nguvu E
Poleni sana familia ya Genya kwa msiba huu mkubwa, nimeguswa sana na maisha ya Mch. Peter yenye utukufu. Bwana alitoa, na Bwana ametoa, Jina lake libarikiwe.
Pumzika kwa Amani Peter tunamshukuru MUNGU kwa ajili ya maisha yako yenye shuhuda nzuri mnoo.. hakika ulikuwa mtumishi mzuri mbele za MUNGU.. pumzika kwa Amani ndugu yangu🙏🏽
Pumzika kwa amani jirani yangu pale sinza . Lkn pole kwa dada yangu joyce na wanae henoko na purity
R.I.P brother Peter Genya. Moyo wangu unamaumivu makali sanaaaa... Naomba Mungu nimalize mwisho uliomzuri ili nikakuone kwenye vazi jipya. Nakumbuka mengi uliyonifunza ukiwa nyumbani. Umetufunza na kutulea kwa neno, ukali pia. Byeee kaka byee byeee uwiiii.... Machozi yanatiririka kama maji. bado tunakupenda mbonaaa!!!
Bwana akawe faraja! Peter amekwenda kwa Kristo aliyemwamini na kumhubiri.
Ikawe amani ya Kristo Yesu kwa wafiwa wote!
Poleni sana majumba sita kwakilio hicho nilikua namupenda sana muchungaji Peter lakini alichoamua mungu hatuwezi kuzuwia kinanacho tufulahisha zaidi mungu hakosei hutenda lilo sawa siku zote yeye nimwenye haki
Brather Peter Mungu akupokeye kwa Furaha tele na vingelengele nime faata ushuuda wako ume pinga vita visuri nina tamani sana nikuwe sujaa kama wewe ili nimuone Mungu pole sana kwa family yote Mungu awatiye nguvu
E
Pumzika kwa amani kaka Peter ,P.S.A Iringa girls tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭
Anaumiza huyu kaka acha tu,sio P.S.A iringa girls tu but P.S.A yote tutamkumbuka
Poleni wafiwa kwa ndugu mtumishi uyu wa Mungu amen 🙏
Pumzika kwa aman peter
Rest easy man of God ,we will always remember you bro ,and thank God for your life bro 🙏🙏
I am so sad... 😢😢. Peter our brother rest in peace 🙏🙏. Vita umevipiga, Imani umeilinda...
Kazi ya Mungu Haina makosa. Tujapo kufa tukiwa na Yesu tunakuwa tunaishi. Hatupotei
Glory be to God
Mungu ni mwema 🙏🙏
Pumzika Mtumishi wa Mungu
Peter kweli ni wewe jamani mdogo wangu
Pumzika kwa amani kaka
Heri wafu wafao katika Bwana
Rest in peace brother🙏🙏🙏
Byeeeeee
Byeee baba
Poleni sana familia ya Genya kwa msiba huu mkubwa, nimeguswa sana na maisha ya Mch. Peter yenye utukufu. Bwana alitoa, na Bwana ametoa, Jina lake libarikiwe.
Dah inaumiza sana pumzika kwa amani PETER B.GENYA nitakukumbuka daima class mate wangu Mugumu p/school tumeumiaaaaaa