Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Ooh waooo🎉 I like it
Sijaona mapishi kama hii kwetu kenya. Asante!
Napenda mapishi yako same time yako simple...I like most pilau la nazi 😋😋😋👍👍👍
Napenda sana pilau mom💞💞💞
Asante kwa kushare imesaidia
Nakupenda unaeleza vizuri hata mtu ambaye ajui kabisa au mtoto anapika ubarikiwe sna
MashaAllah kjn wng,hongera kwa ubunifu jikoni,nimependa mno upishi wako.
Mapishi mazuri sana
Wow so delicious!
Asaant sana my darling 💕😘
Your a professional cooker like me so extremely I like your teaching👍
Ahsante🎉
salàm alekum mashallaah
Asante sana nimejufunza vingi hapa! Nitapika hizi aina kwa familia yangu najua watafuraha
Mashaallah nimejua na mm😋
Thank so sweet I love it so much
so sweet ntapika kesho
Well done
Mashallah kwa mapish
Asante sana najifunza kitu
Wah, kiswahili nimesurender
I like it so much
Nice food ikike
Waooo 👍👍
Mashaallah
Barikiwa dada
Wow
So nice
Lovely yo talk by u urs most brightly H
Daaah unajua kupk Aunt
since i discovered veggies in pilau i am a happy mom. my son eats and loves it so much💕💕
That's great, I'm happy to hear that
Napenda sana pilau🥰thanks kwa somo
🥰🥰
Nice
Thyme👌🏽👌🏽👌🏽
Asante kwasoma madam
Asante kwa pishi mam
Mapishi
Naomb kuona pch ya kopo la Pilau masala ambayo Ni nzuri zaid
😍😍😍😍😋
Nmeelesha ssta kesho napika mwenyew
Ahsant kwa SoMo lako
❤
Salam alekum
Ongera mam unajua kupika
Maharage machanga haya haya yanayokuwa makavu badae au yapi
Mm biliani jaman nifundishe
Manshallah ❤️
Tamu sana dada laaaaah😘😘😘
Ha ha ha hayo majani ni mgoks ama
😋 Asante kwa somo,naomba unifundishe ndizi za mayai
Sawaa
Asant dear kesho napika
❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bachela boy nipo apaa 🤣🤣🤣
Naomb namb ako tuwasiliane mm na eee tyu
Aai
Umenikoshaaaaaaa
Jamani viungo vyote napataje na beigani dear
thank you😘 no 1 ni tamuuu nimejarbu
hongera
Asante Sana kwa mapishi,Kama sipendelei Nazi?
Vp naomba namba akoo
Shida ipo hapo kwenye kupima maji dadaangu ...cjui watusaidiaje cc tunaojifunza
Saradi ya mayonazi
naomba utusaidie jinsi ya kutumia oven boss
Majan ya beiliz unaweza kutumia zaid ya Mara mbili?
I wanna be like you
Nlikuw siwek iliki na tangawiz Sasa subir
I wanna be like you 4:20
🙏🙏🙏💜
Paprika kwa Kiswahili ni Pilipili-HoHo
Ata mie nakushinda
Majani hayo yanaitwaji nayaitaji
Bey leave
unaweza kutuandikia viungo vya kupikia ambavyo havijazoeleka sana kwenye pilau
Asante
Bay leaves ni majani ya amdalasin
Hayo majani uliyoweka hapo katikati umesema yanaitwaje?
Pilau tamu hatar
Sanaa
Mbona ilo pilau la mwisho umetia mboga mboga mwazon wakat umesem carot inabid zisiive sana
Nilikua sijui kma soy sauce inatumika ktk pilau pia
Bay leaves ni majani ya mdalasini
Nyznya ya pacti inafaa kutumiakupika pilau
Ndiyo🥰
Bay leaves majan ya mvuje
Hapana sio majan ya mvuje, mahan ya mvuje yanaitwa leak leaves
Ni majani ya mdalasini mazuri Sana.
Ila mbuve hupikiwa ktk pilau na hunukia vzr
Ndio ni Mvuje , BAY LEAVES
Samahani kwa ulizo hii ,kwa nini pilau ya kwanza ume changanya mchele limoja na mboga,Ila ya pili ume anza na mboga na mwisho uka weka mchele?
Si kwasababu ni aina 4?? Kila pushing na hatau zake
Hayo maji inayowek ya barid au ya moto
yamoto muhimu
Mchele wa basmati ndo mchele Gani jamani
Unatumika kupikia brian ila ata so mtamu km huu wa kwd
Huo mchele ndo unauzwa shingapi
kilo ni 5000 au wengine mpaka 5500
@@fateemajumaa7964 6500 sasaiv
5Kgs ni 25,000/=
Je hadi whatsapp upo hilo darasa, ?
Ooh waooo🎉 I like it
Sijaona mapishi kama hii kwetu kenya. Asante!
