Haaba_nasii | Mwakizaro ya mwaka Huu hakuna anayeweza kuvunja Hii Rekodi | Ust Ahmadi afunga Hadhara
Вставка
- Опубліковано 19 вер 2024
- Katika Hadhara ya mwaka Huu 2022 #MWAKIZARO maajabu makubwa yameonekana nayo ni kufana kwa Samai Hii kwa kiwango cha Asilimia 100 Tazama Uhodari aliotumia Sheikh ahmad bin sheikh Shaabani katika hii Qaswida #HAABA_NASII ni Hakika Hadhara imefunga Mwaka na Ubora wake na Katika Hili Tunasemaa tukutane Mwakani.. #MAAWAL_DAY ... 🚶🚶🚶
Usisahau #subscribe CHANNEL YETU YA @KHAIRIYYAONLINETV ....
Mashaallah
❤😊
Mungu awajalie na mwakani muwe salama mtupe Raha namkumbuka mjomba almaruumu mjomba Angu atbu mungu apunguzie adhabu za kabur ishalaa
MASHALLAH ustadh chogo,
M/MUNGU AWAPE AFYA NJEMA .
Mashallha tunaendelea kusubir
Twaomba mawaidha yaliyotolewa kwenye hii samai ya mwaka huu.yalikua mazuri sana mashallah
Inshaallah