Napenda mapishi yako same time yako simple...
I like most pilau la nazi 😋😋😋👍👍👍
Napenda sana pilau mom💞💞💞
Asante kwa kushare imesaidia
Nakupenda unaeleza vizuri hata mtu ambaye ajui kabisa au mtoto anapika ubarikiwe sna
MashaAllah kjn wng,hongera kwa ubunifu jikoni,nimependa mno upishi wako.
Mapishi mazuri sana
Wow so delicious!
Asaant sana my darling 💕😘
Your a professional cooker like me so extremely I like your teaching👍
Ahsante🎉
salàm alekum mashallaah
Asante sana nimejufunza vingi hapa! Nitapika hizi aina kwa familia yangu najua watafuraha
Mashaallah nimejua na mm😋
Thank so sweet I love it so much
so sweet ntapika kesho
Well done
Mashallah kwa mapish
Asante sana najifunza kitu
Wah, kiswahili nimesurender
I like it so much
Nice food ikike
Waooo 👍👍
Mashaallah
Barikiwa dada
Wow
So nice
Lovely yo talk by u urs most brightly H
Daaah unajua kupk Aunt
since i discovered veggies in pilau i am a happy mom. my son eats and loves it so much💕💕
That's great, I'm happy to hear that
Napenda sana pilau🥰thanks kwa somo
🥰🥰
Nice
Thyme👌🏽👌🏽👌🏽
Asante kwasoma madam
Asante kwa pishi mam
Mapishi
Naomb kuona pch ya kopo la Pilau masala ambayo Ni nzuri zaid
😍😍😍😍😋
Nmeelesha ssta kesho napika mwenyew
Ahsant kwa SoMo lako
❤
Salam alekum
Ongera mam unajua kupika
Maharage machanga haya haya yanayokuwa makavu badae au yapi
Mm biliani jaman nifundishe
Manshallah ❤️
Tamu sana dada laaaaah😘😘😘
Ha ha ha hayo majani ni mgoks ama
😋 Asante kwa somo,naomba unifundishe ndizi za mayai
Sawaa
Asant dear kesho napika
❤️❤️❤️🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Bachela boy nipo apaa 🤣🤣🤣
Naomb namb ako tuwasiliane mm na eee tyu
Aai
Umenikoshaaaaaaa
Jamani viungo vyote napataje na beigani dear
thank you😘 no 1 ni tamuuu nimejarbu
hongera
Asante Sana kwa mapishi,Kama sipendelei Nazi?
Vp naomba namba akoo
Shida ipo hapo kwenye kupima maji dadaangu ...cjui watusaidiaje cc tunaojifunza
Saradi ya mayonazi
naomba utusaidie jinsi ya kutumia oven boss
Majan ya beiliz unaweza kutumia zaid ya Mara mbili?
I wanna be like you
Nlikuw siwek iliki na tangawiz Sasa subir
I wanna be like you 4:20
🙏🙏🙏💜
Paprika kwa Kiswahili ni Pilipili-HoHo
Ata mie nakushinda
Majani hayo yanaitwaji nayaitaji
Bey leave
unaweza kutuandikia viungo vya kupikia ambavyo havijazoeleka sana kwenye pilau
Asante
Bay leaves ni majani ya amdalasin
Hayo majani uliyoweka hapo katikati umesema yanaitwaje?
Pilau tamu hatar
Sanaa
Mbona ilo pilau la mwisho umetia mboga mboga mwazon wakat umesem carot inabid zisiive sana
Nilikua sijui kma soy sauce inatumika ktk pilau pia
Bay leaves ni majani ya mdalasini
Nyznya ya pacti inafaa kutumiakupika pilau
Ndiyo🥰
Bay leaves majan ya mvuje
Hapana sio majan ya mvuje, mahan ya mvuje yanaitwa leak leaves
Ni majani ya mdalasini mazuri Sana.
Ila mbuve hupikiwa ktk pilau na hunukia vzr
Ndio ni Mvuje , BAY LEAVES
Samahani kwa ulizo hii ,kwa nini pilau ya kwanza ume changanya mchele limoja na mboga,Ila ya pili ume anza na mboga na mwisho uka weka mchele?
Si kwasababu ni aina 4?? Kila pushing na hatau zake
Hayo maji inayowek ya barid au ya moto
yamoto muhimu
Mchele wa basmati ndo mchele Gani jamani
Unatumika kupikia brian ila ata so mtamu km huu wa kwd
Huo mchele ndo unauzwa shingapi
kilo ni 5000 au wengine mpaka 5500
@@fateemajumaa7964 6500 sasaiv
5Kgs ni 25,000/=
Je hadi whatsapp upo hilo darasa, ?
Mapishi
since i discovered veggies in pilau i am a happy mom. my son eats and loves it so much💕💕
Mapishi